Sawa Mzee MS,
Hebu tupumue kidogo. Utamu wa mnakasha ni kuulizana hata ambiguities. Huoni kama kuna a missing link? Walimnunulia baiskeli, mboga, kumpisha malazi, kumfundisha mavazi rasmi (kaptula-NO). What about cigarettes? Iam curious kujua ni wazee gani walikuwa staunch friends wa Julius lakini pia walikuwa smokers!!!! Haiwezekani kwamba kijiwe chote cha hawa wazee hakukuwa na smokers!!!! We know Julius was a confirmed smoker.
Tafadhali sheikh.
Hivi wana jamvi ikitokea watu wakagundua kuwa pana mtu anapotosha tena kwa maandishi mbaya zaidi kwa wasomi, yatakiwa akosolewe ama arekebishwe kwa njia ipi? Sasa kama Shaikh Muhamad Said imeonekana anadangaya kwa maandishi ya kujiamini na pana watu wanayapinga maandiko yake, mimi kwa mtazamo wangu naomba tujibu kwa kumpinga kihoja tena tulete paper, nadhani kazi itakuwa kwetu wachangiaji nayo naamini haitatulazimu kuwa washabiki bali waungwana, na hiyo ni baada ya kupata opposition side, lakini tofauti na hapo tutegemee kwendelea kupata matusi katika thread hii,
Sheikh Mohamed Said,
Asalaam Alaykum,Shukran na tunakusoma saana na kufuatilia hizi bayana zako kwa utuvu ulo mwingi.
Maneno kama hayo hayo alosema na kuusia Sheikh Suleiman Takadir...nami nilimsikia Al Marhum Sheikh Hussein Juma wa UTP akiyarejea kwa machungu mno.
Maana kuna wakti ilinilazim kujaribu kumuuliza kiduchu na kwa adabu ilo njema ili anijuzu kisa cha yeye kuwa UTP,basi ndo alifunguka kiduchu...nami mpaka leo kanacha mdomo wazi!
Ama kwa hakika tuna mafunzo makubwa/mangi mno sisi tuliopo leo hii, kutokana na yaliowasibu Wazee Wetu na dharuba walizostahamili...
Na ndo maana tumeapa/tunaapa, kwa yakini hatutarejea tena kule kwenye kudhalilishwa/kudhulumiwa kwa sababu tu ya uungwana na ustaarabu wetu!...abadan,asilan!!
Nipatia fursa nikuulize suali jingine kiduchu...hivi yule Brigadier Takadir alikua ni mtoto wa Sheikh Suleiman Takadir!?
Kama ndie yeye namfahamu uzuri mno,alikua ni sahib mkubwa mno wa Mzee wangu. Siku alipopatwa na ile "accident" pale junction ya St Peters nafikiri...Mzee wangu na Mzee Barongo aliekua TPDC,ndo waliokua watu wa mwanzo kufika Lugalo na kuthibitisha kifo chake maskini.
Kipata fursa pia tujuze sheikh Mohamed Said;je yule Bwana Idd Bin Khamis,alokua pale kona ya Udoe na Sikukuu,opposite na Sheikh Nurdin Hussein...nae alikua na shughuli zipi ndani ya ile TANU!?
Nini uhusiano/mchango wake ndani ya hizo harakati wakti huo hapo Mzizima!? Nae alikuwamo kati ya wale waliopata hiyo misukosuko kutoka kwa "Baba wa Taifa"!?
Niwie radhi kwa hivyo visuali kiduchu...maana najaribu kuunganisha dots fulani kichwani mwangu,khalaf nituame.
Ahsanta.
Anacho fanya hapa Jamvini Sheikh Mohamed Said vyote vinaangukia kwenye Fasihi andishi!
Unaweza ukawa hujuwi kusoma lakini basi hata LUGHA ya picha nayo ikushinde?!
Kama hutafahamu neno kwa neno na kisha kupata maana, bila shaka wewe utakua na kilema cha ufahamu!
Wewe Wickama, Nguruvi3 na Mag3 mtapata tabu sana kumfahamu ndugu yetu Sheikh Mohamed Said
CC : Dr. kahtaan, Sharrif Ritz, Al akhiy gombesugu Hayatollah CHAMVIGA Al ustaadh Boko haram na Hajjat FaizaFoxy
Wickama,
Salaam nyingi mno zikufikie hapo ulipo.
Mnalazimisha tena kujibiwa masuala yenye utata kiduchu...hata hivyo,majibu yapo tena mangi mno.
Lakini je "kifua" unacho/mnacho!?...maana majawaba mangine yataka hifadha!
Ina maana huu mnakasha ndo umeishia kwenye "sigireti za Nyerere" sasa!? Kwi! Kwi! Kwi!
Ahsanta.
Hapa unauliza au unatoa ushauri!
Nyie watoto hizi elimu zenu za kata zimekuletee hasara kubwa sana!
Manake kwa elimu chafu mlizo pandikizwa kila ukifungua mdomo.
Badala ya kutengeneza! unachafua mazingira!!
Labda weye uliyesoma kwa Jasho la Babu yangu na ambaye kwa bahati mbaya hukupata kuelimika na badala yake umefanikiwa kuamini kwenye kuchuki.Huja elewa nini maana mwenye akili haitaji kutafuniwa kila kitu ,ukisubiri kutafuniwa yatakutokea kama haya Mohamed Said anavyowafanyia-Saa zingine utalishwa haramu eti ,tumia Akili zako na Changanya na za Mbayuwayu utaelewa.
Hainishangazi hata kidogo. Mlioko nyuma ya Mohamed Said kwa hili la historia ya Waisilamu na Uhuru wa Tanganyika na dhihaka dhidi ya Marehemu JK Nyerere, imani zenu haina tofauti na Al-Shabah ila kwa mgogongo wa Siasa na Historia mpepata nafasi ya kueneza uzandiki mnaoufanya kupitia Jukwaa hili la JF .Ila ni vizuri mkaelwa kuwa kuna msemo usemao ni wajinga tu ndiyo waliwao.
Assalam Alykum warahmatullah wabarakatuh.
Akhy gombesugu tukiwa tunasubiri response ya mzee Mohamed Said juu ya mas'ala uliyomuuliza labda nizungumze kidogo kuhusu hilo la marehemu shekh Nurudini Hussein Annakshbandy. Huyu shekh alhamdulilah nimewahi kuwa mwanafunzi wake kipindi cha nyuma kidogo japo nilikuwa bado wa umri mdogo na alishawahi kutueleza mkasa wake uliomsibu kutoka kwa Nyerere yeye na rafiki yake sheki Hussein Albadawi ambaye yupo pale IRshadi Lushoto. Miaka ile ya uhuru unapatikana japo sijui alihusikaje nayeye katika harakati za uhuru walimfuata Nyerere na kumtaka mambo flani kadhaa na Nyerere alikataa na kuwaambia wawili hawa mnayo masaa 24 ya kuonekana Tanzania. Jambo hili walilipinga ndipo wakarudi Kilwa na kufanya ZAFFA ya hatari na kuitikisa nchi ndipo akaamuru jeshi likawakamata na kuwaweka ndani. What happens huko gerezani ni hatari ambayo Nyerere hajawahi kuiona. Wazee inavyosemekana walikuwa wanatoka bila gate kufunguliwa mida ya swala na wakimaliza wanarudi wenyewe. Taarifa zilipomfikia Nyerere ndipo alipowaambia kama watampinga tena kuondoka atawaua. Hussein Albadawi alikimbilia Lamu na shekh Nurudini Hussein akaenda kujificha Korogwe akijifanya mfanyabiashara wa mahindi. Na hapo ndio kikaanzishwa chuo cha Shaadhilia. Kwahiyo madhila na yeye kayapitia kutoka kwa mwalimu. Albadawi baadae alirudi na kwenda kuanzisha kile chuo pale Lushoto. More tusubirie kutoka kwa shekh Mohamed Said.
Ayatollah Chamviga,
Alayka Salaam,Al Habib Maulana.
Wallahi,kila nikusomapo bayana zako naburudika mno pasi kiasi na najifunza mangi mno toka kwako...Shukran Sheikh wangu.
Hiyo bayana yako ni njema mno na yoote ulonena nakubaliana nawe...maana nilishawahi kuyasikia takriban yoote toka kwa Wazee Wetu.
Huyo Sheikh Nurdin Hussein Al Sha'dhily,family yetu na yake ni watu wa karibu mno tangia kitambo. Pia alikua ni mtu wa karibu mno wa Marehemu Babu yangu upande wa kuumeni.
Nawajua wanae wengi mno ambao ni marafiki zangu;basi itakuwa unawafahamu pia kina Ummy,Ma'ruuf,Hussein,na yule Prof. wa Literature na wengineo wengi mno...nilikua Amerika miezi michache ilopita na nilikutana na yule Ma'ruuf.
Ile Qadiriya ya Al Shadhiliya pale kona ya Twiga na Sikukuu,napajua uzuri mno...na Imam wa ile Masjid alikua ni Sheikh Hashim Haji Abdallah,ambaye nae pia alipitiwa na ule "msukosuko wa Baba wa Taifa"!
Yule mke wake wa mwisho/mdogo wa Sheikh Nur'din, ni shogake mkubwa mno wa Bi Mkubwa wangu.
Pia majuzi nilichungulia mojawapo ya post/s zako hapa,nikaona umetaja kule Mgombezi!?
Lile shamba alifanziwa mpango kulipata na Alhaj Issa Mtambo Gonera kulipata,na akenda kimbilia kule kujistiri baada ya ile misukosuko ya Nyerere.
Lakini kumbuka yakuwa;hapo pana network kubwa mno na ya kiundani/extremely secretive,baina ya huyo Nyerere,Oscar Kambona,Alhaj Issa Mtambo,Alhaj Kitwana Kondo,Alhaj Ali Hassan Mwinyi,Ali Mwinyi Tambwe,Alhaj Umar Muhaj,Mapinduzi ya Zanzibar,kukamatwa kwa Masheikh wetu/Wazee Wetu na mangineyo mangi pita kiasi!?
Wakti ule msafara wa kwenda kumuona Gamal Abdil Nasser,ukiongozwa na Mufti Sheikh Hssan Bin Amir,ili kutembelea/kuzuru nchi kadhaa kuomba misaada,ushauri/utaalamu kwa ajili ya kuendeleza Ilm ya Waislam hapo East Afrika...yaani tayari Nyerere alishapanga maangamizi na kuweka Moles/informers wake takriban kwenye Embassies zetu kwenye nchi zile zoote ambazo ule msafara ungalipitia!? Kwi! Kwi! Kwi!
Wallahi,Nyerere alikua maluuni wa kutupwa...yaani alikua bingwa na alipewa kipaji cha kuwavuruga Waislam maskini! Kwi! Kwi! Kwi!
Hatuna haja/lazim ya kuweka hapa kila kitu,itakua si vyema...na natumai utanifahamu ndugu yangu.
Huko Lushoto,nakupenda mno...tuliwahi kuishi kwa miezi michache mno wakti fulani nikiwa mduchu na Mzee wangu alikuwa huko kishughuli....na nilikua sijui yakuwa Shariff Hussein bado yupo pale maskini.
Mimi ni mwenyeji kiasi changu mno pale Soni na miji/vijiji vingine vizungukavyo hiyo Lushoto,lakini Lushoto yenyewe, wenyeji wangu takriban woote wanaishi D'salaam.
Insha Allah,tutakutana penye majaaliwa na nitazidi kuelimika kwa Darsa zako.
Nafikri pia utakua unaifahamu hii njia ya kutoka Korogwe mpaka Mabokweni!? Kwi! Kwi! Kwi!....haya tuanze...Korogwe,Magoma,Bwiti,Mwele,Daluni,Maramba,Mabokweni!?
Sasa wale Maramba Jkt,mimi ninapakana nao na ninajishughulisha na shughuli za kilimo kiduchu cha Hiliki pale...ile ardhi tulikuwa nayo kitambo lakini ilikua haitumiki.
Ama kwa hakika nazipenda mno hizo sehemu maana ni very fertile na watu wake ni waungwana mno...japo ukifika siku ya mwanzo lazim wakukaribishe na "Zongo"!? Kwi! Kwi! Kwi!
Ahsanta.
Mzee Mohamed Said sina shaka mimi na makusudio yako ya kumtajia Nyerere yale mema aliyofanyiwa na wazee wetu naamini umefanya hivyo kwasababu kiubinadamu iko hivyo. Kuna wakati unapofikiria ubaya alio/anaokufanyia mtu uliyemsaidia kwenye shida zake kubwa na hata ndogo kwakukuomba au kwa ukarimu wako lakini akatokea kukusaliti vibaya tena na kufikia hatua ya kutodhamini hata uhai wako ni rahisi sana kulalamika na hata kutaja nguo ya ndani uliyomsaidia ili kuonyesha msisitizo na uchungu ulionao dhidi ya matendo yake huyo uliemsaidia. The same ulichokifanya kwa Mwalimu Nyerere, Nyerere alipewa kampany kubwa sana katika strugle ya uhuru wa taifa hili lakini mwisho akaturn against wenzake wale aliosaidiana nao katika mapambano hayo. La kusikitisha zaidi ni kufikia hatua ya kuwaua, kuwafunga, kuwahamishia pahala pengine kwa chuki zake. Akaenda mbali zaidi na kutengeneza mfumo wa kuhakikisha historia ya hao watu inafutika kabisa. Katika hali hii unategemea mimi kama muathirika ninapolalamika na kuyasema mpaka yale madogo niliyomsaidia mtesaji wangu nitakuwa ninamakosa? Au ninamsengenya? Hapana hukumsengenya na hata dini inaruhusu kuyasema maovu ya viongozi yanayoonekana kuathiri watu wake.
Mkuu Wickama umenishauri kuziangalia ahadith sahihi zasemaje kuhusu suala la kusengenya bila shaka mimi nazifahamu mno na kwa uzuri sana hadith hizo alhamdulilah. Ni kosa kufanya usengenyaji katika uislamu na ni dhambi kubwa sana tena katika aya mwenyezi Mungu aliyetakasika na utukufu amekemea sana na Mtume Muhamadi s.a.w akafikia kufananiza usengenyaji kuwa uovu ni sawa na kula nyama ya binadamu mwenzako. Lakini kumbuka kuna mlango unaoruhusu kusema mabaya ya mtu hasa kiongozi ambaye mabaya yake yatakuwa yanaathiri jamii inayomzunguka kwa mfano akiwa anapotosha kwa makusudi. Mlango huo unaitwa kwa kiarabu 'JARHU WATA'ADIR' 'Jeruhi na kwa uadilifu' yaani kuyazungumza matendo ya kiongozi huyo tena kwa uadilifu pasi na kuvuka mipaka. Nyerere alikuwa kiongozi ambaye uongozi wake na misingi yake mibovu ndio inaliathiri mpaka leo taifa letu ambalo ndugu Jm Kikwete anajitahidi kulisimamia katika ujenzi wake. Uongozi wake ndio uliosuka mbinu za kuifukia historia sahihi na akajitahidi kujenga jina lake pekeyake. Uongozi wake ndio ulioanzisha taasisi dhalimu na kandamizi kwa waislamu ya BAKWATA. Kwanini asingumzwe? Hapo hakuna usengenyaji bali ni 'jarhu wata'adir'.
Kama mlifikia mahala kila mtu akasimama na msimamo wake basi na mimi soma msimamo wangu hapo juu nilioujenga kwa mujibu wa dini yangu.
Gombesugu,
Wallah, sielewi vipi uombe na kusaidiwa hata shs 200 na mboga(by the way ni kila siku????? au ilikuwa siku moja fulani-sio clear!!!)lakini sigareti ujinunulie!!!! Wewe huoni contradiction???? Come on, wewe ni product ya Ghent!!!!
Ayatollah Chamviga,
Alayka Salaam,Al Habib Maulana.
Wallahi,kila nikusomapo bayana zako naburudika mno pasi kiasi na najifunza mangi mno toka kwako...Shukran Sheikh wangu.
Hiyo bayana yako ni njema mno na yoote ulonena nakubaliana nawe...maana nilishawahi kuyasikia takriban yoote toka kwa Wazee Wetu.
Huyo Sheikh Nurdin Hussein Al Sha'dhily,family yetu na yake ni watu wa karibu mno tangia kitambo. Pia alikua ni mtu wa karibu mno wa Marehemu Babu yangu upande wa kuumeni.
Nawajua wanae wengi mno ambao ni marafiki zangu;basi itakuwa unawafahamu pia kina Ummy,Ma'ruuf,Hussein,na yule Prof. wa Literature na wengineo wengi mno...nilikua Amerika miezi michache ilopita na nilikutana na yule Ma'ruuf.
Ile Qadiriya ya Al Shadhiliya pale kona ya Twiga na Sikukuu,napajua uzuri mno...na Imam wa ile Masjid alikua ni Sheikh Hashim Haji Abdallah,ambaye nae pia alipitiwa na ule "msukosuko wa Baba wa Taifa"!
Yule mke wake wa mwisho/mdogo wa Sheikh Nur'din, ni shogake mkubwa mno wa Bi Mkubwa wangu.
Pia majuzi nilichungulia mojawapo ya post/s zako hapa,nikaona umetaja kule Mgombezi!?
Lile shamba alifanziwa mpango kulipata na Alhaj Issa Mtambo Gonera kulipata,na akenda kimbilia kule kujistiri baada ya ile misukosuko ya Nyerere.
Lakini kumbuka yakuwa;hapo pana network kubwa mno na ya kiundani/extremely secretive,baina ya huyo Nyerere,Oscar Kambona,Alhaj Issa Mtambo,Alhaj Kitwana Kondo,Alhaj Ali Hassan Mwinyi,Ali Mwinyi Tambwe,Alhaj Umar Muhaj,Mapinduzi ya Zanzibar,kukamatwa kwa Masheikh wetu/Wazee Wetu na mangineyo mangi pita kiasi!?
Wakti ule msafara wa kwenda kumuona Gamal Abdil Nasser,ukiongozwa na Mufti Sheikh Hssan Bin Amir,ili kutembelea/kuzuru nchi kadhaa kuomba misaada,ushauri/utaalamu kwa ajili ya kuendeleza Ilm ya Waislam hapo East Afrika...yaani tayari Nyerere alishapanga maangamizi na kuweka Moles/informers wake takriban kwenye Embassies zetu kwenye nchi zile zoote ambazo ule msafara ungalipitia!? Kwi! Kwi! Kwi!
Wallahi,Nyerere alikua maluuni wa kutupwa...yaani alikua bingwa na alipewa kipaji cha kuwavuruga Waislam maskini! Kwi! Kwi! Kwi!
Hatuna haja/lazim ya kuweka hapa kila kitu,itakua si vyema...na natumai utanifahamu ndugu yangu.
Huko Lushoto,nakupenda mno...tuliwahi kuishi kwa miezi michache mno wakti fulani nikiwa mduchu na Mzee wangu alikuwa huko kishughuli....na nilikua sijui yakuwa Shariff Hussein bado yupo pale maskini.
Mimi ni mwenyeji kiasi changu mno pale Soni na miji/vijiji vingine vizungukavyo hiyo Lushoto,lakini Lushoto yenyewe, wenyeji wangu takriban woote wanaishi D'salaam.
Insha Allah,tutakutana penye majaaliwa na nitazidi kuelimika kwa Darsa zako.
Nafikri pia utakua unaifahamu hii njia ya kutoka Korogwe mpaka Mabokweni!? Kwi! Kwi! Kwi!....haya tuanze...Korogwe,Magoma,Bwiti,Mwele,Daluni,Maramba,Mabokweni!?
Sasa wale Maramba Jkt,mimi ninapakana nao na ninajishughulisha na shughuli za kilimo kiduchu cha Hiliki pale...ile ardhi tulikuwa nayo kitambo lakini ilikua haitumiki.
Ama kwa hakika nazipenda mno hizo sehemu maana ni very fertile na watu wake ni waungwana mno...japo ukifika siku ya mwanzo lazim wakukaribishe na "Zongo"!? Kwi! Kwi! Kwi!
Ahsanta.
Al habib akhiy gombesugu bayana zako na maulamaa wengine hapa zinanifungua kichwa kwa raha kabisa!
Mi lzm niseme ya kuwa anga hizi sii mtaalamu sana lkn alhamdulillah nyie na maulamaa wengine mnatujuza wengi hapa!
Endeleeni walimu wangu. Sisi tunakusomeni kwa utuliiivu kabisa!
Shukran.
Teh teh teh teh!
Vibara kama wewe lzm al shabab muwaogope sana! Manake mmeshazoea kutetea dhulma!
Ohh marehemu nyenyere ohhhh hayati bla..bla..blaa..!
My foot!
Maalim mohamed said katoa historia na kutuwekea ushahidi wa wazi. Tena na namna ya kuutafuta kama utauhitaji huo ushahidi!
We unakuja hapa na domo reeeefu kama wale wanywa kimpumu!
Hizo gongo za 150/= zitaua wengi sana!
Mi nakushauri unywe japo CHIBUKU!
Wanasema "inalinda hadhi ya mnywaji as long as umevaa chupi kama 7 hivi ili ukichafua mazingira. Mzigo usiteremke chini!
Teh teh teh teh!
Unaambiwa "ukitaka kutoa mwiba wa mguuni Basi anza na wa takoni kabla hujakaa!!" Hayatollah Tayeb.
Teh teh teh teh!
Assalam Alykum warahmatullah wabarakatuh.
Akhy gombesugu tukiwa tunasubiri response ya mzee Mohamed Said juu ya mas'ala uliyomuuliza labda nizungumze kidogo kuhusu hilo la marehemu shekh Nurudini Hussein Annakshbandy. Huyu shekh alhamdulilah nimewahi kuwa mwanafunzi wake kipindi cha nyuma kidogo japo nilikuwa bado wa umri mdogo na alishawahi kutueleza mkasa wake uliomsibu kutoka kwa Nyerere yeye na rafiki yake sheki Hussein Albadawi ambaye yupo pale IRshadi Lushoto. Miaka ile ya uhuru unapatikana japo sijui alihusikaje nayeye katika harakati za uhuru walimfuata Nyerere na kumtaka mambo flani kadhaa na Nyerere alikataa na kuwaambia wawili hawa mnayo masaa 24 ya kuonekana Tanzania. Jambo hili walilipinga ndipo wakarudi Kilwa na kufanya ZAFFA ya hatari na kuitikisa nchi ndipo akaamuru jeshi likawakamata na kuwaweka ndani. What happens huko gerezani ni hatari ambayo Nyerere hajawahi kuiona. Wazee inavyosemekana walikuwa wanatoka bila gate kufunguliwa mida ya swala na wakimaliza wanarudi wenyewe. Taarifa zilipomfikia Nyerere ndipo alipowaambia kama watampinga tena kuondoka atawaua. Hussein Albadawi alikimbilia Lamu na shekh Nurudini Hussein akaenda kujificha Korogwe akijifanya mfanyabiashara wa mahindi. Na hapo ndio kikaanzishwa chuo cha Shaadhilia. Kwahiyo madhila na yeye kayapitia kutoka kwa mwalimu. Albadawi baadae alirudi na kwenda kuanzisha kile chuo pale Lushoto. More tusubirie kutoka kwa shekh Mohamed Said.
Maulana Dr Kahtaan,
Asalaam Alaykum, Maulana.
Hata nawe Al Akhiy,tunakusoma mno, nami binafsi najifunza mangi mno toka kwako...Jaz'aak Allahu Khairu
Yaani siku hizi huwa sipati hata chembe ya usingizi bila ya kusoma bayana zako ili nicheke! Kwi! Kwi! Kwi!
Naona hapa jamvini,tangu Ayatollah Chamviga kukukabidhi hilo "rungu" letu,basi unalitumia uzuri mno! Kwi! Kwi! Kwi!
Ulimfanza mpaka yule sokwe maskini arejee tena kukujibu!? Kwi! Kwi! Kwi!
Wallahi,wape salaam zetu Ikhwan Al Swafaa woote hapo nyumbani.
Ahsanta.
Cc;Al Habib Al Tayeb
Gombesugu,
Ahsante sana ndugu yangu.
Moles, moles, moles...
Huwezi amini hata mie siku nilipofunguliwa kitabu hicho nilichoka...
Ahsante sana Gombesugu.