Israel haina hamu na mateka mpya waliyesema wamemuokoa

Na kwanini wote wanaochiwa huru wanataka makubaliano na Hamas ili wenzao nao waachiliwe kama wao na wala hawataki vita viendelee.Sasa kama wakiendelea kufa nani atakuwa wa kulaumiwa.
Nimeshakuambia sababu ila hakuna atakayeongea hivyo hili sakata la mateka likiisha tena watasema magaidi wa Hamas waangamizwe kabisa.
 
Kama viongozi wa hamas wanataka vita kwanini wanajificha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…