Israel imepokea ndege za kijeshi kutoka USA

Hii ni akili kubwa ambayo haijaathiriwa na utumwa wa kiimani
 
Mungu ni muweza wa yote mkuu, hako unakokaita kakipande ka ardhi ndiko ambako Mungu alikuja akaishi hapa duniani miaka 33. Jifunze kutowekea uwezo wa Bwana Mungu wako mipaka. Wekea mipaka ya uwezo wa akili yako kama mwanadamu.

Na washawasha!
Hahahaha huyo atakuwa Mungu wa Israel siyo wa Tz
 
Hahahaha aiseee hz dini/imani za kutoka mashariki ya kati zimefanya watumwa.
Hv ushawahi kujiuliza kwann wewe ni mkristo/muislamu?
Je wewe ulichagua kuwa mkristo/muislamu ama mazingira yalikulazimisha kuwa mkristo/muislamu?
Hv ushawahi kuziona kasoro zinazoambatana na imani yako ama unaona kasoro zilizo kwenye imani zingine?
 
Tafuta wewe mungu wako ni nani na imani yako ni ya aina gani!! au bado ni kwenda kukaa kwenye kigoda cha sangoma? au kuchinja kuku juu ya kaburi la babu zako? au bado wewe ni muumini wa darwin na evolution yake?
 
Kwa akili uliyokuwa nayo naomba tu nikupe pole
wewe ndiyo unatakiwa kupewa pole kama unafkiri Israel ni nchi kama nchi zingine pole sana, kwa sasa hakuna taifa la kusimaa na kupigana na hii nchi na kuoshinda. zile chuki za
wale jamaa juu ya Isarel ni kelele za kujichosha bure waliishia tu kutangaza eti waifute Israel katika uso wa dunia na badala yake majeshi yao yote ndiyo yaliyoteketea mpaka leo waliis kuilaani tu,
 
Haaaaa,, Wafilisti akina Goliath,, wasubiri kichapo tu,, maana hakuna jinsi ni lazima wachapwe tu.
 
mada iliyoanzishwa israel wamepokea ndege za kivita kinachoongelewa ndani kitu tofauti.
 
Well noted! Assyrians au huku kwetu tunawaita Waashuru, hawa jamaa pia waliwasumbua sana Waisrael hata hivyo ni kwasababu Israel ilimuacha Mungu wa baba yake Ibrahimu na kuanza kuabudu baali. Baada ya kifo cha mfalme Sulemani taifa la Isarael liligawanyika kabila kumi zikabakia kaskazini na hii ndiyo ikawa Israel na mji wake mkuu ukwa Samaria. Zile ksbila mbili ya Benjamin na Yuda wao wakabi kusini na hii ndiyo ikwa nchi ya Yuda na mji wake mkuu ukabaki Yerusalemu huko ndiko
hekalu lilipokuwa. Mwaka wa 722 hadi 721 B.C Sargon wa II mfalme wa Assyria (Ashuru) alivamia Israel yaan zile kabila kumi za kaskazin na kuwachukua mateka wote, kwahiyo hawakurudi mpaka hii leo na sababu ni kwamba walimuasi Mungu na kujitengenezea maashael na kuyaabudu pia wakawa wanawatoa watoto sadaka za kuchoma moto mbele ya hizo sanamu 1 Wafalme 17:5-23.

Wakati wa Nabii Isaya Sanekarebu mfalme wa Assyria alijaribu tena kuivamia Yuda wakati wa Hezekia akiwa Mfame wa Yuda. Lakini neno la BWANA likamwijia Isaya nabii kwaba Assyria watarudi mikono nyuma tazama Isaya sura yote ya 36; na ile 37.

Kwahiyo Assyrian hawakuiweza Yuda kwakuwa Hezekia Mfalme alimlilia BWANA Mungu wa Ibrahimu na akaiokoa nchi; Isaya 37:1-20.

Katika utawala wa mfalme Zedekia mnamo mwaka 586 B.C enzi za nabii Yeremia, Nebukadreza mfalme wa Babeli aliivamia Yuda usiku wa manane na kuuharibu mji wa Yesualemu na kulibomoa kabisa Hekalu kwasababu ya dhambi za walizotenda watu wa Yuda mbele za BWANA, Yeremia nabii alipowaambia kutubu walikataa na kutaka kumuua, kwahiyo Yeremia aliishi kwa mateso mda wote. Kwahiyo ndugu yangu Yuda au Wana wa Yuda au Wayahudi walipelekwa utumwani Babeli leo ni Iraq huko wakakaa miaka 70 na kisha walilejea mwaka ule wa 516 B.C na kuijenga tena nchi yao na mji wa Yerusalem kama nilivyoandika hapo awali.

Hivyo leo hii zile kabila mbili yaani Yuda na Benjamini ndiyo Isarael iliyopo leo. Hata hivyo Mungu kupitia nabii Isaya aliahidi kuzikusanya kabila zote kumi na mbili za Isarael siku za mwisho, rejea tena Isaya sura zote hizi 41; 43; 44 na 54. Isaya aliwaona wanarudi wakiwa wamebebwa na ndege aina ya tai, leo hii tunashuhudia Waisrael toka pande zote za dunia waarudia kwao Israel sawsawa na neno la BWANA kwa kinywa cha Isaya nabii mwana wa Amoz.
 
mada iliyoanzishwa israel wamepokea ndege za kivita kinachoongelewa ndani kitu tofauti.
Wewe unadhani aina ya ndege kama hizi zinaagizwa kufanya nini? unakiujua kinachoendelea mashariki ya kati sasahivi? Urusi imeshaingia Syria na haitoki ng'o itabakia hukohuko nakuimarisha jeshi lae huko. USA inakituo cha kijeshi Misri na haitatoka ng'o itabakia hukohuko. Ushindi wa Trump unaumhimu katika hili na kidogo tu umepunguza msuguano kati ya USA na Russia, ila siku zinakuja Russia itakuwa nuungao wa nchi kazaa kisha WWIII inashika hatamu kwahiyo Israel inajua inachokifaya na ndo nchi pekee duniani ikinunua ndege ya kivita ni lazima waifanyie mfumo mpya wa kielectronic usioweza kutambuliwa natafa lolote.
 
Wakristo mnachekesha sana. Aliye andika bibilia alisha waroga mana alikuwa Muisael yani mkisikia
Israel mnachanganyikiwa wakati wao ndio walimua Yesu kama mnavyo dai ni Mungu wenu.
Me sifungamani na upande wowote.Ila kama wwlimuua yesu watashindwaje kuua wanadamu.pande hii inaitaji ubongo mpana sio kuona eti taifa LA mungu huu ni upuuzi mungu gani anae uwa bila huruma.by jah man
 
Ni wale wasiojua historia na mwenendo wa siasa za kimaslahi za kimataifa vinginevyo tupo wakristu wengi tu ambao hatuiungi mkono Israel
Wewe mkristo usiyeisapoti Israel husomi biblia au kama unaisoma huelewi maana ukiilaani Israel unalaaniwa na Mungu mwenyewe ukiibariki Unabarikiwa
 
Muisraeli hana urafiki wala undugu.na wakristo.hawamkubali yesu wala hawampendi.hao unaowaita wapuuzi.ndo wanaompa heshima yesu na mama take.al aqsa kubomolewa ndoto.
 
sasa wewe mkuu ulishaona wapi hatimiliki ya miaka 1000,hata kama ni kweli?,
ndo maana nasema hawa watu ni wakorofi,yaani hampo eneo husika miaka 1000 halafu urudi kudai ardhi kwa hati miliki ipi?.

Kwa mfano leo pale magogoni ikulu ukirudi miaka 1000 hutaikuta ikulu tena,labda utakuta ni eneo imejengwa shule ya wapemba ya sekondari,au kiwanda cha kutengeza spaceship,
 
huo ni ubadilishanaji wa teknolojia tu mkuu kwasababu israel pia wanatengeneza ndege zao na vifaru vyao pia. wako mbali sana kiteknolojia na kiuwezo wa vita, na kwasababu nchi yao ni ndogo, huwa hawapotezi muda au kumpa adui nafasi hata kidogo kwasababu wanajua adui akipata nafasi tu ataleta madhara makubwa. hivyo ukiona hivyo wanataka tu kupokezana silaha etc, lakini sio kwamba hawawezi kuishi bila US.
 
sio kwamba wayahudi wote waliondoka eneo lile, walibaki baadhi ila wengi waliondoka. hata wakati wa utawala wa ukoloni wa waingereza na hata warumi, kulikuwepo wayahudi wengi tu pale hawakuondoka, na kulikuwepo na waarabu/wafilisti/wapalestina/waphilistia hapo.
 
Lile limsikiti naona umesha fika muda wake WA kugeuzwa kifusi tu cha Udongo,,

Maana Waislael kwa nia safi kabisa wameamua kumtoa CHATU jike alie atamamia Mayai yke kwenye kona ya Chumba Chao.
Ngoja tusubiri haka kamchezo mwisho wake. Hii ni vita mpya ya WAFILISTI na MAYAHUDI.
 
umeshika againjpys mkuuu
 
We jamaa wewe! Laiti kama ungejuwa hao Wayahudi unaowatukuza jinsi wanavyomchukulia Yesu sijui kama povu lingekutoka humu,Halafu kaa ukijuwa kwamba,hata wewe kwa Myahudi huna thamani yoyote zaidi kukuona kama kiumbe usiye na thamani na muelekeo wowote.We endelea kumtukuza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…