Mimi ni mpenzi wa Yanga na nna hisi
Bashite na Magufuli ambao ni mashabiki wa Simba wali mhujum Manji ili tim yao ishinde (Nahisi)
Any way tabia za Makonda na JPM zina nifanya niwe proud kwamba hawashabikii Yanga hatuna mashabiki wa ajab kama hao. Kwa hilo huwa nafurahi.
Hivi Rais wetu JPM kumbe ni mshabiki wa Simba???!!!! Sikufahamu hili...