Isingekuwa vema kwa Rais kuipa Simba kombe la VPL


Hivi Rais wetu JPM kumbe ni mshabiki wa Simba???!!!! Sikufahamu hili...
 
Acha awape ..tuchangie timu yetu njaa ikiondoka hao Simba hawana chao na wanalijua hili ndio maana wakamtumia'makalio manene" kuivuruga Yanga#umojaninguvu
 
naona vyura wanaruka ruka kwenye huu Uzi...mwaka mmoja tu wamenza kuhaha...

na bado.
 
Naanza kuona simba ikichukua kombe mara 10 mfululizo. Rais wa nchi, rais wa tff, rais wa Dar wote msimbazi
Mm ni Simba damu damu lkn niliposikia huyu shithole atatoa kombe. Sishabikii tena Simba. Huyu shithole simpendi kinoma. Na siwezi tena kushabikia timu za home mpaka kesho kutwa.
Shubamit kbsa.
 
Wamechangia nini kwenye mshahara wa Okwi, Boko, Kichuya, Mkude, Ndemla, Mzamiru, Kapombe, Kwasi, Mlipili, Erasto, Laudit Mavugo, na mastaa wengine pale msimbazi??
Kumfunga Manji. Halijui hilo.
 
Niliposikia huyu jamaa atatoa kombe. Sitashabikia tena timu za home mpaka keshokutwa

Mimi nitashabikia timu zetu..isipokuwa nitawashangaa washauri wa Rais kama kweli 'watamruhusu' afanye kitendo hicho ambacho kitakuwa very damaging kwa serikali, CCM na yeye mwenyewe Rais...ila naamini yeye hataweza kufanya hivyo..nadhani atamtuma PM au Waziri Mwakyembe ambaye ni Simba...
 
Asubiri matusi rasmi ya kimpira mpira na ya utani wa jadi ,muhimu asifunge MTU wala kuteka ,Hahaha
 
Baki na maoni yako. Wacha Rais akatoe ubingwa kwa 'Wanyama'.
This Is Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…