ISIS Terrorists Behead and Kill 11 Tanzanians.

ISIS Terrorists Behead and Kill 11 Tanzanians.

Those are your words you lazy witch. I have asked to prove it for me using a credible evidence.
Hahahaha, credible evidence?. The best credible evidence is peace and tranquility which we Enjoy. Haha haha.
 
Kitendo cha Tanzania kubaki kuwa na amani ya hali ya juu katikati ya msitu WA fujo na ukosefu wa usalama ni dalili tosha kwamba vyombo vyetu ni imara.

Kenya nchi moja tu ya Somalia kati ya nchi zinazowazunguka, ilipoingia katika machafuko, mumeshindwa kuidhibiti hiyo hali, matokeo yake mkajiingia kwa kushindwa kuwa na intelligence nzuri katika vyombo vyenu kujua kwamba kwa kwenda Somalia hali ya amani ingezidi kuchafuka hapo Kenya.

Mara nyingi sana kumejitokeza vitendo vya kigaidi hapa Tanzania, kuanzia katika mapango ya Ambani, Kibiti, Mwanza na kule Arusha, lakini POLISI na JWTZ haraka Sana wameweza kudhibiti hiyo hali kwa ufanisi mkubwa sana, kabla havijawa " out of control".

Mfano mzuri no jinsi walivyodhibiti ujambazi hapa nchini. Kuanzia miaka ya 1998, baadhi ya majambazi toka Kenya walijaribu kuja Tanzania kufanya ujambazi, nadhani kilichowakuta bado tunakumbuka, au watu waliokuwa wanajishughulisha kuwauwa albinos, kilichowakuta tunafahamu vizuri, siku hizi ni historia kuhusu mauaji ya albino.
Kismayu wasomali wanadunda kishenzi...
[/URL]
 

Majirani hii vita mtaezana nayo and you have been laughing at us?
Wakichofanywa kibiti wanajua ndo maana walikimbia na kwenda huko na wamegusa mama kulipiza kisasi na soon wataenda tandikiwa huko huko waliko kimbilia
 
kuna video moja niliiona sema nimeipoteza. nikiioata nitarisha hapa. jinsi police kenya wanavyokimbia kwa uoga. nilicheka sana
Iko moja polisi wa Kenya kavua hadi gwanda ili asitambulike na magaidi
 
Duuu sijui kiingereza watu wengine wamejifunzia wapi sijui!!! Article inasema wameuawa katika kijiji cha Quionga nchini Msumbiji, kilometa 13 kutoka mpakani na Tanzania. Halafu unaanza kuongelea jeshi letu shupavu. Jeshi letu TPDF haliwezi ingia nchi nyingine kupiga. lkn ikikubalika sisi hilo ni jambo jepesi sana. Wakitaka wakipate cha moto wavuke tu mto Ruvuma halafu waone.


The killings took place at Quionga, a farming and fishing village in the Coastal Palma prefecture of Mozambique along River Ruvuma and just 13 kilometers to Tanzania’s frontier, on Wednesday 26th June 2019. The militants burnt down houses and looted shops. Intelligence reports warn that there is a major cell across the Ruvuma River and that the attackers were planning to cross the channel and join them, an indicator the group wants to deploy cells beyond the Cabo Delgado prefecture. If the cells successfully join the Tanzanian based cells, the threat in the region will multiply.
Aaaaah aaaah aaah kuna wakenya wengi saana nao magumashi kwenye kizungu braza....



Sasa sijui wanafeli wapi majirani.

Aaah aaah wakenya ni wazembe saana dah
 
Westgate polisi kenya walipigana hadi risasi...

Aaah aaah aah tena ni special force iyo iliyokuwa trained na waisrael...

Alafu mavi matupu... Wanaacha kuokoa raia.... Wenyewe wanagombania UKUU.

Kenya washamba saana
 

Majirani hii vita mtaezana nayo and you have been laughing at us?
Ndugu, kwa binadamu anaejua na kuthamini utu, kamwe hawezi kufurahia mauaji ya aina yoyote, sisi watanzania tunaojitambua hua tunaumia sana tunaposikia ndugu zetu wa kenya kwa mauaji yanayofanywa na magaidi, hao wanaocheka na kufurahia ni wavuta bangi na vichaa, na sio watanzania material,
 
Uliza, huo unyama wamefanyia ndani ya Tanzania?. Ndio sababu watanzania wanapoishi nje ya Tanzania wanakuwa hawana uhakika na maisha yao.

Yaonekana hao materroristi walikuwa wafanye mashambulizi Dsm kama Ubalozi wa Marekani ulivyotoa dokezo ila kwa sababu ya kukosa wakati muafaka wakutekeleza na ulinzi uliopo Dsm wakatonya kundi lao lililopo jirani Mozambique baada ya kuvuka mto Ruvuma, wakawatafuta wa Tanzania nje. Normally ISSI and Al- Qaida have created terror cells in several countries after the defeat of ISIS in Iraq and Syria, the foreign recruits returned to their home countries and created “CELLS”! and are indoctrinating fellow country citizens at the same time planning terror attacks! To imprison them is a technical error as they will automatically and aggressively impart the ISSI, Al-Qaida doctrine to inmates, solution is for them to face the guillotine,! China, Indonesia, Saudi Arabia, Iraq, Syria are giving such criminals the right justice.
 
Usijipige kifua sana boss, if it occured that terrorists were to target dar, im not sure you will be very successful as you complain, kumbuka hao mazombie wamekuja kufa as well
Dar iko na nini ndio iwe target? Terrorists target at important places to hit sio takataka za Dar
 
Hujielewi, nipotezee.
Uliposema maombi hayasaidii, ulikuwa unajielewa kweli?
Westgate polisi kenya walipigana hadi risasi...

Aaah aaah aah tena ni special force iyo iliyokuwa trained na waisrael...

Alafu mavi matupu... Wanaacha kuokoa raia.... Wenyewe wanagombania UKUU.

Kenya washamba saana
Washamba ni nyinyi mnaovuta mkia kwa kila jambo
Ndugu, kwa binadamu anaejua na kuthamini utu, kamwe hawezi kufurahia mauaji ya aina yoyote, sisi watanzania tunaojitambua hua tunaumia sana tunaposikia ndugu zetu wa kenya kwa mauaji yanayofanywa na magaidi, hao wanaocheka na kufurahia ni wavuta bangi na vichaa, na sio watanzania material,
Kule YouTube huwa mnasema wakenya wauliwe waishe wote. Eti hawajulikani walikotoka coz wana sura mbaya.
 
Ndugu, kwa binadamu anaejua na kuthamini utu, kamwe hawezi kufurahia mauaji ya aina yoyote, sisi watanzania tunaojitambua hua tunaumia sana tunaposikia ndugu zetu wa kenya kwa mauaji yanayofanywa na magaidi, hao wanaocheka na kufurahia ni wavuta bangi na vichaa, na sio watanzania material,
Nice one
 
Kule YouTube huwa mnasema wakenya wauliwe waishe wote. Eti hawajulikani walikotoka coz wana sura mbaya.
[/QUOTE]
Usi conclude kuwa ni watanzania wote, hao ni wavuta bangi na vichaa, ambao hata europe pia utawakuta wapo
 
Kweli wewe duduwashwa
Wakati mwingine tusidharau maneno ya Wamarekani tena walisema Masaki Jeshi letu likadai Masaki ya Dar es salaam. Kumbe masikini Wamarekani hawajui kama kuna Masaki mbili lie ya kusini mwa Tanzania. Jeshi lingekuwa sikivu tungeokoa maisha ya ndugu zetu
 
Back
Top Bottom