Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Nguruvi3.

Post yako uliotundikia sisi ukaweka CC;
 
Last edited by a moderator:
We Nguruvi3 bahati mbaya niko brbrn natumia tablet tu! Lkn kuna post nyingi tu umetoa kashfa wewe na yule swahiba yako Mag3 akitukana , wewe ukimpa support!
Sasa ukitaka majadiliano ya kistaarabu sisi tuko tayari! La we hodari ya kuwatungia mashairi wenzako ukawata MAKANJANJA! na sisi tumekulia kwenye mazingira kama ya kwako! Tunaweza na sisi kuuweka ustaarabu pembeni kidogo!
Sasa kabla hatujatoka kwenye mada!
Ulisema umeandaa vitu VIZITO SAANA!
AMBAVYO VITASABABISHA TUKIMBIE!
Leo jamaa yangi siku ya pili! Vipi!?
GOOGLE IMEKATAA??
au mgao wa umeme umeleta kero!?

Hayo ndio matatizo ya kukaa maeneo ya waislamu wengi! Mgao haupungui!
Ukihamia kwa wagalatia! Aaaaaah ! Mgao unauona kwenye tv tu!

Nakusubiri kabla sijaingia kazini!
Nipate kukimbia kabisa!!
 
Last edited by a moderator:
@gombesugu, ahlan wahsalan muungwana.
Pole kwa hamaki na kauli za staftashi, tafadhali pata funda la maji kitako utulize jaka moyo.

Ninaposoma majibu ya kejeli na matusi hujiridhisha hoja zangu zimeeleweka kwa nguvu zake.
Zinajibiwa kwa kejeli kwasababu ndilo jibu lililopo la karibu.

Nimesema ajitokeze mtu anithibitishie kuwa waliopigania uhuru wakiwa na majina ya kiislam wote walikuwa waislam! Hakuna aliyetokea kwasababu mnafahamu wazi kuwa kuitwa Hussein hakumfanyi mtu awe mwislam.

Hoja yangu ipo wazi kabisa. Hakuna sababu ya msingi na ya maana kwa waislam kudai mashujaa wa Uhuru watambuliwe wakati ambapo Waislam hao hao wameshindwa kuwatambua.

Nikaweka hoja za kwanini chuo cha Alharamaini kisiitwe Abdul Sykes, Cha Dodoma kisiitwe K.Kleist n.k. ili kuanza kuwaenzi kwanza kabla ya kwenda kwenye medani ya kitaifa. Charity begins at home.

Ukiita shule kwa jina la Al Farook ambalo ni jina la Kiarabu tu na pengine maana yake ni ndogo sana ukaacha kuita Mshume Kiyate highschool unajidhulumu kabla hujadhulumiwa.

Please try to think beyond your nose!If you cannot dignify your own heroes ironically you hold someone accountable for the same, that's insane to be honest with you.

Nimewauliza, Nyerere amekufa miaka 14 leo hii.
Barbara ya Bagamoyo imepewa jina la Kibaki na kuua. Aliyefanya hivyo ni madiwani wa Dar, Mkuu wa mkoa wa Dar pamoja na Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwasababu tu huwa hamna hoja ya maana mumeshindwa kuwa hold accountable wahusika mnatafuta jina la Nyerere kabuirini. Jk, Said Meshaki na madiwani wapo! kwanini mumtafute Nyerere kaburini. Waulizeni hao

Ndivyo ilivyo kwa Oceam Road, hatukusikia Mohamed Said au wengine wenye vichwa kama chake wakisema lolote. Tunamsikia akisemea Nairobi. He did not say anything to JK kwasababu. Leo tunasikia mfumo Kristo ukilaumiwa na Nyerere akiwa kaburini 14 yrs.

Mfumokristo ni dhana inayotengenezwa na Waislam wenyewe. Nitawaambia ukweli hata kama una umma.,
Leo watu wanasugu vichwa barbara zipewe majina!
Wenye akili wanasugua vichwa wafanye nini kuongeza shule, vyuo n.k.

Baada ya miaka 5 it's vicious circle kwasababu kuna mambo yanahitaji weledi. Huwezi kuwa Engineer au Daktari kwa kuteuliwa. Tutasikia wakilalamika JF mfumo kristo. Wamesahau kuwa hawakuwa na muda wa kupambana na mfumo, walitumia muda huo kujadili majina ya marehemu na kama yapewe mitaa! insane!

Kelele za kutambuliwa mashujaa zimesikika na medali zimetolewa. Sijui hilo limesaidiaje jamii ya watu wa Mkuranga wenye shule na mwalimu mkuu msaidizi ni Kiranja. ( Ogah lete habari ile ya Mkuranga)

Watu wanafikiria namna ya kufanya vyuo vyao vitambuliwe duniani, wenzetu mupo bize kutafuta majina na kumshambulia Nyerere. Hakuna anayejiuliza kwanini Morogoro University haipo katika vyuo bora 200 Africa.

Hitimisho ni kuwa
1. Kwanza, historia ya mwanadamu inaandikwa na mwanadamu kwa wakati na matukio.
Nyerere historia yake imeshaandikwa duniani. Hakuna anayeweza kuifuta au kuilingnisha na ya mtu mwingine. Ni ya Nyerere! period.Jitihada za kumpaka matope hazifanyi wengine wang'are.
Abdul Sykes atabaki kuwa raia na ukweli kuwa hakuwahi kuwa Rais wa Tanganyika utabaki pale pale hata kama unauma kama nyuki. Ni maumivu ya kuvumiliana

2. Anzeni kuenzi mashujaa kabla hamjaenda katika jukwaa la kitaifa.
Kama unadhani Jabal hilal ni bora kuliko Idd Faiz Mwafongo that should be your problem.
Hili la majina ni tatizo la utumwa wa kiakili.Waambieni madiwani wabadili majina, Tandamti iitwe Farijala, Twigwa uitwe Tatu Said n.k. Halafu mkae kitako mjiulize baada ya majina kubadilika, maisha ya jamii yamebadilika?

3. Stop the vicious circle of ignorance. Miaka 30 MS analalamika nanyi pia mnachukua kijiti kulalamika miaka 30 mingine. Inaudhi wasomi wanajadili trivial things kama majina ya mitaa na kuacha tatizo la elimu na umasikini katika jamii ile ile inayotaka majina! white elephant!

Kaeni chini mjiulize, kwanini kuna massive failure katika shule za Dar na kuna success Kirinjiko Secondari under the same environment! Kwanini chuo cha Morogoro hadi sasa hakijaweza kuchomoza katika anga za kimataifa hapa East Africa au Africa. Kuna tatizo gani na lisahishiswe vipi.

Mnaposhinda katika internet mki entertain frustration za Mohamed Said kutokuwa meneja wa bandari, si tu hamuitendei haki jamii bali mnazidi kuidhalilisha.

Huwezi kujadili nyuzi nzima kuhusu stupid and trivial thing halafu uka depict positive image ya society. Frustration za MS si tatizo la kitaifa ni tatizo lake, you guys you're easily drawn in.
Mnashindwa kujibu hoja kwasababu you've been drawn in like chicken.
Wake up!

cc Al akhy Tayeb, ukhti Faiza Fox, maulana Ritz, Al Habib kahaatan
Mag3 JokaKuu Wickama AshaDii Mtu Mzima

Nguruvi3.

Matumizi ya lugha yameanza kubadikika baada ya hii post yako.
 
Last edited by a moderator:

Unaweza kuandika historia ya kabila fulani, huwezi kuandika historia ya Tanganyika kwa kundi fulani.
Kufanya hivyo ni kupotosha ukweli.

Huwa unaandika pumba nyingi ili kuficha mchele ulio enguliwa.

Inawezekana wewe ni mtu ambae ili mradi ubishe kwa kuwa inakuuma kuona "kundi fulani" lina historia. Hilo "kundi fulani" kwanini kinakushinda kusema ni Waislaam? usiogope.

Tazama hizi historia za Mataifa makubwa, hawaogopi kuziandika na kuzisoma historia za "kundi fulani", kulikoni leo kwako iwe mwao kwa Tanganyika aka Tanzania tu?

1) Islam in America

2) BBC - Religions - Islam: History of Islam in the UK

3) Muslims in China - History of Islam in China

5) History of Islam in Russia | IslamDag.info

6) France and Islam from 732 AD to the 21 Century

7) History of Islam in Kenya

8) Islam in Ghana | Islam Story - Supervised by Dr. Ragheb Elsergany

9) How Islam Spread in India | Lost Islamic History

10) http://www.islamtanzania.org/nyaraka/islam_and_politics_in_tz.html


Huna pakukwepa Historia ya Uislaam kokote uendapo, nakuona wa ajabu sana ikiwa roho inakuuma inapoandikwa historia ya Uislaam na Waislaam wa Tanganyika /Tanzania.

Sijui kwanini roho ikuume kiasi hicho. Au unaumia zaidi unaposoma kuwa Nyerere alikuta watu tayari wako kwenye harakati na hata jina la TANU hakutunga yeye na lilikuwepo kabla ya ujio wake Dar?
 
Hii ndiyo post yangu ya kwanza kama sijakosea Bukyanagandi, nikushukuru kwa kujenga hoja bila matusi.
Ni bahati mbaya nyuzi zinazomhusu Mohamed Said zimekuwa dimbwi la matusi kama ya karibuni na kupoteza maana iliyokusudiwa. Nimeweka hoja zako kwa makundi naomba uvumilivu kwa nyuzi ndefu.
Mambo mazito tuyazungumze kwa uzito, mabingwa wa matusi tuwatake radhi,eneo hilo hatuna ujuzi nalo.

Nyuzi za MS hazitafsiriwi vibaya au kupotoshwa(Kifungu A) bali zenyewe zina hisia (sensational) kama ulivyoeleza katika kifungu (D). Mwanahistoria hatakiwi achanganye matatizo yake na historia, hilo ni kosa la kwanza nashukuru umeliona na ncdicho chanzo cha `
grossly misinterpreted whether by accident au deliberately`Kama ulivyobainisha.

Kifungu (B), unapodai MS anaandika historia ya madhehebu yake(imani nadhani) tayari inakuwa si historia.Historia ni mtiririko wa matukio kwa nyakati kama yalivyotokea na si kama yanavyoumbwa.

Unaweza kuandika historia ya kabila fulani, huwezi kuandika historia ya Tanganyika kwa kundi fulani.
Kufanya hivyo ni kupotosha ukweli.

Kusema K.Sykes na AA ukamwacha Cecil Matola, au Ramadhani Ali kama utakavyomuacha Kyaruzi na TAA ni upotoshaji wa historia si kuandika ukweli.

Watu wengi sana hapa jamvini wengine wakiwa wameyaona kwa macho kama akina Mag3 wanasema historia ilikuwa na mapungufu tena kwa kuonyesha wazi. Wanachokataa ni masahihisho ya historia kwa upotofu zaidi.

Nani asiyekubali kuwa Nyerere kaja Dar tena mtu mzima! bila mshirika au ndugu.
Nani kakataa kuwa wazee hawakuwepo Dar. Kinachokataliwa ni madai ya MS kuwa Nyerere alianza siasa mwaka 1952 kwa mara ya kwanza alipokuja Dar. Kuna tatizo gani tukisema MS amepotosha.

Kifungu G: Taifa lisiendekeze mambo ya udini katika mambo obvious! Nashangaa kwanini useme hivyo wakati umeshasema waislam ndio walipigania uhuru(C) na kuwa ni victim(E) na kuhoji tatizo ni nini MS akiandika historia ya madhehebu yake. Anayefanya mambo haya yachukue sura ya udini ni MS na kwa malengo mahususi

Ndugu yangu, historia ya MS haina ukweli kama unavyotaka kutuamisha.
Kungekuwa na ukweli ambao unataka vizazi vijavyo vielewe, MS asingeficha Usaliti wa familia ya Sykes kwenda kupigana na wazalendo. Ni mkosi kama ulivyosema (G).
Hivi ikiandikwa historia kuna sababu gani za kuomba radhi familia ya Sykes iliyokuwa mamluki wa kwenda kumpiga Mkwawa. Tuombe radhi wasaliti na wahaini! Tafadhalini.

Baada ya kumaliza kuandika historia ya waislam waliopigania Uhuru, MS ameandika kuhusu kuonewa kama raia wa daraja la pili, akaenda mbali na kutoa takwimu za viroja kuhusu mitihani.

Anachokifanya ni kujenga hoja kwa kutumia historia, hoja ambazo hawezi kuzitetea kwa mantiki bila chembe ya udini. Nitakupa mfano.

MS ameandika paper kuhusu `Taifa lisilo na mashujaa` ya hivi karibuni.
Ukisoma anamshambulia Nyerere na kuacha ukweli ulioko chumbani mwake.
Analalamika mashujaa hawatambuliwi hata kwa mitaa na majina.

Asichokijua MS ni baraza la madiwani lililokaa kufuta jina la bibi Titi Mohamed au kumpa Y.Makamba mtaa lililongozwa na wazee wa Dar waislam. Hawaulizi wenzake anatafuta mahali pa kutokea na lawama.

MS anasahau au hajui aliyetoa jina la Mwai Kibaki na kufuta Bagamoyo Road miaka miwili iliyopita si Nyerere aliyekaburini miaka 14 leo, ni JK aliye Ikulu.

MS anajitia ujuha wa kutojua kuwa Ocean Road imeitwa Barak Obama na JK na baraza la madiwani wa Jiji tena wa Ilala na diwani wa Karikoo akiwemo.

Katika mifano hiyo hatujamsikia MS akilalamika sasa inakuwaje akalalimikie Nairobi tena kwa kulaumu Marehemu. Haya ndiyo mnaita Ukweli! Wapi Unafiki unaweza unawekwa kwenye mizani na Ukweli.

Lakini pia MS hana sababu za kulalamika kuhusu majina ya mashujaa wake.
Kwa mtu mwenye akili kama hamthamini baba yake au mama yake anategemea jirani awathamini huyoo ni mjinga.

Kwanini MS adhani kuwa kuna umuhimu wa kutoa jina la barabara ya Abdul.Sykes wakati kuna maeneo kama Shule yana majina yasiyomaanisha lolote au chochote kijamii au kidini bali utumwa wa akili tu!
Natoa mifano.

MS alipaswa kubadili :
Al Haramaini kuwa Abdul Sykes college of education.
Masjid Quba kuwa Mshume Kiate secondary School
Thaqafa iwe Mwapachu secondary School
Jabal Hilal iwe Mwafongo secondary School
Morogoro University iwe K.Kleist Univesity
Ubungo Islami iwe Jamiaya fil Islam Tanganyika
Al Farook iitwe EAMWS secondary kama kumbu kumbu
n.k.

Baada ya hapo MS arudi Ilala na kuwashawishi madiwani ambao wengi ni wa imani yake wabadili majina ya mitaa. Mtaa wa Twiga uitwe Tatu Said Avenue, Mtaa wa Muheza uitwe Binti Farijala Boulevard, Lumumba iitwe Yusuf Cahember street n.k.

Endapo watu wa Buguruni wametambua umuhimi wa kumwita mzee wao Madenge nini kinamshinda MS kuhamasisha watu wa Karikoo wafute majina ya Makamba na kuweka ya wazee wake.

MS anaweza, hataki kwasababu lengo lake si kutoa majina. Lengo ni kuamsha hisia za uonevu na kupata platform ya kuungwa mkono hata kaienda wasikojua Sykes ni nani alitoka wapi na alifanya usaliti gani kwa taifa hili.

Wanajamvi, Abdul Syke na Baba yake wote kwa maandishi yao yaliyonukuliwa na MS wamesema lengo la uhuru lilikuwa kumkomboa Mwafrika(Shahidi ni MS kwa maandishi yake).

Hakuna mahali ambapo MS amennukuu mpigania uhuru yoyote wa imani yoyote akisema kuwa lengo la uhuru lilikuwa la kidini! hakuna! Hili la kuandika historia ya dini ni la MS kwa sababu zake za kuchochea hisia, halikuwa agenda ya wapigania Uhuru.

Kwa msioujua, MS ameandika historia ya Tanganyika baada ya kufuzu mafunzo ya Profesa wa Hisabati kutoka Pakistan ambaye sina shaka anaielewa Tanganyika vema kuliko MS. Leo tunashawishiwa kwa bidii kabisa tumsikilize mwanafunzi wa prof wa Pakistan atueleze ukweli kuhusu Cecil Matola, Caurembo na Mwafongo!

Na mwisho, naomba yoyote awaye ananifahmishe kwa uhakika kuwa wote waliokuwa na majina ya kiislam walikuwa Waislam.

Kama swali hili halitakuwa na jibu basi kuna tatizo, watu wakae kimya maana wanacheza ngoma wasioijua!

mkuu umeeleza kwa kina na nikikusoma zaidi ninachokiona ni uzalendo mkubwa uliondani yako.
wasipoelewa na hapa;

cc Mohamed Said Mag3 THE BIG SHOW Gwalihenzi Nyakageni Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3 post yako ya kwanza umekuja na lugha za kejeli ingawa wewe unaziita ukweli.
Umesema watu hawana akili wanashinda kwenye internet kulalamika.Umeongea mengi sana mpaka watu wameamua kukujibu humu JF wote ni watu wazima hakuna mtoto wala mtu yeyote anayemshikia mwenzake akili wewe unatuambia sisi tupo hapa kumtetea Mohamed Said. ambaye kachanganyikiwa baada ya kukosa umeneja wa bandari, unadhani watu watakujibu vipi.
Kwanza nikukumbushe kuwa haikuwa post yangu ya kwanza. Rekodi zipo wazi kabisa na nadhani umeamua kuweka hilo neno ya kwanza ili kuonyesha kuwa nilikuja na shari kinyume na ukweli.
Post ni hii hapa
@gombesugu, ahlan wahsalan muungwana.
Pole kwa hamaki na kauli za staftashi, tafadhali pata funda la maji kitako utulize jaka moyo.

Ninaposoma majibu ya kejeli na matusi hujiridhisha hoja zangu zimeeleweka kwa nguvu zake.
Zinajibiwa kwa kejeli kwasababu ndilo jibu lililopo la karibu.

Nimesema ajitokeze mtu anithibitishie kuwa waliopigania uhuru wakiwa na majina ya kiislam wote walikuwa waislam! Hakuna aliyetokea kwasababu mnafahamu wazi kuwa kuitwa Hussein hakumfanyi mtu awe mwislam.

Hoja yangu ipo wazi kabisa. Hakuna sababu ya msingi na ya maana kwa waislam kudai mashujaa wa Uhuru watambuliwe wakati ambapo Waislam hao hao wameshindwa kuwatambua.

Nikaweka hoja za kwanini chuo cha Alharamaini kisiitwe Abdul Sykes, Cha Dodoma kisiitwe K.Kleist n.k. ili kuanza kuwaenzi kwanza kabla ya kwenda kwenye medani ya kitaifa. Charity begins at home.

Ukiita shule kwa jina la Al Farook ambalo ni jina la Kiarabu tu na pengine maana yake ni ndogo sana ukaacha kuita Mshume Kiyate highschool unajidhulumu kabla hujadhulumiwa.

Please try to think beyond your nose!If you cannot dignify your own heroes ironically you hold someone accountable for the same, that's insane to be honest with you.

Nimewauliza, Nyerere amekufa miaka 14 leo hii.
Barbara ya Bagamoyo imepewa jina la Kibaki na kuua. Aliyefanya hivyo ni madiwani wa Dar, Mkuu wa mkoa wa Dar pamoja na Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwasababu tu huwa hamna hoja ya maana mumeshindwa kuwa hold accountable wahusika mnatafuta jina la Nyerere kabuirini. Jk, Said Meshaki na madiwani wapo! kwanini mumtafute Nyerere kaburini. Waulizeni hao

Ndivyo ilivyo kwa Oceam Road, hatukusikia Mohamed Said au wengine wenye vichwa kama chake wakisema lolote. Tunamsikia akisemea Nairobi. He did not say anything to JK kwasababu. Leo tunasikia mfumo Kristo ukilaumiwa na Nyerere akiwa kaburini 14 yrs.

Mfumokristo ni dhana inayotengenezwa na Waislam wenyewe. Nitawaambia ukweli hata kama una umma.,
Leo watu wanasugu vichwa barbara zipewe majina!
Wenye akili wanasugua vichwa wafanye nini kuongeza shule, vyuo n.k.

Baada ya miaka 5 it's vicious circle kwasababu kuna mambo yanahitaji weledi. Huwezi kuwa Engineer au Daktari kwa kuteuliwa. Tutasikia wakilalamika JF mfumo kristo. Wamesahau kuwa hawakuwa na muda wa kupambana na mfumo, walitumia muda huo kujadili majina ya marehemu na kama yapewe mitaa! insane!

Kelele za kutambuliwa mashujaa zimesikika na medali zimetolewa. Sijui hilo limesaidiaje jamii ya watu wa Mkuranga wenye shule na mwalimu mkuu msaidizi ni Kiranja. ( Ogah lete habari ile ya Mkuranga)

Watu wanafikiria namna ya kufanya vyuo vyao vitambuliwe duniani, wenzetu mupo bize kutafuta majina na kumshambulia Nyerere. Hakuna anayejiuliza kwanini Morogoro University haipo katika vyuo bora 200 Africa.

Hitimisho ni kuwa
1. Kwanza, historia ya mwanadamu inaandikwa na mwanadamu kwa wakati na matukio.
Nyerere historia yake imeshaandikwa duniani. Hakuna anayeweza kuifuta au kuilingnisha na ya mtu mwingine. Ni ya Nyerere! period.Jitihada za kumpaka matope hazifanyi wengine wang'are.
Abdul Sykes atabaki kuwa raia na ukweli kuwa hakuwahi kuwa Rais wa Tanganyika utabaki pale pale hata kama unauma kama nyuki. Ni maumivu ya kuvumiliana

2. Anzeni kuenzi mashujaa kabla hamjaenda katika jukwaa la kitaifa.
Kama unadhani Jabal hilal ni bora kuliko Idd Faiz Mwafongo that should be your problem.
Hili la majina ni tatizo la utumwa wa kiakili.Waambieni madiwani wabadili majina, Tandamti iitwe Farijala, Twigwa uitwe Tatu Said n.k. Halafu mkae kitako mjiulize baada ya majina kubadilika, maisha ya jamii yamebadilika?

3. Stop the vicious circle of ignorance. Miaka 30 MS analalamika nanyi pia mnachukua kijiti kulalamika miaka 30 mingine. Inaudhi wasomi wanajadili trivial things kama majina ya mitaa na kuacha tatizo la elimu na umasikini katika jamii ile ile inayotaka majina! white elephant!

Kaeni chini mjiulize, kwanini kuna massive failure katika shule za Dar na kuna success Kirinjiko Secondari under the same environment! Kwanini chuo cha Morogoro hadi sasa hakijaweza kuchomoza katika anga za kimataifa hapa East Africa au Africa. Kuna tatizo gani na lisahishiswe vipi.

Mnaposhinda katika internet mki entertain frustration za Mohamed Said kutokuwa meneja wa bandari, si tu hamuitendei haki jamii bali mnazidi kuidhalilisha.

Huwezi kujadili nyuzi nzima kuhusu stupid and trivial thing halafu uka depict positive image ya society. Frustration za MS si tatizo la kitaifa ni tatizo lake, you guys you're easily drawn in.
Mnashindwa kujibu hoja kwasababu you've been drawn in like chicken.
Wake up!
Hakuna mahali niliposema hamna akili kama ulivyodai.
Hakuna mahali niliposema mohamed kachanganyikiwa, kuna mahali nimesema ana frustration. Frustration haina maana ya kuchanganyikiwa unless tuna definition tofauti.

Lakini hili la frustration nina ushahidi kutoka nyuzi zake za nyuma ambapo amesema '' babu yake aliongoza miigomo ya reli na bandarini''. Akasema kuna watu hawakuwa na uwezo wakiwa UDSM lakini wanaendesha magari na nyadhifa kubwa kwasababu ya mfumo.

Mohamed aliendelea kusema kazi ya kupigania uhuru na historia yake ipo katika familia na si kama sisi tunaosimuliwa.
Ukiyasoma maneno hayo hakuna shaka MS ana frustration juu ya historia ya familia na nafasi yake katika taifa kwa sasa.

Nilimjibu kwa kumwambia kuwa hiyo ilikuwa personal frustration na hivyo asiifanye kama tatizo la kitaifa kama nilivyoandika tena hapo juu.

Hakuna shaka kuwa ninyi mnamtetea MS nashangaa mnakana ukweli huo. Kumtetea si dhambi lakini iwe kwa hoja na si kumdhalilisha kwa matusi kwasababu hata yeye anajisikia fedheha maandishi yake yakipambwa na lugha zenu ambazo nashindwa kuelewa ni kwa vipi mnazinasibisha na dini kwasababu hakika inatia dhalili.
Wapo wanaojiuliza hivi hawa ndio walivyo? Kama wasomi ni hivi vipi huko mitaani?

@Khataan, kuhusu mada ya kumwaga Mtama hakika mtama upo. Ninaweza kuweka hapa ili njiwa wa Ritz waushambulie. Busara zimeniongoza kuwa pamoja na kuwa na haki ni vema nisifanye hivyo. I chose not to write.
Nasisitiza mtama upo busara zinaniongoza sana nisifanye hivyo.

Na mwisho, mimi siwakatazi na wala sikuwa na nia ya kuwazuia kuendelea kuporomosha matusi.
Mumenitukana sana na nimekaa kimya kila mara nikiwanasihi kuwa hivyo sivyo.

Kilichonisukuma kuandika kuhusu lugha zenu ni baada ya kuona lugha hizo zinafungamanishwa na imani yenu, eti hata neno inshallah la kiarabu limekuwa sehemu ya imani.

Ndio maana nimeuliza je imani inawatuma mu behave katika hali dhalili na hovyo kama hiyo? Narudia katika hali dhalili na hovyo hivyo? Hebu rudini msome nyuzi zenu halafu mjiulize zimejaa dhalili kiasi gani kwenu na kwa jamii inayowahusu

Nikauliza,je mnaitendea haki jamii ya Watanzania, jamii zenu katika makundi ya kabila, koo na imani?
Je, kila mmoja anayesoma matusi yenu yakiwa katika mgongo wa imani anafurahia hilo?
Je, ndio mafunzo yaliyoelekezwa hayo? Na kwa lugha hiyo nani atasoma kile mlichokusudia au kuvutika na hoja zenu?
 
Last edited by a moderator:
@Khataan, kuhusu mada ya kumwaga Mtama hakika mtama upo. Ninaweza kuweka hapa ili njiwa wa Ritz waushambulie. Busara zimeniongoza kuwa pamoja na kuwa na haki ni vema nisifanye hivyo. I chose not to write.
Nasisitiza mtama upo busara zinaniongoza sana nisifanye hivyo.

Na mwisho, mimi siwakatazi na wala sikuwa na nia ya kuwazuia kuendelea kuporomosha matusi.
Mumenitukana sana na nimekaa kimya kila mara nikiwanasihi kuwa hivyo sivyo.

Kilichonisukuma kuandika kuhusu lugha zenu ni baada ya kuona lugha hizo zinafungamanishwa na imani yenu, eti hata neno inshallah la kiarabu limekuwa sehemu ya imani.

Ndio maana nimeuliza je imani inawatuma mu behave katika hali dhalili na hovyo kama hiyo? Narudia katika hali dhalili na hovyo hivyo? ?

Wewe utayaita matusi lkn nidhamu ya kuongea HUNA!.
Mimi sikujui wala wewe hunijui lkn sisi wote tunamfahamu Mohamed Said
Na kama wewe ni msema kweli kuwa sisi tumekutukana basi onyesha hayo matusi!

Ktk malumbano ukitoa kejeli unapewa kejeli! Na istoshe wewe unatetea BATILI bila ushahidi! Na kwa muungwana HILO NI TUSI KUBWA MNO!

Unatetea mtu aliyechoma nyumba ya babu yangu kwa kumlazimisha aende kuishi vijiji vya ujamaa PORINI?!
Halafu wewe unamtetea tena bila vigezo??

We unafahamu kuwa europe ukimtetea Hitler ni kosa la jinai??

Ok tuseme huyo baba yenu wa taifa hakufikia cheo cha kuitwa muuwaji wa halaiki!

Lkn je! Kauwa wasio na hatia au uongo??

Baba ya mwalimu wangu kafia kizuizini kwa sababu alikuwa against na CCM!

Watu chungu mzima wamefia majela bila kupitia mahakama kwa kufuata amri ya huyo nyerere!

We kumtetea na kumuita muungwana SIO MATUSI HAYO!??

Tell me! Mtu akutukane tusi la NGUONI KABISA! AU AMSIFU NA KUMTETEA ALIYE KUULIA BABA YAO! LIPI BORA HAPO??

Wacha bwana kuangalia upande mmoja!
Dhulma uifanyayo wewe ni kubwa mno!

Sasa mwaga mtama! Longalonga nyiingi inaumiza kichwa!
Kama kuna tusi llt kubwa hapa! Wahusika wanaona! Na watachukua hatua zinazo stahiki!

Mwaga mtama!
 
Last edited by a moderator:
Ahhh kama mtama wenyewe wa kuvizia namna hii mi naingia ofisini sasa!

Nakuomba tu Gurumvi3 utakapo mwaga huo mtama!

Mwaga kwa wingi ili hata kama njiwa wa shariff Ritz watakula! Na kuku wa hayaatollah CHAMVIGA na bata wa maulana gombesugu na ndege wa al habib Tayeb na wale tausi wa al mualim Boko haram
Na mimi nikienda break nikute japo kidogo!

Ahsanta
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nikukumbushe kuwa haikuwa post yangu ya kwanza. Rekodi zipo wazi kabisa na nadhani umeamua kuweka hilo neno ya kwanza ili kuonyesha kuwa nilikuja na shari kinyume na ukweli.
Post ni hii hapa Hakuna mahali niliposema hamna akili kama ulivyodai.
Hakuna mahali niliposema mohamed kachanganyikiwa, kuna mahali nimesema ana frustration. Frustration haina maana ya kuchanganyikiwa unless tuna definition tofauti.

Lakini hili la frustration nina ushahidi kutoka nyuzi zake za nyuma ambapo amesema '' babu yake aliongoza miigomo ya reli na bandarini''. Akasema kuna watu hawakuwa na uwezo wakiwa UDSM lakini wanaendesha magari na nyadhifa kubwa kwasababu ya mfumo.

Mohamed aliendelea kusema kazi ya kupigania uhuru na historia yake ipo katika familia na si kama sisi tunaosimuliwa.
Ukiyasoma maneno hayo hakuna shaka MS ana frustration juu ya historia ya familia na nafasi yake katika taifa kwa sasa.

Nilimjibu kwa kumwambia kuwa hiyo ilikuwa personal frustration na hivyo asiifanye kama tatizo la kitaifa kama nilivyoandika tena hapo juu.

Hakuna shaka kuwa ninyi mnamtetea MS nashangaa mnakana ukweli huo. Kumtetea si dhambi lakini iwe kwa hoja na si kumdhalilisha kwa matusi kwasababu hata yeye anajisikia fedheha maandishi yake yakipambwa na lugha zenu ambazo nashindwa kuelewa ni kwa vipi mnazinasibisha na dini kwasababu hakika inatia dhalili.
Wapo wanaojiuliza hivi hawa ndio walivyo? Kama wasomi ni hivi vipi huko mitaani?

@Khataan, kuhusu mada ya kumwaga Mtama hakika mtama upo. Ninaweza kuweka hapa ili njiwa wa Ritz waushambulie. Busara zimeniongoza kuwa pamoja na kuwa na haki ni vema nisifanye hivyo. I chose not to write.
Nasisitiza mtama upo busara zinaniongoza sana nisifanye hivyo.

Na mwisho, mimi siwakatazi na wala sikuwa na nia ya kuwazuia kuendelea kuporomosha matusi.
Mumenitukana sana na nimekaa kimya kila mara nikiwanasihi kuwa hivyo sivyo.

Kilichonisukuma kuandika kuhusu lugha zenu ni baada ya kuona lugha hizo zinafungamanishwa na imani yenu, eti hata neno inshallah la kiarabu limekuwa sehemu ya imani.

Ndio maana nimeuliza je imani inawatuma mu behave katika hali dhalili na hovyo kama hiyo? Narudia katika hali dhalili na hovyo hivyo? Hebu rudini msome nyuzi zenu halafu mjiulize zimejaa dhalili kiasi gani kwenu na kwa jamii inayowahusu

Nikauliza,je mnaitendea haki jamii ya Watanzania, jamii zenu katika makundi ya kabila, koo na imani?
Je, kila mmoja anayesoma matusi yenu yakiwa katika mgongo wa imani anafurahia hilo?
Je, ndio mafunzo yaliyoelekezwa hayo? Na kwa lugha hiyo nani atasoma kile mlichokusudia au kuvutika na hoja zenu?

Nguruvi3 wewe mwanga mtama wako wala hakuna tatizo lolote sisi tupo na njiwa wetu wanausubiri kwa hamu.

Nakushangaa umegeuka kuwa msemaji wa Mohamed Said. ghafla na kumtolea matamko, teh teh teh. Halafu Sheikh Mohamed Said, wala haitaji kutetea na mtu vitabu vyake ndiyo vinamtetea sijui umeipata wapi hii kuwa sisi tupo hapa kumtetea.

Nikipata wasaa tadadavua kiduchu kejeli zako na matusi yako kwetu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Boko haram heshima sana.

Mkuu wangu sijawahi kuwafananisha au kuwalinganisha Mohamed Said na Nguruvi3 hata siku moja labda utakuwa umenisoma ndivyo sivyo.Mo ni mzee wa gerezani maandishi yake yamejikita zaidi katika siasa za Dar na vitongoji vyake hasa hasa Gerezani akienda mbali hujikita kwenye box la dini ukimwondoa katika viwanja hivyo hana tofauti na kipofu.Nguruvi3 ni mwanajamvi mwenye uwezo wa hali ya juu sana wa kuchambua masuala mbali mbali kuanzia uchumi,siasa,utamaduni na ........Ni wazi hawa ni watu wawili wasiofanana majina wala mitazamo.Unaweza kuunga mkono hoja za Mo upendavyo lakini mwisho wa siku hata nafsi yako inajua fikra zake zikifuatwa hakika Tanzania na Afrika Mashariki haitobaki salama.Kila mara hoja za Mo zimejikita katika utengano sijawahi kusoma maandishi ya Mo yenye kuunganisha jamii ya waTanzania dhidi ya uporaji wa rasilimali zake kama dhahabu,Tanzanite,gesi,ardhi,misitu na nk.Hichi ndicho kilio cha waTanzania wenye akili nzuri,wenye kufahamu uporaji wa rasilimali zetu ni sababu kubwa ya umasikini ambao hauchagui wala haubagui dini,kabila au ukanda wa mtu.Ni ujinga wa hali ya juu Tanzania ya leo tukiamua kuegemea udini au ukabila na kuacha mambo ya maana yanayoamua mstakali wetu wa leo na vizazi vijavyo.




Mkuu Ngongo hivi akili yako iko salama? unaweza kumfananisha Nguruvi3 na mzee Mohamed Said?
waarabu wanamsemo unaosema "ashfiku alaa raaasi la tushfikuu alal jabal" maana yake ni
yaani wewe upige kichwa jabali halafu unalisikitikia jabali badala ya kichwa chako:frusty:
ahsanta.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Boko haram heshima sana.

Mkuu wangu sijawahi kuwafananisha au kuwalinganisha Mohamed Said na Nguruvi3 hata siku moja labda utakuwa umenisoma ndivyo sivyo.Mo ni mzee wa gerezani maandishi yake yamejikita zaidi katika siasa za Dar na vitongoji vyake hasa hasa Gerezani akienda mbali hujikita kwenye box la dini ukimwondoa katika viwanja hivyo hana tofauti na kipofu.Nguruvi3 ni mwanajamvi mwenye uwezo wa hali ya juu sana wa kuchambua masuala mbali mbali kuanzia uchumi,siasa,utamaduni na ........Ni wazi hawa ni watu wawili wasiofanana majina wala mitazamo.Unaweza kuunga mkono hoja za Mo upendavyo lakini mwisho wa siku hata nafsi yako inajua fikra zake zikifuatwa hakika Tanzania na Afrika Mashariki haitobaki salama.Kila mara hoja za Mo zimejikita katika utengano sijawahi kusoma maandishi ya Mo yenye kuunganisha jamii ya waTanzania dhidi ya uporaji wa rasilimali zake kama dhahabu,Tanzanite,gesi,ardhi,misitu na nk.Hichi ndicho kilio cha waTanzania wenye akili nzuri,wenye kufahamu uporaji wa rasilimali zetu ni sababu kubwa ya umasikini ambao hauchagui wala haubagui dini,kabila au ukanda wa mtu.Ni ujinga wa hali ya juu Tanzania ya leo tukiamua kuegemea udini au ukabila na kuacha mambo ya maana yanayoamua mstakali wetu wa leo na vizazi vijavyo.


Ngongo,
Mimi nimesoma Political Sience katika baadhi ya taaluma nilizokuwanazo.

Dini yangu naijua kwa kiasi changu lakini si bingwa katika somo la Uislam.
Kwa ajili hi basi sithubutu kuuzungumza Uislam hadharani kama hapa.

Unachokisoma katika maandishi yangu ni historia na ndani yake hamna suala la
dini kama ''doctronaire.''

Uislam humo unaingia kama unavyoingia Ukristo.

Angalia paper na mihadhara niliyopata kufanya ndani na nje ya nchi utalipata jibu.
 
Nguruvi3 wewe mwanga mtama wako wala hakuna tatizo lolote sisi tupo na njiwa wetu wanausubiri kwa hamu.

Nakushangaa umegeuka kuwa msemaji wa Mohamed Said. ghafla na kumtolea matamko, teh teh teh. Halafu Sheikh Mohamed Said, wala haitaji kutetea na mtu vitabu vyake ndiyo vinamtetea sijui umeipata wapi hii kuwa sisi tupo hapa kumtetea.

Nikipata wasaa tadadavua kiduchu kejeli zako na matusi yako kwetu.

Ritz,

Naona jamaa yangu anasema ati mie nina ''frustrations.''
Mdomo haumkatai bwana wake.

Anaweza kusema lolote alitakalo kuhusu mie na mdomo wake hautathubutu kumkataza.

''Frustrations'' ati kwa kuwa babu yangu Salum Abdallah hakutaja kwenye historia...
Hakutajwa kwenye historia hii ni kweli na hakuwa peke yake wengi waliondolewa katika
historia na mimi nikawarudisha.

Sasa hiyo ndiyo ''frustration?''

Kuhusu kupewa vyeo watu wenye elimu hafifu kwa kuwa tu wao ni Wakristo hili nikilisema wazi
bila kificho na nikawa maarufu kwa kutoogopa mtu.

Wanaonijua hili wanaweza wao wakalieleza vyema sana kuhusu hii hulka yangu.

Kama vile nilivyoserma Nyerere hakuasisi TANU Nyerere mwenyewe akiwa hai na hakuthubutu mtu
kujaribu kupambana na mimi katika ukweli huu kwa kuwa walikuwa wanajua wazee wangu ndiyo waasisi
wa TANU.

Huu ndiyo ukweli wenyewe na hivi ndivyo nilivyo.
Ikiwa yeye kaona hii ni ''frustation'' basi ni bahati mbaya.

Shariff Ritz niruhusu nikome hapa.
 
Kwanza nikukumbushe kuwa haikuwa post yangu ya kwanza. Rekodi zipo wazi kabisa na nadhani umeamua kuweka hilo neno ya kwanza ili kuonyesha kuwa nilikuja na shari kinyume na ukweli.
Post ni hii hapa Hakuna mahali niliposema hamna akili kama ulivyodai.
Hakuna mahali niliposema mohamed kachanganyikiwa, kuna mahali nimesema ana frustration. Frustration haina maana ya kuchanganyikiwa unless tuna definition tofauti.

Lakini hili la frustration nina ushahidi kutoka nyuzi zake za nyuma ambapo amesema '' babu yake aliongoza miigomo ya reli na bandarini''. Akasema kuna watu hawakuwa na uwezo wakiwa UDSM lakini wanaendesha magari na nyadhifa kubwa kwasababu ya mfumo.

Mohamed aliendelea kusema kazi ya kupigania uhuru na historia yake ipo katika familia na si kama sisi tunaosimuliwa.
Ukiyasoma maneno hayo hakuna shaka MS ana frustration juu ya historia ya familia na nafasi yake katika taifa kwa sasa.

Nilimjibu kwa kumwambia kuwa hiyo ilikuwa personal frustration na hivyo asiifanye kama tatizo la kitaifa kama nilivyoandika tena hapo juu.

Hakuna shaka kuwa ninyi mnamtetea MS nashangaa mnakana ukweli huo. Kumtetea si dhambi lakini iwe kwa hoja na si kumdhalilisha kwa matusi kwasababu hata yeye anajisikia fedheha maandishi yake yakipambwa na lugha zenu ambazo nashindwa kuelewa ni kwa vipi mnazinasibisha na dini kwasababu hakika inatia dhalili.
Wapo wanaojiuliza hivi hawa ndio walivyo? Kama wasomi ni hivi vipi huko mitaani?

@Khataan, kuhusu mada ya kumwaga Mtama hakika mtama upo. Ninaweza kuweka hapa ili njiwa wa Ritz waushambulie. Busara zimeniongoza kuwa pamoja na kuwa na haki ni vema nisifanye hivyo. I chose not to write.
Nasisitiza mtama upo busara zinaniongoza sana nisifanye hivyo.

Na mwisho, mimi siwakatazi na wala sikuwa na nia ya kuwazuia kuendelea kuporomosha matusi.
Mumenitukana sana na nimekaa kimya kila mara nikiwanasihi kuwa hivyo sivyo.

Kilichonisukuma kuandika kuhusu lugha zenu ni baada ya kuona lugha hizo zinafungamanishwa na imani yenu, eti hata neno inshallah la kiarabu limekuwa sehemu ya imani.

Ndio maana nimeuliza je imani inawatuma mu behave katika hali dhalili na hovyo kama hiyo? Narudia katika hali dhalili na hovyo hivyo? Hebu rudini msome nyuzi zenu halafu mjiulize zimejaa dhalili kiasi gani kwenu na kwa jamii inayowahusu

Nikauliza,je mnaitendea haki jamii ya Watanzania, jamii zenu katika makundi ya kabila, koo na imani?
Je, kila mmoja anayesoma matusi yenu yakiwa katika mgongo wa imani anafurahia hilo?
Je, ndio mafunzo yaliyoelekezwa hayo? Na kwa lugha hiyo nani atasoma kile mlichokusudia au kuvutika na hoja zenu?

Nguruvi,

Mimi nalalamika?
Kulalamika kunatokana na ''ulalamishi.''

Mimi silalamiki mimi huandika kitabu au naandika paper.
Sijui kama huku ni kulalamika...

Unasikia nazungumza Nairobi...
Sasa hivyo si ndiyo viwanja vyangu?

Inakukera?
 
mkuu umeeleza kwa kina na nikikusoma zaidi ninachokiona ni uzalendo mkubwa uliondani yako.
wasipoelewa na hapa;

cc Mohamed Said Mag3 THE BIG SHOW Gwalihenzi Nyakageni Eiyer

Remote,
Maadam mtabaki humu JF bila ya kuandika huo ukweli upinge kitabu changu daima
mtabaki humu humu hamtaweza kutoka nje ya tundu hili.

Hili nimelisema sana kwenu.

Kitabu kinajibiwa na kitabu.

Kama mimi nisingekijibu kitabu cha CCM cha Historia ya TANU kwa kitabu changu
hakuna mtu angenijua na hii mialiko ya Afrika Kusini, Marekani, Ujerumani, Nigeria,
Kenya nk. isingekuwapo kamwe.

Nakusihini.
Andikeni kitabu.

PS:
Tanzania Muslim Professionals wanenitunikia nishani katika nyanja ya Utafiti na Uandishi mwaka huu wa 2013.
 
Remote,
Maadam mtabaki humu JF bila ya kuandika huo ukweli upinge kitabu changu daima
mtabaki humu humu hamtaweza kutoka nje ya tundu hili.

Hili nimelisema sana kwenu.

Kitabu kinajibiwa na kitabu.

Kama mimi nisingekijibu kitabu cha CCM cha Historia ya TANU kwa kitabu changu
hakuna mtu angenijua na hii mialiko ya Afrika Kusini, Marekani, Ujerumani, Nigeria,
Kenya nk. isingekuwapo kamwe.

Nakusihini.
Andikeni kitabu.

PS:
Tanzania Muslim Professionals wanenitunikia zawadi katika nyanja ya Utafiti na Uandishi mwaka huu wa 2013.

mzee wangu Mohamed heshima kwako....
Dhumuni langu lalakuku'mention ni kukuomba wewe ujibu zile hoja za nguruvi3 pale juu ambazo nimezi'qoute
 
Mkuu Boko haram heshima sana.

Mkuu wangu sijawahi kuwafananisha au kuwalinganisha Mohamed Said na Nguruvi3 hata siku moja labda utakuwa umenisoma ndivyo sivyo.Mo ni mzee wa gerezani maandishi yake yamejikita zaidi katika siasa za Dar na vitongoji vyake hasa hasa Gerezani akienda mbali hujikita kwenye box la dini ukimwondoa katika viwanja hivyo hana tofauti na kipofu.Nguruvi3 ni mwanajamvi mwenye uwezo wa hali ya juu sana wa kuchambua masuala mbali mbali kuanzia uchumi,siasa,utamaduni na ........Ni wazi hawa ni watu wawili wasiofanana majina wala mitazamo.Unaweza kuunga mkono hoja za Mo upendavyo lakini mwisho wa siku hata nafsi yako inajua fikra zake zikifuatwa hakika Tanzania na Afrika Mashariki haitobaki salama.Kila mara hoja za Mo zimejikita katika utengano sijawahi kusoma maandishi ya Mo yenye kuunganisha jamii ya waTanzania dhidi ya uporaji wa rasilimali zake kama dhahabu,Tanzanite,gesi,ardhi,misitu na nk.Hichi ndicho kilio cha waTanzania wenye akili nzuri,wenye kufahamu uporaji wa rasilimali zetu ni sababu kubwa ya umasikini ambao hauchagui wala haubagui dini,kabila au ukanda wa mtu.Ni ujinga wa hali ya juu Tanzania ya leo tukiamua kuegemea udini au ukabila na kuacha mambo ya maana yanayoamua mstakali wetu wa leo na vizazi vijavyo.

Mkuu Ngongo umenichekesha sana unasema mzee MS siasa zake zimeegemea mitaa ya gerezani hili swali wakwanza kumuuliza alikuwa ni baba yako wa taifa kilimkimbiza nini kule butiama na kuja kwa wanywa kahawa wa gerezani tena akiwa kavaa kaptula.

Wazee wa gerezani kwa ustaarabu wao wakamshonea suruali mbili kiuno 30 paja 7 leo hii ndio hao wazee mnao wadharau na kufanyia "istiizai" na tashtiti kwao, wala mzee MS hayupo hapa kwa ajili ya udini yeye anatupa maalumati ambayo tulikuwa hatuyajui tulikuwa tulalishwa sumu/uranium.

Kuhusu udini mimi mpaka leo naamini "founder" wa udini ni Nyerere na ukitaka vielelezo viko vingi tu vya kuonyesha Nyerere alivyo andaa hili bomu la udini ambazo cheche zake ndio zinaanza kuruka sasa hivi.
 
Nguruvi3 wewe mwanga mtama wako wala hakuna tatizo lolote sisi tupo na njiwa wetu wanausubiri kwa hamu.

Nakushangaa umegeuka kuwa msemaji wa Mohamed Said. ghafla na kumtolea matamko, teh teh teh. Halafu Sheikh Mohamed Said, wala haitaji kutetea na mtu vitabu vyake ndiyo vinamtetea sijui umeipata wapi hii kuwa sisi tupo hapa kumtetea.

Nikipata wasaa tadadavua kiduchu kejeli zako na matusi yako kwetu.

Huyo Nguruvi3 hana cha kumwaga ila pumba tu. Nimempa moja kuhusu historia za Uislaam duniani na nikamuuliza nimuongeze? hana majibu, sasa hivi naichambuwa tena post yake na nnakuja na lingine. Nnakuhakikishia hana jibu, utaona atavyokuja na porojo zisizo na kichwa wala miguu.
 
Last edited by a moderator:
mzee wangu Mohamed heshima kwako....
Dhumuni langu lalakuku'mention ni kukuomba wewe ujibu zile hoja za nguruvi3 pale juu ambazo nimezi'qoute

Remote,
Niwekee hizo hoja za Nguruvi nizijibu Insha Allah kwa kadri ya uwezo wangu.
 
Remote,
Maadam mtabaki humu JF bila ya kuandika huo ukweli upinge kitabu changu daima
mtabaki humu humu hamtaweza kutoka nje ya tundu hili.

Hili nimelisema sana kwenu.

Kitabu kinajibiwa na kitabu.

Kama mimi nisingekijibu kitabu cha CCM cha Historia ya TANU kwa kitabu changu
hakuna mtu angenijua na hii mialiko ya Afrika Kusini, Marekani, Ujerumani, Nigeria,
Kenya nk. isingekuwapo kamwe.

Nakusihini.
Andikeni kitabu.

PS:
Tanzania Muslim Professionals wanenitunikia zawadi katika nyanja ya Utafiti na Uandishi mwaka huu wa 2013.

Akhiy, Mohamed Said, kuwaambia akina Remote, Nguruvi3, Mag3, Mzee Mwanakijiji, Yericko Nyerere waandike kitabu cha historia ni kama kuwataka mchwa watengeneze Mlima Kilimanajro badala ya kichuguu.

Hawawezi.

Tena waungane wote pamoja na bado hawatoweza.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,
Swali langu ni moja kwanza kwako kisha tuendelee na mjadala,

Unakubali ama unakataa ya kwamba nyerere kwa kuanzisha kwake bakwata ili kiwe chombo rasmi cha kuwaratibu na kuwabana waislam ndan ya taifa hili yeye ndie chanzo cha mvurugano wote huu??


Naomba jibu kwanza kisha tusonge mbele inshallah


Al Murid THE BIG SHOW,

Hiki kigongo ulichomshindilia "jamaa yako",nina hakika hawezi kukujibu asilan!...si unaona kishaanza kukuwekea vikwazo ati atumie rationale,hapo anamaanisha atumie ule ubabaifu wake! Kwi! Kwi! Kwi!

Si unakumbuka yale mambo ya rationalize the Denominator,na ile vulgar fraction!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
Back
Top Bottom