eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Hata kama ni msumbiji, huoni ni watz wameuliwa? Ama u cant read in between the lines?
Hapo ni mambo mawili tofauti. Watanzania kuuawa Tanzania na kuuawa msumbiji.
Lkn cha msingi hapo ni kutoa Tahadhari kwa Tanzania nationals to take precautions while in Mozambique.