Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Ndio maana naasema utafiti unilishafanya. Hao wanaomalaani ukiwauliza kwanini hawana majibu.

Mwapachu alisoma Makerere, mtoto wake akaenda shule, wajukuu wa mwapachu wameenda shule ukiangalia hali za maisha yao zinazidi kuimarika kila siku.
Nenda kwa mwenzangu mimi anayepiga kelele tu, baba yake, yeye na watoto hakuna afadhali.
Ukimuuliza anasema Nyerere. Nyerere gani huyo anayechagua waislam?

Ukienda Machame wanakaa vikao kuangalia watoto waende vipi shule. Ukienda Mkuranga unakuta mwl mkuu msaidizi ni mwanafunzi. Ukienda machame utasikia harambee za kujenga shule karibu na kiwanja cha msikiti, ukienda mkuranga utasikia wanamlaani na kumzomea Nyerere msikitini.

Lazima uiangalie nchi from different angle. Kitu kinachonitofautisha na wengi hapa jamvini ni kuifahamu nchi yetu vema. Nimeishi kila eneo kuanzia Kibuyi Musoma hadi Kadewele, Manyovu hadi Mkuranga. Nimeishi na jamii nyingi za imani zote nafahamu udhaifu wa jamii hizo ndio maana nakuambia ukweli kuwa Mwislam mwenye education yake huwezi kumkalisha chini ukamfundisha historia ya MS ya kumzomea Nyerere.

Huu ni wakati wa kukaa chini na kutafuta mikakati ya kujikomboa katika masuala mbali mbali.
Kwanini Masjid Quba itoe zero za kutosha na Kirinjiko itoe A za maana, Nyerere anaingiaje hapo.
Acheni kufundishwa ujinga na mkaukumbatia.

Nguruvi3.

Sasa naona umegeuka kuwa msemaji wa familia ya Mwapachu, teh teh teh.
Ndio maana naasema utafiti unilishafanya. Hao wanaomalaani ukiwauliza kwanini hawana majibu.

Mwapachu alisoma Makerere, mtoto wake akaenda shule, wajukuu wa mwapachu wameenda shule ukiangalia hali za maisha yao zinazidi kuimarika kila siku.
Hii hoja yake mbona dhaifu sana kama suala la kwenda shule hata familia ya Abdulwahid Sykes ni wasomi pia, mtoto wake wa kwanza kike Daisy Abdulwahid Sykes, kaandika historia ya babu yake na baba yake wakati anasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, na unajua unyama wa Nyerere aliowafanyia wazee wake wa Dar es Salaam.
Nenda kwa mwenzangu mimi anayepiga kelele tu, baba yake, yeye na watoto hakuna afadhali.
Ukimuuliza anasema Nyerere. Nyerere gani huyo anayechagua waislam?
Hawa ndiyo wengi wanaunganishwa na Uislam wao, hawa hawataki hata kumsikia Nyerere toka awafanyie unyama Masheikh.

Baada ya kupatikana uhuru kilichofuatia ni kuwakamata hawa masheikh na kuwafunga jela, Sheikh Abdulkarim Abdulwahid, Maalim Popo Saleh, Sheikh Suleiman Masudi Mnoji, Sheikh Jumanne Bias, Sheikh Bilal Waikela, Ali Migeyo, Maalim Matar, Sheikh Nurdin Husein, Sheikh Ali Comorian, Sheikh Al Amin Mafta, Sheikh Hashimu Haji, Sheikh Abdalla Mwamba, Sheikh Amin Abdalla, Sheikh Maftaa, na wengine wengi.
Ukienda Machame wanakaa vikao kuangalia watoto waende vipi shule. Ukienda Mkuranga unakuta mwl mkuu msaidizi ni mwanafunzi. Ukienda machame utasikia harambee za kujenga shule karibu na kiwanja cha msikiti, ukienda mkuranga utasikia wanamlaani na kumzomea Nyerere msikitini.
Teh teh teh!!! naona umeamua kujiliwaza na kujifariji kuichagua Mkuranga, kwa kukusaidia, achana na Mkuranga, anza na Dar es Salaam, Mwanza, Morogoro, Tanga, Shinyanga, Tabora, Bukoba, Singida, na mikoa mingine Mkuranga unawaonea bure na habari za Nyerere.
Lazima uiangalie nchi from different angle. Kitu kinachonitofautisha na wengi hapa jamvini ni kuifahamu nchi yetu vema. Nimeishi kila eneo kuanzia Kibuyi Musoma hadi Kadewele, Manyovu hadi Mkuranga. Nimeishi na jamii nyingi za imani zote nafahamu udhaifu wa jamii hizo ndio maana nakuambia ukweli kuwa Mwislam mwenye education yake huwezi kumkalisha chini ukamfundisha historia ya MS ya kumzomea Nyerere.
Teh teh teh, hapa unawaongela Bakwata, Nguruvi3. hata mimi nitembea sana hii Tanzania na dunia na bado natembea kila siku kutokana na kazi zangu.
Huu ni wakati wa kukaa chini na kutafuta mikakati ya kujikomboa katika masuala mbali mbali.
Kwanini Masjid Quba itoe zero za kutosha na Kirinjiko itoe A za maana, Nyerere anaingiaje hapo.
Acheni kufundishwa ujinga na mkaukumbatia.
Wewe kweli kauzu ndiyo maana unaambiwa unaandika uharo, mjinga ni wewe, kwa nini ST. JOSEPH INTERMBOGO Wilaya kasulu itoe zero za kumwaga na St. Francis Girls (Mbeya), itoe A za maana.

Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Ndo maana mara nyingi nakuambia viwango vyako vya uwelewa vipo chini sana,
Kwa mantiki hiyo ya kukubali kuchelewa kuelewa tunashukuru, sasa tunakutaka uwe na utaratibu mzuri wa kuuliza pahala ambapo unakuwa hujaelewa na si weye pekee, wajuze na swahibu zake ,najua wananisoma na wanajisoma maulizo yao,
Ushauri wa bure, kuwa mtulivu sana katika darsa huenda ukabahatika kuondokwa na ubishi wa kukariri,
Endelea kumsoma gwiji la Histori, Mzee muungwana asojadhba Maulaana Adduktuur Muhamad Saeed.

Sasa majibu yako wapi?
Mbona naona ngonjera tu hapa/

Au huna majibu?
 
Ku-quote maelezo yako mwenyewe ili kuunga mkono madai yako mwenyewe is absurd
Maelezo yako mwenyewe sio chanzo cha uhakika ndio maana kuna watu hapa wanakupinga

Hivyo kujaribu kuhalalisha kile unachosema hapa kwa kujinukuu ni kama vile kusema wewe sio mwizi kwa kudai hata msikitini uliwahi kusema hivyo

Halafu kitendo cha kudai kuwa Waislam walikuwa na ushawishi mkubwa nimesha kukatalia kutokana na Uislam wenyewe kukana kuwaambia Waislam washirikiane na watu wa dini nyingine hasa Wakristo hivyo hilo nalo sio ukweli,ni bora tu ungejenga hoja kuwa wale walikuwa ni waislam lakini hawakufanya hivyo kwa sababu za kidini


Sijakuelewa kwakuwa hapo ni wewe huyohuyo uliezungumza kwenye mambo yote mawili[kitabu na hapa JF]
Kitendo hiki kinazifanya hoja zako kuwa mfu

Bado maelezo yako haya yanahitaji verification huru na sio maelezo yako mwenyewe kuyafanya kama verification ya madai yako mwenyewe

Bado hakuna uthibitisho wa madai yako hapa!


Eiyer,
Niwie radhi mimi siko hapa kwa ajili ya kubishana.

Wala siko hapa kuwa kile nisemacho mie mtu akiiamini.

Mimi wala si kama na ''quote'' maneno yangu kwa maana unayofikiria wewe ya
mie kutaka kushinda mnakasha.

Mimi naweka hapa yale niliyoandika kwa kuwa wengi hawajui historia kama
niijiavyo mimi.

Labda kama utanipinga kuwa siijui historia ya wazee wangu katika kupigania
uhuru wa Tanganyika.

Huku kujua historia ya wazee wangu ndicho kinachonifanya niweke yale niliyoandika
katika kitabu changu hadharani watu wasome.

Siweki kwa nia ya kufanya ubishi na kutaka kushinda.
Ulipouliza lile swali nikakuchukulia kuwa unataka kujua.

Unao uhuru wa kuamini nilichoandika au kukataa.
Wala hapana ugomvi katika hilo.

Ikwa hivi ndivyo hiyo ''absurdity'' haipo.
Waarabu wana msemo: Ukijua sababu ajabu hutoweka.

Halikadhalika ikiwa na wewe unalo jipya ambalo halifahamiki ahlan wasaalan
leta hapa jamvini tutakisoma na sote tutaelimika.

Nadhani umenielewa.
 
Mohamed unajidanganya. Zoezi limefanikiwa kwasababu takwimu za population zipo.
Kuna taasisi za kiislam na waislam walishiriki zoezi kikamilifu na wala hawakuwa na tatizo.

Of course kuna kikundi cha wapuuzi walikimbia na kuacha wake zao wahesabiwa! if that is not stupid I don't know what it is. Kwamba mume kakimbia asipatae dhambi kamwacha mke na watoto wakahesabiwa!
MS do you see the kind of leaders you have in your 'small society of extremist '

Kila siku nimekuwa nawaeleza kuhusu historia ya Mohamed Said. Nimesema huko nyuma kuwa Mohamed Said haandiki historia ili kuonyesha kisichojulikana bali anaandika ili kupandikiza chuki.
Nimemvuta hadi ameingia katika kile alichiokuwa anakikwepa tangu uzi uanze.

Mohamed Said anajenga mazingira ya kuonyesha kuwa waislam ndio walipopigania uhuru.
Anaficha ukweli ambao historia inaushuhudia.

Kuanzia mwaka 1929 akina Sykes walikuwa viongozi wa siasa na timu iliyokuwepo ilikuwa waislam wengi wao.
Akaja mtu na elimu yake akafanya kile ambacho watu hawakuweza kwa miaka 20. Hii maana yake ni kuwa nguvu ya elimu ni muhimu sana. Angalia familia za watu waliothamini elimu.

Mohamed hao majirani unaosema ni wale unaokwenda kuwaeleza kuwa hali ni mbaya.
Hakuna ugomvi wa dini miongoni mwetu isipokuwa kuna kikundi cha extremist na wapuuzi kinajenga chuki katika jamii.

Maandishi na matamko yako ni yale ya akina Ponda na Ilunga, tukwambie ukweli.
MS huwezi kupata engineer wa kuteuliwa wala Daktari wa kuteuliwa ni lazima waende shule
Wewe unadhani tatizo lipo kwa mawaziri na makatibu wakuu watatu na si mamilioni kama kule mkuranga.

Nikikuuliza utapataje mwalimu au nesi kutoka Mkuranga katika shule isiyo na mwalimu, huna jibu kwasababu huna solution kama asivyo na solution Ponda au Ilunga.
Sasa Ponda Ilunga na Mohamed wakikaa pamoja ni kweli ipo hatari kwasababu they are good ijn fabricating news, uzuzi na raise unfounded and sometime stupid allegations.

Mshume Kiyate hakupeleka mtoto shule, leo anaongelewa jinsi alivyotoa mia mbili na ndivyo itakavyokuwa kama watu hawataamka. They will end up telling the story about Nyerere kila siku na kumzomea tu . Facts hata kama inauma ndio ukweli huo.

Msidanganywe na wauza vitabu kaeni chini pambaneni na maizngira kwa akili na busara.
Nyerere has nothing to do with your life, kama huwezi kupanga maisha yako unakaa katika mkeka ukimjadili utarithisha watoto wako upuuzi huo huo.

Tumekuuliza mara nyingi unashauri nini kama unadhani una solution, hunajibu.

Mohamed Said acha kuandika historia za chuki andika historia kama ilivyo. Waeleze watu tatizo lao na solution siyo kuwadanganya kuwa ukishindwa kupeleka mtoto shule basi unaweza kuwa waziri kwa dini.

Nadhani mtakubaliana nami ni niliposema kuwa MS haandiki historia bali kujenga mazingira ya kuchomeka chuki sasa mnaona ukweli wake.


Nguruvi,
Mimi si mtu wa kujidanganya.

Mimi nasema kitu kwa ushahidi na taarifa ambazo wewe na mfano wako hamna.

Ikiwa wewe na serikali mtaona zoezi limefanikiwa sisi hatuna haja ya kubishana
katika hilo.

Kushiriki kwa baadhi ya Waislam hilo haliepukiki lakini siyo kusema kuwa ndiyo
Waislam wameshiriki.

Tunatofautiana kwa kukubali ukweli.

Kama unavyoona kuwa leo tuna historia hii tunayoizungumza hapa na ipo historia
hiyo nyingine hali kadhalika yapo mengi tunayotofautiana.

Ukweli ni kuwa dunia nzima wanajua kuwa historia ya Kivukoni College ni kichekesho.


Hapa ndipi tulipofikishana.

Umeandika kwa hamaki na kutumia neno ''wapuuzi...'' nk. nk.
Tutaendelea Insha Allah na mnakasha hamaki zako zitakapokuwa zimetulia.

Umemtaja Nyerere...
Sidhani kama ipo haja ya mimi kueleza tena na tena historia yake katika TANU.

Abdulwahid Sykes nimemuandikia kitabu kizima.

Jana nimekuwekea biography ya baba yake Kleist Sykes kama nilivyoandika
katika mradi wa Oxford na Harvard.

Naamini umesoma.
Sijashangaa umekuwa kimya...

Hata hawa jamaa wa Oxford na Harvard walipigwa butwaa...
Mwafrika wa Tanganyika kaacha War Diaries za WWI...(1914 - 1918).

Mwafrika wa Tanganyika kaandika autobiograph yake...
Na haya kayafanya kabla ya 1949...

Kaacha watoto waliokuja kupigania uhuru wa Tanganyika...

Wakanipa kazi...
Walitaka kujua mengi kutoka kwangu...

Bwana Nguruvi,
Huu ndiyo ukweli hata kama serikali itajifanya kupuuza ukweli utabaki
kuwa ukweli...
 
Wickama.

Bi Aisha hana sifa hiyo usitake kumchafua kwa upuuzi wako, Bi Aisha alikuwa mwanamke mwadilifu sana Bi Aisha katajwa kuwa ndiye mwanamke bora duniani.

Weka hiyo hadith yako, imepokelewa na nani. usipende kuokota maneno mitaani na kuyaleta JF haswa maswala ya Uislam.

Tunasubiri hiyo hadithi yako.

Aipate wapi na tunamtadharisha awe makini kusoma hizo hadithi, kwani atatahamaki yu msikitini kwani ndo uislamu wenyewe, na kama keshaupata upako na akajitia kuvaa miwani ya mbao usiku itamfaa yeye na wapotevu wenziwe,
Siri kubwa na muujiza wa Qur aan/ hakuna swali utauliza/ kulifanyia challenge ukabaki salama lazima nuru itakuvaa ama ukidhikhaki balaa ndo maishilizio yako.
 
Last edited by a moderator:
Aipate wapi na tunamtadharisha awe makini kusoma hizo hadithi, kwani atatahamaki yu msikitini kwani ndo uislamu wenyewe, na kama keshaupata upako na akajitia kuvaa miwani ya mbao usiku itamfaa yeye na wapotevu wenziwe,
Siri kubwa na muujiza wa Qur aan/ hakuna swali utauliza/ kulifanyia challenge ukabaki salama lazima nuru itakuvaa ama ukidhikhaki balaa ndo maishilizio yako.
Mujitahid wabara.

Mantiki na mtindo wa kuvutia wa Qur'an unapenya moja kwa moja ndani ya mioyo ya wanadamu, katika Uislam hakuna kitu kisicho na mantiki, au itikadi isiyoaminika au chochote kisichoendana na sayansi ya zama hizi.
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana naasema utafiti unilishafanya. Hao wanaomalaani ukiwauliza kwanini hawana majibu.

Mwapachu alisoma Makerere, mtoto wake akaenda shule, wajukuu wa mwapachu wameenda shule ukiangalia hali za maisha yao zinazidi kuimarika kila siku.
Nenda kwa mwenzangu mimi anayepiga kelele tu, baba yake, yeye na watoto hakuna afadhali.
Ukimuuliza anasema Nyerere. Nyerere gani huyo anayechagua waislam?

Ukienda Machame wanakaa vikao kuangalia watoto waende vipi shule. Ukienda Mkuranga unakuta mwl mkuu msaidizi ni mwanafunzi. Ukienda machame utasikia harambee za kujenga shule karibu na kiwanja cha msikiti, ukienda mkuranga utasikia wanamlaani na kumzomea Nyerere msikitini.

Lazima uiangalie nchi from different angle. Kitu kinachonitofautisha na wengi hapa jamvini ni kuifahamu nchi yetu vema. Nimeishi kila eneo kuanzia Kibuyi Musoma hadi Kadewele, Manyovu hadi Mkuranga. Nimeishi na jamii nyingi za imani zote nafahamu udhaifu wa jamii hizo ndio maana nakuambia ukweli kuwa Mwislam mwenye education yake huwezi kumkalisha chini ukamfundisha historia ya MS ya kumzomea Nyerere.

Huu ni wakati wa kukaa chini na kutafuta mikakati ya kujikomboa katika masuala mbali mbali.
Kwanini Masjid Quba itoe zero za kutosha na Kirinjiko itoe A za maana, Nyerere anaingiaje hapo.
Acheni kufundishwa ujinga na mkaukumbatia.


Huu upuuzi wako ndio maana ukishindiliwa mijiti ya pua nacheka tu. Haya maneno yako ni nyimbo mnazoimba kila kukicha. Ulitegemea uwakute wachaga wakimzomea nyerere wakati wao wengi wao ni wakristo? Mimi nitamzomeaje nyerere wakati nimefaidika na mfumo aliounzisha?
 
Ndio maana naasema utafiti unilishafanya. Hao wanaomalaani ukiwauliza kwanini hawana majibu.

Mwapachu alisoma Makerere, mtoto wake akaenda shule, wajukuu wa mwapachu wameenda shule ukiangalia hali za maisha yao zinazidi kuimarika kila siku.
Nenda kwa mwenzangu mimi anayepiga kelele tu, baba yake, yeye na watoto hakuna afadhali.
Ukimuuliza anasema Nyerere. Nyerere gani huyo anayechagua waislam?

Ukienda Machame wanakaa vikao kuangalia watoto waende vipi shule. Ukienda Mkuranga unakuta mwl mkuu msaidizi ni mwanafunzi. Ukienda machame utasikia harambee za kujenga shule karibu na kiwanja cha msikiti, ukienda mkuranga utasikia wanamlaani na kumzomea Nyerere msikitini.

Lazima uiangalie nchi from different angle. Kitu kinachonitofautisha na wengi hapa jamvini ni kuifahamu nchi yetu vema. Nimeishi kila eneo kuanzia Kibuyi Musoma hadi Kadewele, Manyovu hadi Mkuranga. Nimeishi na jamii nyingi za imani zote nafahamu udhaifu wa jamii hizo ndio maana nakuambia ukweli kuwa Mwislam mwenye education yake huwezi kumkalisha chini ukamfundisha historia ya MS ya kumzomea Nyerere.

Huu ni wakati wa kukaa chini na kutafuta mikakati ya kujikomboa katika masuala mbali mbali.
Kwanini Masjid Quba itoe zero za kutosha na Kirinjiko itoe A za maana, Nyerere anaingiaje hapo.
Acheni kufundishwa ujinga na mkaukumbatia.


Nguruvi,
Mwapachu alisoma Makerere na Univeristy of Wales, Cardiff.
 
Nguruvi3.

Sasa naona umegeuka kuwa msemaji wa familia ya Mwapachu, teh teh teh.
Hii hoja yake mbona dhaifu sana kama suala la kwenda shule hata familia ya Abdulwahid Sykes ni wasomi pia, mtoto wake wa kwanza kike Daisy Abdulwahid Sykes, kaandika historia ya babu yake na baba yake wakati anasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, na unajua unyama wa Nyerere aliowafanyia wazee wake wa Dar es Salaam.
Hawa ndiyo wengi wanaunganishwa na Uislam wao, hawa hawataki hata kumsikia Nyerere toka awafanyie unyama Masheikh.

Baada ya kupatikana uhuru kilichofuatia ni kuwakamata hawa masheikh na kuwafunga jela, Sheikh Abdulkarim Abdulwahid, Maalim Popo Saleh, Sheikh Suleiman Masudi Mnoji, Sheikh Jumanne Bias, Sheikh Bilal Waikela, Ali Migeyo, Maalim Matar, Sheikh Nurdin Husein, Sheikh Ali Comorian, Sheikh Al Amin Mafta, Sheikh Hashimu Haji, Sheikh Abdalla Mwamba, Sheikh Amin Abdalla, Sheikh Maftaa, na wengine wengi.

Teh teh teh!!! naona umeamua kujiliwaza na kujifariji kuichagua Mkuranga, kwa kukusaidia, achana na Mkuranga, anza na Dar es Salaam, Mwanza, Morogoro, Tanga, Shinyanga, Tabora, Bukoba, Singida, na mikoa mingine Mkuranga unawaonea bure na habari za Nyerere.

Teh teh teh, hapa unawaongela Bakwata, Nguruvi3. hata mimi nitembea sana hii Tanzania na dunia na bado natembea kila siku kutokana na kazi zangu.

Wewe kweli kauzu ndiyo maana unaambiwa unaandika uharo, mjinga ni wewe, kwa nini ST. JOSEPH INTERMBOGO Wilaya kasulu itoe zero za kumwaga na St. Francis Girls (Mbeya), itoe A za maana.

Teh teh teh
Ritz tulia kidogo najua bayana zinaumiza lakini tufanyeje ndio ukweli.
Dawa ni chungu na inabidi inywewe tu kwasababu ndiyo dawa.

1. Umenisaidia kuhusu Abdul Sykes na mtoto wake Daisy.Daisy kwa kudhihirisha kuwa ukijituma unafanikiwa. Kaenda shule halafu kaandika tena Nyerere akiwepo ushihidi kuwa Nyerere angekuwa na ubaya nao Daisy angefanyiziwa lakini haikutokea.
Jiulize Daisy amepasuaje anga?

2. Sensa imefanyika na marginal of error zimewekwa in the end imetoa population ya Tanzania officially.
Watu 20,000 waliokimbia na kuacha wake zao hao ni sawa na wahamiaji haramu waliokuwa katika idadi bila kuwa Raia.Sensa imefanyika tena ikiungwa mkono na taasisi inayoitwa Istiqama kama ilivyonukuliwa katika vyombo vya habari.

3. Kama utataka nilinganishe badala ya kutumia Mkuranga bado ninaweza. Iweje waislam wa Kilimanjaro na Bukoba wawe tofauti na wa Pwani au Lindi katika mazingira yale yale ya ukandamizwaji.
Wao walifanya nini zaidi. Je huko ndiko Bakwata ilipo zaidi?

4. Kuhusu shule, umesema vema Interborg seminary imefelisha kutokana na mazingira mabovu na mipango hafifu. St Francis imeafaulisha kutokana na mazingira mazuri na mipango mizuri. Ni hivyo hivyo Thaqafa na Masjid Quba zimefelisha kwasababu ya mipango mibovu na Kirinjiko na Feza zimefaulisha kwasababu ya mipango mizuri.

Hapa umenisadia kueleza kuwa tatizo si imani kwasababu hata hizo za imani nyingine wanafeli. St Interborg wamefeli kama Masjid Quba. Hivyo hoja ya kuonewa inakufa kifo cha mende.

Nilidhani kuwa badala ya kukaa na kusoma historia ya kulilia majina ya barabara watu walitakiwa waungane kwa pamoja waibane serikali itoe huduma bora.

Leo tumeondoa focus tunatafuta vijisababu vya kipuuzi kabisa tukijua ukweli kuwa kama huna walimu hata ukiwa na waziri wa ukoo au familia yako ni zero.

Hivyo watu wabadili mitazamo yao na kujadili maendeleo badala ya kulilia mawaziri kumi na saba wakiacha watoto malaki wakiwa hawana walimu.

Utagawana vipi vyeo wakati mwingine amesoma na walimu 7 katika darasa na mwingine amesimamiwa na mkuu wa shule msadizi ambaye ni mwanafunzi?

Hivi hili kwanini watu hawalioni ni tatizo wanaona tatizo lisilo tatizo?
Hapa ndipo nakubaliana nanyi kuwa huenda mimi ni kauzu maana naona msichokiona ninyi Nyangumi!
 
Huu upuuzi wako ndio maana ukishindiliwa mijiti ya pua nacheka tu. Haya maneno yako ni nyimbo mnazoimba kila kukicha. Ulitegemea uwakute wachaga wakimzomea nyerere wakati wao wengi wao ni wakristo? Mimi nitamzomeaje nyerere wakati nimefaidika na mfumo aliounzisha?
Hapana na nilisema Machame kwa makusudi nikijua watu watavutika. Hebu nenda Kilimnjaro yote uangalie kiwango cha elimu kwa makundi. Ni ngumu sana kusema kuna upendeleo kwasababu mambo yao yametulia.

Katika mikoa iliyoathirika na sera za Mwalim za kuzuia vyama vya ushirika Kilimanjaro na Kagera ni Wahanga. Hata katika elimu wao ndio waliotaifishiwa shule zao wenyewe kama Lyamungo.
Lakini nenda ukaone jinsi watu wanavyofanya kazi pamoja.

Huu mpango wa kujenga shule za kata ni huko kwingine Kilimanjaro wanamalizia. Takwimu zinaonyesha kuwa Wilaya ya Mwanga ina shule nyingi na za muda mrefu Mtwara na Lindi combined. Katika shule hizo zipo za dini zote, za wazazi.

Wananchi walijenga shule kwa kuelewa ni ufunguo wa ufahamu na wala hawakuzuia watoto kusoma kwa misingi ya imani.Huo ndio ukweli watu wasioutaka kuusikia lakini nitaueleza. Mimi sina sababu za kuwadanganya.

Kule kwetu Magila misheni imeingia siku nyingi lakini angalia hali ilivyo. Hakuna tofauti sana na Ikwiriri kilichobaki ni legacy ya eneo. Ndivyo ilivyo mwambani na mjasani. Kwanini watu hawataki kusema ukweli?

Sijui kama Nyerere aliwasaidia aliwasaidiaje maana wakati huo wanajenga Kibohehe ya Waislam wengine walikuwa wanalalama. Usipoliangalia tatizo kwa ukweli wake unajidanganya.

Chamvinga jiulize kwanini eneo fulani linakuwa nyuma ya eneo lingine kwa jamii ile ile na katika mazingira yale yale.Mwisho jiulize kama Nyerere aliwapendelea wakristo vipi wahaya wawe tofauti na Wagogo?
 
Siku ukiweza kuubadili Uislaam ndio siku unaweza kuwabadili Waislaam waliopita, wa sasa na wajao. Na nnakuahidi hautoweza.

Kuna ambae anaweza kuubadili ukweli kwa uongo? Huyo anajidanganya nafsi yake tu.

Hivi nikuulize, kinawauma nini haswa mnapoisoma historia ya Waislaam wa Tanganyika? Au ndio Islamophobia? Kila msikiapo Uislaam, Waislaam nyie huwaingia hofu ya ajabu na hamuishi kutapatapa.

Ngoja nikupe dersa dogo, ikiwa wewe unaamini kuwa Uislaam au Muislaam ni adui yako, basi nakuasa msome vizuri adui yako ndiyo utakapomuelewa vizuri na hata ukimshambulia itakuwa rahisi kwako kupambana nae, kwa nini huanzii kwa kusoma na kuuelewa Uislaam ili umjuwe vizuri "adui" yako?

penye red:
so many discrimination against non believers started from the title himself.

penye green
download and watch these Rev. Adam Haji Mohammed - Ogopa Mungu - YouTube

na paul hussein - YouTube

penye blue:
its really weird, kuwa hiyo ni imani ya upanga from the origin. proofs are numerous

penye violet:
hatuambiwi kuwashambulia wasio wakristo bali tuwaombee kwa maana vita vyetu si juu ya damu na nyama, bali ni juu ya majini na mashetwain yote machafu katika ulimwengu wa roho. kwa yesu kristo hakuna shirika kati yagiza na nuru.tunafundishwa tuushinde ubaya kwa wema na kisasi ni juu ya mungu peke yake. trust me, hii ni contrary na doctrine yako.
 
penye red:
so many discrimination against non believers started from the title himself.

penye green
download and watch these Rev. Adam Haji Mohammed - Ogopa Mungu - YouTube

na paul hussein - YouTube

penye blue:
its really weird, kuwa hiyo ni imani ya upanga from the origin. proofs are numerous

penye violet:
hatuambiwi kuwashambulia wasio wakristo bali tuwaombee kwa maana vita vyetu si juu ya damu na nyama, bali ni juu ya majini na mashetwain yote machafu katika ulimwengu wa roho. kwa yesu kristo hakuna shirika kati yagiza na nuru.tunafundishwa tuushinde ubaya kwa wema na kisasi ni juu ya mungu peke yake. trust me, hii ni contrary na doctrine yako.

Kijana 2013 we unaonekana ni mpenzi sana wa kupamba harusi! Manake hizi rangi zako si mchezo! 😀😀.

Bila kupoteza muda kujadili point moja baada ya nyingine nilitaka kukufahamisha kuwa KUWA NON BELIEVER PEKE YAKE NI KUJIDHALILISHA!
Kusema wewe na nyani ni COUSIN'S ni kujidhalilisha kupita kiasi!
Kusema wewe umetokea hapa ulimwenguni kwa BAHATI NASIBU NI kujidhalilisha kabisa!
Ni kujiita "kizazi cha bahati nasibu".

Na hayo mahubiri yako yana contradictions left right centre!
Unasema vita yako sio ya mwili bali ni roho!
Sasa na mwili ukitaka kitu unaufanyaje sasa! Au uta pretend kuwa ahhhh roho ikishashiba mwili hauna haja!

Kwa mantiki kama hizi nyie ndio mnawafanya hao MAPADRI NA BISHOPS KUTO KUOA .na mother nature anapo kicks In. Tunaskia kuwa padri fulani kamtafuna mwana kondoo? Ile vita ya rohi imemtoa knock out! ! 😀😀😀

Achaneni na longalonga!

Hakuna anaeweza shindana na nguvu ya maumbile Mungu alio tuumba nayo!
Oeni kwa raha zenu na kesi za kutafuna wana kondoo zitapungua sana.
And I will say "hallelujah for that"
 
Last edited by a moderator:
Hapana na nilisema Machame kwa makusudi nikijua watu watavutika. Hebu nenda Kilimnjaro yote uangalie kiwango cha elimu kwa makundi. Ni ngumu sana kusema kuna upendeleo kwasababu mambo yao yametulia.

Katika mikoa iliyoathirika na sera za Mwalim za kuzuia vyama vya ushirika Kilimanjaro na Kagera ni Wahanga. Hata katika elimu wao ndio waliotaifishiwa shule zao wenyewe kama Lyamungo.
Lakini nenda ukaone jinsi watu wanavyofanya kazi pamoja.

Huu mpango wa kujenga shule za kata ni huko kwingine Kilimanjaro wanamalizia. Takwimu zinaonyesha kuwa Wilaya ya Mwanga ina shule nyingi na za muda mrefu Mtwara na Lindi combined. Katika shule hizo zipo za dini zote, za wazazi.

Wananchi walijenga shule kwa kuelewa ni ufunguo wa ufahamu na wala hawakuzuia watoto kusoma kwa misingi ya imani.Huo ndio ukweli watu wasioutaka kuusikia lakini nitaueleza. Mimi sina sababu za kuwadanganya.

Kule kwetu Magila misheni imeingia siku nyingi lakini angalia hali ilivyo. Hakuna tofauti sana na Ikwiriri kilichobaki ni legacy ya eneo. Ndivyo ilivyo mwambani na mjasani. Kwanini watu hawataki kusema ukweli?

Sijui kama Nyerere aliwasaidia aliwasaidiaje maana wakati huo wanajenga Kibohehe ya Waislam wengine walikuwa wanalalama. Usipoliangalia tatizo kwa ukweli wake unajidanganya.

Chamvinga jiulize kwanini eneo fulani linakuwa nyuma ya eneo lingine kwa jamii ile ile na katika mazingira yale yale.Mwisho jiulize kama Nyerere aliwapendelea wakristo vipi wahaya wawe tofauti na Wagogo?

Nguruvi,
Yapo mengi katika kuwahujumu Waislam.

Tatizo la madhehebu mengine dhidi ya Wakatoliki tunayajua lakini usilete hapa mfano wa
Magila na matatizo ya Waislam.

Dhulma dhidi ya Waislam usiifananishe na jamii nyingine yoyote.
Yetu ni ya kipekee.

Achana na dhulma za NECTA zinazopigiwa kelele.
Tuangalie na huko nyuma tulikotoka na ni miaka mingi sana.

Hayo hapo chini ni marudio tu lakini tuanzenayo kisha tutakuja Insha Allah katika yale
yaliyogundulika yanafanyika ndani ya Wizara ya Elimu kisha yale yaliyofichuliwa na Prof.
Hamza Mustafa Njozi katika kitabu chake ''Mwembechai Killings...''

Katika shutuma hizi zote walioshutumiwa yaani serikali na kanisa wako kimya hadi leo:
[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]At the moment there are two books in existence written by non-Muslims which proves
that Christians have used their positions in the government to subvert Islam and Muslims.

Jan P van Bergen in his book, Development and Religion in Tanzania, (1981) [1] divulges
very incriminating information on former President Nyerere.

The book gives details of how during his rule Nyerere used to have private confidential
meetings with Bishops to discuss the future of Tanzania.

In those meetings Nyerere is reported to have assured Bishops of his continued support to Christianity.

The work reveals how Nyerere guaranteed Christians a privileged position and backed
his promise by appointing them to important positions in his government and party.


This book was on sale at the Catholic Bookshop, Dar es Salaam, and was hurriedly withdrawn from sale after it was realised that it was revealing highly confidential and sensitive information on Islam.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985,
[2] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam.

Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects. First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam.

The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa.

The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ndiyo maana Waislam walipotaka kujenga chuo kikuu mwaka 1968 chini ya EAMWS Nyerere akasimama
kidete kuhujumu na kuifungia jumuia hiyo.

Ndiyo maana katika miaka ya 1990 OIC ilipotaka kujenga chuo kikuu Tanzania serikali ikakataa kutoka
kibali.

Ndiyo maana hata Darul Iman ilipotaka kujenga shule ya ufundi Kibaha katika miaka hiyo hiyo mradi
ukahujumiwana mawakala wa kanisa katika serikali.

Ndiyo maana serikali inapiga vita Tanzania kujiunga na OIC kwa kuwa si katika maslahi ya kanisa.

Tunajua mengi na Waislam hivi sasa wanaelezwa haya pamoja na kufundishwa historia yao.
Historia hii ambayo naileleza hapa jamvini.

Ukweli huu sasa uko wazi hapana siri tena.
 
Mbona mnapenda kucheka cheka sana nyie watu?

Teh teh teh teh!
Sababu kubwa inayo wafanya nyie mnune siku zote ni ulaji wa nyama haramu ya nguruwe!
Na msipoacha mtanuna mpaka mnaingia jahannamu!

Teh teh teh teh!
 
Hapana na nilisema Machame kwa makusudi nikijua watu watavutika. Hebu nenda Kilimnjaro yote uangalie kiwango cha elimu kwa makundi. Ni ngumu sana kusema kuna upendeleo kwasababu mambo yao yametulia.

Katika mikoa iliyoathirika na sera za Mwalim za kuzuia vyama vya ushirika Kilimanjaro na Kagera ni Wahanga. Hata katika elimu wao ndio waliotaifishiwa shule zao wenyewe kama Lyamungo.
Lakini nenda ukaone jinsi watu wanavyofanya kazi pamoja.

Huu mpango wa kujenga shule za kata ni huko kwingine Kilimanjaro wanamalizia. Takwimu zinaonyesha kuwa Wilaya ya Mwanga ina shule nyingi na za muda mrefu Mtwara na Lindi combined. Katika shule hizo zipo za dini zote, za wazazi.

Wananchi walijenga shule kwa kuelewa ni ufunguo wa ufahamu na wala hawakuzuia watoto kusoma kwa misingi ya imani.Huo ndio ukweli watu wasioutaka kuusikia lakini nitaueleza. Mimi sina sababu za kuwadanganya.

Kule kwetu Magila misheni imeingia siku nyingi lakini angalia hali ilivyo. Hakuna tofauti sana na Ikwiriri kilichobaki ni legacy ya eneo. Ndivyo ilivyo mwambani na mjasani. Kwanini watu hawataki kusema ukweli?

Sijui kama Nyerere aliwasaidia aliwasaidiaje maana wakati huo wanajenga Kibohehe ya Waislam wengine walikuwa wanalalama. Usipoliangalia tatizo kwa ukweli wake unajidanganya.

Chamvinga jiulize kwanini eneo fulani linakuwa nyuma ya eneo lingine kwa jamii ile ile na katika mazingira yale yale.Mwisho jiulize kama Nyerere aliwapendelea wakristo vipi wahaya wawe tofauti na Wagogo?

Mheshimiwa unaendeleza maneno yako yaleyale ambayo mimi nasema tumeshayazoea aka hata kwenye kanga huandikwa.
Unaposema watu wanawakataza watoto wao wasiende shule kwakisingizio cha imani unawezaleta hapa data za kuthibitisha suala lako hili? Kama suala ni wazazi kujituma katika kujenga mashule na kuwapeleka watoto shule hebu twende mkoani kwangu katika wilayani yangu ya Lushoto. Mpaka sasa ninavyozungumza kule kuna karibia kila wastani wa vijiji viwili au vitatu kuna shule ya secondary ambazo zimejengwa kwa nguvu za wazazi maskini na michango ya serikali na wahisani. Je yako wapi maendeleo kule? Kwanini kilimanjaro au Moshi kwa wachaga na wapale waliojaa katika serikali tangu na tangu kwao kuwe vizuri kule Lushoto iwe tofauti? Kuna sehemu huko juu nilikueleza wazi kwamba uongozi MBOVU wa mwl ndio tatizo kubwa lililoifanya Tanzania baada ya miaka 50 ya uhuru bado iko hapa ilipo. Nyerere Sera zake za utawala za kijamaa ukiongeza na chuki yake kwa waislamu, siasa za kikanda ndio zilizopelekea baadhi ya maeneo kuendelea kuwa duni kila nyanja.
 
Ritz tulia kidogo najua bayana zinaumiza lakini tufanyeje ndio ukweli.
Dawa ni chungu na inabidi inywewe tu kwasababu ndiyo dawa.

1. Umenisaidia kuhusu Abdul Sykes na mtoto wake Daisy.Daisy kwa kudhihirisha kuwa ukijituma unafanikiwa. Kaenda shule halafu kaandika tena Nyerere akiwepo ushihidi kuwa Nyerere angekuwa na ubaya nao Daisy angefanyiziwa lakini haikutokea.
Jiulize Daisy amepasuaje anga?

2. Sensa imefanyika na marginal of error zimewekwa in the end imetoa population ya Tanzania officially.
Watu 20,000 waliokimbia na kuacha wake zao hao ni sawa na wahamiaji haramu waliokuwa katika idadi bila kuwa Raia.Sensa imefanyika tena ikiungwa mkono na taasisi inayoitwa Istiqama kama ilivyonukuliwa katika vyombo vya habari.

3. Kama utataka nilinganishe badala ya kutumia Mkuranga bado ninaweza. Iweje waislam wa Kilimanjaro na Bukoba wawe tofauti na wa Pwani au Lindi katika mazingira yale yale ya ukandamizwaji.
Wao walifanya nini zaidi. Je huko ndiko Bakwata ilipo zaidi?

4. Kuhusu shule, umesema vema Interborg seminary imefelisha kutokana na mazingira mabovu na mipango hafifu. St Francis imeafaulisha kutokana na mazingira mazuri na mipango mizuri. Ni hivyo hivyo Thaqafa na Masjid Quba zimefelisha kwasababu ya mipango mibovu na Kirinjiko na Feza zimefaulisha kwasababu ya mipango mizuri.

Hapa umenisadia kueleza kuwa tatizo si imani kwasababu hata hizo za imani nyingine wanafeli. St Interborg wamefeli kama Masjid Quba. Hivyo hoja ya kuonewa inakufa kifo cha mende.

Nilidhani kuwa badala ya kukaa na kusoma historia ya kulilia majina ya barabara watu walitakiwa waungane kwa pamoja waibane serikali itoe huduma bora.

Leo tumeondoa focus tunatafuta vijisababu vya kipuuzi kabisa tukijua ukweli kuwa kama huna walimu hata ukiwa na waziri wa ukoo au familia yako ni zero.

Hivyo watu wabadili mitazamo yao na kujadili maendeleo badala ya kulilia mawaziri kumi na saba wakiacha watoto malaki wakiwa hawana walimu.

Utagawana vipi vyeo wakati mwingine amesoma na walimu 7 katika darasa na mwingine amesimamiwa na mkuu wa shule msadizi ambaye ni mwanafunzi?

Hivi hili kwanini watu hawalioni ni tatizo wanaona tatizo lisilo tatizo?
Hapa ndipo nakubaliana nanyi kuwa huenda mimi ni kauzu maana naona msichokiona ninyi Nyangumi!
Teh teh teh naona unachaguwa cha kujibu hautaki kumjibia Nyerere unyama aliowafanyia Masheikh huo ulimbo unaupita mbali tunarudi kule kule dhulma waliofanyiwa Waislam ni kubwa mno.

Hakuna mtu yeyote anayelalamika unyama wa Nyerere upo Mubashar ni mpuuzi peke yake ndiyo hauoni, sasa hivi mimi na wewe tunajadili matokeo ya ushenzi wa Nyerere.

Historia iliyofichwa kuhusu harakati za Waislam dhidi ya Ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika.

Nyerere aliwabagua Waislam baada ya Uhuru hilo lipo wazi kabisa na ushahidi upo.
 
Back
Top Bottom