Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Siku ya kufa nyani miti hutelez. Nilizungumza na dudu kichaga wapi. Nikaanza kusema nayo Kidhungu "please Gily we are in war soldier dont die on me" lakini wap 😔
Nikakumbuka show zangu za kibabe za ujanani labda zitaamsha. Iliposhindikana kwa hasira nikamuwasha makofi ila hola. Mwisho wa siku nikakubali matokeo nikajisemea "hii pisi lazima itakuw imejngua miwaya". Baada ya kuachana nae mnara ukasoma 5G. Ila hizi hisia huwa zinarudi na kukatika kama umeme wa Tanesco 😊 yote kwa sababu hatuna furaha maisha yetu yamekuwa magumu zaidi
Nikakumbuka show zangu za kibabe za ujanani labda zitaamsha. Iliposhindikana kwa hasira nikamuwasha makofi ila hola. Mwisho wa siku nikakubali matokeo nikajisemea "hii pisi lazima itakuw imejngua miwaya". Baada ya kuachana nae mnara ukasoma 5G. Ila hizi hisia huwa zinarudi na kukatika kama umeme wa Tanesco 😊 yote kwa sababu hatuna furaha maisha yetu yamekuwa magumu zaidi