Islam State (IS) wanataka nini Msumbiji?

Kama hayo unayosema Ni ya kweli kwanini Basi yalisubiri maandamano ya wamakonde kwanza?
 


Mtume mwenyewe anakuambia ameamriwa kupigana kwa upanga na kila mtu mpaka wakubali hakuna Mungu ispokuwa allah wewe ni nani hadi tukusikilize?
 
View attachment 1542429
Mtume mwenyewe anakuambia ameamriwa kupigana kwa upanga na kila mtu mpaka wakubali hakuna Mungu ispokuwa allah wewe ni nani hadi tukusikilize?
Kuna wayahudi walikuwa wakiishi madinah na hawakuukubali uislam, jee aliwapiga kwa hayo mapanga!??

Hakuna kitu kibaya kwenye mambo ya dini kama mihemko, kawaida ya mihemko huwa inafunga akili, huwezi kufikiria sawasawa.

Unahangaika kupotosha maandiko ili iweje na kwa faida ya nani? Tukiamua kuichafua biblia hamtoweza kuvumilia ila kwanini tufanye hivo?

Mi nadhani ni wakati wa kuitumia akili yako sasa badala ya kushikiwa.

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 

Hao isis wanamfuata mtume au hao wayahudi?
 
Ndio naskia leo hii.
Mozambique ni nchi ya kiislam . nchi ya kiislam ikiongozwa na asiye Muslim unategemea nini?

Nchi ilijiunga OIC zamani sana, tofautisha "NCHI" VZVZ" WANANCHI"
 
Naomba kujuzwa jinsi ya kujiunga na hawa ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…