Kwa sababu hujajua sababu ya mapigano hayo ndio maana unawaona viongozi wa Gaza na sisi tunaowaunga mkono ni wajinga.
Ismael Haniye familia yake yote iliuliwa kabla ya kuuliwa mwenyewe na siku alipokufa mchana wake alikuwa ni mwenye furaha sana.Msimamo wake ni kuendelea na vita mpaka dakika ya mwisho na ndio msimamo wa wote waliomrithi kiti chake.
Tafuta mantika ya jambo hilo