Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 402
Wandugu,
Zamani ilikuwa ni kimya kimya, lakini sasa kumekuwa na kelele za waziwazi kutoka katika kila upande wa muungano. Kila upande unalaumu upande mwingine. Kelele hizo zinahusu namna muungano unavyofinya fursa za maendeleo ya kisiasa na kiuchumi. Kwa mfano, kuna mwandishi wa habari mmoja mwandamizi wa BBC anayeishi Zanzibar wakati fulani alidiriki hata kusema kwamba isingekuwa ni muungano, Zanzibar ingekuwa kama Dubai. Mwandishi huyo alifika mbali kiasi cha kusema kwamba hata chokochoko za kisiasa kati ya ccm na cuf zinachochewa zaidi na viongozi wa Tanzania bara.
Je, kauli hiyo ya mwandishi wa habari ina ukweli kiasi gani?
Wandugu,
Zamani ilikuwa ni kimya kimya, lakini sasa kumekuwa na kelele za waziwazi kutoka katika kila upande wa muungano. Kila upande unalaumu upande mwingine. Kelele hizo zinahusu namna muungano unavyofinya fursa za maendeleo ya kisiasa na kiuchumi. Kwa mfano, kuna mwandishi wa habari mmoja mwandamizi wa BBC anayeishi Zanzibar wakati fulani alidiriki hata kusema kwamba isingekuwa ni muungano, Zanzibar ingekuwa kama Dubai. Mwandishi huyo alifika mbali kiasi cha kusema kwamba hata chokochoko za kisiasa kati ya ccm na cuf zinachochewa zaidi na viongozi wa Tanzania bara.
Je, kauli hiyo ya mwandishi wa habari ina ukweli kiasi gani?
Huenda wangekuwa kama Yemen. Kabla bei ya Karafuu kuanguka, ni kweli Uchumi wa zanzibar ulikuwa imara sana, lakini baada ya mazao hayo kufa, Uchumi wa zanzibar haukuwa na lternative nyingine. Kwa sasa hivi mambo ya Zenj yanakwenda vizuri kwa sababu ya utalii, ila iwapo wangekuwa alkaida wa kutaka wanawake wafunge nyuso zao kwa mbaibui, basi wangekuwa kama Yemeni ya leo.
Labda kungekuwa na tofauati kidogo kama Zanzibar ingebaki chini ya Sultani wa Oman, lakini basi kwa utaratibu huo, Zanziba ingekuwa ni nchi ya kiarabau na hawa wamatumbi wenzetu wasingekuwa na lao. Kwanza hata wasingeruhiswa kuchanganya damu na waarabu kama ambavyo Karume alilazimisha baada ya mapinduzi
..Zanzibar ilishaanza kufilisika tangu wakati wa Sultani, na imeendelea kuporomoka mpaka leo.
..mwanzo walikuwa wanatawala ukanda wote wa pwani ya Afrika Mashariki, lakini kidogo kidogo wakaanza kuachia maeneo hayo. kwa uelewa wangu pwani ya Tanganyika iliuzwa na Sultani kwa Wajerumani.
..kusitishwa kwa biashara ya utumwa kulimuondolea Sultani moja ya vyanzo vyake vikuu vya mapato.
..ilifikia wakati utawala wa Zanzibar ukaondoka mikononi mwa Sultani na kuwa mikononi mwa Muingereza. hata "uhuru" wa Zanzibar walikuwa wanaudai kwa Muingereza.
..toka "uhuru" na MAPINDUZI mpaka kufikia 1980, uzalishaji wa zao la Karufuu ulianguka by two thirds. hilo ndilo lilikuwa pigo la mwisho kwa uchumi wa Zanzibar.
..sidhani kama muungano ndiyo ulioangusha uzalishaji wa karafuu. pia siamini kama muungano ndiyo unaozuia kuinuka kwa uzalishaji wa zao hilo Zanzibar.
ZANZIBAR A DRAIN ON UNION ECONOMY
The astronomical rise of Zanzibar's financial dependence on the mainland government is the latest wave of criticism levelled at the Tanzanian union by leading academics.
They quantify the dependence at nearly 835 million US dollars in
transfers between 1983-84 and 1998-99 in a new publication, entitled
‘The Political Plight of Zanzibar', launched after a two-year study in
the island.
"This, as the book points out, is equivalent to the mainland giving
every Zanzibari a gift of 1,202 dollars a year, or roughly five years
of Tanzania's per capita Gross National Product," Teddy Maliyamkono,
the publication's editor, says.
"It is also equal to the average total annual revenue of Zanzibar's
government during the past six years," he adds.
Further questions are raised as to why the Zanzibari constitution
refuses the semi-autonomous state to contribute to the union budget
although the union bore the expenses of supporting its annual balance
of payments deficit.
"By refusing to pay and making it their constitutional right not to,
Zanzibar is implicitly denouncing the union. Now the question is, why
is the mainland Tanzania paying a fortune to keep the union unless they
have an immeasurable intrinsic love for the people of Zanzibar!"
Maliyamkono, a political scientist, says in the book.
"It is argued in some quarters that the political and economic costs
of letting Zanzibar go on its own, could, by far, outweigh present
transfers and benefits which accrue to Zanzibar from the union," he
adds.
Maliyamkono notes that the mainland sends much money to Zanzibar,
and subsidises its power consumption.
Some of the transfers, like smuggling, tax evasion and the money
sent into the island by Zanzibaris working on the mainland, are
invisible and cannot be quantified.
"From the economic point of view, there is no denying that it is
Zanzibar that needs the union more than mainlanders do. The union is
Zanzibar's livelihood, there is no Zanzibar without the union," he
points out.
The political marriage of Tanganyika and Zanzibar in 1964 has been
plagued by a plethora of operational problems.
Zanzibar, which is heavily dependent on cloves to sustain its
economy, has been complaining that the mainland is benefiting too much
from the union and that it should, in the spirit of its 'sovereignty,'
be allowed to have its own flag.
But according to the authors of the book, there is no denying that
it is Zanzibar that needs the union the most.
Maliyamkono warns that dissolution of the union would be
economically disastrous to Zanzibar.
Mdondoaji,
..Zanzibar walikuwa na uchumi imara vipi wakati inaeleweka kabisa kwamba uzalishaji wa karafuu ulikuwa unaporomoka kadiri muda unavyokwenda?
..miaka ya 60 Zanzibar walikuwa wanazalisha mpaka tani 14000 za karafuu. ilipofikia mwaka 1980 uzalishaji ulikuwa umeshuka mpaka tani 4000.
..sasa ukizingatia kwamba karafuu ndiyo chanzo kikuu cha mapato Zanzibar unategemea uchumi utaendelea kuwa imara??!!
..tatizo lenu wa-Zenj ni kwamba you live in DENIAL.
Mdondoaji said:Professa Malyamkono nimekisoma kitabu chake it was a fabrication na lies na to be honest alikuwa hazungumzi ukweli. Anachodai hapa mfano:-
They quantify the dependence at nearly 835 million US dollars in
transfers between 1983-84 and 1998-99 in a new publication, entitled
‘The Political Plight of Zanzibar', launched after a two-year study in
the island.
Aliignore the fact uchumi za zanzibar before 1980s ulikuwa very strong na kuanguka kwa uchumi wa zanzibar kulianzia 1981 pale Indonesia walipoanza nao kuzalisha karafuu. Maneno haya aliyasema waziri wa Zanzibar namnukuu:-
Deputy Minister of East African Community Mohamed Aboud says prior to the collapse of the clove industry in the 1980s, the Islands had per capital income of 7,000 British Pounds.
Sasa what denial au ndio zile ajenda za Tanganyika kuitawala Zanzibar??? Jiulize kwanini hadi leo Tanzania katika mabohari tunatumia zana za kijeshi zilizonunuliwa 1970s jiulize hela ya kununua vifaa hivyo ilitoka wapi?
Wandugu,
Zamani ilikuwa ni kimya kimya, lakini sasa kumekuwa na kelele za waziwazi kutoka katika kila upande wa muungano. Kila upande unalaumu upande mwingine. Kelele hizo zinahusu namna muungano unavyofinya fursa za maendeleo ya kisiasa na kiuchumi. Kwa mfano, kuna mwandishi wa habari mmoja mwandamizi wa BBC anayeishi Zanzibar wakati fulani alidiriki hata kusema kwamba isingekuwa ni muungano, Zanzibar ingekuwa kama Dubai. Mwandishi huyo alifika mbali kiasi cha kusema kwamba hata chokochoko za kisiasa kati ya ccm na cuf zinachochewa zaidi na viongozi wa Tanzania bara.
Je, kauli hiyo ya mwandishi wa habari ina ukweli kiasi gani?
Mdondoaji,
..Zanzibar walikuwa na uchumi imara vipi wakati inaeleweka kabisa kwamba uzalishaji wa karafuu ulikuwa unaporomoka kadiri muda unavyokwenda?
..miaka ya 60 Zanzibar walikuwa wanazalisha mpaka tani 14000 za karafuu. ilipofikia mwaka 1980 uzalishaji ulikuwa umeshuka mpaka tani 4000.
..sasa ukizingatia kwamba karafuu ndiyo chanzo kikuu cha mapato Zanzibar unategemea uchumi utaendelea kuwa imara??!!
..tatizo lenu wa-Zenj ni kwamba you live in DENIAL.
Mdondoaji,
..OK tuachane na Malyamkono.
..hii habari ya uzalishaji wa karafuu kuanguka toka 14k tons mpaka 4k tons btn 60s to 1980 nimeitoa kwenye hotuba ya Maalim Seif. sasa sijui kama huyo naye analeta uongo na kampeni za Tanganyika kuitawala Zanzibar.
..sasa baada ya Indonesia nao kuanza kuzalisha karafuu, Zanzibar ilichukua hatua gani kupambana na ushindani huo?
..hakuna anayebisha kwamba Zanzibar ilikuwa imara wakati wa UTUMWA na UKOLONI. but somewhere down the line, Zanzibar made poor economic decisions na matokeo yake ndiyo matatizo mliyonayo.
NB:
..umeeleza kwamba Zanzibar ilishindwa kukabiliana na ushindani wa Indonesia ktk kuzalisha karafuu.
..kwanini mnalaumu Tanganyika badala ya Indonesia kutokana na hali yenu ya uchumi?
..umeme tuwape bure, mishahara ya SMZ tulipe sisi, huoni kwamba ni Zanzibar ndiyo inaitawala Tanganyika?
Hivi zaidi ya karafuu, utalii na bandari kuna fursa gani zingine za maana za kiuchumi Zanzibar? Au ndiyo hayo mafuta tunayoambiwa yapo na yameanza kuleta chokochoko?
Ingekuwa kama Malaysia.
Lakini wacha Wazanzibari wale laana yao. Kukubali ku-conspire na Waarabu na kuanza kusafirisha ndugu zetu wa Reli ya Kati na kupelekwa Mji Mkongwe na kutolewa korodani na mateso yote. Mungu alikuwa anaona.
Lazima waisikilizie.
Wataendelea hivyo hivyo na ubaguzi. Ubaguzi ni dhambi sawa na dhambi ya kula nyama ya mtu. Wataendelea na ubaguzi na umasikini wao mpaka kiama.
Hivi zaidi ya karafuu, utalii na bandari kuna fursa gani zingine za maana za kiuchumi Zanzibar? Au ndiyo hayo mafuta tunayoambiwa yapo na yameanza kuleta chokochoko?
Mkuu kwenye list ya biashara za utumwa umesahau ku include mikoa miwili ya Zanzibar nayo ni Kilwa na Bagamoyo maana kwenye hizo sehemu za zanzibar yaani Kilwa na Bagamoyo walikukubali ku-conspire na Waarabu na kuanza kusafirisha ndugu zetu wa Reli ya Kati na kupelekwa Kilwa na Bagamoyo na kutolewa korodani na mateso yote. Mungu alikuwa anaona.
Kikubwa Zanzibar ni nchi ya kwanza Afrika kuwa na taa za barabarani na ni nchi ya kwanza Afrika kuwa na kituo cha televisheni ya rangi. Naamini kama Karume angekuwa hai na Zanzibar isingeingia kwenye Muungano wangekuwa si wenzetu wangekuwa wamepika hatua miaka mia mbele yetu. Huo ndio ukweli mkubali mkatae.
Nawakilisha.
Nchi kama Dubai wao wanategemea bandari yao huru ambayo imeifanya Dubai kuwa kituo kikubwa cha biashara ulimwenguni. Watu wanaoenda Dubai kufuata biashara wanaingizia nchi mamilioni ya dolla kwa kulala kwenye hoteli zao na kutumia pesa wanapokuwa huko.
Utalii ni moja ya sehemu inayoingiza pesa nyingi Zanzibar na wakati ule Zanzibar (kabla ya TRA) kuanzishwa mizigo mingi ilikuwa ikiingizwa Zanzzibar wafanya biashara wengi walikuwa wanaenda kuchukua mali Zanzibar na kuleta huku bara na sehemu nyinginezo. Kuiua bandari ya Zanzibar pia kumechangia kuididmiza Zanzibar kimaendeleo. Nilipata kusikia kuwa wanampango wa kuifanya bandari yao kuwa bandari huru lakini nadhani ilikuwa ni siasa tu.
Shossi,
Ongezea na Zanzibar ilikuwa nchi ya kwanza Africa Mashariki kuwa na benki za ulaya, Standard Bank (British overseas bank sasa hivi inajulikana kama Standard Chartered Bank) and National and Grindlay Bank (another british overseas bank).