Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

sokwe mjadala huu hauna lengo la udini kwa maana ya kubagua! La hasha.
Lengo la uzi huu ni kujaribu kuwapa haki sawa Wale MASHUJAA WOTE WALIFANIKISHA KUTULETEA UHURU KTK NCHI YETU! Suala ni moja hapa!

Unapoongelea pirika za kupigania uhuru basi HUNA BUDI KUYATAJA MAKANISA NA MISKITI KTK HISTORIA HII.
Na hili linatokana na harakati hizo kufanywa na watu waliokuwa na imani hizo na pirika hizo kupitia ktk miskiti na makanisa!Tatizo ni kwamba historia halisi IMEBATILISHWA!

Na kilicho batilisha historia hio ni mfumo mmoja unaotutafuna hapa TZ ULITWAO "MFUMO KRISTO"!
Hakuna ubaya wwt kutaja wapiganiaji wa uhuru wetu kuwa walikuwa ni waislamu au wakristo au wapagani!
Ubaya unakuja pale ambapo utataja imani hizi ili kuonyesha kuwa IMANI YAKO BORA KULIKO NYINGI KTK KUPIGANIA UHURU HUO!!
NA NDICHO ALICHO KIFANYA NYERERE!
Na kama umefuatilia mnakasha huu. Maalim Mohamed Said anajaribu kuuelezea ummah ya kuwa SI WAGALATIA PEKE YAO NDI9 WALIOSHIRIKI KTK PIRIKA HIZO!
LA HASHA! Na WAISLAMU PIA WALIKUWEMO LKN MFUMO KRISTO CHINI YA NYERERE UNAJARIBU KUMUONYESHA NYERERE PEKE YAKE KUWA NDIO SHUJAA!

Na utaona kuwa kuna wenye elimu ndogo wapo humu kuugeuza huu uzi kuwa ni wa kidini na SIO UZI UNAOTAKA KUONYESHA HISTORIA HALISI!

I will give you an example:-
We all know that "GURKAS" MOST OF THEM ARE BUDIST.
Why when there was a demonstration in london regards the "GURKAS" who fought alongside british army since second world war TO BE RECORGNISED, NOBODY SAYS THAT WAS A RELIGIOUS DEMONSTRATION?

How come today when someone decided to show that MUSLIMS DECERVE TO BE RECORGNISED IN TANZANIAN FREEDOM HISTORIES THAT PEOPLE LIKE YOURSELF THINGS "ITS RELIGIOUS BASED THREAD?? WHY??

The only way I can conclude here is PEOPLE ARE JELOUS!
JELOUS OF KNOWING THAT MUSLIMS DID ENDEED PLAY A BIG PART IN TO THE STRUGLE TOWARDS OUR INDEPENDENCE.

Hakuna mtu kasema waislamu ni mahodari kuliko wagalatia!Au ni wao tu ndio walioshiriki peke yao!
Historia iandikwe kwa haki! Thats all brother! And when that happen, we can all chill and relax and may be you guys can drink that dodoma wine and we can have our sharbati and faluda as always!
Teh teh teh teh.
Kuna mahali ambapo hujapaelewa kwasababu hufuatilii nyuzi na maandishi ya Mohamed Said kwa ufasaha na kwa uangalifu.

Katika nyuzi zilizopita tumejadili na watu wengi sana walikubali kuwa historia iliyokuwepo haikuwa kamili kwasababu kuna matukio, watu na vitu havikuorodheshwa. Tukasema ni vema ikaandikwa kwa uhalisia wake.
Hilo limesemwa

Mohamed Said anachokiandika ni kusahihisha makosa kwa makosa makubwa zaidi. Kwa mfano, katika maandishi yake huwezi kumuona akizungumzia role ya Cecil Matola akina Kyaruzi na wengine.
Amejikita kuwakuza watu kwa msingi wa dini huku historia hiyo ikielemea upande wa dini kwa kuruka viungo muhimu sana.

Mfano wa pili, Mohamed Said alificha kuhusu mchango wa Mary Knoll shirika la kikkristo huku akiwananga kuwa wao walishirikiana na wakoloni. Hapa akimnanga zaidi Nyerere kumuonyesha kuwa hakuwa na lengo la Uhuru alikuwa opportunist. Amemnanga sana Nyerere kwa elimu, imani na hata sehemu anayotoka(ushahidi upo)
Kibaya zaidi kaenda mbali hadi kumdhalilisha kuhusu vitoweo eti akiandika historia kamili.

Mohamed akaenda kafuta baadhi ya matukio ili kudhalilisha watu. Akazua habari ambazo zimethibitika kuwa si za kweli (ushahidi wa maandishi yake upo).

Lakini muhimu sana ninalotaka wewe uelewe ni kuwa Mohamed Said haandiki historia ili watu wajue tu, ana lake jambo.Katika maandishi yake ametumia historia ya kupamba waislam halafu anachomeka hoja kuwa dhidi ya kuwa wao wamepigania uhuru sasa wamegeuzwa kuwa raia wa daraja la pili.

Hii maana yake ni kuwa historia anayosema imelenga kuuandaa mazingira ya hoja zake za waislam kukandamizwa, kudhulumiwa licha ya kuwa wao wamepigania uhuru.

Hilo ni tofauti na kauli zako hapo juu kwasababu wewe unalenga historia iwe kamili wakati yeye analenga historia iwe silaha. Hapo ndipo watu wengi sana wanatofautiana na Mohamed.

Hakuna anyekataa kuwa sehemu kubwa ya wakazi wa Dar walikuwa waislam. Lakini pia haina maana kuwa uhuru ulipiganiwa kuanzia Dar pekee.

Mbuwane Syke alipokwenda kumpiga mkwawa kama mamluki ni kwasababu Mkwawa alikuwa anapinga ukoloni. Sasa hii ya kutenga kifungu cha wazee wa Kariakoo na kusema bila wao yasingetokea si kweli.

Ni kutokana na hayo ndio maana niliuza kama lengo ni kuwaenzi wazee watu wanashauri nini.
Hakuna mwenye hoja hadi zilipotafutwa njia za kusema viandikwe vitabu.

Ukweli ni kuwa watu wanataka wale wanaotajwa wapewe nyadhifa kama sehemu ya shukran na wewe ni mmoja wao uliyesema familia ya Kiyate iulizwe ienziwe vipi. Medali zinatolewa nini tena kinatakiwa?

Ni makosa sana kusema watu wanapinga Uislam kama anavyosema Chamvinga.
Ukweli ni kuwa watu hawataki historia ipotoshwe, itumike kwa masilahi au imani ya dini isingiziwe ili kuzuia watu wasiwe huru kuchangia.

Kwa mfano, wapo wanaoelewa ukweli tunaousema kuhusu MS lakini hawawezi kusema MS kakosea kwani kufanya hivyo ni kuwa dhalimu na kuukana Uislam. Wamesahau MS haandiki historia ya Uislam anaandika historia ya Tanganyika ambayo waislam ni sehemu yake.

Ukimsoma MS lengo lake ni kujenga mazingira fulani kwanza ili hoja zake zinazomchonyota zipate kusimama.
Sisi wengine tunasema la hasha! historia iandikwe kwa taratibu na kanuni zake kama ilivyo.

Dini ziwe sehemu ya historia kwasababu ni sehemu ya, lakini zisiwe kama ndiyo historia yenyewe kwasababu zilikuwepo kabla ya harakati.

Wazee wetu wamesema '' walipigania uhuru kumkomboa mwafrika'' Sasa hili la kupigania uhuru kwa ajili ya waislam Mohamed Said kalitoa wapi



Nakushukuru kuwa umezungumza kitu nikakusoma.

 
Hivi babu yangu aliyepigana vita ya maji maji Mbona sijaona jina lake likitambuliwa Kwenye historia ya nchi hii au Hata inayosimuliwa na MS, au kwa vile babu yangu hakusoma,...? Hata yeye alimbeba Nyerere kwa baiskeli akiieneza TANU,,, Mbona yeye hamumtaji.? Au kwa vile Hana jina la shehe au la ubatizo....?.... Hebu acheni ulalamishi wa kijinga, hivi kila mtanganyika akielezea historia ya ukoo wake ulivyopigania uhuru lakini hawajakumbukwa patatosha kweli hapa,... Kuweni na akili kidogo basi Hata za kuazima zinaruhusiwa ikiwa zako hazitoshi.
Ukumbi ni wako kumtaja mzee wako ambaye amesahulika.

Hapa hakuna anayelalamika watu wanaelezea uhalisia wamajambo.
 
Wickama,
Haya yote ya baiskeli nk. nk. unataka nikujibu mimi?

Kwa nini nikujibu mimi?
Mie ni chanzo cha taarifa hizo au lipo jingine?
Haa wewe si umeandika role ya Mshume Kiyate tena ukasema Kyaruzi alimfanyia nini Julius kuliko Kiyate.
Uliandika habari za sh 200 za mboga Julius alipokuwa anaenda kuomba sokoni! vipi useme wewe si chanzo!
Nani ametuleza chumba alicholala Nyerere na Mama Maria kama si wewe!

Vipi anunuliwe mboga na sigareti iwe nongwa akiuliza Wickama?
Tafadhali bwana usitufanye mazuzu kiasi hicho. Uandike wewe ukane wewe unasubiri tukwambie umetueleza jambo tusilojua!!! ndio ilm ya kufyonza hiyo! nikisema flip flops vijana wanasema nakutukana sijui sasa niseme nini.

MS sigareti Nyerere alinunuliwa na nani? Mboga tunajua !
 
Kuna maswali.mengine kama mtu ana elimu ya kawaida tu anapata majibu!
Sasa toka nyuma huko tunajadili nini? Mpaka wewe utake kuthibitishiwa kuwa Nyerere kawafuta waislamu ktk historia ili aonekane yeye ndio shujaa peke yake??

Au bangi za asubuhi hizi??

Halafu kuhusu bakwata nenda kawaulize wenyewe! Shariff Ritz si msemaji wa bakwata! Lkn kwa fikra na uono wangu BAKWATA wananukia ugalatia kama wewe!.
Sasa sijui hii harufu wameipata zaidi kwa nyerere au mkapa!?

Hapo labda tupekue zaidi!

Tehe tehe tehe tehe
 
Last edited by a moderator:
2013
Inaelekea wewe si mwenyeji hapa jamvini na ndiyo maana unauliza swali kama hilo.

Hebu soma hii kwa mukhtasari itakupa hali na hadhi ya BAKWATA kwenye macho ya
Waislam:

''On 28 April, 1993 bizarre occurrence took place.

In desperation and in its effort to salvage BAKWATA the Minister of Home Affairs and
Deputy Prime Minister Augustine Mrema
convened a meeting between Muslims and
Christians at the Diamond Jubilee Hall, Dar es Salaam.

The agenda was not stated.

The Church sent a strong delegation.

Muslims abstained except BAKWATA.

The few Muslims who turned up were there out of curiosity rather than conviction
that the meeting would bear fruits.

When the time for introduction between the two parties came, Muslims refused to
shake hands with the Church leadership.

Mrema addressed the meeting in which in his speech it was revealed that elections
for BAKWATA were long overdue and could not be held because of lack of funds.

The Church volunteered to provide funds to BAKWATA to enable it hold its elections.
The Minister for Home Affairs Augustine Mrema also helped to collect money from the
business community to fund BAKWATA elections.

When eventually BAKWATA met in Dodoma from 10 th -12 th May the guest of honour
was Augustine Mrema.

Instead of conducting elections BAKWATA passed some constitution changes to empower
the Grand Mufti Sheikh Hemed
bin Hemed with absolute powers to fireany executive member
without being answerable to anyone.''

2013
Ikiwa hayo hapo juu hayajakutosha sema niongeze In Sha Allah.

mkuu bila hata kujua source ya hii taarifa yako, na pia naiona ipo more superficial especially unapo-point kuwa church bila kutaja dhehebu .
je tatizo ni mrema?
ningetaka kujua tatizo ni mrema ambaye alikuwa kiongozi wa kitaifa aliyeitisha mkutano ule ama bakwata kupewa fedha na kanisa ama bakwata kupatana na kanisa ama katiba kubadilishwa kumchagua mufti??????????????????????

ikiwa mrema ni tatizo.
hivi mrema aliyezunguka nchi nzima akinadi uwepo wa mahakama ya kadhi na mashekhe huku haachi mpaka leo kuvaa kibarakashia, naye alikuwa tatizo?unajua ni nani alimpa ile kofia(ni mwislamu) unajua ni kwasababu gani?
mrema kuwaita bakwata ndiyo tatizo , unadhani waislamu wanajulikana kama uamsho/alshababu ama kwa chombo rasmi cha bakwata. hili ni kosa??? ulitaka awaite waislamu bila kutambua chombo rasmi kinachowasimamia?

ikiwa kanisa kusapoti bakwata

mbona hilo linaonyesha mshikamano kati ya kanisa na bakwata. kwenye maslahi ya wananchi wake. unataka kuniaminisha kuwa adui wa uislamu ni kanisa na hapo hapo unaonyesha kanisa likichangia(volunteering) uislamu.
pia unanipa picha kuwa waislamu wakishirikiana na wakristo kwenu ni wasaliti, unatarajia kuona wale radicle islam wanaoua wakristo na kuchoma makanisa kila siku ndiyo waislamu safi siyo? (uislamu bila vurugu ni ukafiri siyo?)
je wakristo watasalimika wakiona watanzania wenzao waislamu wakiuana kwasababu hawataki kufikia consesus??
pia unadhani kanisa linatakiwa kuyatambua makundi ya kiislamu yasio na majina ama yasiyo rasmi, badala ya kutambua chombo kilichosajiliwa na serikali kwa maslahi ya waislamu yaani Bakwata????.
k
ikiwa tatizo ni maafikiano.
je kila consensus ya jambo ni lazima wote tukubaliane na maamuzi? ni kwa na maana kuwa kuna ulazima waislamu wote waridhike ikiwa na maana kuwa haiwezekani wengine wakatofautiana mawazo.(kutofautiana mawazo huko unakutazama kama mmesalitiwa wote?
kwanini hao wanaojiita wengi wasioridhika wasifanye mabadiliko ya katiba na kumchagua watakaeridhika nae?

kubadili katiba ya kumchangua mufti.

alikuwa mufti wa wakristo ama watanzania waislamu?
je katiba haitakiwi kubadilishwa imekuwa kitabu cha dini?.
katiba hiyo inaongoza kanisa ama waislamu???
kwanini hamuungi mkono juhudi za amani badala yake makundi yenye kutaka kuchafua amani?.

penye red; hii takwimu ilifanyikaje kujua ni wachache na kwa muda gani?
penye blue; hili ni jambo la kujivunia ama la kulaani. amani iko wapi sasa kama watu wenyewe hawakutaka amani tangu mwanzo???
penye green: i can not get you clearly
huoni hapa kunahoja za kujaza chumvi ili moto uwakao usizime???????????

usimamia hoja kuwa uislamu umekaliwa na Ukristo ni hoja dhalili tena kwa uislamu wenyewe. iweje chombo cha haki na kikubwa zAidi nchini kiwasaliti kinaowatumikiA? NAPATA PICHA KUWA SHIDA NI KUGOMBANIA MADARAKA, NA KUTUMA WAUMINI KWAKWAMISHA MAENDELEO YA CHOMBO HUSIKA. TRUST ME MKIENDELEA NA HUO MTAZAMO SITASHANGAA KUENDELEA KUSIKIA MASHEKH WAMETUPIWA MABOMU NA KUMWAGIWA TINDIKALI NA WANAOJIONA NI WAISLAMU SAFI.
 
Wanasema ukitaka kumficha mswahili jambo weka katika maandishi!

Unaweza ukasoma kitabu chake lakini husifahamu maana!

Na ndio maana anaendelea kutusimulia simulizi nyengine ambazo mimi na wewe hatujapata kuzifahamu hapo kabla!

Au wewe hutaki kupata faida kwanini Abdu, Ali na Nyerere walikua hawasemezani kwa heri tena baada ya kupatikana kwa uhuru?

Hapo hapahitaji hayo makhanatha yako ya "koma mzee"


Tayeb;

1. Nimesema KOMAA mzee sio KOMA mzee hukuisoma ile nyuzi vizuri
2. Ukiandika kitabu kisha hakieleweki na wanunuzi ni kosa la mwandishi. Ila kitabu cha MS kinaeleweka. ninacho.
3. Hao wakina Sykes kugombana na kutosemezana, sio familia ya mwisho kupata mkasa kama huo. wengine hushikiana mapanga. Ila ni vizuri kuwatakia kheri. Nachojua bado wamo kwenye corridors of power
4. Simulizi hazidaiwi ushahidi (Alfu lela.....; Lord of the ring...), lakini ukizigeuza machapisho ya kihistoria lazima utadaiwa ushahidi ndio desturi Tayeb. Mimi nina hangaika na machapisho ya kitaaluma sio "LORD OF THE RINGS".
 
Haa wewe si umeandika role ya Mshume Kiyate tena ukasema Kyaruzi alimfanyia nini Julius kuliko Kiyate.
Uliandika habari za sh 200 za mboga Julius alipokuwa anaenda kuomba sokoni! vipi useme wewe si chanzo!
Nani ametuleza chumba alicholala Nyerere na Mama Maria kama si wewe!

Vipi anunuliwe mboga na sigareti iwe nongwa akiuliza Wickama?
Tafadhali bwana usitufanye mazuzu kiasi hicho. Uandike wewe ukane wewe unasubiri tukwambie umetueleza jambo tusilojua!!! ndio ilm ya kufyonza hiyo! nikisema flip flops vijana wanasema nakutukana sijui sasa niseme nini. MS sigareti Nyerere alinunuliwa na nani? Mboga tunajua !

Sheikh Chamviga; Unapata kitu hapa? Sikutaka kulirefusha hili jambo. Ridhika kwamba what goes around comes around.
 
Chamviga,
Ili mtu aone simulizi ni masimango au vinginevyo ni lazima achambue namna
jambo lenyewe lilivyohadithiwa.

Ikiwa ni lazima naweza nikaweka tena suala la ukarimu wa Abdu Sykes, Dossa
Aziz, Mzee Mshume si kwa Nyerere peke yake bali hata kwa watu wengine
katika TAA na TANU.

Mzee Mohamed Said sina shaka mimi na makusudio yako ya kumtajia Nyerere yale mema aliyofanyiwa na wazee wetu naamini umefanya hivyo kwasababu kiubinadamu iko hivyo. Kuna wakati unapofikiria ubaya alio/anaokufanyia mtu uliyemsaidia kwenye shida zake kubwa na hata ndogo kwakukuomba au kwa ukarimu wako lakini akatokea kukusaliti vibaya tena na kufikia hatua ya kutodhamini hata uhai wako ni rahisi sana kulalamika na hata kutaja nguo ya ndani uliyomsaidia ili kuonyesha msisitizo na uchungu ulionao dhidi ya matendo yake huyo uliemsaidia. The same ulichokifanya kwa Mwalimu Nyerere, Nyerere alipewa kampany kubwa sana katika strugle ya uhuru wa taifa hili lakini mwisho akaturn against wenzake wale aliosaidiana nao katika mapambano hayo. La kusikitisha zaidi ni kufikia hatua ya kuwaua, kuwafunga, kuwahamishia pahala pengine kwa chuki zake. Akaenda mbali zaidi na kutengeneza mfumo wa kuhakikisha historia ya hao watu inafutika kabisa. Katika hali hii unategemea mimi kama muathirika ninapolalamika na kuyasema mpaka yale madogo niliyomsaidia mtesaji wangu nitakuwa ninamakosa? Au ninamsengenya? Hapana hukumsengenya na hata dini inaruhusu kuyasema maovu ya viongozi yanayoonekana kuathiri watu wake.
Mkuu Wickama umenishauri kuziangalia ahadith sahihi zasemaje kuhusu suala la kusengenya bila shaka mimi nazifahamu mno na kwa uzuri sana hadith hizo alhamdulilah. Ni kosa kufanya usengenyaji katika uislamu na ni dhambi kubwa sana tena katika aya mwenyezi Mungu aliyetakasika na utukufu amekemea sana na Mtume Muhamadi s.a.w akafikia kufananiza usengenyaji kuwa uovu ni sawa na kula nyama ya binadamu mwenzako. Lakini kumbuka kuna mlango unaoruhusu kusema mabaya ya mtu hasa kiongozi ambaye mabaya yake yatakuwa yanaathiri jamii inayomzunguka kwa mfano akiwa anapotosha kwa makusudi. Mlango huo unaitwa kwa kiarabu 'JARHU WATA'ADIR' 'Jeruhi na kwa uadilifu' yaani kuyazungumza matendo ya kiongozi huyo tena kwa uadilifu pasi na kuvuka mipaka. Nyerere alikuwa kiongozi ambaye uongozi wake na misingi yake mibovu ndio inaliathiri mpaka leo taifa letu ambalo ndugu Jm Kikwete anajitahidi kulisimamia katika ujenzi wake. Uongozi wake ndio uliosuka mbinu za kuifukia historia sahihi na akajitahidi kujenga jina lake pekeyake. Uongozi wake ndio ulioanzisha taasisi dhalimu na kandamizi kwa waislamu ya BAKWATA. Kwanini asingumzwe? Hapo hakuna usengenyaji bali ni 'jarhu wata'adir'.

Kama mlifikia mahala kila mtu akasimama na msimamo wake basi na mimi soma msimamo wangu hapo juu nilioujenga kwa mujibu wa dini yangu.
Chamviga; Mchango wako ni mzuri. Awali (Threads ya Yericko...) tulifikia mahali na mzee MS tukakubaliana kila mtu kuwa na msimamo wake katika hili unaloita kusimanga. Binafsi, sina mashaka kabisa ni kusengenya kama utafuata katika sahih hadiths. Na kosa halifanywi ili kusahihisha kosa. Kusita kwangu na analysis yako ni kwa vile sina mahali naposoma ambapo nakuta mwandishi alishawahi kumfanyia fadhila Julius, kisha Julius akamgeuka. Pili, basi tuwekewe angalu wosia au rai ya hao watoa vyakula,malazi,baiskeli wakimpa mwandishi mamlaka ya kuwafichua wao na majina yao na fadhila zao kwa mgeni wao wakati kumbe hatuoni wahusika katika uhai wao wakilalamika kuhusu gharama zao juu ya mgeni huyu.
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mohamed Said sina shaka mimi na makusudio yako ya kumtajia Nyerere yale mema aliyofanyiwa na wazee wetu naamini umefanya hivyo kwasababu kiubinadamu iko hivyo.

Kuna wakati unapofikiria ubaya alio/anaokufanyia mtu uliyemsaidia kwenye shida zake kubwa na hata ndogo kwakukuomba au kwa ukarimu wako lakini akatokea kukusaliti vibaya tena na kufikia hatua ya kutodhamini hata uhai wako ni rahisi sana kulalamika na hata kutaja nguo ya ndani uliyomsaidia ili kuonyesha msisitizo na uchungu ulionao dhidi ya matendo yake.

Nyerere alipewa kampany kubwa sana katika strugle ya uhuru wa taifa hili lakini mwisho akaturn against wenzake wale aliosaidiana nao katika mapambano hayo. La kusikitisha zaidi ni kufikia hatua ya kuwaua, kuwafunga, kuwahamishia pahala pengine kwa chuki zake.

Akaenda mbali zaidi na kutengeneza mfumo wa kuhakikisha historia ya hao watu inafutika kabisa.
Katika hali hii unategemea mimi kama muathirika ninapolalamika na kuyasema mpaka yale madogo niliyomsaidia mtesaji wangu nitakuwa ninamakosa? Au ninamsengenya? Hapana hukumsengenya na hata dini inaruhusu kuyasema maovu ya viongozi yanayoonekana kuathiri watu wake.

Mkuu Wickama umenishauri kuziangalia ahadith sahihi zasemaje kuhusu suala la kusengenya bila shaka mimi nazifahamu mno na kwa uzuri sana hadith hizo alhamdulilah. Ni kosa kufanya usengenyaji katika uislamu na ni dhambi kubwa sana tena katika aya mwenyezi Mungu aliyetakasika na utukufu amekemea sana na Mtume Muhamadi s.a.w akafikia kufananiza usengenyaji kuwa uovu ni sawa na kula nyama ya binadamu mwenzako.

kuna mlango unaoruhusu kusema mabaya ya mtu hasa kiongozi ambaye mabaya yake yatakuwa yanaathiri jamii inayomzunguka kwa mfano akiwa anapotosha kwa makusudi. Mlango huo unaitwa kiarabu 'JARHU WATA'ADIR' 'Jeruhi na kwa uadilifu' yaani kuyazungumza matendo ya kiongozi huyo tena kwa uadilifu pasi na kuvuka mipaka.

Nyerere alikuwa kiongozi ambaye uongozi wake na misingi yake mibovu ndio inaliathiri mpaka leo taifa letu ambalo ndugu Jm Kikwete anajitahidi kulisimamia katika ujenzi wake.

Uongozi wake ndio uliosuka mbinu za kuifukia historia sahihi na akajitahidi kujenga jina lake pekeyake.
Uongozi wake ndio ulioanzisha taasisi dhalimu na kandamizi kwa waislamu ya BAKWATA. Kwanini asingumzwe? Hapo hakuna usengenyaji bali ni 'jarhu wata'adir'.

Kama mlifikia mahala kila mtu akasimama na msimamo wake basi na mimi soma msimamo wangu hapo juu nilioujenga kwa mujibu wa dini yangu.
chamvinga , kama unaongelea suala hili katika mizania ya dini unajichanganya. Nimesema huko nyuma suala la uhuru litenganishwe na dini kwasababu njema kabisa.

Pamoja na matumizi ya dini kuhalalisha hoja zako bado umejichanganya. Hoja yako katika kifungu cha mwisho unaanisha kujenga msimamo wako katika dini. Ukifika hapo lazima useme ukweli kwasababu dini hiyo uliyoitumia kuweka msimamo ndiyo inayoagaiza ukweli. Kwabahati mbaya umekiuka msingi ulioujenga mwenye. Nitaeleza

Umesema Nyerere alifanyiwa mema na kisha kuwageuga wenzake baada ya uhuru.
Usichosema ni kuwa hao waliotenda wema baadhi yao ndio walimtenga kwasababu ya imani yake mwaka 1957 na hata kupelekea kuanzishwa kwa AMNUT na kisha kujificha katika chaka la EAMWS kama Sheikh Amir.
Umeshindwa kusema ukweli kuwa Nyerere aliwatendea wema kama kumtaka Sheikh Amir awe sehemu ya baraza la mawaziri na sheikh kukataa.

Umeshindwa kueleza kuwa waliokorofishana na mwalimu si wote ni baadhi kwasababu zile zile za kutaka kumuondoa madarakani si kwa njia ya kura bali ya imani yake.

Kwakushindwa kusema hayo msimamo wako wa kidini haukufuata maadili ya dini ya ukweli.
Haukufuata maadili kwasababu hata vifungu unavyotumia kuhalalisha ubaya bado vinajichanganya. Nitafafanua:

Malalamiko ya kuonewa yalitakiwa yasemwe na walionewa kwa maana ya kuwa wao ndio waathirika.
Hakuna mahali katika rekodi Mshume Kiyate alipita barabarani akitangaza msaada wa sh 200 na mboga kwa omba omba Nyerere.

Hakuna mahali ambapo hadi sasa tumeona au kuonyeshwa kuwa Abdu Sykes alipita bara barani akieleza chumba alichomwachia Nyerere na Mkewe.
Ninaamini kuwa wazee hawa alifanya kwa nia njema kabisa na wala si katika kusenganya.

Anayeleta hoja ya kusengenya ni Mohamed ambaye ni msimuliwaji. Pengine angeandika katika lugha njema isingeleta taabu, ameandika katika lugha dhalili kwa Nyerere na hivyo kukiuka kanuni ya Jarhu wata'adir.

Ingeelezwa kuwa wazee hao walimfadhili Nyerere wakati hana kazi hiyo ingesomeka kama Jarhu Wata'adir. Lakini inapokwenda hadi kuzungumzia vitoweo na malazi hiyo ni dhalili.

Sijui kama dhalili ni jambo jema naomba msaada wako ili nisije andika nikajeruhi kwa kupindukia(Jarhu wata'adir)

Unaposema Nyerere amejenga misingi mibovu ya taifa hili hapo ume generalize. Misingi gani unayoongelea? Tena unasema JK Kikwete anajitahidi kurekebisha. Umesahau kuwa ni Nyerere aliyejenga mazingira ya JK Kikwete kuwa rais kuanzia utotoni hadi ukubwani kama ilivyo kwa akina Mohamed Said n.k.

Umesahau kuwa kuna marais wawili waliopita kabla ya JM Kikwete ambao kila mmoja alikuwa na mchango wake kwa namna moja au nyingine.

Kisichokuwa na ubishi ni kuwa wote wamefanyakazi katika mazingira aliyeoyajenga Nyerere.
Hakuna anayefanya jambo ambalo Nyerere hakulifanya, hakuna nasimama kwa hili kwa ushhidi wa kutosha!

Hivyo ukiona mtu anavuna jiulize nani alipanda mti huo wa matunda. Au ndio yale ya Tabora mtu kusema huu ni mwembe wangu wakati historia inaonyesha ulipandwa wakati wa Abushir? Nani anakumbuka hilo!

Yote hayo umeyafanya kwa kuvuka mpaka na wala hakuna jarhu mata'adir.
Hakuna uhalali wa kujenga excuse kwa upande mmoja na kuvuka mipaka kwa upande mwingine.
Usiposimama kusema ukweli hapoa utakuwa umekiuka msingi wa kutumia jarhu mata'adir.

Ahsante
 
Last edited by a moderator:
Wapi katajwa Mohamed Said? Badala yake nimeeleza 'tumeelekeza..' nikimaanisha sisi. please acheni spinning.

Hata mtoto mdogo ukimuuliza hapa alikusudiwa nani ataelewa, nakuuliza wewe sasa, hapa ulimkusudia nani ingawa hujataja jina?
quote_icon.png
By Nguruvi3
Kwa mujibu wako! Kama ingekuwa yenyewe isingeweza kuwa na matundu kila mahali.
Historia gani usiyoweza kuitetea mwenyewe? Historia gani unayojifanyia quotation! please usichanganye neno historia na hisia.

Tuonyeshe wapi' wenye historia hiyo wanasema iandikwe kama ya kidini! tuonyeshe kama huna jibu kaa kimya usiharibu kizazi kwa uzushi. Zipo njia nyingi za kujikimu na muogope mwenyezi mungu.
 

Anayeleta hoja ya kusengenya ni Mohamed ambaye ni msimuliwaji. Pengine angeandika katika lugha njema isingeleta taabu, ameandika katika lugha dhalili kwa Nyerere na hivyo kukiuka kanuni ya Jarhu wata'adir.

Hayo ni maandiko yako, au sio?

Sasa kwa faida ya wana jamvi, tupe ushahidi.

Tunangoja.
 
Unajitahidi sana kukwepa uhalisia wako na tabia yako ambayo kuificha hata huwezi.
Kumbuka mtu hawezi kuwa na PARANOIA dhidi ya mwingine hivihivi unless umeshawahi kumfanyia kitendo cha kupelekea kukuchukulia hivyo.

Ninakusoma sana nguruvi3 katika maandishi yako mengi ambayo unachangia humu jamvini may be ndio kilichonifanya kuwa na Paranoia dhidi yako kwani mawazo yako huwa yamejaa kejeli na dhihaka kwa waislamu na hata maeneo watokayo.
Ok let it go kwani hata utudhihaki na kutukejeli still hauwezi kuzuia mvua ya mabadiliko. Tutaendelea kupaza sauti na kuusema ukweli uliofukiwa miaka mingi kwa makusudi.
Naweza kusema kwa dhati kuwa ulikuwa na prejudice kuhusu mimi kuanzia siku nyingi na hilo limepekelea kuwa na paranoia kuhusu mimi pia.

Nimesema mara zote kuwa ninaheshimu sana wanadamu na haki zao. Nikipita mtoni nikamuona anaabudu au chini ya mbuyu au Msikitini na Kanisani, katika masinagogi na matempo hakika sitii neno kwasababu hiyo ni haki yake na wala siana sababu za kumwingilia kwasababu siana haki hiyo na ni kinyume na ubinadamu.

Tabia inayoniponza ni kusema ukweli na kuusimamia. Nitasema ninachotaka kusema na si kile watu wanataka kusikia.Najua hatuwezi kukubaliani sote lakini basi tukubaliane kwa yaliyo wazi japo kwa uchungu au maumivu.

Unachoksisema ni dhihaka ni mifano yangu inayotia maudhi kwasababu ya ukweli wake. Nikisesema Mkuranga mwalim mkuu msadidizi ni mwanfunzi hakuna anayependa kusikia hilo kwasababu watu hawapendi hata kama habari imeandikwa na kusomeka kwa ushahidi nchi nzima.

Nikifananisha na machame na kuuliza kwanini Bakwata iathhiri eneo fulani na si nchi nzima inaonekana nimetaja maeneno wanayotoka waislam hata kama mifano hiyo ni ya maeneno yanayofanana.

Watu wawe wakweli na kukubali changamoto. Tukae pamoja tujiulize kwanini tunalipa kodi wakati huo huo hakuna walimu wa kutosha tena chini ya KM 120 kutoka Dar es Salaam.

Tuchukue mifano mizuri na kuifanyia kazi kwa manufaa ya jamii yetu. Tusiogope kusema kwanini Kirinjiko na Maua sekondari wanafanya vizuri wakati Masjid Quba na St Josph wanafeli.

Tuwe wamoja kukabliana na changamoto na si kutafuta sababu za mkao za kuhalailisha mapungufu yetu.
Hilo litawezekana tukiita koleo kama kole na si kijiko kikubwa kwa kuongozwa na ukweli.



 
mkuu bila hata kujua source ya hii taarifa yako, na pia naiona ipo more superficial especially unapo-point kuwa church bila kutaja dhehebu .
je tatizo ni mrema?
ningetaka kujua tatizo ni mrema ambaye alikuwa kiongozi wa kitaifa aliyeitisha mkutano ule ama bakwata kupewa fedha na kanisa ama bakwata kupatana na kanisa ama katiba kubadilishwa kumchagua mufti??????????????????????

ikiwa mrema ni tatizo.
hivi mrema aliyezunguka nchi nzima akinadi uwepo wa mahakama ya kadhi na mashekhe huku haachi mpaka leo kuvaa kibarakashia, naye alikuwa tatizo?unajua ni nani alimpa ile kofia(ni mwislamu) unajua ni kwasababu gani?
mrema kuwaita bakwata ndiyo tatizo , unadhani waislamu wanajulikana kama uamsho/alshababu ama kwa chombo rasmi cha bakwata. hili ni kosa??? ulitaka awaite waislamu bila kutambua chombo rasmi kinachowasimamia?

ikiwa kanisa kusapoti bakwata

mbona hilo linaonyesha mshikamano kati ya kanisa na bakwata. kwenye maslahi ya wananchi wake. unataka kuniaminisha kuwa adui wa uislamu ni kanisa na hapo hapo unaonyesha kanisa likichangia(volunteering) uislamu.
pia unanipa picha kuwa waislamu wakishirikiana na wakristo kwenu ni wasaliti, unatarajia kuona wale radicle islam wanaoua wakristo na kuchoma makanisa kila siku ndiyo waislamu safi siyo? (uislamu bila vurugu ni ukafiri siyo?)
je wakristo watasalimika wakiona watanzania wenzao waislamu wakiuana kwasababu hawataki kufikia consesus??
pia unadhani kanisa linatakiwa kuyatambua makundi ya kiislamu yasio na majina ama yasiyo rasmi, badala ya kutambua chombo kilichosajiliwa na serikali kwa maslahi ya waislamu yaani Bakwata????.
k
ikiwa tatizo ni maafikiano.
je kila consensus ya jambo ni lazima wote tukubaliane na maamuzi? ni kwa na maana kuwa kuna ulazima waislamu wote waridhike ikiwa na maana kuwa haiwezekani wengine wakatofautiana mawazo.(kutofautiana mawazo huko unakutazama kama mmesalitiwa wote?
kwanini hao wanaojiita wengi wasioridhika wasifanye mabadiliko ya katiba na kumchagua watakaeridhika nae?

kubadili katiba ya kumchangua mufti.

alikuwa mufti wa wakristo ama watanzania waislamu?
je katiba haitakiwi kubadilishwa imekuwa kitabu cha dini?.
katiba hiyo inaongoza kanisa ama waislamu???
kwanini hamuungi mkono juhudi za amani badala yake makundi yenye kutaka kuchafua amani?.

penye red; hii takwimu ilifanyikaje kujua ni wachache na kwa muda gani?
penye blue; hili ni jambo la kujivunia ama la kulaani. amani iko wapi sasa kama watu wenyewe hawakutaka amani tangu mwanzo???
penye green: i can not get you clearly
huoni hapa kunahoja za kujaza chumvi ili moto uwakao usizime???????????

usimamia hoja kuwa uislamu umekaliwa na Ukristo ni hoja dhalili tena kwa uislamu wenyewe. iweje chombo cha haki na kikubwa zAidi nchini kiwasaliti kinaowatumikiA? NAPATA PICHA KUWA SHIDA NI KUGOMBANIA MADARAKA, NA KUTUMA WAUMINI KWAKWAMISHA MAENDELEO YA CHOMBO HUSIKA. TRUST ME MKIENDELEA NA HUO MTAZAMO SITASHANGAA KUENDELEA KUSIKIA MASHEKH WAMETUPIWA MABOMU NA KUMWAGIWA TINDIKALI NA WANAOJIONA NI WAISLAMU SAFI.

Teh teh teh teh!

Kijana 2013 umerudi na kale ka mchezo kako ka kupinga ngoma mwenyewe na kucheza mwenyewe!

Unapotaka kujua kitu basi wajibu wako ni kuuliza. Baas!
Sio unauliza halafu unatoa jibu mwenyewe! Na unaongezea maneno yako meeengi!

Sasa mwalimu unaemuuliza hayo maswali atakusaidia vipi!?

Haya ndio matatizo ya kukesha kwenye ngoma za michiriku! Unapiga na kucheza mwenyewe!
Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Sawa Mzee MS,
Hebu tupumue kidogo. Utamu wa mnakasha ni kuulizana hata ambiguities. Huoni kama kuna a missing link? Walimnunulia baiskeli, mboga, kumpisha malazi, kumfundisha mavazi rasmi (kaptula-NO). What about cigarettes? Iam curious kujua ni wazee gani walikuwa staunch friends wa Julius lakini pia walikuwa smokers!!!! Haiwezekani kwamba kijiwe chote cha hawa wazee hakukuwa na smokers!!!! We know Julius was a confirmed smoker.

Tafadhali sheikh.
Wickama,
Haya yote ya baiskeli nk. nk. unataka nikujibu mimi? Kwa nini nikujibu mimi? Mie ni chanzo cha taarifa hizo au lipo jingine?
Mohamed Said :...Kariakoo na Nyerere kulala chumba cha Abbas.

Hii ndiyo ilikuwa ghera ya TANU...

Hapo Kariakoo Nyerere anakwenda kwa Market Master
Abdu Sykes na Abdu kapu anamkabidhi Mzee Abdallah
aliyekuwa mesenja pale. Dakika kumi kapu lishatakata.
Haya mzee Said, tumalize na la sigareti maana tumeshaona chanzo
 

Tabia inayoniponza ni kusema ukweli na kuusimamia. Nitasema ninachotaka kusema na si kile watu wanataka kusikia.Najua hatuwezi kukubaliani sote lakini basi tukubaliane kwa yaliyo wazi japo kwa uchungu au maumivu.


Jee, umesahau ulipodanganya kuwa Mohamed Said alikuwa BAKWATA? alipokuja kukana hili ukashindwa kutoa ushahidi.

Sasa huo wa kuzuwa kuwa Mohamed Said alikuwa Bakwata ndio ukweli au uongo?

Msema kweli hata siku moja hakai akajisifu "mimi nasema kweli" utamjuwa kwa ukweli wake tu, hana haja ya kumuaminisha mtu kuwa yeye ni mkweli ikiwa kweli yu mkweli.

Mimi nakuona ni muongo tu.
 
Jee, umesahau ulipodanganya kuwa Mohamed Said alikuwa BAKWATA? alipokuja kukana hili ukashindwa kutoa ushahidi.

Sasa huo wa kuzuwa kuwa Mohamed Said alikuwa Bakwata ndio ukweli au uongo?

Msema kweli hata siku moja hakai akajisifu "mimi nasema kweli" utamjuwa kwa ukweli wake tu, hana haja ya kumuaminisha mtu kuwa yeye ni mkweli ikiwa kweli yu mkweli.

Mimi nakuona ni muongo tu.
Nimesimama na hoja alikuwa Bakwata!
 
Nguruvi 3 kabla ya kuleta malakamiko yote Haya ya sigateti mara kuvaa kaptula unajua maana ya "Jarhu Wata'adil"
Ndiyo ninaijua kupitia Chamvinga hapo juu ikiwa na maana kujeruhi kwa uadilifu bila kuvuka mipaka. Naam! kumwambia Nyerere alilala kwa fulani na kuomba mboga ni kupindukia Jarhu wata'adil

Mboga, kaptura hizo tumeshapita kwa ushahidi kutoka kwa Mohamed Said. Wickama alikuwa anauliza for curiosity, nani alimnunulia nyerere sigereti? tunahitaji kufyonza ilm ndio maana watu wanauliza.
 
Last edited by a moderator:
dr kahtaan
Namfahamu sana siku nyingi huyu kaka. Tatizo moja huwa ni mnafiki sana anajifanza kuufahamu uislamu hasa anapoona mambo yanamwia magumu utasikia akihoji uislamu haufundishi hivyo. Hata hapo kaja na kile alichookita ati ni MTAMA na kuwatoa wazee katika uislamu wao kisa walifanya matambiko. Nani kamuambia muislamu akifanya kosa hata la ukafiri anakuwa kafir? Huyu ni mtu wa ajabu sana kwani anasura mbili katika maandishi yake. Ok twende nae hivyo atleast watu tunapata kuufahamu ukweli kupitia kujikongogonga kwake.

Naam twaiyyib al murad CHAMVIGA !
Sura mbili indeed!
Kaahidi kumwaga Mtama! Mimi nasubiri kwa hamu!
Anakuja kutumwagia mapovu ya pombe ya mnazi!
Teh teh teh teh!

Ikabidi mi nikimbie kidogo kuepuka najsi!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom