Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Sheria za JF zinahusiana vipi na swali langu?Kweli punguani hata ufahamu sheria za JF za kuanzisha uzi, wewe mlolokole wa wapi?
Hahahahaha๐๐Safi sana inanikumbusha enzi zetu za ututo pale tunatumia manati, hao waisrael wanapigwa kama wale ndege wanaitwa Tina wako juu ya mizambarao, afu wanadondoka chini pwa ๐
Hamasi katisha. Siku za nyuma Europe walimsaidia Israel we mwisho wamejikuta wanafilisika wanamkimbia Israel sasa taratibu na hilo taifa bila msada wa Europe na America wangeisha furushwa wote na Hamasi mda wa siku mbili tu.Hao Hamas wamekufanyia nini mbona unawapenda sana? Kwa siku unaweza kuanzisha hata nyuzi 20 za kuwahusudu tu.
Ndio sababu Ritz anawapenda sana?Hamasi katisha Europe walimsaidia Israel we mwisho wamejikuta wanafilisika wanamkimbia Israel sasa taratibu na hilo taifa bila msada wa Europe na America wangeisha furushwa wote na Hamasi mda wa siku mbili tu.
Sasa hawa watu wazima na vitambi watawezana na mikiki ya vijana wabichi wa Alquds/Alqassam brigades?
Swali lako la kishoga unasema kwa siku naazisha nyuzi 20 wakati sheria za JF hawaruhusu hizo nyuzi ufahamu hata idadi ya nyuzi mwisho nyuzi 5 tu au 4 wewe unasema 20 ndiyo maana nakuita punguani mimi kuwatetea Hamas wewe unaumia nini au umekuwa mke wangu? Wewe mbona unawatetea mashoga wenzako Israel nani kakukaza.Sheria za JF zinahusiana vipi na swali langu?
Kutwa kucha kusifia Hamas kwani ni nani zako wale? Hata wanakujua?
Kwahiyo akili ya kuokoa mateka imeshindikana kabisa?Ila kwa wakati huu kama ni kichapo kwa Wapalestina wamepigwa daa!! Yale maneno ya Netanyau kuwa anataka atoe onyo hata kwa Hamas walioko tumboni waiogope Israel, anayatekeleza!! Na dunia imemuacha tu israel afanye atakavyo,
Dunia nzima wanawapenda Hamasi isipokuwa wale wenye roho chafu na madhulumaji ndio wanawachukia wadai haki.Ndio sababu Ritz anawapenda sana?
Umepaniki Bro, wapi ulishawahi kuona nimetetea Israel?Swali lako la kishoga unasema kwa siku naazisha nyuzi 20 wakati sheria za JF hawaruhusu hizo nyuzi ufahamu hata idadi ya nyuzi mwisho nyuzi 5 tu au 4 wewe unasema 20 ndiyo maana nakuita punguani mimi kuwatetea Hamas wewe unaumia nini au umekuwa mke wangu? Wewe mbona unawatetea mashoga wenzako Israel nani kakukaza.
๐๐๐ nipanik kwako?Umepaniki Bro, wapi ulishawahi kuona nimetetea Israel?
Ndio umeandika ugoro gani huu ndugu yangu?Ulaya yote wanafunzi Marekani wote Hamas..
Wameisha tema bungo.Dunia nzima wanawapenda Hamasi isipokuwa wale wenye roho chafu na madhulumaji ndio wanawachukia wadai haki.
Walokole ndio watu gani?๐๐๐ nipanik kwako?
Nyie walokole wa JF mnajulikana.
Hakuna kurudi nyuma. Kila mtu anaiona Israeli jinsi ilivyo..
View: https://x.com/socialistanyday/status/1793564716826239072?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Yaan we jamaa ni gaidi ,, kila siku we n hamas post zako zote!!Wanaukumbi.
Serikali ya Israel ilitangaza kuwa kamanda wa ngazi ya juu Asaf Hamami amefariki na kumfanyia mazishi ya jeneza tupu.
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na mkewe Sara, walifanya ziara ya rambirambi kwa familia ya Kanali Asaf Hamami, kamanda wa Brigedi ya Kusini huko Gaza, iliyoanguka tarehe 7 Oktoba.
Israel wanawadanganya raia wake.
Hamas inafichua kwamba israel inalala kwa watu wake, kwenye video hapa chini walishiriki kwamba Asaf Hamimi alijeruhiwa tarehe 7 Oktoba na alichukuliwa mateka hadi Gaza.
Hata hivyo israel โIDFโ ilitangaza kuwa amefariki miezi 2 baada ya Oktoba 7 na hata kumfanyia mazishi.
Walidanganya.
View: https://x.com/hoaxvstruths/status/1793701450880831965?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hamas wamevuruga kabisa baada ya kuonyesha hayo mazishi ya uongo Hamas wakatoa video ya mateka ambayo yupo hai.
View: https://x.com/suppressednws/status/1793648636900827494?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Kwani kuna siku nilikuomba hicho kinyeo??Unataka niwe shoga kama wewe?
Mimi sishobokeagi hao wayahudi kama wewe unavyoshobokea waarabu, nadhani hao waarabu wakitaka jicho unawapa kwa jinsi unavyowashobokea.Bwana yenu Netanyahu ndiyo kangea huo ugoro.
Ukimuamini Ritz basi na Hamas ni wakuaminiwaWanaukumbi.
Serikali ya Israel ilitangaza kuwa kamanda wa ngazi ya juu Asaf Hamami amefariki na kumfanyia mazishi ya jeneza tupu.
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na mkewe Sara, walifanya ziara ya rambirambi kwa familia ya Kanali Asaf Hamami, kamanda wa Brigedi ya Kusini huko Gaza, iliyoanguka tarehe 7 Oktoba.
Israel wanawadanganya raia wake.
Hamas inafichua kwamba israel inalala kwa watu wake, kwenye video hapa chini walishiriki kwamba Asaf Hamimi alijeruhiwa tarehe 7 Oktoba na alichukuliwa mateka hadi Gaza.
Hata hivyo israel โIDFโ ilitangaza kuwa amefariki miezi 2 baada ya Oktoba 7 na hata kumfanyia mazishi.
Walidanganya.
View: https://x.com/hoaxvstruths/status/1793701450880831965?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hamas wamevuruga kabisa baada ya kuonyesha hayo mazishi ya uongo Hamas wakatoa video ya mateka ambayo yupo hai.
View: https://x.com/suppressednws/status/1793648636900827494?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw