Israel hapakaliki Wayahudi wanakimbia kama nzige

Israel hapakaliki Wayahudi wanakimbia kama nzige

Mbona wanachelewa?
Masaa 72 yamepita tangu watangaze silaha, mbinu na wakati wa mashambulizi au walitishia kujamba wakati Wana tumbo la kuharisha.
Huo muda wa masaa 72 ulitangazwa na waziri wa mambo ya nje wa marekani na hata jana ametabiri tena kwakusema ndani ya masaa 24, lakini hajui saa ngapi shambulizi litaanza.
 
Wayahudi wanaikimbia Israel nakwenda kusalimisha viwiliwili vyao Nchi za watu na kibaya zaidi image yao imechafuka chuki dhidi yao imeongezeka kuliko enzi za WWII

⚡️🇮🇱BREAKING: Israeli director Barak Heymann in an article on "Haaretz":

More Israelis are leaving and do not want to live in such a dangerous place. They fear for their lives and are looking for ways to leave. It's not just foreign passport holders and freelancers who are seeking innovative ways to free themselves from the suffocating chains in this harsh and hopeless country, but also those for whom emigrating to a foreign country is difficult and complicated.

View attachment 3062588
Hata video hakuna? Tukaona wanavyokimbia kama.nzige?
 
Hata video hakuna? Tukaona wanavyokimbia kama.nzige?
Mkui usisumbuke na hao watoto wa msikitini.... wamefundishwa kudanganya tu chochote kikiwajia akilini.. thread zao huwa zinafanana.. kuna Ritz kimsboy na wengine pia ni fanatics muslims
 
Wayahudi wanaikimbia Israel nakwenda kusalimisha viwiliwili vyao Nchi za watu na kibaya zaidi image yao imechafuka chuki dhidi yao imeongezeka kuliko enzi za WWII

⚡️🇮🇱BREAKING: Israeli director Barak Heymann in an article on "Haaretz":

More Israelis are leaving and do not want to live in such a dangerous place. They fear for their lives and are looking for ways to leave. It's not just foreign passport holders and freelancers who are seeking innovative ways to free themselves from the suffocating chains in this harsh and hopeless country, but also those for whom emigrating to a foreign country is difficult and complicated.

View attachment 3062588
Huyu mwamba si anafanana na Messi kabisa!!?
 
Vita hii si ya kuishangilia hata kidogo. Itakwenda kubadirisha mifumo yote ya maisha duniani kote. Mifumo yote ya kiuchumi, kisiasa, kijamii ikiwemo hata ya kidini itaathirika.

Ukiona makubaliano mapya yamefikiwa kati ya Israel na mataifa mengine ya Kiarabu katika eneo la Middle East, na huku Israel ikipewa haki ya kujenga hekalu la tatu katika eneo la Mount Moria. Bssi tambua ya kwamba muda umekwisha kabisa.
Hadithi za kusadikika hizo
 
Sikio la kufa .....wapo watu waliponda kuhusu iran kuwa na mabomu ya nuke 15 wakisema Israel anayo 200 sijui ila kwa kutumia akili kama irani ana mabomu hata 4 tu ni zaidi ya mabomu 200 ya israel kwa sababu Israel ina eneo dogo sana tofauti na iran ambayo ni kubwa kama mara 2 ya tanzania
Shida siyo kuwa na nukes, hizo nyuklia za Iran zitafika kwenye ardhi ya Israel? Iran fans mnachekesha, huyo Iran uwezo wake bado ni mdogo sana, anazidiwa na nchi ya Turkey kwa kila kitu, kama ingekuwa ni vyepesi Pakstan angekuwa ameshampiga India ili akomboe Kashmir, Iran apige nukes kwa sababu gani?
 
Inashangaza wananchi wa Iran na Afghanistan wana aman kuliko wa israel
 
Hitler aliawaua kama mende Iran anatakiwa apige bila huruma
 
Back
Top Bottom