Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Nlisema siku ile kuwa kile kimya cha Israel ni kibaya kuliko kujibu kwake kwa haraka.nikamwambia mtu mmoja humu Ritz na ile ID yake nyingine na madogo Adiosamigo na Webabu kuwa waombee Israel ajibu kwa haraka. Itakuwa afadhali.
Nliwaambia kukaa kimya kwa Israel baada ya kuchokozwa ni kubaya kuliko kama wangerudishia siku zile zile. Akasema wame dilu/wamegwaya. Saaa Iran hali ni mbaya. Ndege 100 zimeenda kwa umakini wa hali ya juu zimeichapa. Na kuwaangalia jamaa wakiwa wamelala na wake zao nchini. Tena walienda mademu kuwachapa maeneo muhimu.
Israel haikutaka kuua raia.ilienda kuchapa maeneo muhimu inamaana hata Khamein wangemtaka siku ile wangemchapa. Kisha wakarudi wale mademu wakaenda kukaa na familia zao wakinywa maziwa na kulamba asali.
Wanasema wanasubiri majibu toka Iran. Ila wamemwambia next time wasionekane wabaya.....watafanya kitu kibaya sana. Khameini amejificha kwenye mashimo huko mbali.
Nliwaambia kukaa kimya kwa Israel baada ya kuchokozwa ni kubaya kuliko kama wangerudishia siku zile zile. Akasema wame dilu/wamegwaya. Saaa Iran hali ni mbaya. Ndege 100 zimeenda kwa umakini wa hali ya juu zimeichapa. Na kuwaangalia jamaa wakiwa wamelala na wake zao nchini. Tena walienda mademu kuwachapa maeneo muhimu.
Israel haikutaka kuua raia.ilienda kuchapa maeneo muhimu inamaana hata Khamein wangemtaka siku ile wangemchapa. Kisha wakarudi wale mademu wakaenda kukaa na familia zao wakinywa maziwa na kulamba asali.
Wanasema wanasubiri majibu toka Iran. Ila wamemwambia next time wasionekane wabaya.....watafanya kitu kibaya sana. Khameini amejificha kwenye mashimo huko mbali.