Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 402
Wandugu,
Zamani ilikuwa ni kimya kimya, lakini sasa kumekuwa na kelele za waziwazi kutoka katika kila upande wa muungano. Kila upande unalaumu upande mwingine. Kelele hizo zinahusu namna muungano unavyofinya fursa za maendeleo ya kisiasa na kiuchumi. Kwa mfano, kuna mwandishi wa habari mmoja mwandamizi wa BBC anayeishi Zanzibar wakati fulani alidiriki hata kusema kwamba isingekuwa ni muungano, Zanzibar ingekuwa kama Dubai. Mwandishi huyo alifika mbali kiasi cha kusema kwamba hata chokochoko za kisiasa kati ya ccm na cuf zinachochewa zaidi na viongozi wa Tanzania bara.
Je, kauli hiyo ya mwandishi wa habari ina ukweli kiasi gani?
Zamani ilikuwa ni kimya kimya, lakini sasa kumekuwa na kelele za waziwazi kutoka katika kila upande wa muungano. Kila upande unalaumu upande mwingine. Kelele hizo zinahusu namna muungano unavyofinya fursa za maendeleo ya kisiasa na kiuchumi. Kwa mfano, kuna mwandishi wa habari mmoja mwandamizi wa BBC anayeishi Zanzibar wakati fulani alidiriki hata kusema kwamba isingekuwa ni muungano, Zanzibar ingekuwa kama Dubai. Mwandishi huyo alifika mbali kiasi cha kusema kwamba hata chokochoko za kisiasa kati ya ccm na cuf zinachochewa zaidi na viongozi wa Tanzania bara.
Je, kauli hiyo ya mwandishi wa habari ina ukweli kiasi gani?