msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,880
daaaah kweli mungu yupo,jana nimekaa zangu sebleni nikasema ngoja niombe chezo kwa chepuko langu,tmechaaat,tumechaaaat we,he nakuja kushtuka kumbe msg nilikuwa namtumia wife bwana kwakuwa majina yao yanaanza na herufi sawa,
Wacha nikurupuke bahti nzuri nimenyata chumbani namkuta wife anakoroma isee,na simu iko kwenye charge taratiiiiiiib nikaichukua huku natabasamu nikaanza kufuta msg moja baada ya nyingine daaaaaaah,yan asubuh nimeamka kwa furaha napiga milunzi tu chumbani daaaaaaaaaaah
Wacha nikurupuke bahti nzuri nimenyata chumbani namkuta wife anakoroma isee,na simu iko kwenye charge taratiiiiiiib nikaichukua huku natabasamu nikaanza kufuta msg moja baada ya nyingine daaaaaaah,yan asubuh nimeamka kwa furaha napiga milunzi tu chumbani daaaaaaaaaaah