Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

did i say makkah?............NOPE
ANGEL NYLON, KAHTAAN, READ THESE.
A man praying in front of the box of containing the Holy Beard of Muhamad (
“Sakal-i Serif”)
View attachment 120953

I LOST MORE DETAILS TO EXPLAIN THE PICTURE ABOVE BUT
another link
Devotees pray as priests display hair from prophet's beard at Kashmiri shrine - PhotoBlog
View attachment 120957View attachment 120957View attachment 120958View attachment 120959
tazama mikono yao, pia soma link.

On the validity of obtaining blessings and benefit with the hair of the Prophet (s) after his death
It is narrated by Bukhari in his Sahih in the Book of Clothes, under the chapter "What is mentioned about gray hair", that Usman bin 'Abdullah bin Mawhab (r) said, "my family sent me to Ummu Salamah (r) with a cup of water. And Ummu Salamah (r) brought out a silver bottle which contained one of the hairs of the Prophet (s), and it used to be that if anyone came under the evil eye or ill health they used to send her a cup of water through she would pass this hair [for drinking] and we used to look into the silver bottle: I saw some reddish hairs."
Imam Hafiz ibn Hajar in Fath al-Baari, Volume 10, page 353, said, "they used to call the silver bottle in which the hair of the Prophet (s) was kept 'jiljalan' and that bottle was in the home of Ummu Salamah (r)."
Imam al-'Ayni said, "Ummu Salamah (r) had some of the hairs of the Prophet (s) in a silver bottle, and when some people got ill, they used to go and obtain blessings from these hairs and they would be healed by means of its blessings. They used to take the hair of the Prophet (s) and they used to pass it through a cup of water and they would immediately be healed. And this explanation of the hadith is mentioned in Bukhari."
It is said in 'umdat il-Qari, a section in Sharh Sahih al-Bukhari, volume 18, page 79, "If a person were struck by the evil eye or by any sickness, he would send his wife to Ummu Salamah (r) with amikhdabba [i.e. cup of water] and she used to pass the hair through that water and then he would drink the water and he would be healed, after which they would return the hair to the 'jiljal.'"
Muslim narrated in his Sahih that Anas (r) related, "The Prophet (s) came to Mina and threw stones and then he came to his tent in Mina after he made the sacrifice, and he told the barber 'take my hair' and he pointed first to his right, then to his left. Then he began to distribute the hair to the Sahaba."
am speechless see for your self

We umeng'ang'ana na ma link tu.

Izo link ndo ushahidi wa kuwa iyo kitu imeamrishwa kwenye uislam?

Wewe ni bidaa, na moto ni haki yako
 
Teh teh teh teh! Amma we mtoto nuksi!

Mi nakwambia NIONYESHE WAPI NYWELE NI KTK MOJA YA IBADA!
Unaniletea hadith nyiiingi zinazo elezea matukio yanayohusu nywele!

Sasa sio wewe uliesema kuwa WALE WAUMINI WA KWELI WANARUHUSIWA KUIBUSU HIO NYWELE YA MTUME KWA MWAKA MARA MOJA??
Sasa iko wapi Amri inayosema hayo kutoka ktk kitabu cha waislamu??

Sasa najua HUWEZI KUNIJIBU HAPA!

NA SIO WEWE TU! HAKUNA MGALATIA YYT ANAWEZA KUKUSADIA KWA HILO!
Ni uzushi usio na kichwa wala kiuno!

Sasa najua unataka kukimbia!
turudi kwenye swali lililo zaa haya yote.

Nani aliyewapa ruhusa ya kuchora picha halafu MKASEMA HUYO NI MUNGU!!
Usiniletee habari za simulation hapa!
Biblia IMEKATAZA KATAKATA KUWEKA MFANO WOWOTE WA MUNGU!
VIPI NYIE MNAWEKA HALAFU MNAJIITA WAFUASI WA YESU?? HUO SI UNAFIKI??

NA NI NANI ALIYEMPA UTUME PAULO??
Ambae ndio MUANZILISHI WA IBADA YA MAPICHA NA MASANAMU? ? Wakati YESU hajawahi kukutana nae??

Mpaka uyajibu hayo maswali kwa ufasaha la sivyo WEWE UNAFANYA IBADA YA KIPAGANI NA SIO YESU ALIYOFUNDISHA!

Nasubiri jibu!
2013 ukilikimbia swali utalaanika!
Na bwana Yesu hapendi waongo!
 
Last edited by a moderator:
yohana5:39 Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia.40 Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzima.
 
Al habeeb Duktuur kahtaan,
Kwanza kabisa Assalaamu alaykum,

Nilikuwa nampango wa kwenda Madeena kufanya digrii yangu ya pili ya FIQ-HI lakini naona 3/4 yake yoote nishaitukua toka hapo katika nakasha na tibyaani zako,

Sasa 1/4 ilobaki nasubiri tu mitihani, sina haja tena ya kwenda kuchukua muda wote huo,

Teh teh teh .....!
 
Al habeeb Duktuur kahtaan,
Kwanza kabisa Assalaamu alaykum,

Nilikuwa nampango wa kwenda Madeena kufanya digrii yangu ya pili ya FIQ-HI lakini naona 3/4 yake yoote nishaitukua toka hapo katika nakasha na tibyaani zako,

Sasa 1/4 ilobaki nasubiri tu mitihani, sina haja tena ya kwenda kuchukua muda wote huo,

Teh teh teh .....!

Al alkhyi al muallim wabara waalaikum salaam warahmatullahi wabarakatuh!
Nafurahi kukuona akhui!

Haya mavitu yote nimejifunza kwenu nyie maulamaa wangu!
Hawa wagalatia wallah ni msiba!

Manake ni mfano wa kuongea na ukuta!


Allah awafanyie wepesi wa kuelewa inshallah!

Ahsant.
 
Last edited by a moderator:
yohana5:39 Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia.40 Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzima.

Kijana naona umepagawa sasa!
Unaandika vitu vya ajabu halafu kabla hujajibiwa unafuta!!
Umefuta karibu message 6!! Je! Hujiamini?? Au vipi!

Nakumbuka moja ya uliyoyafuta ulisema mmeamua kutukia picha ya mzungu as a simulation ya kumuona mungu!

Sasa wewe ni mfuasi gani wa Yesu ambae ANABUNI MWENYEWE NAMNA YA KUABUDU!!?
Yesu hakuweka picha! Wala wanafunzi wake hawakuweka picha!
Na biblia inasema wazi kabisa kuwa MSIFANYE CHOCHOTE MKAKIFANANISHA NA MUNGU!!

Haya hili umeshindwa kutoa andiko lolote lililo kuruhusu wewe ma mkristo yyt kuweka picha wala sanamu ktk kuambudu!
and i say Haleliyah to that!!

Sasa swali lingine.muhimu sana!
NYIE MNASEMA KUWA DIVAI KUMYWA NI SAWA (ambayo mniita damu ya yesu!

Na hio divai ni.KILEO!
SASA HEBU TUANGALIE JE! BIBLIA INARUHUSU KILEO (DIVAI??

Isaya sura ya 5 , aya 11 na 12 na 13:“INasema hivi: ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo, wakishinda sana hata usiku wa manane mpaka mvinyo umewaka kama moto ndani yao. Na kinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo zote ziko katika karamu zao. Lakini hawaiangalii kazi ya Bwana wala kuyafikiri matendo ya mikono yake. Kwa sababu hiyo watu wangu wamechukuliwa mateka, kwa kukosa kuwa na maarifa.

”Katika kitabu cha kumbukumbu la Torati, sura 21, aya ya 18-21, inasema hivi: Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikilizi, ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake: wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu hasikizi sauti yetu: Ni mwasherati, na tena ni mlevi waume wote wa mji wake na wamtupie mawe, afe: ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako, na Israeli wote watasikia na kuogopa.Katika kitabu cha Luku,

sura ya 7, aya ya 33 na34, Inasema hivi:Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuja, hali mkate wala hanywi divai, nanyi mwasema, ana pepo. Mwana wa Adamu amekuja, ana kula na kunywa: nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.

Katika kitabu cha Yohana Mtakatifu, sura ya pili, aya ya 1-11, inasema hivi: Na siku ya tatu palikuwa na arusi huko kana, mji wa Galilaya, naye mama yake Yesu alikuwapo. Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake. Hata divai ilipowatindikia, mamaye Yesu akamwambia Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia. Mamaye akawaambia watumishi, Lolote atakalowaambia, fanyeni.

Nakuuliza wewe 2013 NI NANI ALIYEWAPA RUHUSA YA KUNYWA POMBE KANISANI??
 
Last edited by a moderator:
Kijana naona umepagawa sasa!
Unaandika vitu vya ajabu halafu kabla hujajibiwa unafuta!!
Umefuta karibu message 6!! Je! Hujiamini?? Au vipi!

Nakumbuka moja ya uliyoyafuta ulisema mmeamua kutukia picha ya mzungu as a simulation ya kumuona mungu!

Sasa wewe ni mfuasi gani wa Yesu ambae ANABUNI MWENYEWE NAMNA YA KUABUDU!!?
Yesu hakuweka picha! Wala wanafunzi wake hawakuweka picha!
Na biblia inasema wazi kabisa kuwa MSIFANYE CHOCHOTE MKAKIFANANISHA NA MUNGU!!

Haya hili umeshindwa kutoa andiko lolote lililo kuruhusu wewe ma mkristo yyt kuweka picha wala sanamu ktk kuambudu!
and i say Haleliyah to that!!

Sasa swali lingine.muhimu sana!
NYIE MNASEMA KUWA DIVAI KUMYWA NI SAWA (ambayo mniita damu ya yesu!

Na hio divai ni.KILEO!
SASA HEBU TUANGALIE JE! BIBLIA INARUHUSU KILEO (DIVAI??

Isaya sura ya 5 , aya 11 na 12 na 13:"INasema hivi: ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo, wakishinda sana hata usiku wa manane mpaka mvinyo umewaka kama moto ndani yao. Na kinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo zote ziko katika karamu zao. Lakini hawaiangalii kazi ya Bwana wala kuyafikiri matendo ya mikono yake. Kwa sababu hiyo watu wangu wamechukuliwa mateka, kwa kukosa kuwa na maarifa.

"Katika kitabu cha kumbukumbu la Torati, sura 21, aya ya 18-21, inasema hivi: Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikilizi, ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake: wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu hasikizi sauti yetu: Ni mwasherati, na tena ni mlevi waume wote wa mji wake na wamtupie mawe, afe: ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako, na Israeli wote watasikia na kuogopa.Katika kitabu cha Luku,

sura ya 7, aya ya 33 na34, Inasema hivi:Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuja, hali mkate wala hanywi divai, nanyi mwasema, ana pepo. Mwana wa Adamu amekuja, ana kula na kunywa: nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.

Katika kitabu cha Yohana Mtakatifu, sura ya pili, aya ya 1-11, inasema hivi: Na siku ya tatu palikuwa na arusi huko kana, mji wa Galilaya, naye mama yake Yesu alikuwapo. Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake. Hata divai ilipowatindikia, mamaye Yesu akamwambia Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia. Mamaye akawaambia watumishi, Lolote atakalowaambia, fanyeni.

Nakuuliza wewe 2013 NI NANI ALIYEWAPA RUHUSA YA KUNYWA POMBE KANISANI??
mkuu, kuna kitu kwenye ukristo wanaita Fumbo la imani. sijajua kiswahili sahihi hapa but nahop itaeleweka . kimsingi kuhusu divai kuwa damu ya bwana hii niagizo la yesu kristo kuwa yohana 6:54 Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho. 55 Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli. 56 Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake. 57 Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa hai kwa mimi. 58 Hiki ndicho chakula kishukacho kutoka mbinguni; si kama mababa walivyokula, wakafa; bali akilaye chakula hicho ataishi milele.
hivy tunapokunywa divai, hatuitazami kama divai bali kama damu ya yesu, kwakuwa imebarikiwa. hii ni tofauti na mtumizi a pombe bar. hope you read me clearly
 
Katika kitabu cha kumbukumbu la Torati, sura 21, aya ya 18-21, inasema hivi: Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikilizi, ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake: wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu hasikizi sauti yetu: Ni mwasherati, na tena ni mlevi waume wote wa mji wake na wamtupie mawe, afe: ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako, na Israeli wote watasikia na kuogopa.Katika kitabu cha Luku,

from above quotation

mkuu kahtaan hayo mambo ya kuchinjana kwasababu ya Imani yamebakia kwenu, kwani ni nyinyi mmeyarithi kutoka kwa muamad, na ndiyo maana mpaka leo bado mnawaza kulazimisha kila mtu afate Imani yenu. siku ya ashura inhusika na viongozi wenu kuuana. and ya'll feel comfortable about these mess. Imani yenu imejikita wenye kuchinjana na kuuana huku mkijivunia kuwa ni dini ya Amani. well kwenu kumfungua mtu bucha ni Amani. mtume ameuwawa, naye aliua, na Heirs wenzake pia wameuana. hali inaonyesha sio shwari katika Imani yenu.ya'll stil closing eyes, cheki Somalia, Syria, Lebanon, Iraq, Kashmir, Egypt. bokoharam,alqaeda,taliban,tamil,alshabab uamsho, and still many terrorists are yet to come upon reading those disjointed verses. human are suffering because of faith.
 

Attachments

  • hand-amputation.jpg
    hand-amputation.jpg
    33.6 KB · Views: 87
  • mapanga.jpg
    mapanga.jpg
    38.4 KB · Views: 95
mkuu, kuna kitu kwenye ukristo wanaita Fumbo la imani. sijajua kiswahili sahihi hapa but nahop itaeleweka . kimsingi kuhusu divai kuwa damu ya bwana hii niagizo la yesu kristo kuwa yohana 6:54 Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho. 55 Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli. 56 Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake. 57 Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa hai kwa mimi. 58 Hiki ndicho chakula kishukacho kutoka mbinguni; si kama mababa walivyokula, wakafa; bali akilaye chakula hicho ataishi milele.
hivy tunapokunywa divai, hatuitazami kama divai bali kama damu ya yesu, kwakuwa imebarikiwa. hii ni tofauti na mtumizi a pombe bar. hope you read me clearly

Unaona sasa Imani yako ilivyo kuwa ya KIJANJA KIJANJA!! Na hata hupti tabu kuongeza ya kwako mwenyewe!!

Mwanzo NIMEKUPA ANDIKO LINALO KATAZA KUWEKA PICHA AU MFANO WOWOTE WA MUNGU! LINALOSEMA :-


Exodus 20:4 ESV

"You shall not make for yourself a carved image, or any likeness of anything that is in heaven above, or that is in the earth beneath, or that is in the water under the earth.

HAPO ANDIKO LINASEMA USIWEKE CHOCHOTE!

Nikakuuliza ALIYEWAPA RUHUSA YA KUWEKA PICHA NI NANI??

Hakuna andiko lolote ulilotoa bali ULILETA MAONI YAKO BINAFSI KUWA SIMULATION IS NEEDED KTK IBADA YENU!!!!


Hapo juu nimekupa maandiko chungu mzima YANAYO KATAZA KINYWAJI CHA POMBE!

Nikakuuliza tena "NYIE MNAPOKUNYWA HIO POMBE MKIITA NI DAMU YA YESU! NANI KAWAPA RUHUSA HIO??

Badala ya kunipa ANDIKO! Jibu lako unasema UKRISTO NI MAFUMBO!!
Halafu unaweka andiko eti yesu kasema "kuleni mwili wangu na kunyweni damu yangu!!

SASA POMBE MBONA HAKUTAJA HAPO??? AU KUSEMA "DAMU" MAANA YAKE POMBE?? Na kama ni hivyo UMEPATA WAPI TAFSIRI HIO??

Halafu unamaliziza kwa kusema " UKIWA UNAKUNYWA HIO DIVAI, BASI HUITAZAMI KAMA DIVAI BALI KAMA DAMU YA YESU!!!!!teh teh teh teh!

SASA NA YULE ANAEKUNYWA MATAPTAP AU GONGO na yeye akisema NAITIZAMA KAMA DAMU YA YESU UTAKATAA???

Hapa watu wanakusoma na hio imani yako vizuuri sana, na ummah unaona namna UNAVYO CHAKACHUA MAANDIKO ILI UFANYE UTAKALO WEWE!!

Na nimekuonya kabla, ya kuwa MUNGU SIO WA KUCHEZEACHEZEA, Mnafanya YOOTE YSESU ALIYO WAKATAZA KWA VISINGIZIO MBALIMBALI!

Ogopeni adhabu ya Mungu. Na hakika kifo HAKIKO MBALI.
 
Katika kitabu cha kumbukumbu la Torati, sura 21, aya ya 18-21, inasema hivi: Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikilizi, ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake: wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu hasikizi sauti yetu: Ni mwasherati, na tena ni mlevi waume wote wa mji wake na wamtupie mawe, afe: ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako, na Israeli wote watasikia na kuogopa.Katika kitabu cha Luku,

from above quotation

mkuu kahtaan hayo mambo ya kuchinjana kwasababu ya Imani yamebakia kwenu, kwani ni nyinyi mmeyarithi kutoka kwa muamad, na ndiyo maana mpaka leo bado mnawaza kulazimisha kila mtu afate Imani yenu. siku ya ashura inhusika na viongozi wenu kuuana. and ya'll feel comfortable about these mess. Imani yenu imejikita wenye kuchinjana na kuuana huku mkijivunia kuwa ni dini ya Amani. well kwenu kumfungua mtu bucha ni Amani. mtume ameuwawa, naye aliua, na Heirs wenzake pia wameuana. hali inaonyesha sio shwari katika Imani yenu.ya'll stil closing eyes, cheki Somalia, Syria, Lebanon, Iraq, Kashmir, Egypt. bokoharam,alqaeda,taliban,tamil,alshabab uamsho, and still many terrorists are yet to come upon reading those disjointed verses. human are suffering because of faith.

Maneno meengi kama Muimba taarabu!
Mimi naongea kwa ANDIKO! WEWE bla...bla...bla...! Na maji yakifika shingoni< mnaweka picha za ajabu ajabu kujichomoa kwenye mada!!

Umesema "mambo ya kuchinjana kwasababu ya Imani yamebakia kwenu, sasa Hebu soma ANDIKO LAKO LINASEMA NINI KUHUSU KUCHINJANA;-

"Utokapo kwenda vitani kupigana na adui zako, na kuona farasi na magari, na watu wengi kuliko wewe, usiwaogope, kwa kuwa BWANA Mungu wako yu pamoja nawe, aliyekukweza katika nchi ya Misri. Na iwe msongeapo mapiganoni, Kuhani na kusema na watu, awaambie, sikizeni, enyi Israili, hivi leo mwasongea mapiganoni juu ya adui zenu; mioyo yenu isizime, msiache wala msitetemeke, wala msiingiwe na hofu kwa ajili ya wao. Kwa maana BWANA, Mungu wenu, ndiye awaandamaye kwenda kuwapigania juu ya adui zenu, ili kuwaokoa ninyi". (Kumb. 20:1-4)

Na kwa kukufahamisha tu 2013 Jihadi rasmi ya kwanza kabisa iliongozwa na Nabii Yoshua (a.s) ili kuwaingiza Waisraeli katika nchi ya ahadi (Kaanani) wakitokea Misri. Mji wa kwanza kushambuliwa ulikuwa wa Yeriko. Kwanza Yoshua (a.s.) alipeleka wapelelezi ambao walijificha katika nyumba ya kahaba Rahabu (Yoshua 2:1-24). Kisha waliuvamia mji na kuuweka "Wakfu" kwa kuwa kile chenye uhai isipokuwa kahaba Rahabu na familia yake". "...Basi wakaangamiza kabisa vitu vyote vilivyokuwa ndani ya mji, wanaume na wanawake, watoto na wazee na ng'ombe, na kondoo, na punda kwa makali ya upanga". (Yoshua 6:21)

Utaratibu wa "kufyagia" miji uliendelea hadi Yoshua (a.s.) alipotawala miji yote aliyoitaka. (Tazama Yoshua 10:28 - 11:24). Wakuu wa nchi (wafalme) wao walikumbana na vifo vya aina yake". "Kisha ikawa hapo walipomletea Yoshua hao wafalme watano hapo nje, Yoshua akawaita wanaume wote wa Israeli, akawaambia majemedari wa vita waliokwenda naye, haya jongeeni karibu, mweke nyayo za miguu yenu katika shingo za wafalme hawa. Nao wakajongea karibu, wakatia nyayo zao katika shingo zao. Yoshua akawaambia., msiache wala msifadhaike, iweni hodari, na mioyo ya ushujaa, kwa kuwa ndivyo BWANA atakavyowafanyia adui zenu wote, ambao mwapigana nao. Baada ya Yoshua akawapiga na kuwaua, akawatundika katika miti mitano, nao wakawa wakitundikwa katika miti hiyo hata jioni". (Yoshua 10:24-26).

SASA UMEONA MAUWAJI YA KINYAMA KTKT ANDIKO LAKO??

HAYA NA WEWE NIPE ANDIKO LA WAISLAMU KUCHINJA NAMNA HII!!

NA kwa kumalizia tu! MTUME WA WAISLAMU "HAKUUWAWA" BALI ALIKUFA KIFO CHA KAWAIDA,

Usiongee vitu bila ELIMU! Unazidi kuutukanisha UKRISTO! na kuonekana kuwa HAUNA LOLOTE ISPOKUWA NI UTAPELI TU!!

Nasubiri andiko!!
 
Last edited by a moderator:
Katika kitabu cha kumbukumbu la Torati, sura 21, aya ya 18-21, inasema hivi: Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikilizi, ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake: wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu hasikizi sauti yetu: Ni mwasherati, na tena ni mlevi waume wote wa mji wake na wamtupie mawe, afe: ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako, na Israeli wote watasikia na kuogopa.Katika kitabu cha Luku,

from above quotation

mkuu kahtaan hayo mambo ya kuchinjana kwasababu ya Imani yamebakia kwenu, kwani ni nyinyi mmeyarithi kutoka kwa muamad, na ndiyo maana mpaka leo bado mnawaza kulazimisha kila mtu afate Imani yenu. siku ya ashura inhusika na viongozi wenu kuuana. and ya'll feel comfortable about these mess. Imani yenu imejikita wenye kuchinjana na kuuana huku mkijivunia kuwa ni dini ya Amani. well kwenu kumfungua mtu bucha ni Amani. mtume ameuwawa, naye aliua, na Heirs wenzake pia wameuana. hali inaonyesha sio shwari katika Imani yenu.ya'll stil closing eyes, cheki Somalia, Syria, Lebanon, Iraq, Kashmir, Egypt. bokoharam,alqaeda,taliban,tamil,alshabab uamsho, and still many terrorists are yet to come upon reading those disjointed verses. human are suffering because of faith.

Maneno meengi kama Muimba taarabu!
Mimi naongea kwa ANDIKO! WEWE bla...bla...bla...! Na maji yakifika shingoni< mnaweka picha za ajabu ajabu kujichomoa kwenye mada!!

Umesema "mambo ya kuchinjana kwasababu ya Imani yamebakia kwenu, sasa Hebu soma ANDIKO LAKO LINASEMA NINI KUHUSU KUCHINJANA;-

"Utokapo kwenda vitani kupigana na adui zako, na kuona farasi na magari, na watu wengi kuliko wewe, usiwaogope, kwa kuwa BWANA Mungu wako yu pamoja nawe, aliyekukweza katika nchi ya Misri. Na iwe msongeapo mapiganoni, Kuhani na kusema na watu, awaambie, sikizeni, enyi Israili, hivi leo mwasongea mapiganoni juu ya adui zenu; mioyo yenu isizime, msiache wala msitetemeke, wala msiingiwe na hofu kwa ajili ya wao. Kwa maana BWANA, Mungu wenu, ndiye awaandamaye kwenda kuwapigania juu ya adui zenu, ili kuwaokoa ninyi". (Kumb. 20:1-4)

Na kwa kukufahamisha tu 2013 Jihadi rasmi ya kwanza kabisa iliongozwa na Nabii Yoshua (a.s) ili kuwaingiza Waisraeli katika nchi ya ahadi (Kaanani) wakitokea Misri. Mji wa kwanza kushambuliwa ulikuwa wa Yeriko. Kwanza Yoshua (a.s.) alipeleka wapelelezi ambao walijificha katika nyumba ya kahaba Rahabu (Yoshua 2:1-24). Kisha waliuvamia mji na kuuweka "Wakfu" kwa kuwa kile chenye uhai isipokuwa kahaba Rahabu na familia yake". "...Basi wakaangamiza kabisa vitu vyote vilivyokuwa ndani ya mji, wanaume na wanawake, watoto na wazee na ng’ombe, na kondoo, na punda kwa makali ya upanga". (Yoshua 6:21)

Utaratibu wa "kufyagia" miji uliendelea hadi Yoshua (a.s.) alipotawala miji yote aliyoitaka. (Tazama Yoshua 10:28 - 11:24). Wakuu wa nchi (wafalme) wao walikumbana na vifo vya aina yake". "Kisha ikawa hapo walipomletea Yoshua hao wafalme watano hapo nje, Yoshua akawaita wanaume wote wa Israeli, akawaambia majemedari wa vita waliokwenda naye, haya jongeeni karibu, mweke nyayo za miguu yenu katika shingo za wafalme hawa. Nao wakajongea karibu, wakatia nyayo zao katika shingo zao. Yoshua akawaambia., msiache wala msifadhaike, iweni hodari, na mioyo ya ushujaa, kwa kuwa ndivyo BWANA atakavyowafanyia adui zenu wote, ambao mwapigana nao. Baada ya Yoshua akawapiga na kuwaua, akawatundika katika miti mitano, nao wakawa wakitundikwa katika miti hiyo hata jioni". (Yoshua 10:24-26).

SASA UMEONA MAUWAJI YA KINYAMA KTKT ANDIKO LAKO??

HAYA NA WEWE NIPE ANDIKO LA WAISLAMU KUCHINJA NAMNA HII!!

NA kwa kumalizia tu! MTUME WA WAISLAMU "HAKUUWAWA" BALI ALIKUFA KIFO CHA KAWAIDA,

Usiongee vitu bila ELIMU! Unazidi kuutukanisha UKRISTO! na kuonekana kuwa HAUNA LOLOTE ISPOKUWA NI UTAPELI TU!!

Nasubiri andiko!!
 
Last edited by a moderator:
Maneno meengi kama Muimba taarabu!
Mimi naongea kwa ANDIKO! WEWE bla...bla...bla...! Na maji yakifika shingoni< mnaweka picha za ajabu ajabu kujichomoa kwenye mada!!

Umesema "mambo ya kuchinjana kwasababu ya Imani yamebakia kwenu, sasa Hebu soma ANDIKO LAKO LINASEMA NINI KUHUSU KUCHINJANA;-

"Utokapo kwenda vitani kupigana na adui zako, na kuona farasi na magari, na watu wengi kuliko wewe, usiwaogope, kwa kuwa BWANA Mungu wako yu pamoja nawe, aliyekukweza katika nchi ya Misri. Na iwe msongeapo mapiganoni, Kuhani na kusema na watu, awaambie, sikizeni, enyi Israili, hivi leo mwasongea mapiganoni juu ya adui zenu; mioyo yenu isizime, msiache wala msitetemeke, wala msiingiwe na hofu kwa ajili ya wao. Kwa maana BWANA, Mungu wenu, ndiye awaandamaye kwenda kuwapigania juu ya adui zenu, ili kuwaokoa ninyi". (Kumb. 20:1-4)

Na kwa kukufahamisha tu 2013 Jihadi rasmi ya kwanza kabisa iliongozwa na Nabii Yoshua (a.s) ili kuwaingiza Waisraeli katika nchi ya ahadi (Kaanani) wakitokea Misri. Mji wa kwanza kushambuliwa ulikuwa wa Yeriko. Kwanza Yoshua (a.s.) alipeleka wapelelezi ambao walijificha katika nyumba ya kahaba Rahabu (Yoshua 2:1-24). Kisha waliuvamia mji na kuuweka "Wakfu" kwa kuwa kile chenye uhai isipokuwa kahaba Rahabu na familia yake". "...Basi wakaangamiza kabisa vitu vyote vilivyokuwa ndani ya mji, wanaume na wanawake, watoto na wazee na ng'ombe, na kondoo, na punda kwa makali ya upanga". (Yoshua 6:21)

Utaratibu wa "kufyagia" miji uliendelea hadi Yoshua (a.s.) alipotawala miji yote aliyoitaka. (Tazama Yoshua 10:28 - 11:24). Wakuu wa nchi (wafalme) wao walikumbana na vifo vya aina yake". "Kisha ikawa hapo walipomletea Yoshua hao wafalme watano hapo nje, Yoshua akawaita wanaume wote wa Israeli, akawaambia majemedari wa vita waliokwenda naye, haya jongeeni karibu, mweke nyayo za miguu yenu katika shingo za wafalme hawa. Nao wakajongea karibu, wakatia nyayo zao katika shingo zao. Yoshua akawaambia., msiache wala msifadhaike, iweni hodari, na mioyo ya ushujaa, kwa kuwa ndivyo BWANA atakavyowafanyia adui zenu wote, ambao mwapigana nao. Baada ya Yoshua akawapiga na kuwaua, akawatundika katika miti mitano, nao wakawa wakitundikwa katika miti hiyo hata jioni". (Yoshua 10:24-26).

SASA UMEONA MAUWAJI YA KINYAMA KTKT ANDIKO LAKO??

HAYA NA WEWE NIPE ANDIKO LA WAISLAMU KUCHINJA NAMNA HII!!

NA kwa kumalizia tu! MTUME WA WAISLAMU "HAKUUWAWA" BALI ALIKUFA KIFO CHA KAWAIDA,

Usiongee vitu bila ELIMU! Unazidi kuutukanisha UKRISTO! na kuonekana kuwa HAUNA LOLOTE ISPOKUWA NI UTAPELI TU!!

Nasubiri andiko!!




Maulana Dr Kahtaan,

Asalaam Alaykum!

Duh! Yaani bado uko nae tu huyo dhaifu wa hoja!?...kuna watu kweli wana "nyuso za mbuzi",hawana tahayuri asilan!?

Au labda anaona akitoka hapa itakuwa "kashindwa",naye anajihisi yakuwa anawakilisha Kanisa!? Kwi! Kwi! Kwi!...mwambie asisumbuke kwalo,wala hapa hatumo mashindanoni asilan,la muhimu ni kubadilishana mitazamo tu na kuelimishana japo kiduchu.

Jazaak Allah Khairu,Mola wetu Mtukufu takulipa kwayo na takuongezea sabra Insha Allah.

Ahsanta.
 
Maulana Dr Kahtaan,

Asalaam Alaykum!

Duh! Yaani bado uko nae tu huyo dhaifu wa hoja!?...kuna watu kweli wana "nyuso za mbuzi",hawana tahayuri asilan!?

Au labda anaona akitoka hapa itakuwa "kashindwa",naye anajihisi yakuwa anawakilisha Kanisa!? Kwi! Kwi! Kwi!...mwambie asisumbuke kwalo,wala hapa hatumo mashindanoni asilan,la muhimu ni kubadilishana mitazamo tu na kuelimishana japo kiduchu.

Jazaak Allah Khairu,Mola wetu Mtukufu takulipa kwayo na takuongezea sabra Insha Allah.

Ahsanta.

habeeb al akhyi gombesugu waalaikum salaam warahamatullahi wabarakatuh.

Ndugu yangu huyu mgalatia na wenzake wanajaribu KUHALALISHA IBADA KUABUDU PICHA NA KUHALALISHA POMBE! wakati ANDIKO LAO LINAKATAZA.

Namuuliza ANDIKO yeye aniletea NGONJERA! Halafu ameshindwa kutoa ANDIKO asema ohhh nyie waislamu mwachinjana! ohhh nyie mtakufa vibaya!!

teh teh teh teh teh ! YAAANI WALLAH HAWA KWA HOJA NI TAABAANI KABISA!

Allah atulipe sote insha allah!
 
Last edited by a moderator:
habeeb al akhyi gombesugu waalaikum salaam warahamatullahi wabarakatuh.

Ndugu yangu huyu mgalatia na wenzake wanajaribu KUHALALISHA IBADA KUABUDU PICHA NA KUHALALISHA POMBE! wakati ANDIKO LAO LINAKATAZA.

Namuuliza ANDIKO yeye aniletea NGONJERA! Halafu ameshindwa kutoa ANDIKO asema ohhh nyie waislamu mwachinjana! ohhh nyie mtakufa vibaya!!

teh teh teh teh teh ! YAAANI WALLAH HAWA KWA HOJA NI TAABAANI KABISA!

Allah atulipe sote insha allah!
ukristo unatambua kuwa yohana 4:24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
hivyo hata ukimwomba pasipo katika roho na ile kweli hata kama huna sanamu, ujue imekula kwako.


mark7:6 Akawaambia, Isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa, Watu hawa huniheshimu kwa midomo Ila mioyo yao iko mbali nami
zingatia penye bold.

pombe kanisani??
hilo la kanisa kunywa pombe umelikuza wewe mkuu.
 
mkuu kahtaan, ayati za uislamu kuchinjana yapo mengi sana, hujiulizi iweje waiite dini ya upanga.
too numerous to mention them all.
(Surah 32:13).The Qur'an (Koran) says that Allah desires to lead people astray (Surah 6:39 , 126). He does not help those who are led astray by him (Surah 30:29), and Allah desires to use them to populate hell

mkuu nashindwa kukuuliza maswali kwakuwa nitapoteza imani ya uislamu:

O ye who believe! Ask not questions about things which if made plain to you, may cause you trouble. Some people before you did ask such questions, and on that account lost their faith." (Surah 5:101-102).
kitu ambacho sijui ni kwanini nipoteze imani.
 
mkuu kahtaan, ayati za uislamu kuchinjana yapo mengi sana, hujiulizi iweje waiite dini ya upanga.
too numerous to mention them all.
(Surah 32:13).The Qur'an (Koran) says that Allah desires to lead people astray (Surah 6:39 , 126). He does not help those who are led astray by him (Surah 30:29), and Allah desires to use them to populate hell

mkuu nashindwa kukuuliza maswali kwakuwa nitapoteza imani ya uislamu:

O ye who believe! Ask not questions about things which if made plain to you, may cause you trouble. Some people before you did ask such questions, and on that account lost their faith." (Surah 5:101-102).
kitu ambacho sijui ni kwanini nipoteze imani.

Teh teh teh teh!
Lugha kijana inataka elimu!! Sio kudandia tu!!
Sasa mi nakuuliza aya! We unantisha na kuandika kuwa utapoteza imani ambayo huna anyway!!

Kijana UGALATIA ni imani ya maigizo! Na mimi sikulengi wewe binafsi hapa ila naelekeza ummah.
Nimekuuliza maswala chungu mzima!
Umekuwa mbambaishaji toka mwanzo. Huna strong evidence HATA MOJA kuhusu imani yako.
One minute ww ni myahudi.! Ukiletewa andiko linalo kukemea. Unageuka mgogo na mdengereko. Uyahudi hauutaki tena, eti kwa sababu aya hizo ni za wayahudi.

Nakushauri tu ndugu 2013 USIKUBALI KUFA KABLA HUJAUSOMA UISLAMU.
UTAJUTA MAJUTO MAKUBWA MNO.

Mimi nimesoma UKRISTO almost 5 yrs!
Sasa na ww nakushauri toka nje ya bix halafu kasome UISLAMU uone kitu gani UMEKIKOSA KTK maisha yako.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh!
Lugha kijana inataka elimu!! Sio kudandia tu!!
Sasa mi nakuuliza aya! We unantisha na kuandika kuwa utapoteza imani ambayo huna anyway!!

Kijana UGALATIA ni imani ya maigizo! Na mimi sikulengi wewe binafsi hapa ila naelekeza ummah.
Nimekuuliza maswala chungu mzima!
Umekuwa mbambaishaji toka mwanzo. Huna strong evidence HATA MOJA kuhusu imani yako.
One minute ww ni myahudi.! Ukiletewa andiko linalo kukemea. Unageuka mgogo na mdengereko. Uyahudi hauutaki tena, eti kwa sababu aya hizo ni za wayahudi.

Nakushauri tu ndugu 2013 USIKUBALI KUFA KABLA HUJAUSOMA UISLAMU.
UTAJUTA MAJUTO MAKUBWA MNO.

Mimi nimesoma UKRISTO almost 5 yrs!
Sasa na ww nakushauri toka nje ya bix halafu kasome UISLAMU uone kitu gani UMEKIKOSA KTK maisha yako.

To khataan, mkuu hata mama mjane Samantha Lewthwaite aliposoma uislamu aligundua kuna kitu anakikosa katika maisha yake na ndio maana inaonyesha aliadhimia kujitoa mhanga mwili wake, mali zake na roho yake kupata ridhiko. i believe hata mimi nikiusoma zaidi nitagundua kitu alichokigundua samantha alikikosa maishayake yote . na mimi hicho kitu nakiona ni hatari, si ajabu hata wewe japo nakisia tu, hapo ulipo unaandaliwa kuja kufanya tukio na pengine mwaka 2020 or something.

mkuu uliusoma ukristo kwa njia gani?
na je uligraduate ukapata cheti?
ulikuwa unataka kuwa padre ama mchungaji?
ama ulitafuta vitabu vilivyochapishwa na atheist na agnoists ukavisoma?.
kama ni hivyo vitabu basi wewe pengine una tatizo la favouratism, lakini kama sio kupitia hivyo vitabu. inakaaje hii kuona extremist kama wewe anashika bibilia(which is the most hated book to muslim), yeah i respect the fact that wapo waislamu waliosomea ukristo wakiwa na lengo moja la kupata flaws katika bibilia ili wazitumie kuwavuta wakristo kwenye uislamu kwa kutokana na flaws hizo.na kama ni hivyo then nakushauri usiitazame glass half empty jaribu tena kupitia na comments zinazoukosoa uislamu pia then u-balance na zile zinazoukosoa ukristo. japo najua hizo za uislamu zinakuonya utapoteza imani, hivyo hata ukipitia unatakiwa uwe na shingo ngumu zaidi, yaani ukomae mwanzo hadi mwisho.

mkuu ukiwa umewajua wakristo unadhani vitu gani wakristo hawavikubali zaidi katika uislamu na pengine vinatoa taswira hasi kwa uislamu dhidi ya ukristo na imani nyingine, na unaweza ku-justify? mkuu naomba ili swali la mwisho usiwe biased, we are discussing mkuu
 
Hebu we 2013 nisome kwa makini sasa huenda ukapata faida kidogo!

Kwanza suala la UGAIDI kushirikishwa na UISLAMU kama ijukanavyo na KAMPENI ZA MAKAFIRI KUTAKA KUUPAKA MATOPE UISLAMU! Na unfortunately kuna watu KAMA WEWE ambao elimu zao na FACT zao WANAZIPATA KWENYE TV NA MAGAZETI! Kwa hivyo kwa namna moja au nyingine wanafanikiwa kupata mass! lakin thank GOD HAWAPATI WASOMI WA KWELI KWENYE HIO KAMPENI YAO YA KIPUUZI.

Nakuuliza wewe 2013 kuhusu huyu Samantha uliyemtaja hapo juu! Hebu niambie APART FRM TV AND MEDIA HOW MUCH DO YOU KNOW ABOUT HER?? Huna lolote ulijualo ispokuwa kuchukua maneno kwenye Tv za makafiri ukatuletea hapa.

pili; Anaeongoza Duniani KWA KUWAITA WAISLAMU MAGAIDI NI MMAREKANI! Na anajitahidi kufanya kampeni kila siku kuuleza ulimwengu namna gani waislamu wabaya!

Sasa hebu tuangalie TAKWIMU ZA UGAIDI NDANI YA U.S.A YENYEWE!!

HII HAPA NI RIPOTI KAMILI KUTOKA SHIRIKA LA UPELELEZI LA MAREKANI, F.B.I.


piechart2.jpg


source All Terrorists are Muslims…Except the 94% that Aren’t

Posted on 20 January 2010 by Danios
terrorism_has_no_religion-430x323-custom.jpg

CNN recently published an article entitled Study: Threat of Muslim-American terrorism in U.S. exaggerated; according to a study released by Duke University and the University of North Carolina at Chapel Hill, “the terrorist threat posed by radicalized Muslim-Americans has been exaggerated.”
Yet, Americans continue to live in mortal fear of radical Islam, a fear propagated and inflamed by right wing Islamophobes. If one follows the cable news networks, it seems as if all terrorists are Muslims. It has even become axiomatic in some circles to chant: “Not all Muslims are terrorists, but nearly all terrorists are Muslims.” Muslims and their “leftist dhimmi allies” respond feebly, mentioning Waco as the one counter example, unwittingly affirming the belief that “nearly all terrorists are Muslims.”
But perception is not reality. The data simply does not support such a hasty conclusion. On the FBI’s official website, there exists a chronological list of all terrorist attacks committed on U.S. soil from the year 1980 all the way to 2005. That list can be accessed here (scroll down all the way to the bottom

HIO NI AMERICA, NA HATA SIKU MOJA HUONI KTK HIZO TV ZENU MBUZI YA KUWA KUNA LATINO TERORIST AU SPANISH TERROR AU RIGHT WING CHRISTIANS!! NA KTK hio list hapo juu FROM FBI muslims ni less than JEWISH EXTREMIST.

Tukiangalia katika idadi ya havyo vikundi MNAVYOVIITA "MUSLIM TERRORIST" NA MKAMBIWA MVITAJE! Saaana mtasema, alqaeda, boko haram, na alshabab. na wote hawa ni FREEDOM FIGHTERS NA ALWAYS WANA ATTACK WAVAMIZI WA NCHI ZAO, NA WALE WANAO WASAPOTI HAO WAVAMIZI!

SASA HEBU TUANGALIE LIST YA CHRISTIAN TERRORIST ORGANISATION DUNIANI AMBAZO MKULIMA KAMA WEWE SIDHANI HATA KAMA ZINGINE UMESHAWAHI KUZISIKIA:NA NYINGI ZINAENDELEA NA MAUWAJI MPAKA LEO.

Army of God - USA (early 1990s-present)
-The Lambs of Christ - USA (1998) -Irish National Liberation Army - UK (1974-Present)-Irish People's Liberation Organisation - UK (1986-1992) -Irish Republican Army - Northern Ireland (1922-1969)-Official IRA (1969–present)-Provisional Irish Republican Army-Ulster Volunteer Force-'Orange Volunteers-United Liberation Front of Asom-ETA (Basque Fatherland and Liberty) - Spain-Liberation Tigers of Tamil Eelam (LTTE, aka Tamil Tigers) - -Sri Lanka-National Front for the Liberation of Corsica (FLNC)

-Corsican separatist-Action Directe (AD), an anti-NATO organization -Antifascist Resistance Groups October First (GRAPO)
-Spain (1975-present)-New People's Army - Philippines-Red Army Faction (RAF) aka Rote Armee Fraktion aka
-Baader-Meinhof Group - Germany (1970 – 1993) -Revolutionary Armed Forces of Colombia (FARC) - Colombia-Aryan Nations - United States[2] (1970s-) -Charles Martel Group - France (1973-83)[2] -The Covenant, The Sword, and the Arm of the Lord (CSA) - -United States[2] (1971-) -Ku Klux Klan - United States (founded in 1865 and revived several times since).-Masada Action and Defense Movement - France (1988-89). -French racists pretending to be Zionist radicals

NA HAO HAPO JUU HAWANA NCHI YYT ILIYOVAMIA NCHI ZAO NA KUUWA WATOTO WAO ETI KWA KISINGIZIO CHA KUWAONDOA MAGAIDI!

Na kama nilivyokwambia mwanzo UKRISTO WA ASILI UNATISHA NA NI HATARI A THOUSAND TIME MORE THAN ISLAM!
KILICHOFANYIKA NI KUUCHAKACHUA TU ILI UONEKANE NI IMANI LAINI, LKN HUO NI UONGO MTUPU! NA HAKUNA EVIDENCE YYT YA KUSEMA SHERIA ZA MWANZO ZILIZOMO KWENYE BIBLE HAZITUMIKI TENA,

YESU MWENYEWE ANASEMA HAKUJA KUTENGUA SHERIA YYT BALI KUKAMILISHA! MSOME HAPA ANASEMA NINI.

Jesus strongly approves of the law and the prophets. He hasn’t the slightest objection the Old Testament. "Do not think that I have come to abolish the law or the prophets. I have come not to abolish but to fulfill. Amen, I say to you, until heaven and earth pass away, not the smallest part or the smallest part of a letter will pass from the law, until all things have taken place." (Matthew 5:17 NAB)

NI NYIE WAKRISTO WA KUIGA NA FAKE MNAOTAKA KUBADILISHA SHERIA ZA BIBLIA NA SIO YESU MWENYEWE!
NA BAADHI YA SHERIA HIZO NI
:

Kill People Who Don't Listen to Priests
Anyone arrogant enough to reject the verdict of the judge or of the priest who represents the LORD your God must be put to death. Such evil must be purged from Israel. (Deuteronomy 17:12 NLT)


-Kill Witches
You should not let a sorceress live. (Exodus 22:17 NAB)


-Kill Homosexuals
"If a man lies with a male as with a women, both of them shall be put to death for their abominable deed; they have forfeited their lives." (Leviticus 20:13 NAB)



-Kill Fortunetellers
A man or a woman who acts as a medium or fortuneteller shall be put to death by stoning; they have no one but themselves to blame for their death. (Leviticus 20:27 NAB)


-Death for Hitting Dad
Whoever strikes his father or mother shall be put to death. (Exodus 21:15 NAB)


-Death for Cursing Parents
1) If one curses his father or mother, his lamp will go out at the coming of darkness. (Proverbs 20:20 NAB)
2) All who curse their father or mother must be put to death. They are guilty of a capital offense. (Leviticus 20:9 NLT)


-Death for Adultery
If a man commits adultery with another man's wife, both the man and the woman must be put to death. (Leviticus 20:10 NLT)


-Death for Fornication
A priest's daughter who loses her honor by committing fornication and thereby dishonors her father also, shall be burned to death. (Leviticus 21:9 NAB)


-Death to Followers of Other Religions
Whoever sacrifices to any god, except the Lord alone, shall be doomed. (Exodus 22:19 NAB)


-Kill Nonbelievers
They entered into a covenant to seek the Lord, the God of their fathers, with all their heart and soul; and everyone who would not seek the Lord, the God of Israel, was to be put to death, whether small or great, whether man or woman. (2 Chronicles 15:12-13 NAB)


-Kill False Prophets
If a man still prophesies, his parents, father and mother, shall say to him, "You shall not live, because you have spoken a lie in the name of the Lord." When he prophesies, his parents, father and mother, shall thrust him through. (Zechariah 13:3 NAB)


-Kill the Entire Town if One Person Worships Another God
Suppose you hear in one of the towns the LORD your God is giving you that some worthless rabble among you have led their fellow citizens astray by encouraging them to worship foreign gods. In such cases, you must examine the facts carefully. If you find it is true and can prove that such a detestable act has occurred among you, you must attack that town and completely destroy all its inhabitants, as well as all the livestock. Then you must pile all the plunder in the middle of the street and burn it. Put the entire town to the torch as a burnt offering to the LORD your God. That town must remain a ruin forever; it may never be rebuilt. Keep none of the plunder that has been set apart for destruction. Then the LORD will turn from his fierce anger and be merciful to you. He will have compassion on you and make you a great nation, just as he solemnly promised your ancestors. "The LORD your God will be merciful only if you obey him and keep all the commands I am giving you today, doing what is pleasing to him." (Deuteronomy 13:13-19 NLT)


-Kill Women Who Are Not Virgins On Their Wedding Night
But if this charge is true (that she wasn't a virgin on her wedding night), and evidence of the girls virginity is not found, they shall bring the girl to the entrance of her fathers house and there her townsman shall stone her to death, because she committed a crime against Israel by her unchasteness in her father's house. Thus shall you purge the evil from your midst. (Deuteronomy 22:20-21 NAB)


-Kill Followers of Other Religions.
1)If your own full brother, or your son or daughter, or your beloved wife, or you intimate friend, entices you secretly to serve other gods, whom you and your fathers have not known, gods of any other nations, near at hand or far away, from one end of the earth to the other: do not yield to him or listen to him, nor look with pity upon him, to spare or shield him, but kill him. Your hand shall be the first raised to slay him; the rest of the people shall join in with you. You shall stone him to death, because he sought to lead you astray from the Lord, your God, who brought you out of the land of Egypt, that place of slavery. And all Israel, hearing of this, shall fear and never do such evil as this in your midst. (Deuteronomy 13:7-12 NAB)


2) Suppose a man or woman among you, in one of your towns that the LORD your God is giving you, has done evil in the sight of the LORD your God and has violated the covenant by serving other gods or by worshiping the sun, the moon, or any of the forces of heaven, which I have strictly forbidden. When you hear about it, investigate the matter thoroughly. If it is true that this detestable thing has been done in Israel, then that man or woman must be taken to the gates of the town and stoned to death. (Deuteronomy 17:2-5 NLT

na KWA KUMALIZIA, mimi nimesoma UKRISTO ILI NIUFAHAMU, I was a knowledge seeker, that's all. Na najaribu kutumia elimu ALLAH aliyonipa kuwaelekeza watu kama wewe MSIJEKUFA HALI YA KUWA MAKAFIRI NA MKAINGIA KTK ADHABU ISIYO NA MWISHO.

I hope you have understood, japo 10% ukweli wa hio imani yako na ukweli HALISI wa mambo TOFAUTI NA HIZO TV NA MAGAZETI UNAYOSOMA NA KAMA UNADAI UNAMPENDA YESU BASI MFUATE MZIMA MZIMA NA USICHAGUE UKITAKACHO WEWE
 
dunia nzima haijui hivyo vikundi vya ugaidi unavyovitaja labda kwa nchini marekani pekee.
ukizungumza ugaidi ukiwa pale UN na ukiwa europe, taswira inayokuja hivi leo ni islamic extremists. ukizungumza ugaidi pale kenya na hapa tanzania, ukizungumza ugaidi afrika macho yataenda nigeria kwa bokoharramu na pembe ya afrika kwenye alshabaab hata kongo hatutakwenda. wakati fulani unavyoandika kuhusu ugaidi uinakuwa unaleta maana kuwa waislamu wanaiga mambo
. kimsingi koment zako nyingi zinawafaa atheists na agnostic

. historia ya uislamu inaonyesha ni dini ya upanga, kama huamini nenda somalia, saudia arabia ambapo juzi waliaza chuki na weusi wa ethiopia,
umetumia bibilia vibaya kwa kuaminisha watu kuwa jihadi ipo. hapa unaonyesha wewe huwa una-kremu tu. nakushauri nenda kawaulize kwa siri(nasisitiza kwa siri) wale viongozi wako wa dini wanaujuaje ukristo. ukigundua kuna shaka basi anza utafiti binafsi.
kumbuka haya hapa chini yesu aliyapinga japo yanasemwa yalikuwepo kwenye torati.
yesu hakuagiza wamuue kwa mawe yule mwanamke mzinifu kama agizo la musa,
yesu aliwapa amri mpya 2 akaziita ni amri kuu,
yesu alimwagiza mtu kubeba kitanda siku ya sabato wakati hawakutakiwa kutembea umbali wa kurusha jiwe,
yesu alikataza kuoa na kuacha,
yesu akitumia maandiko alibadilisha hoja ya kumpenda ndugu na kumchukia adui akasema wapendeni maadui zenu ili muwe tofauti na wasioamini(wapagani).
zaidi ya yote yesu alionya tabia ya kumwona mwenzako anadhambi ilihali wewe pia si (mathayo 7:2) mkamilifu.

muhamad hakufuata ya yesu mwanzo hadi mwisho bali kuran inasema katika sura ya wanawake 4:76 kuwa ubaya uliomfika umetoka nafsini kwake na wao wakampeleka awe mtume wa mwenyezi mungu. waliompeleka ni watu sio mungu.
kazipitie deep kwanza, Surati al imrani 49 na 171

Jesus also predicted the current dilemma of Muslim intolerance and fanaticism. He warned that the day was likewise coming when religious zealots will kill Christians and think they are offering a service to God (John 16:2-4)
kuna sheria za musa zinazohusiana na utamaduni wao na mambo yao ya utawala na sheria za mungu.
yesu alileta sheria za mungu.

wayahudi kupitia torati yao waliamini babu zao walikula mana jangwani iliyoshushwa kutoka mbinguni lakini yesu aliwaambia chakula kile hakikutoka mbinguni.
kwahapa unaweza ukaona tofauti ya imani ya watu kuhusu mungu na yesu alivyomzungumza mungu.
 
Back
Top Bottom