Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
- Thread starter
- #21
Mimi siyo mlokole ,naenda bar na sehemu za hivyo mara nyingi kwani huko ndiko waliko marafiki na watu wangu nanunua vyombo kama kawaida ila situmii pombe si kwasababu ya ulokole ila ni kichwa changu kutokuwa sawa pindi nikitumiaSio nilihisi ndivyo ilivyo , uchumi unahitaji watu wakorofi na sio walokole hasa kwa Africa.