Isingekuwa vema kwa Rais kuipa Simba kombe la VPL

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kwa kiasi kikubwa. (87℅) ushindi wa Simba umechangiwa na uwepo Wa mfadhali (Dewji) kwa club na kiasi kikubwa (87%) cha kushindwa kwa Yanga kumechangiwa na kukosekana kwa mfadhili (Manji) Wa club.

Serikali ilihusika kwa kuondoka kwa mfadhili wa Yanga kutokana na sababu fulani muhimu ambazo watanzania wengi hawakusikia makosa yake.

Hivyo isingekuwa vizuri wapenzi Wa Yanga wakahisi mh. Rais ni sehemu ya ushindi Wa Simba. Ni heri Rais wetu akaachwa kwenye hili la Simba na Yanga (abaki neutral kwa muonekano) ili kuepuka kuamsha hisia za Usimba na Uyanga siku hiyo.

Ni maoni yangu tu
 
Mimi ni mpenzi wa Yanga na nna hisi
Bashite na Magufuli ambao ni mashabiki wa Simba wali mhujum Manji ili tim yao ishinde (Nahisi)

Any way tabia za Makonda na JPM zina nifanya niwe proud kwamba hawashabikii Yanga hatuna mashabiki wa ajab kama hao. Kwa hilo huwa nafurahi.
 
hawezi kwenda kwa ajili ya kuogopa kula matapishi yake...Ikulu aliwahi kusema ni bora akaangalie ndondo kuliko watu wakifungwa wanavunja Viti...uncivilized ppl
 
K
[emoji1] [emoji1]
Am telling you halaf jamaa walivo na roho mbaya wanaeza fanya hivo
Kila mtu anaye idhamini yanga kama Manji wata mfilisi
Kimsingi biashara zote Manji na Dewj zinafafana kwenye uhalali na kodi. Haiwezekani Dewj awe safi kuliko Manji
 
Yanga tulihujumiwa mpaka sasa ndo maana wadhamini Wanasita kutia miguu yao pale wanajua bill hazitakauka
 
Yanga tulihujumiwa mpaka sasa ndo maana wadhamini Wanasita kutia miguu yao pale wanajua bill hazitakauka
Mambo ya Simba na Yanga yanahitaji uangalifu wa hali ya juu ku deal nayo
 
[QUOTi="muya ataho, post: 27143010, membe(#0#r: 440629"]Team mapovu[/QUOTE]
Simba kumtumia Rais wetu vibaya sio povu? Utamsaida kampeni 2020 dhidid
Team mapovu
Kumtumia Rais wetu kuipa Simba kombe sio povu? Mtansaidia ww 2020 kupiga kampeni dhidi ya mashabiki Wa Yanga? Mambo mengine msidhani ni mepesi hivyo. Msimpake Rais rangi nyekundu kwenye collar, ngoja abaki neutral kwa sasa anapokuwa baba Wa wote.
 
Mbona JK na Riz walikua Ndala Fc na hakijawahi haribika kitu
 
Mbona JK na Riz walikua Ndala Fc na hakijawahi haribika kitu
Yanga ilikuwa bigwa mfululuzo lakini JK hajawahi kuonyesha mahaba ya kuikabidhi Yanga kombe ingawa yeye ni Yanga
 
Kumbe Simba ndo mmetuchagulia hawa viongozi? 2020 mtajibeba,
 
Mwafwaaaaazi mazafanta,!! Vyuraaaaa

Ukweli ni kwamba Yanga ndio club ya CCM na serikali,
Tuacheni na simba yetuuu!![emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
 
K

Kimsingi biashara zote Manji na Dewj zinafafana kwenye uhalali na kodi. Haiwezekani Dewj awe safi kuliko Manji
Yeah watu wataogopa kuwekeza kwa kuwa watajua wana fight na prezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…