gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Kitanuka.. mashariki ya Kati patanuka!!Syria ni swala la muda tu tutaongea lugha moja, anaemkingia kifua Assad nae mfupa wake umemshinda huko😀
Inatakiwa ajulikane nani mbabe wa mashariki ya katiKitanuka.. mashariki ya Kati patanuka!!
Assad aondoke, ndie anayefuga mashia hapo Syria.Wazayuni wameamua vita mashariki ya kati walitegemea kuwaonea wapalestina kila siku wakae kimya sasa watu kuanza kuwatetea wao hawataki sasa hizi zile nchi zote wanafiki watajulikana hapo middle east
Mbona Asad mwenyewe ni Sunni.Assad aondoke, ndie anayefuga mashia hapo Syria.
Assad hajali mambo ya sect/dhehebu. Iran walimsaidia wakati waasi walipotaka kumtoa, hii imewapa Iran mlango wa kujijenga huko Syria.Mbona Asad mwenyewe ni Sunni.
Iran na Syria mambo bye mudaAssad hajali mambo ya sect/dhehebu. Iran walimsaidia wakati waasi walipotaka kumtoa, hii imewapa Iran mlango wa kujijenga huko Syria.
Wee muda wote ni kuripoto habari za mapigano tuu?Kumekucha!
Uzi upi mwingine nilileta wa mapigano!?...wewe ripoti kilimo mkuu, hakuna tabuWee muda wote ni kuripoto habari za mapigano tuu?
ISIS watapelekewa moto mpaka make wake IsraelWale wamba wanaojinasibisha na uislam ilhali mate do yao siyo, wanajipanga kumuondoa madarani Assad
Jamaa hao ambao waumiapo huenda kutibiwa Israel, wameonekana kuwa na morali safari hii
Syria ni njia inayotumika kupeleka silaha gaza na lebanon.
Wakati huohuo netanyahu na msaidizi wake waliondoka muda mfupi tu baada ya kikao cha namna ya kumdunda Iran kuanza. Wanusaji wanadokeza kwamba huenda wanagenzi wa kizayuni hawakutaka matatizo zaidi na Iran
View attachment 3123484
Sio kweli, kila siku Israel anashambulia kambi ambazo ni affiliated na Iran hapo Syria.Iran na Syria mambo bye muda
Kwa sasa Russia ina kimeo kimemkalia kooni.Wali karibia damascus russia akatia mguu wakapoteana .kelele za chura
Nilimaanisha wanajuana kitambo, halafu mashambulizi ya israel ni kama fataki za wahindu,hayana maana, hizbullah anavyoshambulia ndani israel huko,kila siku roketi 250-300,hadi waziri wa mambo ya nje/ulinzi marekani kashauri diplomasiaSio kweli, kila siku Israel anashambulia kambi ambazo ni affiliated na Iran hapo Syria.
Kwani ISIS genge la nani?!Lawama atapewa Marekani.