Isiolo Airport Launched Danganyika Republic Kujeni na Hate sasa

Ndio muache sasa kuipa misifa ya kijinga ni ushamba katika zama hizi za utandawazi. Dunia ni kama kijiji.

Nilimjibu yule alisema hatuna hizo....

Heey, na usinifanye nianze kukuumbua hapa. Najua jinsi hali ilivyo huko kuhusiana na mambo haya.
 
Nilimjibu yule alisema hatuna hizo....

Heey, na usinifanye nianze kukuumbua hapa. Najua jinsi hali ilivyo huko kuhusiana na mambo haya.
Wewe kama unaweza lianzishe tu. Mshamba wewe. Njoo tu hapa nakusubiri. Ninauhakika utajificha kama panya akiona paka.
 
Labda jarivu kunijibu kwanza hapa.
Hii hali inasababishwa na nini? Kwamba Kibera ni no. 2 duniani kwa kuwa na slums kubwa


2. KIBERA, KENYA
Population - 2.5 Million

Only 20 per cent of Kibera has an electricity supply and until recently people were dying from cholera. A cheap alcoholic brew - Changaa - is widely available with a very high content of Methanol, while cheap drugs and glue sniffing are an increasing problem.

Largest slums in the the world
 
Siwezi kujibu cooked information.
Leta taarifa toka kwenye source za kuaminika siyo hizo zenu za kupika.
Siwezi kujibu cooked information.
Leta taarifa toka kwenye source za kuaminika siyo hizo zenu za kupika.

Acha siasa mobb, leta tu hata report ya kupika from your side.

Nimekupatia sources mbili ambazo hazihuaiani na serikali. Daily Nation tangu enzi ya Jomo Kenyatta ni gazeti very balanced and unbiased kabisa.

AllAfrica basi.

Kenya: Government to Drill Water in Schools Connected to Power
 

Tujikite kwenye mada ya laptop kwanza.
 
My friend give me statistical information. Sasa unaleta taarifa zilizotolewa na wakenya "allafrica.com" wanatoa taarifa za wakenya wanavyosema.
Give me statistical information from research website sawa dogo. Nyie mnatengeneza data ili muonekane mko juu. Then give me by evidence like these in Turkana




And this here down


Reach & Outreach

Usiniletee data za kupika.
 



Sawa, nimekubali, hizi data zetu zimepikwa.

Leta za Kwenyu sasa...achana na Kenya.
 
Tujikite kwenye mada ya laptop kwanza.
Issue za laptop nimeshakujibu. Kamba hayo ni mambo ya kawaida tu.
BTW hizo ni informatio kuhusu shule chache ili kuwahadaa wananchi kisiasa. Angalia shule kwa hali halisi ya huko kwenu kama ifuatavyo. Nakuomba usikimbie
Where is Desk or Electricity here?

School under the tree. Combined village of Samburu and Turkana school children with teacher. - a photo on Flickriver

Unajivunia nini wewe kwa kufurahia shure chache kuwa na huduma za kompyuta wakati walio wengi ni shida? Sisi ni LDC lakini issue za Desks tumeshaachana nazo.



Stock Photo - School children at a school in the El Molo village in Lake Turkana , Loiyangalani, Kenya
 
Sawa, nimekubali, hizi data zetu zimepikwa.

Leta za Kwenyu sasa...achana na Kenya.
Nilete zetu nijibu nini? wewe umesema unataka kuniumbua!! Sasa inaonekana wewe ndiye umeumbuka. Wewe ndiye unatakiwa ulete information nitakujibu nionavyo mimi.
Na hizo taarifa ninazotoa ni sehemu ya kukujibu.
 
Nilete zetu nijibu nini? wewe umesema unataka kuniumbua!! Sasa inaonekana wewe ndiye umeumbuka. Wewe ndiye unatakiwa ulete information nitakujibu nionavyo mimi.
Na hizo taarifa ninazotoa ni sehemu ya kukujibu.


Ukishindwa....kwaheryy!

U already know what exactly I am driving at....laptops mtawezaje ilhali kwenye mashule mengi na manyumba hamna thitima?

Kenya: Electricity access stats at 56%

CHUMO: Kenya’s electricity access rate now at a historic 60 per


Hahaha! LDCs
 
A Tz & Kenya argument is not over before mentioning of KIBERA.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Nimekukataza kuniletea taarifa za magazeti yenu hayo. Nataka uliletee taarifa kutoka kwenye source zilizofanyiwa research. Siyo magazeti yenu yanayoeneza propaganda. Nimekupatia information za kutoka World bank wewe unaleta taarifa za kuunga unga.

Ukitaka hizo mimi niko nazo nyingi tu. Lakini sitaki issue hizo maana tutaonekana wapumbavu wote. Ni kheri akabaki mmoja kuonekana hivyo mwingine akimuelimisha taratibu taratibu na baadae ataondoa upumbavu wa kupika data.
 
A Tz & Kenya argument is not over before mentioning of KIBERA.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app


And I dont know what is it about these Tanzanians and Kibera and turkana famine.....is it bcos when they sensing defeat, they resort to that in order to distort the debate? What a lame trick.
 
Mpumbavu yeyote hufikiri kuhusu watu ila mwenye akili hufikiri kuhusu maendeleo

Afterall iko wazi hata usoni mwa Nairobi kibira kuna ufukara uliokithiri mnajisifis A P acheni uzwazwa nyie



Sent using Jamii Forums mobile app
 


Kwahivo hata huzifungui. Si hizo magazeti zote ni za Kenya.

Affordability of Kenya's electricity central for expanding access


Kenya raises electricity connections 116 pct since 2013

Umetosheka?
 
Nilimjibu yule alisema hatuna hizo....

Heey, na usinifanye nianze kukuumbua hapa. Najua jinsi hali ilivyo huko kuhusiana na mambo haya.
Wewe unataka kuniumbua mimi. Je, unauwezo wa kuniumbua kweli au unataka uumbuke wewe?
Hebu tuanze na hawa hapa Kibera
Je, wanaweza kweli kupata kompyuta mpakato wakati umeme wenyewe ni matatizo?

2. KIBERA, KENYA
Population - 2.5 Million

Only 20 per cent of Kibera has an electricity supply and until recently people were dying from cholera. A cheap alcoholic brew - Changaa - is widely available with a very high content of Methanol, while cheap drugs and glue sniffing are an increasing problem.
http://www.msn.com/en-au/news/featured/largest-slums-in-the-the-world/ss-AA6QUf6#image=10

This school Down is within Nairobi City. And stupid Kenyan talking about Computer.





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…