Israel ikishughulika na Magaidi Middle East, MODS shughulika waunga mkono wa JF

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Ile shida anayoipata Palestina leo yamkini ungekuwa unaipata wewe Mtanzania maana wale jamaa waliwahi kupewa hapo Uganda waanzishe nchi yao. Yamkini leo tungekuwa tunauawa na kuitwa magaidi kupinga ukandamizaji wao kama wafanyavyo leo Wapalestina.
 
Siku za kwenda Yerusalem, tunaenda saafi kabisa.

Baada ya IDF kurudisha mlima Helmon, na kuondoa takataka zote zaki-shia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…