Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
View: https://youtube.com/shorts/pQP7AY6xzZ8?si=WHB7EP3CjnIMPtDo
Kichapo hicho leo asubuhi mpaa Israel waseme maji Maaaiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View: https://youtube.com/shorts/pQP7AY6xzZ8?si=WHB7EP3CjnIMPtDo
Kichapo hicho leo asubuhi mpaa Israel waseme maji Maaaiii
wamemla kichwa huyo sasa hivi Lebanon msaidizi wa mkuu kikosi kiliocho sogeza pua pale Lebanon
😄😄😄Kwa kweli kazi anayoifanya Myahudi huko Middle East, kuwashughulikia kindakindaki kuanzia Iran anarudi Lebanon kisha Yemen. Kwa kweli kazi ni nzuri baraabaraa.
Kwahiyo hata wale waunga mkono wa JF (ugaidi wa keyboard) Tunaomba waanze kushughulikwa na MODS sababu wamekuwa wanaongoza kutuma taarifa feki ambazo reference inatolewa kwenye akaunti ya mtu huko X (naamini ukifuatilia kwa undani unakuta yeye Ndio ana run hiyo akaunti kwa kingereza cha Ras Simba) kisha anatupia huku, kibaya taarifa hiyo haipo vyenye vyombo vya habari chochote.
Na ni kikundi ambacho kinaongoza kutukana humu, Matusi kama Ushoga kwao ni kawaida sana (kimtokacho mtu mdomoni ndicho kinaujaza moyo wake pengine ndicho anakitenda huko Gizani).
Kuunga mkono kwa Keyboard tu, kwenda huko kwenye mapambano Gaza, Yemen, Lebanon aah.
Kama uzi haukuhusu pita kimya kimya
Ile shida anayoipata Palestina leo yamkini ungekuwa unaipata wewe Mtanzania maana wale jamaa waliwahi kupewa hapo Uganda waanzishe nchi yao. Yamkini leo tungekuwa tunauawa na kuitwa magaidi kupinga ukandamizaji wao kama wafanyavyo leo Wapalestina.Kwa kweli kazi anayoifanya Myahudi huko Middle East, kuwashughulikia kindakindaki kuanzia Iran anarudi Lebanon kisha Yemen. Kwa kweli kazi ni nzuri baraabaraa.
Kwahiyo hata wale waunga mkono wa JF (ugaidi wa keyboard) Tunaomba waanze kushughulikwa na MODS sababu wamekuwa wanaongoza kutuma taarifa feki ambazo reference inatolewa kwenye akaunti ya mtu huko X (naamini ukifuatilia kwa undani unakuta yeye Ndio ana run hiyo akaunti kwa kingereza cha Ras Simba) kisha anatupia huku, kibaya taarifa hiyo haipo vyenye vyombo vya habari chochote.
Na ni kikundi ambacho kinaongoza kutukana humu, Matusi kama Ushoga kwao ni kawaida sana (kimtokacho mtu mdomoni ndicho kinaujaza moyo wake pengine ndicho anakitenda huko Gizani).
Kuunga mkono kwa Keyboard tu, kwenda huko kwenye mapambano Gaza, Yemen, Lebanon aah.
Kama uzi haukuhusu pita kimya kimya