Israel ajiandae kunyolewa kama anavyonyoa

Israel ajiandae kunyolewa kama anavyonyoa

wasumu

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2015
Posts
2,271
Reaction score
2,065
Karma itamrudia Israel atapigwa vifo vitakuwa vingi itakuwa kilio na kusaga meno.hii sio chai but unabii .
 
Unaongea ukiwa unaota amka kumekucha
 
Sipendi kabisa binadamu afe...sishabikii dini yeyote ingawa nina imani...lakini ukipitwa akili kubali yaishe
 
Mshaanza ngonjerA zenu. Tulieni mkandwe, si mlitaka wenyewe bhana!
 
Duniani kote mossad..hawafai...
 
Karma itamrudia Israel atapigwa vifo vitakuwa vingi itakuwa kilio na kusaga meno.hii sio chai but unabii .
Israel ni taifa la nyuklia kwa embu jaribu kupitia madhara ya nuklia yakoje kabla ya kuropoka baada ya kunywa kahawa
 
Israel ni taifa la nuklia kwa embu jaribu kupitia madhara ya nuklia yakoje kabla ya kuropoka baada ya kunywa kahawa

HIzo zinaitwa kenua kenua FC:

IMG_20220302_115525_094.jpg


Haziwezi kukuelewa.
 
Back
Top Bottom