Israel blows up a bicon of the so called democracy,yes, the Gaza Parliament Building

Mkuu unajua who rules Israel,obviously hujui.Israel is owned by the NWO Cabal,the same people who want to dominate and enslave the World.So yes,they are coming for you and me.

Jielimisheni jamani,dah! Mnaonekana watupu sana.
 
Kabla ya uwepo wa HAMAS, israel iliwaita PLO magaidi
Lakini baadaye PLO ilielewa somo na kuondolewa kutambulika kimataifa kama kundi la Magaidi.
Kwa sasa HAMAS wanatambulika kimataifa kama mojawapo ya kundi hatari la kigaidi na ndo maana Israel akatumia fursa hiyo kujihalalishia kulifuta kundi hilo duniani.
 
Hapo kwenye simu Umesema kweli. Lakini kwa wao you're of no use. Hawana sababu na wewe. Wewe hauna tija kwao sasa wajisumbue na wewe wa nini?
 
Hamna, Ni watu tu wenye hasira. Kwa maana ya Hamas haitakuwepo. Wamejijenga muda mrefu na Leo miundombinu tote kwishney.
Unapambana na Ideology?Hamas ni jina tu,hao watoto na vijana waliyopitia,watakuja na kitu Chao!Huko West Bank Kuna Hamas?
Lakini resistance fighters wapo na huwa wanazichapa na vikosi vya Israel vikiendaga kufanya raids zao!
As long as Israel anakalia maeneo ya Palestine,there will always be resistance fighters wanaotaka Uhuru wao na maeneo yao waliyoporwa!
 
Shida ni ugaidi walioufanya
 
Hawa jamaa wanatengeneza chuki dunia nzima, unafikiri hata huko marekani wataiona chungu majority washa wachukia na hawaaminiki tena.
 
Hapo kwenye simu Umesema kweli. Lakini kwa wao you're of no use. Hawana sababu na wewe. Wewe hauna tija kwao sasa wajisumbue na wewe wa nini?
They want power and the World.Wewe unaiharibu Dunia,so they want you out.Hivi umeshawahi kujiuliza why there is so much talk about Climate Change?Wanajenga hoja kwamba sisi ndio tunaharibu mazingira,na wameshafanikiwa.So they are now eradicating us,tena bado,speed itaongezeka sana towards 2030.Sheria zimeshatungwa 10,and you will have to abide by them ukishindwa they will eradicate you.Simu yako ndiyo itakayotumika kufanya monitoring.New Apps will be introduced to take care of that.Oh my dear wapo mbali sana.
 
Wewe hujui source ya mgogoro wa Israel na Wapalestina,unahitaji kujielimisha zaidi.Pia hujui who holds power in Israel,katafute taarifa.Kama ni mgeni JF tafute comments zangu.
wewe huna akili ya kunirekebisha mimi na hautakuja kuwa nayo maisha yako yote. kwamba mimi sijui source ya mgogoro wa israel na palestina?
 
Shida ni ugaidi walioufanya
Jamani amkeni,waliofanya mashambulizi yale sio Hamas,it is a government militia,so it is an inside job!Yaani hata IDF waliyofanya baada ya yale mashambulizi haiwaonyeshi kwamba it is an inside job!!! Wake up guys,your power of discernment is so low.

That was a false flag ili Israel ifanye wanayofanya sasa wachukue Gaza na West Bank.Infact makazi yameshaandaliwa Egypt capable of accommodating 10 million Palestinians na Israel wamesema watalipia makazi hayo.Luckily there are approximately only 2.5 million Palestinians,so the cost of settling them will be lower.
 
wewe huna akili ya kunirekebisha mimi na hautakuja kuwa nayo maisha yako yote. kwamba mimi sijui source ya mgogoro wa israel na palestina?
Hujui,ungejua usingeandika uliyoandika mkuu,it is obvious.IIa sina nia ya kuendeleza discussion na wewe maana tayari unajua,sasa mimi nitakuongezea nini,hakuna.Asante na kwaheri.
 
Hujui,ungejua usingeandika uliyoandika mkuu,it is obvious.IIa sina nia ya kuendeleza discussion na wewe maana tayari unajua,sasa mimi nitakuongezea nini,hakuna.Asante na kwaheri.
Too much ego.
 

Wakati huo wewe unatumia smarphones kueneza nadharia zako
 
Hujui,ungejua usingeandika uliyoandika mkuu,it is obvious.IIa sina nia ya kuendeleza discussion na wewe maana tayari unajua,sasa mimi nitakuongezea nini,hakuna.Asante na kwaheri.
huna akili ya kuongeza chochote, bora tu uende.
 
Mathanzua huja thea.
 
Wakati huo wewe unatumia smarphones kueneza nadharia zako
Akili hizi sijui akili gani,so kwa kuwa naitumia ni nzuri!Yes naitumia lakini inatumiwa vibaya na watesi wetu.

Unajua nafanya nini,kabla sijaitumia naiombea in the name of Jesus,that nullifies everything.Na ikifika wakati when they will use phones to control everybody,I will not use phones kwa kuwa utawala wa Shetani utakuwa umeshaanza,if I will be alive anyway.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…