Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Mtu yeyote anayejitambua na anayejali heshma na utu wake, Hawezi kuandika uharo kama huu.
Mkuu Ritz unajua wazee wetu walikuwa hawamshtukia Nyerere kama ni mtu wa hatari waarabu wana msemo unaosema
"IDHANJALAL KHUBARU SAYUHRAFU WA FARAS TAHTAK HIMAR" leo naenda nao kiarabu tu hawa wagalatia maana yake
"VUMBI LIKISHA ONDOKA NDIO UTAJUA HUYU NI FARASI AU PUNDA"
 
Nikisoma maneno yako mkuu gombesugu nabasamu mno. Hayo majibu ni mujarabu na yenye kujitosheleza kwa mnasaba wa mnakasha wetu. Akhsante.


Ayatollah Chamviga,

Salaam Al Akhiy.

Nasi pia twakusoma kwa utuvu hizi bayana zako mubashar!

Wallahi,nimecheka mpaka basi...maana hivi vitimbi vya humu havina mipaka! Kwi! Kwi! kwi!

Naona Mag3,ati atakafanza mpambano - "one on one" nawe!? Kwi! Kwi! Kwi!

Umefanza uzuri kwa yale majibu/maelekezo ya kistaarabu ulompatia.

Ahsanta.
 

Al habib maulana gombesugu !
Hawa majaaluta makalio yana mwiba!
Kuketi hawawezi! Wala kutembea hawawezi!
Teh teh teh teh teh! Wazunguka hapahapa kama wale mjusi kafiri.
Tunasubiri hoja! Yule Nguruvi3 analeta mashairi ya dhihaka!!
Kama wale waimba taarabu!
Sasa vipi al akhiy utafanya mnakasha na watu kama hawa!
Ijumaa njema kaka.
 
Kwi kwi kwi Boko haram hicho kiarabu chako kinaniwacha hoi sana. Nawasoma kwa utulivu dr kahtaani na Akhy Gombesugu.
 
Last edited by a moderator:



Mkuu Ngongo!

Kumbe ndo nyie mlokua mkichungulia na kumsumbua kwa kumtumia Pms bingwa wenu Nguruvi3,lakini si unaona kacheua ukubwani!?....chezea mipini ya Shariff Ritz weye! Kwi! Kwi! Kwi!

Afadhali sasa mmeamua kujitokeza vishingo hapa jamvini japo kwa nadra huku mkirejea mashimoni kama "sangara wachimvi"! Kwi! Kwi! Kwi!

Au "unapima upepo" tu Mkuu!?

Hapa bado vumbi ni kali kwenda mbele tu! Kwi Kwi! Kwi!....kama vipi muulize Mag3,si unaona kashindwa ku-deal na "pack of lions",sasa anaomba "one on one" na Ayatollah Chamviga!? Kwi Kwi! Kwi!

Kwa kifupi huku hakukufai kabisa Mkuu,wewe kwako ni kulekule kwenye ile thread ya "Mabilionea/majambazi wa Arusha"! Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 

Al.muallim Boko haram haya maneno yako ghaali sana!
Hawa wagalatia kwa kuzoea mambo ya mpako wanaweza kudhani unaongea kichina hapa!
Teh teh teh teh!
Ado ado kaka! Watasilimu tu tartiibu.
Tupe raha kaka.
 
Last edited by a moderator:



Ulamaa Boko Haram,

Salaam, Al Akhiy.

Napenda kuchukua fursa hii kukuletea salaam/taarifa rasmi kutoka Shur'aa Al Muhaj'run-Jf ya dharura ilokaa hapa jamvini leo hii.

Kikao kilipata barka za Al Habib Al Tayeb,Shariff Ritz,Maulana Dr Al Kahtaan chini ya usimamizi wa Ayatollah Chamviga kama ada yetu.

Nafikiri jitihada zako hapa jamvini zimethibitika na kumfurahisha Ayatollah Chamviga! Kwi! Kwi! Kwi!

Nakupa khabar yakuwa kuanzia sasa hivi umeteuliwa na Shuraa Al Muhaj'run-Jf uwe Ulamaa kamili!

Nakutakia furaha tele,na Insha Allah Mola takujaalia kwa michango na jitihada zako zoote hapa jamvini.

Ahsanta.

Cc;Ritz
 

historia ya Nyerere imeshaandikwa a imekamilika kwasababu hayupo mwaka wa 14.


Imeandikwa na nani?

Halafu kumbuka, hii mada haiongelei historia ya Nyerere, au kichwa cha habari kinakupa matatizo kuelewa?

Kumbuka pia, Nyerere alipokuja Dar alikuta watu tayari wapo kwenye harakati za kudai kujitawala siku nyingi sana, yeye aliungana nao tu, na historia inayoongelewa humu ni hao aliowakuta, wakampokea wakamlisha wakamvisha wakamlaza. Upo hapo ulipo?
 




Sheikh Mohammed Said,

Asalaam Alaykum, Al Habiby.

Shukran kwa yoote...Allahu' Barki!

Nijaalie fursa hii kiduchu kwa niaba ya wenzangu soote hapa jamvini nikuamkue na pia Barkat' Al Eid.

Sisi soote nyoyo zetu hufurahika mno tukusomapo,kwenye pembe zoote tulizomwaika ndani ya dunia hii.

Ama kwa hakika khabar zako ni ndefu mno,ni wengi wamefunguka macho na mioyo kwa maandishi na maelekezeyo.

Hata wale waliokua wakikufanzia tashtit na dhahma,wengi wao sasa taabani,maana kimbunga cha khabar zako kimefifilisha udhalimu mwingi mno ulokua tumelazimishwa kuukariri na kutututia umbumbu kwa miaka kadhaa.

Jamaa wengi huku khasa Wakristo wastaarabu,wanakusoma vitabu vyako na kukukubali mno.

Majuzi hapa pana jamaa wa hukohuko nyumbani,anaishi nje kitambo...lakini baada ya kumaliza kitabu chako "Nyerere na Kanisa Katoliki Tanzania" nafikiri. Basi Wallahi, kanitaka lazim tukutane na tulizungumza mangi mno tena kwa utuvu na ustaarabu ulo mwingi!

Huyu ndugu yetu,yeye ni Mkristo mtiifu na ni msomi wa hali ya juu...lakini ananambia yakuwa Gombesugu ndugu yangu;hata sisi Wakristo na wapenda amani wengine pale Tanzania tukiujua mno baadhi ya ukweli huu utolewao sasa na Sheikh Mohammed Said.

Lakini akaniuliza;tungefanyaje wakti ule wa yule Dictator Nyerere!?

Lakini alisikitika yakuwa wakti huo hapakua na option/alternative nyingine zaidi ya kufuatisha ile dhuluma na unafiki wa kihistoria kwa ile miaka yoote,na huku tukijua pana mengi yanafichwa kwa makusudi nanyi ndugu zetu Waislam mkisumbuliwa na kutaabika ndani ya Taifa lenu!?

Niwie radhi kwa mazungumzo marefu.

Ama kwa hakika nimefurahika mno kwa kukuamkua hii leo japo kiduchu.

Ahsanta.
 

Teh teh teh teh!
Yule kikaragosi Mag3 anaomba round na hayatollah CHAMVIGA kwa sababu kamuona ni mwenye huruma na wagalatia!!
Wajua al akhiy gombesugu ukiwa na punda aliezoea mikwaju! Basi hata kwenda kumlisha CHAKULA BASI LZM UMPIGE MIKWAJU vilevile! Otherwise anaweza kufa na njaa!

Sasa hawa tunachapa bakora si kwa nia mbaya! La hasha! Sisi shida yetu wasije kufa hali ya kuwa vichwani mwao kumejaa mataka!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
mzee mmoja wa tabora alidai nyerere ndiye aliyewaambia kuwa nchi yao, wao walidhani ni chi ya wazungu. nipe details kupruvu hoja yako dhaifu kama hiyo
 
mzee mmoja wa tabora alidai nyerere ndiye aliyewaambia kuwa nchi yao, wao walidhani ni chi ya wazungu. nipe details kupruvu hoja yako dhaifu kama hiyo

Wakati mwingi nimesha kuonya kuwa!
Unapoingia ktk uzi za wenye kufikiri basi kuwa makini na unacho uliza la si hivyo utazidi kuonyesha udahifu wa elimu yako!!
Ukhti FaizaFoxy anakwambia nyerere alishazikuta pirika za kupigania uhuru zimeshaanza! Halafu unaleta habari za mzee wa tabora! Aliyekunywa tembo lake akakuhadithia mambo. Ukatuletea hapa!!

Na unamwambia akupe ushahidi wa hayo??

Yaani wewe mpaka leo hujatambua kuwa Nyerere alikaribishwa TANU na akapewa KADI YA UANACHAMA NA WAZEE WAASISI waliokuwa wanamuona huyu nyerere kama vile wewe unavyo mtazama mwanao anaesoma shule ya msingi!
Au we kwa elimu uliyonayo ulidhani nyerere ndio muanzilishi wa TAA na TANU.
teh teh teh teh! Kutokuwa na elimu ni balaa kubwa mno!

NA MIMI KUNA MZEE MMOJA TANGA ALIDAI KUWA YEYE NI YESU!
SASA UNA NAMBA YA KADINALI PENGO NIMPE DILI!
We akikuuliza mwambie huenda ikawa kweli! Manake huyo ni MZEE!

teh teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
tuanze kujiuliza kwanini wanataka kutambuliwa kama waislamu
 
Ulitaka watambuliwe kama Wakristo?
kama watanzania. na mafaili ya dini wayaache misikitini. hayatuusu watanzania, yanahusu wenye dini husika. tunaheshimu mchango wao kama watanzania.
 
tuanze kujiuliza kwanini wanataka kutambuliwa kama waislamu

Nadhani hili swali limeulizwa mwanzo kabisa wa uzi huu! Lkn naona kwako lilipita wima!
Hapa KWENYE THREAD HII tunaohitaji kuwatambua ktk juhudi zao za kupigania uhuru Hususan ni WAISLAMU TU!

We kama unataka kuwatambua WAGALATIA walifanya jitihada za kupigania uhuru WALA HUNA HAJA YA KUANZISHA THREAD YYT!

SOMA TU VITABU VYA HISTORIA HAPO TZ!
WAMEJAA WAGALATIA TUPU!!
MASHUJAA WA KIISLAMU WAMETIWA KAPUNI WOOTE NA MFUMO KRISTO, CHINI YA UONGOZI WA BABAUPAKO JULIUS mwana wa NYERERE!

Laanatullahi alyihi!

Cc Boko haram Tayeb.
 
Last edited by a moderator:
mzee mmoja wa tabora alidai nyerere ndiye aliyewaambia kuwa nchi yao, wao walidhani ni chi ya wazungu. nipe details kupruvu hoja yako dhaifu kama hiyo

Ndiyo maana mnaandikiwa historia za kitaalaam kwani rahisi nyinyi kujazwa ujinga. Haya fata hizi reference upate details uzitakazo:

 
Dr. kahtaan.

Huyo nguchiro niachie mie.

Shariff Ritz hata mimi rungu langu siku nyingi halijaua nguchiro!
Basi kwa sababu sisi ndugu! Tusigombane! We huyu nguchiro akitokea pamoja na wale nguruwe pori wengine! We vunja miguu! Mi napasua kichwa!
Ok shekhe wangu!

Hapo itakuwa fare!

Lkn kukuachia wote peke yako! Duhhhh! Roho itaniuma sana!
 
Last edited by a moderator:
kama watanzania. na mafaili ya dini wayaache misikitini. hayatuusu watanzania, yanahusu wenye dini husika. tunaheshimu mchango wao kama watanzania.

Teh teh teh teh!
Yaani we mgalatia roho inakuuuma ukiskia uislamu unatajwa sio??

Wallahi nyie viumbe ajeeeb!

Wale wagalatia waliojaa kwenye historia feki mbona hamkusema tuwaache makanisani!?
Balaa nyie!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…