Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Ukiitenga siasa wewe ni wa kuhurumiwa , siasa ni maisha , ndio maana nyie mnaposhabikia Simba na Yanga , Mara Mlete Mzungu au Mayele anatetema , watoto wa viongozi akina Nape , January , Riziwani , Malima na wengine wanagawana madaraka .Nasikitika kuona kijana akijihangaisha na siasa za maji taka badala ya kujikita kwenye uzalishaji mali utakaoweza kumkomboa yeye na familia yake dhidi matatizo ya kiuchumi.
My friend amka kutoka kwenye huo usingizi usije ukakojoa kitandani, hakuna mwanasiasa atakayekuletea kiroba cha unga nyumbani kwako.
AmenMungu ibariki CHADEMA
Asante sana !Hii alama ya ukombozi mpya wa kifikra ili kuondoa ile alama ya mwanzo iliyowekwa na mwenge katika kilele hicho cha Kibo kupitia fikra potofu za waganga wa kienyeji.
Ya ccm inapepea wapi ?Haya
Acha kufananisha mpira na vitu vya kipuuzi japo mimi sina timu yoyote ambayo ni mkereketwa wao. Ila mpira ni burudani tu kama kuumwagilia Moyo, kuogelea na kula mbususu.Ukiitenga siasa wewe ni wa kuhurumiwa , siasa ni maisha , ndio maana nyie mnaposhabikia Simba na Yanga , Mara Mlete Mzungu au Mayele anatetema , watoto wa viongozi akina Nape , January , Riziwani , Malima na wengine wanagawana madaraka .
wewe kama mwanachama wa chama cha mbowe mzee wa konyagi umefaidika nini na hili swala?
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.
Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.
Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.
Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
sidhani kama umeelewa madaAcha kufananisha mpira na vitu vya kipuuzi japo mimi sina timu yoyote ambayo ni mkereketwa wao. Ila mpira ni burudani tu kama kuumwagilia Moyo, kuogelea na kula mbususu.
Ila wanasiasa wanawatumia tu watu kama nyie kuwa daraja la kufikia mzinga wa asali. Hebu angalia kilichotokea jana Kenya wapi ulimwona Odinga akiongoza hayo maandamano? Yeye anatoa tamko mburula kama nyie ndio mnakabiliana na virungu na kulala mahabusu.
Mimi nitakimbizana na nyani shambani ili kuhakikisha natetea mazao yangu na sio interest za wanasiasa
Usilie basi mkuuSasa hapo ndio mnashika dola kwa kupanda mlima of course chadema kilianzishwa na wanywa mbege huko migombani
USSR
Mko vizuri kwenye kujifariji hongera.
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.
Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.
Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.
Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
Tutakuwekea ikiwa inapepea mlingotiniBasi nikadhan inapepea kwenye mlingoti kumbe mwanachama kapiga nayo picha. Mbona haijawahi kukatazwa hio. Halafu huyo sidhan kama yeye mwanachama ni wa kwanza wa cdm kufika na bendera huko
Hiyo ni ishara kubwa sana kwa CHADEMA! Hakika nuru ya CHADEMA itaangaza kila kona ya nchi yetu, italeta matumaini, uhuru na umoja ndani na hata nje ya nchi.
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.
Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.
Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.
Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
Ilishalaaniwa hiyo inatembea na laana and it will never amount to anything. Tena hicho ki NGO sasa ndiyo kabisa kilishajifia. Maana kengeza anavyokula raha kwa rushwa y kodi za wabongoMungu ibariki CHADEMA
IkuluYa ccm inapepea wapi ?
Jambo Zuri ila sio mara ya kwanza bendera ya chadema Pepea juu ya mlima huu ,yupo mwamba amewahi pandisha Pendera ya chama pale ,labda kumbukumbu zangu haziko sawa ruksa niweka sawa,
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.
Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.
Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.
Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
AmenHiyo ni ishara kubwa sana kwa CHADEMA! Hakika nuru ya CHADEMA itaangaza kila kona ya nchi yetu, italeta matumaini, uhuru na umoja ndani na hata nje ya nchi.
Joined January 2023Ilishalaaniwa hiyo inatembea na laana and it will never amount to anything. Tena hicho ki NGO sasa ndiyo kabisa kilishajifia. Maana kengeza anavyokula raha kwa rushwa y kodi za wabongo
Tunawapongeza wote waliopandisha bendera ya Chadema kileleni na tutawapongeza na wengine wote watakaoipandisha hapo baadayeJambo Zuri ila sio mara ya kwanza bendera ya chadema Pepea juu ya mlima huu ,yupo mwamba amewahi pandisha Pendera ya chama pale ,labda kumbukumbu zangu haziko sawa ruksa niweka sawa,
Kwa mantiki hii na kama nisemacho ni kweli basi tukio hili lisizime harakati za mwanzilishi wa tukio husika