Israel ikishughulika na Magaidi Middle East, MODS shughulika waunga mkono wa JF

Israel ikishughulika na Magaidi Middle East, MODS shughulika waunga mkono wa JF

Pearce

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
667
Reaction score
1,582
Kwa kweli kazi anayoifanya Myahudi huko Middle East, kuwashughulikia kindakindaki kuanzia Iran anarudi Lebanon kisha Yemen. Kwa kweli kazi ni nzuri baraabaraa.

Kwahiyo hata wale waunga mkono wa JF (ugaidi wa keyboard) Tunaomba waanze kushughulikwa na MODS sababu wamekuwa wanaongoza kutuma taarifa feki ambazo reference inatolewa kwenye akaunti ya mtu huko X (naamini ukifuatilia kwa undani unakuta yeye Ndio ana run hiyo akaunti kwa kingereza cha Ras Simba) kisha anatupia huku, kibaya taarifa hiyo haipo vyenye vyombo vya habari chochote.

Na ni kikundi ambacho kinaongoza kutukana humu, Matusi kama Ushoga kwao ni kawaida sana (kimtokacho mtu mdomoni ndicho kinaujaza moyo wake pengine ndicho anakitenda huko Gizani).

Kuunga mkono kwa Keyboard tu, kwenda huko kwenye mapambano Gaza, Yemen, Lebanon aah.

Kama uzi haukuhusu pita kimya kimya
 

Attachments

  • 0A62E664-4CFA-4238-8DF0-E530581FE415.jpeg
    0A62E664-4CFA-4238-8DF0-E530581FE415.jpeg
    162.2 KB · Views: 4
Naww usiwe keyboard unaonaje tukuelekeze njia ili ufike Israel kupigania taifa teule. wenyewe washatangaza offers kwaajili ya watu kama ww na vibint vyakiyahudi utapewa uko uko . awa kina mwajuma tuachiesisi keyboard bahati mbaya au nzuli ukitwaliwa na jehova utakuwa umeinuliwa ujafa kama sisiuku!!! aunasema uwongo nduguzangu,!!
 
Naww usiwe keyboard unaonaje tukuelekeze njia ili ufike Israel kupigania taifa teule. wenyewe washatangaza offers kwaajili ya watu kama ww na vibint vyakiyahudi utapewa uko uko . awa kina mwajuma tuachiesisi keyboard bahati mbaya au nzuli ukitwaliwa na jehova utakuwa umeinuliwa ujafa kama sisiuku!!! aunasema uwongo nduguzangu,!!
Ntafika December hii, Safisha safisha ili Ikikamilika.

Mji Mtakatifu Yerusalem

Shalom.
 
Kwa kweli kazi anayoifanya Myahudi huko Middle East, kuwashughulikia kindakindaki kuanzia Iran anarudi Lebanon kisha Yemen. Kwa kweli kazi ni nzuri baraabaraa.

Kwahiyo hata wale waunga mkono wa JF (ugaidi wa keyboard) Tunaomba waanze kushughulikwa na MODS sababu wamekuwa wanaongoza kutuma taarifa feki ambazo reference inatolewa kwenye akaunti ya mtu huko X (naamini ukifuatilia kwa undani unakuta yeye Ndio ana run hiyo akaunti kwa kingereza cha Ras Simba) kisha anatupia huku, kibaya taarifa hiyo haipo vyenye vyombo vya habari chochote.

Na ni kikundi ambacho kinaongoza kutukana humu, Matusi kama Ushoga kwao ni kawaida sana (kimtokacho mtu mdomoni ndicho kinaujaza moyo wake pengine ndicho anakitenda huko Gizani).

Kuunga mkono kwa Keyboard tu, kwenda huko kwenye mapambano Gaza, Yemen, Lebanon aah.

Kama uzi haukuhusu pita kimya kimya
Humu ndani tulishasema hatutaki watoto wanaoiba simu za shemeji zao kuanzisha nyuzi za kipuuzi.
*Wakati wewe unashabikia Israel SPAIN, BELGIUM,NORWAY, ARGENTINA,CUBA,COLOMBIA hawa wote wamevunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel.
Nakuona wewe una akili sana kuliko hayo mataifa ya kizungu yaliyovunja uhusiano na Israel.

Aya chukua simu mrudishie shemeji yako upesi sana.
 
Nyuzi kama hizi ndio ushahidi tosha kuwa majority ya watanzania ni tupu kichwani
We kila uzi unalaumu watu hawana critical thinking…..yes of course magaidi wasafishwe tu.
 
Humu ndani tulishasema hatutaki watoto wanaoiba simu za shemeji zao kuanzisha nyuzi za kipuuzi.
*Wakati wewe unashabikia Israel SPAIN, BELGIUM,NORWAY, ARGENTINA,CUBA,COLOMBIA hawa wote wamevunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel.
Nakuona wewe una akili sana kuliko hayo mataifa ya kizungu yaliyovunja uhusiano na Israel.

Aya chukua simu mrudishie shemeji yako upesi sana.
Nimesikio mlio tayari, japo nilitahadharisha upite zako kimyakimya.
 
Kwa kweli kazi anayoifanya Myahudi huko Middle East, kuwashughulikia kindakindaki kuanzia Iran anarudi Lebanon kisha Yemen. Kwa kweli kazi ni nzuri baraabaraa.

Kwahiyo hata wale waunga mkono wa JF (ugaidi wa keyboard) Tunaomba waanze kushughulikwa na MODS sababu wamekuwa wanaongoza kutuma taarifa feki ambazo reference inatolewa kwenye akaunti ya mtu huko X (naamini ukifuatilia kwa undani unakuta yeye Ndio ana run hiyo akaunti kwa kingereza cha Ras Simba) kisha anatupia huku, kibaya taarifa hiyo haipo vyenye vyombo vya habari chochote.

Na ni kikundi ambacho kinaongoza kutukana humu, Matusi kama Ushoga kwao ni kawaida sana (kimtokacho mtu mdomoni ndicho kinaujaza moyo wake pengine ndicho anakitenda huko Gizani).

Kuunga mkono kwa Keyboard tu, kwenda huko kwenye mapambano Gaza, Yemen, Lebanon aah.

Kama uzi haukuhusu pita kimya kimya
sio kila myahudi ana akili,mfano nyie wayahudi wa mwalusembe,tandahimba na kazuramimba akili zenu ni ugali,dagaa,maharagwe na miogo ya kukaanga ndo maana unajikuta unaandika huu utopolo...mungu ibariki israel kwenye keyboard kwenda kuwasaidia vita aaah!!!
 
Kwa kweli kazi anayoifanya Myahudi huko Middle East, kuwashughulikia kindakindaki kuanzia Iran anarudi Lebanon kisha Yemen. Kwa kweli kazi ni nzuri baraabaraa.

Kwahiyo hata wale waunga mkono wa JF (ugaidi wa keyboard) Tunaomba waanze kushughulikwa na MODS sababu wamekuwa wanaongoza kutuma taarifa feki ambazo reference inatolewa kwenye akaunti ya mtu huko X (naamini ukifuatilia kwa undani unakuta yeye Ndio ana run hiyo akaunti kwa kingereza cha Ras Simba) kisha anatupia huku, kibaya taarifa hiyo haipo vyenye vyombo vya habari chochote.

Na ni kikundi ambacho kinaongoza kutukana humu, Matusi kama Ushoga kwao ni kawaida sana (kimtokacho mtu mdomoni ndicho kinaujaza moyo wake pengine ndicho anakitenda huko Gizani).

Kuunga mkono kwa Keyboard tu, kwenda huko kwenye mapambano Gaza, Yemen, Lebanon aah.

Kama uzi haukuhusu pita kimya kimya
Wakiristo wa jf thread zao utacheka ukisoma
 
Kwa kweli kazi anayoifanya Myahudi huko Middle East, kuwashughulikia kindakindaki kuanzia Iran anarudi Lebanon kisha Yemen. Kwa kweli kazi ni nzuri baraabaraa.

Kwahiyo hata wale waunga mkono wa JF (ugaidi wa keyboard) Tunaomba waanze kushughulikwa na MODS sababu wamekuwa wanaongoza kutuma taarifa feki ambazo reference inatolewa kwenye akaunti ya mtu huko X (naamini ukifuatilia kwa undani unakuta yeye Ndio ana run hiyo akaunti kwa kingereza cha Ras Simba) kisha anatupia huku, kibaya taarifa hiyo haipo vyenye vyombo vya habari chochote.

Na ni kikundi ambacho kinaongoza kutukana humu, Matusi kama Ushoga kwao ni kawaida sana (kimtokacho mtu mdomoni ndicho kinaujaza moyo wake pengine ndicho anakitenda huko Gizani).

Kuunga mkono kwa Keyboard tu, kwenda huko kwenye mapambano Gaza, Yemen, Lebanon aah.

Kama uzi haukuhusu pita kimya kimya

View: https://x.com/warintel4u/status/1841140840774975858?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hahahahaha wayahudi weusi wa.

1 HAPOROTO
2 IWANZA
3 ILEYA
4 MWABOWO
5 IPINDA
6 IDIMI
7 IMPOMU
§ LWANJILO
9 LOWELO
10 INYALA
11 YAWAYA
12 MAKWENJE
13 DARAJANI
14 SHAMWENNGO
15 IMEZU
16 MWASHOMA

Wanatoa tamko JF😀
 
We kila uzi unalaumu watu hawana critical thinking…..yes of course magaidi wasafishwe tu.
Wewe sio tu huna hio critical thinking, huna akili kabisa
Na hakika unaweza kufanya mtihani na kuku na ukawa wa mwisho
 
Wewe sio tu huna hio critical thinking, huna akili kabisa
Na hakika unaweza kufanya mtihani na kuku na ukawa wa mwisho
Kwasababu wewe unataga na kulalia Mayai kwahiyo siwezi kataa kuwa una kipimo cha IQ cha matetea wenzanko
 
Duuh asee wayahudi mmechachamaa kweli hii vita ni ngumu mno itabidi na sis tukutane siku moja taifa pale tuzichape kama kumuenzi muyahud na mpalestine
Mtatuua maana nyie si mmefundshwa kujitoa muhanga na kule si Kuna kufundshwa kareti ?
 
Back
Top Bottom