Cham Bee
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 3,516
- 1,854
Nasikia huyu [emoji7]amenusurika kuuwawa huko shinyanga kwa sababu ya macho mekundu.Haka [emoji12]kamepigwa bastora kwa kukonyeza mke wa mtu.Huyu [emoji35]kakosa ajira,huyu kalemaa shingo siku nyingi tu.[emoji123]Haka kapo jela kwa ubabe wa kijinga.