joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hahahaha, credible evidence?. The best credible evidence is peace and tranquility which we Enjoy. Haha haha.Those are your words you lazy witch. I have asked to prove it for me using a credible evidence.
Kismayu wasomali wanadunda kishenzi...Kitendo cha Tanzania kubaki kuwa na amani ya hali ya juu katikati ya msitu WA fujo na ukosefu wa usalama ni dalili tosha kwamba vyombo vyetu ni imara.
Kenya nchi moja tu ya Somalia kati ya nchi zinazowazunguka, ilipoingia katika machafuko, mumeshindwa kuidhibiti hiyo hali, matokeo yake mkajiingia kwa kushindwa kuwa na intelligence nzuri katika vyombo vyenu kujua kwamba kwa kwenda Somalia hali ya amani ingezidi kuchafuka hapo Kenya.
Mara nyingi sana kumejitokeza vitendo vya kigaidi hapa Tanzania, kuanzia katika mapango ya Ambani, Kibiti, Mwanza na kule Arusha, lakini POLISI na JWTZ haraka Sana wameweza kudhibiti hiyo hali kwa ufanisi mkubwa sana, kabla havijawa " out of control".
Mfano mzuri no jinsi walivyodhibiti ujambazi hapa nchini. Kuanzia miaka ya 1998, baadhi ya majambazi toka Kenya walijaribu kuja Tanzania kufanya ujambazi, nadhani kilichowakuta bado tunakumbuka, au watu waliokuwa wanajishughulisha kuwauwa albinos, kilichowakuta tunafahamu vizuri, siku hizi ni historia kuhusu mauaji ya albino.
Naona kw intelligence mko zaidi ya FBI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha, credible evidence?. The best credible evidence is peace and tranquility which we Enjoy. Haha haha.
Wakichofanywa kibiti wanajua ndo maana walikimbia na kwenda huko na wamegusa mama kulipiza kisasi na soon wataenda tandikiwa huko huko waliko kimbiliaISIS Terrorists in Mozambique Behead and Kill 11 Tanzanian Civilians
The Islamic States terrorists organization’s branch in Mozambique, (an offshoot of Islamic States in Central Africa, ISCAP), conducted a border attack targeting unarmed Tanzanian civilians at Quionga village beheading and killing 11, S.I intelligence...intelligencebriefs.com
Majirani hii vita mtaezana nayo and you have been laughing at us?
Hujielewi, nipotezee.[emoji44] but the nefarious acts of slaughtering innocent little angels help huh?
Oh my!what an incorrigible generation!
Imekuuma[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]Hahahahaha, ninyi jeshi lenu ni kundi la walevi "Kenya drunken Force". (KDF)
pekua tu utaona😎wamekula vichwa 11 tanzania au huko wapi sijui.?
Iko moja polisi wa Kenya kavua hadi gwanda ili asitambulike na magaidikuna video moja niliiona sema nimeipoteza. nikiioata nitarisha hapa. jinsi police kenya wanavyokimbia kwa uoga. nilicheka sana
Aaaaah aaaah aaah kuna wakenya wengi saana nao magumashi kwenye kizungu braza....Duuu sijui kiingereza watu wengine wamejifunzia wapi sijui!!! Article inasema wameuawa katika kijiji cha Quionga nchini Msumbiji, kilometa 13 kutoka mpakani na Tanzania. Halafu unaanza kuongelea jeshi letu shupavu. Jeshi letu TPDF haliwezi ingia nchi nyingine kupiga. lkn ikikubalika sisi hilo ni jambo jepesi sana. Wakitaka wakipate cha moto wavuke tu mto Ruvuma halafu waone.
The killings took place at Quionga, a farming and fishing village in the Coastal Palma prefecture of Mozambique along River Ruvuma and just 13 kilometers to Tanzania’s frontier, on Wednesday 26th June 2019. The militants burnt down houses and looted shops. Intelligence reports warn that there is a major cell across the Ruvuma River and that the attackers were planning to cross the channel and join them, an indicator the group wants to deploy cells beyond the Cabo Delgado prefecture. If the cells successfully join the Tanzanian based cells, the threat in the region will multiply.
Ndugu, kwa binadamu anaejua na kuthamini utu, kamwe hawezi kufurahia mauaji ya aina yoyote, sisi watanzania tunaojitambua hua tunaumia sana tunaposikia ndugu zetu wa kenya kwa mauaji yanayofanywa na magaidi, hao wanaocheka na kufurahia ni wavuta bangi na vichaa, na sio watanzania material,ISIS Terrorists in Mozambique Behead and Kill 11 Tanzanian Civilians
The Islamic States terrorists organization’s branch in Mozambique, (an offshoot of Islamic States in Central Africa, ISCAP), conducted a border attack targeting unarmed Tanzanian civilians at Quionga village beheading and killing 11, S.I intelligence...intelligencebriefs.com
Majirani hii vita mtaezana nayo and you have been laughing at us?
Uliza, huo unyama wamefanyia ndani ya Tanzania?. Ndio sababu watanzania wanapoishi nje ya Tanzania wanakuwa hawana uhakika na maisha yao.
Dar iko na nini ndio iwe target? Terrorists target at important places to hit sio takataka za DarUsijipige kifua sana boss, if it occured that terrorists were to target dar, im not sure you will be very successful as you complain, kumbuka hao mazombie wamekuja kufa as well
Uliposema maombi hayasaidii, ulikuwa unajielewa kweli?Hujielewi, nipotezee.
Washamba ni nyinyi mnaovuta mkia kwa kila jamboWestgate polisi kenya walipigana hadi risasi...
Aaah aaah aah tena ni special force iyo iliyokuwa trained na waisrael...
Alafu mavi matupu... Wanaacha kuokoa raia.... Wenyewe wanagombania UKUU.
Kenya washamba saana
Kule YouTube huwa mnasema wakenya wauliwe waishe wote. Eti hawajulikani walikotoka coz wana sura mbaya.Ndugu, kwa binadamu anaejua na kuthamini utu, kamwe hawezi kufurahia mauaji ya aina yoyote, sisi watanzania tunaojitambua hua tunaumia sana tunaposikia ndugu zetu wa kenya kwa mauaji yanayofanywa na magaidi, hao wanaocheka na kufurahia ni wavuta bangi na vichaa, na sio watanzania material,
Nice oneNdugu, kwa binadamu anaejua na kuthamini utu, kamwe hawezi kufurahia mauaji ya aina yoyote, sisi watanzania tunaojitambua hua tunaumia sana tunaposikia ndugu zetu wa kenya kwa mauaji yanayofanywa na magaidi, hao wanaocheka na kufurahia ni wavuta bangi na vichaa, na sio watanzania material,
Usijipige kifua sana boss, if it occured that terrorists were to target dar, im not sure you will be very successful as you complain, kumbuka hao mazombie wamekuja kufa as well
Wakati mwingine tusidharau maneno ya Wamarekani tena walisema Masaki Jeshi letu likadai Masaki ya Dar es salaam. Kumbe masikini Wamarekani hawajui kama kuna Masaki mbili lie ya kusini mwa Tanzania. Jeshi lingekuwa sikivu tungeokoa maisha ya ndugu zetu