Akili ipo masikioni kama kasuku kila analolisikia atalisema, teh teh teh utapasua mbavu zangu Ulamaa Boko haram.Dah kazi kweli yaani kisa video umechanganyikiwa halafu anasoma kiarabu ndio kabisaa maskini mgalatia wa watu! lakini sio makosa yako akili yako iko maskioni kama kasuku kila analolisikia atalisema kijana usidandie gari kwa mbele.
Angala unaongea swali langu . Sasa kama kuna hadith sahih na hadith dhaifu, na aliamua. Niki a abubakar, omary na authuman wanaotambulika wafuasi sunii au wafuasi wa shia wanao mtambua ali Hussein na wengine? Unaamini kina abubakary walio mkolimba muhammad au unaamini ali ambae unaambiwa akuwai kuabudu masanamu maana alikuwa muislam toka anapata akili.
Umeangalia video? Jamaa anakuambia kitabu gani. Alafu anasoma aya yote kiarabu. Alafu anaelezea kwa kiingereza. Tatizo mmezoea kusoma kwa kushikiwa fimbo. Amsomi amfanyi homework mpaka muone fimbo ipo pembeni. Video zina kila kitu
Wrong!!. Agnostic
Teh teh teh! Kuna kauzu mmoja alimsikia waziri bungeni akisema madini ni mali yetu Watanzania, akajifanya kwenda Buzugwa kwenye mgodi wa Barick aktaka kuingia kwa nguvu mgodini ili akachukue madini alichezea kichapo wakavunja miguu yote miwili.Maalim Boko haram hawa ndio wale walikuwa wanamsikia nyerere akisema" zile mbuga na wanyama wa serengeti ni mali ya wananchi wa Tz"
basi yeye bila kutafakkar akakurupuka na rungu kwenda kuwinda!
Matokeo yake akapewa kibano kitakatifu na wale game reservists!
Teh teh teh teh!
I don need to check your video to know the falsehood of your nonsence thought. I understand very well my quruani and hadith of our prophet SAW. Uislamu umejengwa katika hoja za quruani, suna tena kupitia fahamu sahihi za wanazuoni wa kiislamu. Unapoleta pumba zako at sijui Ally r.a alifanywa hivi au vile hebu tuletee kauli yake akithibitisha uonevu huo aliofanyiwa. Shekh kauli yake itakuwa ni upuuzi mtupu kama haijajengeka katika misingi hiyo hapo juu.
Unapoquote/translation ya aya quruani kujustify jambo lako bado hiyo haitokuwa sawa bali itakuwa sawa pale maelezo yako yatakapofanana na watafsiri maarufu wa quruani mfano wa akina Ibn Abbas r.a, ibn Jarir Twabar, Ibn kathir, n.k katika wanazuoni wetu. Tafautisha translation(tarjama)/ explanation(tafsir). Kwa mwenendohuo utapasuka msamba wala hautoweza kuleta hoja zako muflisi za kuuchafua uislamu au kufikia hatua ya kufanyiwa reformation kama ukristo ulivyo/unavyofanyiwa mara kwa mara.
Teh teh teh! Kuna kauzu mmoja alimsikia waziri bungeni akisema madini ni mali yetu Watanzania, akajifanya kwenda Buzugwa kwenye mgodi wa Barick aktaka kuingia kwa nguvu mgodini ili akachukue madini alichezea kichapo wakavunja miguu yote miwili.
Akili za kuambia changanya na za kwako...
Son! You are definitely having a day dream!
YOU HELPING ME??
I tell you one thing! In my time I have been involved in thousands of debates and I have learnt that 100% of Christian dont even know their own book!!
And that applies to hindus and other faith!!
THE ONLY PEOPLE WHO KNOWS THEIR SCRIPTURE PAGE TO PAGE. LINE TO LINE AND LETTER TO LETTER IS MUSLIMS!
GOD IS GREAT!
You know when you say you feel sorry for us. Just because we try to teach our childrean to memorize Quraan??
I will tell you a short story of one of my best friend " ALHAJ MALIK AL SHABAZ"
See! This hero when he was in fight against the racist white government of USA! The first thing he learnt WAS THEIR LANGUAGE!
He MEMORISED ENGLISH DICTIONARY PAGE TO PAGE AND WORD TO WORD!
And after that he became a number one people's favourite!
We muslims know your book inside out!
But NON OF YOU KNOW OURS!
And whoever dare reading it from your camp THEY HAPPEN TO BECAME MUSLIMS STRAIGHT AWAY!
So my son! Before you bring your copy and paste business, try to read it for yourself!
Atleast when someone say" ANTA KALBU" you will know exactly what they meant!
Thank you for trying.
Kahtaan,
You are now revealing your ignorance.
Nobody learn english by memorizing dictionary page by page. It just shows how much Madras has affected your learning perception. You should rethink the types and the order of education you give to your kids or grandkids
Kahtaan,
You are now revealing your ignorance.
Nobody learn english by memorizing dictionary page by page. It just shows how much Madras has affected your learning perception. You should rethink the types and the order of education you give to your kids or grandkids
CattleRuster,
Soma biography ya Malcolm X iliyoandikwa na Alex Hailey.
Kisha soma nyingine aliyoandika Manning Marable kuhusu
Malcolm X inaitwa ''A Life of Reinvetion.''
Hiki kitabu kimechapwa 2011.
Vilevile ukipenda angalia movie yake, ''Malcolm X'' iliyotengenezwa
na Spike Lee ikiwa bado hujaiona.
Kuna mafunzo mengi katika maisha ya Malcolm X.
Hayo ulioelezwa ambayo wewe huamini utayakuta yote hjumo na zaidi.
Faizafoxy,
Nimezaliwa na kukulia DAR.
Lea
Ooi!cattlerastler blaa.bla..blaa.
do you know who is.
Alhaj malik Alshabaz??
sijui ni lini waislamu mtaacha kulalamika...tatizo lenu ni uvivu wenu wa kufikiri ndio maana mmenyimwa upeo wa kuona mbali....poleni sana ndugu zanguni.
Teh teh teh! Kuna kauzu mmoja alimsikia waziri bungeni akisema madini ni mali yetu Watanzania, akajifanya kwenda Buzugwa kwenye mgodi wa Barick aktaka kuingia kwa nguvu mgodini ili akachukue madini alichezea kichapo wakavunja miguu yote miwili.
Akili za kuambia changanya na za kwako...
CattleRuster,
Soma biography ya Malcolm X iliyoandikwa na Alex Hailey.
Kisha soma nyingine aliyoandika Manning Marable kuhusu
Malcolm X inaitwa ''A Life of Reinvetion.''
Hiki kitabu kimechapwa 2011.
Vilevile ukipenda angalia movie yake, ''Malcolm X'' iliyotengenezwa
na Spike Lee ikiwa bado hujaiona.
Kuna mafunzo mengi katika maisha ya Malcolm X.
Hayo ulioelezwa ambayo wewe huamini utayakuta yote hjumo na zaidi.
Asante kwa ushauri wako. Sijamsoma sana Malcom X. Ila nimeangalia movie yake nazani. Ila naomba mniambie majibu yenu katika maswali niliyoweka kwenye post yenye video links. Nikubadilishiana mawazo tu.
I don need to check your video to know the falsehood of your nonsence thought. I understand very well my quruani and hadith of our prophet SAW. Uislamu umejengwa katika hoja za quruani, suna tena kupitia fahamu sahihi za wanazuoni wa kiislamu. Unapoleta pumba zako at sijui Ally r.a alifanywa hivi au vile hebu tuletee kauli yake akithibitisha uonevu huo aliofanyiwa. Shekh kauli yake itakuwa ni upuuzi mtupu kama haijajengeka katika misingi hiyo hapo juu.
Unapoquote/translation ya aya quruani kujustify jambo lako bado hiyo haitokuwa sawa bali itakuwa sawa pale maelezo yako yatakapofanana na watafsiri maarufu wa quruani mfano wa akina Ibn Abbas r.a, ibn Jarir Twabar, Ibn kathir, n.k katika wanazuoni wetu. Tafautisha translation(tarjama)/ explanation(tafsir). Kwa mwenendohuo utapasuka msamba wala hautoweza kuleta hoja zako muflisi za kuuchafua uislamu au kufikia hatua ya kufanyiwa reformation kama ukristo ulivyo/unavyofanyiwa mara kwa mara.