Sina uhakika kama kuna mtu kawaita bakwata kuwa ni makafiri unless aliandika kimakosa badala kusema sio makafiri akasema ni makafiri. Ni mtu asiyeijua dini pekee ndio atawaita bakwata ni makafiri. Kuna kanuni moja katika soma la Aqidah(mising) ya dini inasema "WALA HATUSHUHUDILII KUWA FLANI NI MTU WA PEPONI AU MOTONI ISPOKUWA KWA WALE WALIOTHIBITIKA KWAO DALILI" Maana yake ni kwamba hatuwezi kumuita mtu huyu ni kafir(ataingia motoni) au muislamu(ataingia peponi) ispokuwa kwa wale waliothibitikiwa na dalili za kuwa hivyo. Mfano Mitume wote wataingia peponi kwasababu quruani imethibitisha hilo, kuna wale maswahaba kumi waliobashiliwa pepo akiwamo Abubakar r.a, Omar r.a, Uthmaan r.a, Ally r.a,Sayd ibn Zaid r.a, Sa'ad ibn Abi waqasi r.a, Abdurhman ibn Aufi r.a, Twalha ibn Abdillah r.a, Abu Ubaida bin Jaraha r.a na wengineo waliotabiliwa pepo na Mtume s.a.w ama kwa upande wa wale waliothibitikiwa kuingia motoni ni Makafir wote yaani wakristo, Mayahudi, Majusi n.k na twasema hivyo kwakuwa quruani imelisema hilo. Kumbuka wakati huo pia kuna Makafiri miongoni mwa waislamu lakini kamwe hatuweyi kuwatamkia wao ni makafiri mpaka watìbitishiwe hilo tena sio mimi wala
Ritz ila na maulamaa wenye cheo cha kiulamaa. Hapa nitakupa mfano wa watu walio na identity ya kiislamu ila wamekufurishwa kutokana na maovu yao makubwa walioufanyia umma wa kiislamu ni kiongozi wa mapinduzi ya iran Ayatollah Khomein. Bila shaka kwa ufafanuzi huu umenipata kidogo.
Ayatollah
Chamviga,
Asalaam Alaykum,nakusomeni sana
Al Akhiy na
Shukran kwenu
nyoote hapa jamvini kwa kunifungua macho na kunifundisha kwa yalo mangi.
Nimesoma hiyo
bayana yako kiduchu,ikanilazim kucheka...kumbe ndo maana siku ile ukanambia yakuwa huna hakika na hilo jina nilokupa la
Ayatollah!? Kwi! Kwi! Kwi!
Naona Askofu
Nguruvi3,kaamua kuvua majoho yake na ati sasa nae ameamua kutambaa na uchambuzi wa
"Tartib Al Adab"!? Kwi! Kwi! Kwi!...
Wallahi,humu
Jf pana vitimbi/vituko vingi mno! Kwi! Kwi! Kwi!
Kwa kifupi,yeye
Nguruvi3 afanzacho sasa ni kutumia
Psychological Warfare and/or playing game. Anajitahidi mno
kudodosa mle mle kwenye majawaba mumpayo na kutafuta zile
loop holes za kitoto.
Jaribu kuwa
mwangalifu nae kiduchu,wala sikufundi jinsi ya kumjibu,hasha!...nisemacho ni yakuwa kuwa makini/
balance na majawaba yako huku uki-
anticipate suali jingine toka kwake katika hayo hayo
majawaba yako!? Kwi! Kwi! Kwi!
Bwana
Nguruvi3,pamoja na yoote lakini yeye ni
mwenzetu "kiaina"...yeye bila ya
sisi "hawezi" kuishi,nasi bila ya yeye "hatuwezi" kuishi. Twende nae tu hivyo hivyo,la si hivyo
tutamtupia nani!? Kwi! Kwi! Kwi!
Kuhusu ile khabar ya
Ayatollah Khomein,nafikiri labda pia ni uzuri
Al Akhiy,tujihadhari na kwenda nje mno ya
mada yetu khasa pale tunapotoa mifano kadhaa,japo nimependa pia huo mfano ulogusia.
Hizo
geopolitics,mie ndo mojawapo ya fields zangu na ninawezajinasib yakuwa kwa kiasi changu natambua mangi mno...lakini pia nakubali yakuwa pana wengi mno hapa
jamvini mjuao mangine mangi mno kunizidi mara alfu!
Nakukumbusha kiduchu tu;
Maulana Ayatollah Khomein, ndie mmojawapo ya
Viongozi wa
Kiislam duniani waliofanziwa
attacks na
character deformation nyingi mno pita kiasi,na wale maharamia wa
Western World kwa kutumia zile mainstream media outlets zao...khasa wale
CIA,
State Depart. Strategists,
Zionist Propagapanda machine/Movement,
Saud Royal Family na mangineyo mangi mno pasi kiasi!
Na hayo mambo nafikiri unayafahamu
kiundani na jinsi mpaka kesho yanavyoendelezwa humu
dunia nzima!?
Kwa kifupi,huku
kuchafuana baina ya
Waislam kama tunakokuona leo
duniani,baina ya
Saud Royal family/Gulf States,Amerika na
Iran kwa upande mwingine...kunaleta na kusababisha
mparaganyiko na
athari kubwa mno kwa sisi
Waislam wenyewe
popote tulipo duniani na hata pia kwa
jamaa zetu wengine tunao-
share nao hii dunia!?
Sijui mwenzangu unafahmu vipi "
uhusiano" wa karibu mno na wa miaka mingi pita kiasi,baina ya
Amerika,
Saud Royal family na Israel!?
Haya mambo ni
makubwa mno na ya
kiundani...na madhara yake mengi yanatupata sisi
nchi/watu maskini duniani hata bila ya kujali tafauti ya
imani na
itikadi zetu.
Nimetembelea mara kadhaa kwa shughuli za hapa kibaruani pangu,pale Tehran,Qoom,Baluchstan,Islamabad,Jeddah,Lebanon,Damascus na ile Israel miji kadhaa na pia tuna
family pale...unajua Wifey wangu ni Austrian Jew.
Hao ndugu zetu wa Ki-
Iran ni watu wema mno na walikua wako
civilised dahri nyingi mno,hata kabla ya Mtume wetu mtukufu hajazaliwa...japo wakti huo wao walikua wakiabudu moto...
Zoroastrianism! Kwi! Kwi! Kwi!
Nakumbuka haya majambo kuna wakti nilifanza mabishano
"mapana" ya kimazungumzo na Bwana Rostam Aziz...mwishowe tulifikia tamati ya
agree to diagree!? Kwi! Kwi! Kwi!...si unajua yeye ndugu yetu asili yake ni wale
Sunni wa kule
Iran.
Mimi nimeona kwa macho yangu
hishma na
vyeo kwenye nyanja mbalimbali wanapozopewa Jews,Atheist,Sunnis,Budhists na wengineo wengi kwenye ile
Islamic Republic of Iran...kuliko hata huko kwenye hizo nchi nyingi za
Western wenye kujiita ati ndo
"Civilised".
Nilishawahi pia kufanza mazungumzo ya
kina na
Sheikh Abdillahi Nassir pale Nairobi...unajua yeye ndugu yetu ni Kiongozi/Imam mkubwa mno wa ma-
Shia kwa hapo
East Afrika...lakini mwishowe tukaishia kucheka na kumwambia bado hajanipata!? Kwi! Kwi! Kwi!
Si unajua yule mtu
Ilm zake zoote
secular/Islamic ni kubwa na pana mno...nami kwa umbumbumbu wangu ati nilijifanza kutaka kumuuliza visuali vyangu vya kitoto.
Nafikiri haya yatosha kwa leo Al Akhiy,na
Insha Allah labda siku nyingine tupate wasaa kunyambua kwa undani tukiwa hapo
Lushoto na
Mtae!?
Shukran kwa kunisikiza,na niwie radhi Al Akhiy kama kuna lolote nimenena kwa
ukosefu labda wa
Ilm.
Hata hivyo nimefurahika kunijaalia fursa hii ya kuzungumza nawe.
Ahsanta.