Mr kenice JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 4,260 Reaction score 7,033 Jul 2, 2023 #41 Uzur wa Nyuzi hua hazifagi.
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 86,410 Reaction score 169,862 Jul 2, 2023 #42 Umri wa wachezaji kama wa bongo movie.
hamis77 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 13,628 Reaction score 20,992 Jul 3, 2023 #43 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kambaku JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 8,332 Reaction score 31,306 Jul 3, 2023 #44 pri said: Shida moja ipo kwa wengi,mnaendekeza dharau na ujuaji mwingi,ukiangalia 80% ya wachezaji wanaofanya vizuri walisajiliwa kawaida bila mbwembwe wamefanya vizuri,tena wengine kwa mkopo hebu tuwe tunatoa nafasi kabla ya kusema hapa hakuna mchezaji. Click to expand... Bado unasimamia hii akili yako?
pri said: Shida moja ipo kwa wengi,mnaendekeza dharau na ujuaji mwingi,ukiangalia 80% ya wachezaji wanaofanya vizuri walisajiliwa kawaida bila mbwembwe wamefanya vizuri,tena wengine kwa mkopo hebu tuwe tunatoa nafasi kabla ya kusema hapa hakuna mchezaji. Click to expand... Bado unasimamia hii akili yako?
hamis77 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 13,628 Reaction score 20,992 Jul 3, 2023 #45 Akumbukwe Fundi ismael Sawadogo