Nimeshakuambia sababu ila hakuna atakayeongea hivyo hili sakata la mateka likiisha tena watasema magaidi wa Hamas waangamizwe kabisa.Na kwanini wote wanaochiwa huru wanataka makubaliano na Hamas ili wenzao nao waachiliwe kama wao na wala hawataki vita viendelee.Sasa kama wakiendelea kufa nani atakuwa wa kulaumiwa.