Israel imepewa ilicho kitaka kutoka Tehran

Israel imepewa ilicho kitaka kutoka Tehran

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Hata watoto wadogo huujibu uchokozi wa makusudi.

2. Ali beep Israel ubalozini, sasa kapigiwa kutokea nyumbani; anao ubavu wa kumpigia Ayatollah nyumbani?

IMG_20240414_150531.jpg


3. Ni kawaida ahadi kuwa nzito nzito tokea kwa kila mpigiwa simu. Kumbe hadi wapi?

4. Inafahamika taarifa za kijeshi hata huku makwetu kuwa ni siri kali. Atakiri nani kuwa sumbwi lile limempata vilivyo na tena "ku-bu-gosha?"

5. Hapo #4, Saddam alipoisambaratisha pentagon ya Israel tulikuja kuelezwa miaka kadhaa baadaye.

IMG_20240414_101754.jpg


6. Wamesema kajeruhiwa mtoto mdogo tena ka mkwaruzo mdogo tu; twasema la kheri hilo!

IMG_20240414_080019.jpg


7. Kumbe kulikoni kulalama? Kwani alipo beep ubalozini hakuwa akitaka kupigiwa?
 
1. Ni mpuuzi pekee mwenye kutaka vita. Hata watoto wadogo huujibu uchokozi wa makusudi.

2. Ali beep Israel ubalozini, sasa kapigiwa kutokea nyumbani; anao ubavu wa kumpigia Ayatollah nyumbani?

View attachment 2963195

3. Ni kawaida ahadi kuwa nzito nzito tokea kwa kila mpigiwa simu. Kumbe hadi wapi?

4. Inafahamika taarifa za kijeshi hata huku makwetu kuwa ni siri kali. Atakiri nani kuwa sumbwi lile limempata vilivyo na tena "ku-bu-gosha?"

5. Hapo #4, Saddam alipoisambaratisha pentagon ya Israel tulikuja kuelezwa miaka kadhaa baadaye.

View attachment 2963193

6. Wamesema kajeruhiwa mtoto mdogo tena ka mkwaruzo mdogo tu; twasema la kheri hilo!

View attachment 2962901

7. Kumbe kulikoni kulalamq? Kwani alipo beep ubalozini hakuwa akitaka kupigiwa?
Netanyahu amekipata alichokuwa anakitafuta, kurudisha imani ya serikali Biden na uungwaji mkono na Wamarekani wanaoonekana kuchoshwa na vita vyake vya Gaza
 
Pia ni njia ya Netanyahu kuendelea kusalia madarakani na kutosumbuliwa mahakamani au kwenda gerezani kabisa kwa kesi zake za ufisadi.
 
Huu ulikiwa mtego ambao Iran imeungia vizuri, baada ya wiki moja au mbili utaona Israel anamwagiwa mabilioni ya pesa na bunge la Marekani.

Mtu aki beep hupigiwa na ndicho kilichotokea. Bila hivyo tungetegemea makubwa zaidi.

Shambulio la Iran lilikuwa callibrated kumtaarifu Natenyahu na Israeli kutambua mipaka yake.
 
Huu ulikiwa mtego ambao Iran imeungia vizuri, baada ya wiki moja au mbili utaona Israel anamwagiwa mabilioni ya pesa na bunge la Marekani.
🇮🇱🇮🇷 Israel is now spreading Zelensky-type propaganda that they managed to intercept 103% of the total number of drones and missiles, all in order to have an excuse for not retaliating against Iran. But knowing that the Israelis are like little children, it is possible that they will hit back and open the door to a great war.
 
1. Ni mpuuzi pekee mwenye kutaka vita. Hata watoto wadogo huujibu uchokozi wa makusudi.

2. Ali beep Israel ubalozini, sasa kapigiwa kutokea nyumbani; anao ubavu wa kumpigia Ayatollah nyumbani?

View attachment 2963192

3. Ni kawaida ahadi kuwa nzito nzito tokea kwa kila mpigiwa simu. Kumbe hadi wapi?

4. Inafahamika taarifa za kijeshi hata huku makwetu kuwa ni siri kali. Atakiri nani kuwa sumbwi lile limempata vilivyo na tena "ku-bu-gosha?"

5. Hapo #4, Saddam alipoisambaratisha pentagon ya Israel tulikuja kuelezwa miaka kadhaa baadaye.

View attachment 2963193

6. Wamesema kajeruhiwa mtoto mdogo tena ka mkwaruzo mdogo tu; twasema la kheri hilo!

View attachment 2962901

7. Kumbe kulikoni kulalamq? Kwani alipo beep ubalozini hakuwa akitaka kupigiwa?
Braza (J) Juma embu tuhabarishe ni majenerali wangapi wa kizayuni wamesha tangulizwa kwa mabikra 72 baada ya ilo shambulizi??
 

Attachments

  • IMG_20240414_123327.jpg
    IMG_20240414_123327.jpg
    46.3 KB · Views: 3
🇮🇱🇮🇷 Israel is now spreading Zelensky-type propaganda that they managed to intercept 103% of the total number of drones and missiles, all in order to have an excuse for not retaliating against Iran. But knowing that the Israelis are like little children, it is possible that they will hit back and open the door to a great war.

Kwamba walitegemea Iran iwashangilie?

IMG_20240414_122850.jpg


Attack hujibiwa kwa counter attack. Kulikoni kulia lia UN huko?

Ngoja tuone, baba mwenye nyumba kasema yeye haingilii.
 
Braza (J) Juma embu tuhabarishe ni majenerali wangapi wa kizayuni wamesha tangulizwa kwa mabikra 72 baada ya ilo shambulizi??

J - Joseph ndugu mfia dini:

IMG_20240414_101754.jpg


Habari ndiyo hiyo. Miye si mwenzenu kwenye dini zenu huko!

e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.

f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.
 
1. Ni mpuuzi pekee mwenye kutaka vita. Hata watoto wadogo huujibu uchokozi wa makusudi.

2. Ali beep Israel ubalozini, sasa kapigiwa kutokea nyumbani; anao ubavu wa kumpigia Ayatollah nyumbani?

View attachment 2963192

3. Ni kawaida ahadi kuwa nzito nzito tokea kwa kila mpigiwa simu. Kumbe hadi wapi?

4. Inafahamika taarifa za kijeshi hata huku makwetu kuwa ni siri kali. Atakiri nani kuwa sumbwi lile limempata vilivyo na tena "ku-bu-gosha?"

5. Hapo #4, Saddam alipoisambaratisha pentagon ya Israel tulikuja kuelezwa miaka kadhaa baadaye.

View attachment 2963193

6. Wamesema kajeruhiwa mtoto mdogo tena ka mkwaruzo mdogo tu; twasema la kheri hilo!

View attachment 2962901

7. Kumbe kulikoni kulalamq? Kwani alipo beep ubalozini hakuwa akitaka kupigiwa?
Hivi wewe huwa na akili kweli? Tusubiri
 
Back
Top Bottom