Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

hahaha zari mjanjaaaaaaa domo kajipindaaaaa kutambulisha kwa mama yake kumbe amesikia shoo za domo ghali sasa anamnyenga akapige shoo ya bure UG then mchezo kushneyyy . malaya akiamua kumtumia mwanaume utamuweza basi dina
 
wala siumii ila nachekelea domo kutumika. kwa wema hatumtaki. ww ndio wema anakunyima pumzi. me hadi kufanya hivi ni kuwaonesha tu kwamba hata wema ana supporters mlizidi kumuonea hapa nyuma.

soon mtafurahi zaidi wala sisemi sana. mark haya maneno. dina utalala chini ya keyboard ohooooooo hahahaaaaaaa

Yaan wema hata awe mbinguni au awe nani sitajifichaaa tena uniite wewe unamteteaga sanaaa,basii yaisheee sina mashindano najitoa kabisaaa
 
Halafu nasikia Dai anapenda kuendesha pikipiki bila helmet
 
Hivyo hivyo diamond akihojiwa na waandishi wa habari hapa bongo anakaana na kusema ni marafiki kuna project wanafanya, so sio kwamba dai anatumika tu, hata zari hivyo hivyo Akiulizwa ! But wasituchanganye hawa watu ni wapenzi!
 
Hivyo hivyo diamond akihojiwa na waandishi wa habari hapa bongo anakaana na kusema ni marafiki kuna project wanafanya, so sio kwamba dai anatumika tu, hata zari hivyo hivyo Akiulizwa ! But wasituchanganye hawa watu ni wapenzi!
domo alimtambulisha ukumbini km mpenzi so tayari ilikuwa wazi, hata mama mzazi tayari alishajua. so hakukuwa na haja ya zari kuficha. kumbuka hii ni ishu ya after awards ambapo domo alishakiri pale ukumbini. zari hahaha mchezea wanaume ila afadhali iwe haki sawa kwan men walizoea kuchezea wadada
 
Kwa hiyo mrembo unapenda dai awe na Wema! Maana hii ishu imekukaba hupumuii hhhhhhaaaaa zari keshalambwa hata akikana haihitaji phd ujue hiloo bibiee
Usijal wema watarudiana maana ni kawaida yaoo lakin wema hataolewa na Dai teh...huyo kingkessy kawapanga msululu mademu

me nalala....wema harudi kwa dai wewe...tupinge
 

Attachments

  • 1417478716300.jpg
    1417478716300.jpg
    52.1 KB · Views: 1,273
Back
Top Bottom