Israel imepokea ndege za kijeshi kutoka USA

Israel imepokea ndege za kijeshi kutoka USA

huo ni ubadilishanaji wa teknolojia tu mkuu kwasababu israel pia wanatengeneza ndege zao na vifaru vyao pia. wako mbali sana kiteknolojia na kiuwezo wa vita, na kwasababu nchi yao ni ndogo, huwa hawapotezi muda au kumpa adui nafasi hata kidogo kwasababu wanajua adui akipata nafasi tu ataleta madhara makubwa. hivyo ukiona hivyo wanataka tu kupokezana silaha etc, lakini sio kwamba hawawezi kuishi bila US.
huo ni ubadilishanaji wa teknolojia tu mkuu kwasababu israel pia wanatengeneza ndege zao na vifaru vyao pia. wako mbali sana kiteknolojia na kiuwezo wa vita, na kwasababu nchi yao ni ndogo, huwa hawapotezi muda au kumpa adui nafasi hata kidogo kwasababu wanajua adui akipata nafasi tu ataleta madhara makubwa. hivyo ukiona hivyo wanataka tu kupokezana silaha etc, lakini sio kwamba hawawezi kuishi bila US.
israel hawatengenezi ndege za kivita
 
sio kwamba wayahudi wote waliondoka eneo lile, walibaki baadhi ila wengi waliondoka. hata wakati wa utawala wa ukoloni wa waingereza na hata warumi, kulikuwepo wayahudi wengi tu pale hawakuondoka, na kulikuwepo na waarabu/wafilisti/wapalestina/waphilistia hapo.
hao waliobaki waliingiliana na jamii za pale,kuna walioendelea na imani yao ya kiyahudi,etc lakini hawako radical kama hao wazungu waliotoka ulaya wakijiita wayahudi,
actually asilimia kubwa ya wayahudi walirudi toka babelon wakati wa utawala wa Ezra kama sikosei,
hawa wazungu akina Netanyau ni ma impostor,sio wayahudi halisi
 
wewe ndiyo unatakiwa kupewa pole kama unafkiri Israel ni nchi kama nchi zingine pole sana, kwa sasa hakuna taifa la kusimaa na kupigana na hii nchi na kuoshinda. zile chuki za
wale jamaa juu ya Isarel ni kelele za kujichosha bure waliishia tu kutangaza eti waifute Israel katika uso wa dunia na badala yake majeshi yao yote ndiyo yaliyoteketea mpaka leo waliis kuilaani tu,
mkuu wangu uwe unafuatilia basi na history,
israel imeshafutwa mara ngapi?,israel haijapata kuwa empire eneo lile,it just a very tiny kingdom na walikuwa wanalipa tribute kwa empire kubwa kama asyria,egypt ama persia kwa nyakati tofauti kutokana na empire ipi ilikuwa na nguvu ili wapate ulinzi,yaani kama vile Taiwan ama saud arabia ilivyo mkataba wa ulinzi na marekani,
hata viongozi wake wengi waliwekwa na hizo nchi na sio jehova kama tunavyoaminishwa
 
Sawa Mungu ndiye ananijua. Mimi Machozi ya Mtoto wa Kiyahudi, au Kiarabu au Kiafrika, Ukiyasababishwa kububujika kwa Ukatili wa aina yoyote Mungu atakuhukumu tu. Ndivyo ninavyoamini. Watoto wanaokufa Syria Leo kwa kuwa tu kuna watu hawakupenda Syria iwe na nguvu unaonaje Yesu aliyesema watoto kama hawa Ufalme wa Mungu ni wao anajisikiaje na aliyeleta mkorogano? Usihukumu usije Kuhukumiwa. Mimi ni Mtu wa haki sana!

Mkuu Naona unamchagulia Mungu namna ya Kuuendesha ulimwengu, najua kama utakuwa nimsomaji mzuri wa Biblia kinachoendelea mashariki ya kati hakikuanza leo, utofauti ni advancement of Technology na Mawasiliano kwamba waweza pata in a matter of second what happened in Syria Via CNN,BBC etc but enzi hizo Era za BC kulikuwa na namna ya kuwasiliana lakin ujumbe ulikuwa haufiki urgently like nowadays, ulimwengu saivi unaendeshwa kifitina hasa kwa kutumia media..

Unataka kusema namna Israel wanavyojilinda na kutetea maslai na uhai wao wakati huu, ni tofauti sana na enzi za Kina Mfalme Daudi, Hosea, Ibrahim,Musa etc? Mungu alitumia Wafalme hao kusimama kutetea Israel, ilipobidi Taifa zima la adui liliteketezwa. kumbuka kilicho wapata Waamori, wamisri, Wagilgashi..bila kujali wanawake wala watoto....why He did this? Ni Kwasababu, kwa Mungu kizazi kiovu na kisicho mcha ni machukizo mbele zake, kukiangamiza kwa ajili ya Manufaa ya Wenye haki wake haimuwii vigumu - saiv tunajitapa na kujiona majabari kwa uovu na ujivuni kwasababu ya Neema tuliyona katika Kristo Yesu, tumefunikwa na Neema hiyo ambayo inalia mbele za Mungu usiku na mchana,ikiomba tuongezewe Muda yamkini tuta tubu na kuziacha njia zetu mbaya.

Pia ni kwasababu ya AGANO alilo ingia na Ibrahim, Isaka na Yakobo, hili agano ni la milele, na ukumbuke hakuna Kitu Mungu anakiheshimu kama AGANO hasa analofanya na Mtu aliye mtii,mwaminifu aliyeyaacha yote akakubali kunyenyekea, wajua pia Mungu siyo kigeugeu na hasemi uongo, so kama itambidi kuangamiza ulimwengu mzima wa kizazi kiovu, ili kuwatetea watu wake walio libeba AGANO atafanya hivyo(Kumbuka Mungu anaterms zake ambazo haijalishi wewe ni Muisrael au nani, kama haunasifa hauna nafasi katiaka ufalme wake)
 
Lile limsikiti naona umesha fika muda wake WA kugeuzwa kifusi tu cha Udongo,,

Maana Waislael kwa nia safi kabisa wameamua kumtoa CHATU jike alie atamamia Mayai yke kwenye kona ya Chumba Chao.
Ngoja tusubiri haka kamchezo mwisho wake. Hii ni vita mpya ya WAFILISTI na MAYAHUDI.
Kama wao ndo.wameujenga hayaaa.ule ni msikitini.wa 3.kwa ukubwa.kwenye uislam.mpaka kwenye Quran umetajwa.
 
We jamaa wewe! Laiti kama ungejuwa hao Wayahudi unaowatukuza jinsi wanavyomchukulia Yesu sijui kama povu lingekutoka humu,Halafu kaa ukijuwa kwamba,hata wewe kwa Myahudi huna thamani yoyote zaidi kukuona kama kiumbe usiye na thamani na muelekeo wowote.We endelea kumtukuza tu.
Hata wew huna thamani yoyote mbele ya Mwarabu,, ndiyo maana ukienda Arabuni weusi wengi wamehasiwa.
Maana Mwarabu akiwa na Quran yke mkononi anamwona mtu mweusi ni sawa na dume la NGO,MBE la kulimia.
 
Hata wew huna thamani yoyote mbele ya Mwarabu,, ndiyo maana ukienda Arabuni weusi wengi wamehasiwa.
Maana Mwarabu akiwa na Quran yke mkononi anamwona mtu mweusi ni sawa na dume la NGO,MBE la kulimia.
Nani alikwambia mi nashoboka na waarabu,jielewe ndugu,kikubwa ni kufuata vitabu vya Mungu ni vitaka mwanadamu afuate na nini anakatazwa asifanye kwa faida yake mbele ya Muumba.Huyo mwarabu na Myahudi wate akili zao ni sawa.Sasa we endelea kumkumbatia Myahudi ambaye hata huyo Yesu wako ye hamtambui.Nimemaliza.
 
Kama wao ndo.wameujenga hayaaa.ule ni msikitini.wa 3.kwa ukubwa.kwenye uislam.mpaka kwenye Quran umetajwa.
ule msikiti hauna ulinzi wowote mkubwa,japo uko chini ya mamlaka ya jordan,
lakini hauna ulinzi wowote,
sasa utashangaa kwanini hawauvunji wajenge sinagogi wanalidai.
Ukweli ni kuwa bado wanasubiri kukamilisha manufactured unabii wao,kwani kwa wayahudi hawawezi kujenga hekali bila masiha wao kuwa karudi,walitegemea atakuwa Netanyau lakini anaelekea kushindwa,takenote masiha wa wayahudi ni tofauti na yule wa wakristo.

Wao wanasubiri mtu atakaeisimamisha israel,itawale dunia nzima kutokea jerusalem kama mji mkuu na kuabudu dini moja ya kiyahudi,
wakristo wao wanamsubiri yesu awapeleke mbinguni na kule eti kuna mji mpya wa jerusalem,ambao baadae utashuka tena duniani na wateule wake.
Wayahudi ili watengeneze unabii na kuweza kuitawala dunia,lazima kwanza wavunje nguvu ya waarabu na pia kuwapinganisha waislam na wakristo mpaka watepete ndo wao wanashika hatamu na kuanzisha World government,
hii ndo sababu ya ISIS,KAZI YAKE NI KUZIWEAKENED NCHI ZA KIISLAMU kabla haijatokea vita kuu kati ya waislam na wakristo then baada ya vita wayahudi ndo watakamata usukani,

so msidhani hata leo wakipewa bure al aqsa wajenge sinagogi lao hawatakubali kwani equation bado haijatimia,nayo ni kutawala dunia
 
The Mashiach
The mashiach will be a great political leader descended from King David (Jeremiah 23:5). The mashiach is often referred to as "mashiach ben David" (mashiach, son of David). He will be well-versed in Jewish law, and observant of its commandments (Isaiah 11:2-5). He will be a charismatic leader, inspiring others to follow his example. He will be a great military leader, who will win battles for Israel. He will be a great judge, who makes righteous decisions (Jeremiah 33:15). But above all, he will be a human being, not a god, demi-god or other supernatural being.
It has been said that in every generation, a person is born with the potential to be the mashiach. If the time is right for the messianic age within that person's lifetime, then that person will be the mashiach. But if that person dies before he completes the mission of the mashiach, then that person is not the mashiach.
When Will the Mashiach Come?.


Before the time of the mashiach, there shall be war and suffering (Ezekiel 38:16)
The mashiach will bring about the political and spiritual redemption of the Jewish peopleby bringing us back to Israeland restoring Jerusalem (Isaiah 11:11-12; Jeremiah 23:8; 30:3; Hosea 3:4-5). He will establish a government in Israel that will be the center of all world government, both for Jews and gentiles (Isaiah 2:2-4; 11:10; 42:1). He will rebuild the Templeand re-establish its worship (Jeremiah 33:18). He will restore the religious court system of Israel and establish Jewish law as the law of the land (Jeremiah 33:15)..

Judaism 101: Mashiach: The Messiah
 
hao waliobaki waliingiliana na jamii za pale,kuna walioendelea na imani yao ya kiyahudi,etc lakini hawako radical kama hao wazungu waliotoka ulaya wakijiita wayahudi,
actually asilimia kubwa ya wayahudi walirudi toka babelon wakati wa utawala wa Ezra kama sikosei,
hawa wazungu akina Netanyau ni ma impostor,sio wayahudi halisi
mzee, hao sio wazungu, uzuri wenzetu wanafuata sana dini, wana vyama vya kidini nchi zote na wana utaratibu ambao hata wakae miaka mingapi hawapotezi identity. na hii ndio ilisababisha hata hitler akawaua kwa urahisi kwasababu walikuwa wanajulikana na wao wanajijua kama wao ni wayahudi. hao unaosema wazungu wanaweza kuwa wamezaliana na wazungu lakini DNA ni ile ile. sawa na wewe ukienda kuzaa na mmalawi lakini toto wako ni mtz. wapo wachache sana ambao wameasili dini, wengi wao ni wayahudi wa kuzaliwa. hata hivyo, jua kwamba wao hata mwanamke wa kiyahudi akizaa na kabila ingine, mtoto ni myahudi na ina nguvu sana tu kama ile ya baba kuzaa na kabila ingine. wapo kimakabila sana, kuna wale ashkenazi ambao ni wahayudi waliokuwa wamezaliwa kanda za urusi, ujerumani,austria,poland na ulaya mashariki. hawa walizaliana kidogo na wazungu ndio maana ni weupe sana. wapo wengine walizamia nchi za yemen na uarabuni, wana tabia na tamaduni za kiarabu kidogo, na wengi sio weupe kama wengine. wengine ni wale walioenda australia, marekani, canada, mexico, agentina etc. lakini asili yao haipotei. hivyo kuwaita wazungu ni upuuzi, hao sio wazungu ndugu. nimeshakuwa nao mara nyingi na nimeshaingia hadi kwenye sinagogi lao katika nchi fulani hivi. ninawajua vizuri sana. Mungu ibariki Israel.
 
mzee, hao sio wazungu, uzuri wenzetu wanafuata sana dini, wana vyama vya kidini nchi zote na wana utaratibu ambao hata wakae miaka mingapi hawapotezi identity. na hii ndio ilisababisha hata hitler akawaua kwa urahisi kwasababu walikuwa wanajulikana na wao wanajijua kama wao ni wayahudi. hao unaosema wazungu wanaweza kuwa wamezaliana na wazungu lakini DNA ni ile ile. sawa na wewe ukienda kuzaa na mmalawi lakini toto wako ni mtz. wapo wachache sana ambao wameasili dini, wengi wao ni wayahudi wa kuzaliwa. hata hivyo, jua kwamba wao hata mwanamke wa kiyahudi akizaa na kabila ingine, mtoto ni myahudi na ina nguvu sana tu kama ile ya baba kuzaa na kabila ingine. wapo kimakabila sana, kuna wale ashkenazi ambao ni wahayudi waliokuwa wamezaliwa kanda za urusi, ujerumani,austria,poland na ulaya mashariki. hawa walizaliana kidogo na wazungu ndio maana ni weupe sana. wapo wengine walizamia nchi za yemen na uarabuni, wana tabia na tamaduni za kiarabu kidogo, na wengi sio weupe kama wengine. wengine ni wale walioenda australia, marekani, canada, mexico, agentina etc. lakini asili yao haipotei. hivyo kuwaita wazungu ni upuuzi, hao sio wazungu ndugu. nimeshakuwa nao mara nyingi na nimeshaingia hadi kwenye sinagogi lao katika nchi fulani hivi. ninawajua vizuri sana. Mungu ibariki Israel.
hivi mkuu unafikiri kuna DNA ya kiyahudi?
Nijuavyo DNA Ya muisrael asilia ukiilinganisha na ya mpalestina asilia ni kitu kinaendana ,
wayahudi waliathiriwa sana na uvamizi wa waasyria walioporomosha utawala wao,na walipokua uhamishoni walijenga umoja wakijitenga bila kuingiliana na jamii za huko,wakiwa na mawazo ya kurudi palestina na kuliinua taifa lao upya.
Imani hiyo ikageuka kuwa dini,wakiamini mkuna masiha atawakuja kuwatoa katika mateso na kuirudisha israel itawale dunia,
wao dunia hawakumaanisha mpaka huku africa etc,
walijua maana yale ya caanan na kandokandoni ndio dunia.
Iman ilikuwa naikazaliwa dini ya kiyahudi ikiwa imebase katika utaifa.
Sasa hao european jews ndo walikuja kuanza kupata wazo la kuitawala dunia yote kwa maana hasa ya dunia nzima,
na hapo ndo matatizo yalipoanzia.
Kamsome albert pike utaona nachomaanisha
 
Pole sana maana hujajua hata ni akina nani wana sauti juu ya USA, hujajua hata utajiri wote wa USA uko mikononi mwa akina nani, hata bado hujafahamu CIA na FBI zimejaa watu gani; hujajua ni nani mhusika mkuu wa technologia ya USA; kama USA wanataka kuanguka basi waambie waachane na Israel uone kama watakukubalia maana wanajua fika nini kimewafikisha hapo walipo. Kila rais wa USA anayeshika tawala swala la Israel siyo la kujadili bali ni kutekeleza tu tena bila mashariti yoyoten, ikiwa rais atajifanya anajua badi hawezi amaliza miaka miwili ndani ya White House itabidi achague mawili kujiuzuru au akomae halafu wamnanii hii.
Hio USA inaongozwa na Jews sasa unategemea waachane na Israel ili iweje. Wataendelea kuijenga na kuilinda kwavile wana nguvu. Na kusingekuwapo hao Jews USA wanaoendesha hio operation Israel isingekuwepo. Hao Jews waliopo huko Israel wanatumiwa tu.
 
Pole sana maana hujajua hata ni akina nani wana sauti juu ya USA, hujajua hata utajiri wote wa USA uko mikononi mwa akina nani, hata bado hujafahamu CIA na FBI zimejaa watu gani; hujajua ni nani mhusika mkuu wa technologia ya USA; kama USA wanataka kuanguka basi waambie waachane na Israel uone kama watakukubalia maana wanajua fika nini kimewafikisha hapo walipo. Kila rais wa USA anayeshika tawala swala la Israel siyo la kujadili bali ni kutekeleza tu tena bila mashariti yoyoten, ikiwa rais atajifanya anajua badi hawezi amaliza miaka miwili ndani ya White House itabidi achague mawili kujiuzuru au akomae halafu wamnanii hii.
Hio USA inaongozwa na Jews sasa unategemea waachane na Israel ili iweje. Wataendelea kuijenga na kuilinda kwavile wana nguvu. Na kusingekuwapo hao Jews USA wanaoendesha hio operation Israel isingekuwepo. Hao Jews waliopo huko Israel wanatumiwa tu.
 
Wakristo mnachekesha sana. Aliye andika bibilia alisha waroga mana alikuwa Muisael yani mkisikia
Israel mnachanganyikiwa wakati wao ndio walimua Yesu kama mnavyo dai ni Mungu wenu.
Ni kweli na yote hayo yalitokea ili unabii wa biblia utimie
 
mada iliyoanzishwa israel wamepokea ndege za kivita kinachoongelewa ndani kitu tofauti.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeonae
 
Jaman nyie watanganyika jamii watoto wenu wameenda shule lakini leo?
 
Dini/imani haina utofauti sana na utumwa wa kifikra. Hz dini zimefanya watu kuwa watumwa kifikra na ukijaribu kuhoji unaonekana ni agent wa shetani
Unacho kizungumza ni kweli kabisa brother tumebaki kutawaliwa kifikra na hizi tamaduni za kigeni,ni aina nyingine ya ukoloni
 
Israel inajiandaa na wale wanaojiita waphilisti na waungaji wao mkono akina iran, pia inajiandaa vilivyo kuhakikisha kuwa ni lazima tu ali aqsa ibomolewe na lile ni dome lao maan yamejengwa juu Mlima Moria mahali ambapo Suleman mwana wa Daudi Mfalme wa Israel alianza kuijenga nyumba ya BWANA mwaka ule wa 957 B.C tazama 2 Nyakati 3:1 halafu wapuuzi fulan wanasema eti hapo siku zote wao ndo wamekuwa wakiabudu hapo mlima Moriah, sasa ukiwauliza pindi Suleman anajenga Hekalu wao walikuwa wapi, hawana hata majibu bali kuanza matusi kwakuwa walishafundishwa kukataa ukweli kwa ajili ya faida yao wenyewe.
Kondoo kama wewe huku sio sehemu yenu
 
Unaonekana hata hujui historia ya Israel na ya mashariki kati kwa ujumla; si dhani kama unauelewa unabii wa Biblia juu ya Israe na siku za.mwisho; kama wewe ni mlokole basi kwahili pole sana, nenda kumuulize mchungaji wako juu ya mambo haya, muulize hekalu alilolijenga Sulemani liko wapi? na kama halipo ni nani alilibomoa tena ni lini? Je hekalu alilolikuta Yesu Kristo liko wapi? maana Biblia inasema wazi kuwa Yesu aliingia hekaluni na mafarisayo wakaanza kumuuliza maswali, je hili hekalu nani aliliboa na ni lini,

halafu tafuta kujua utofauti kati ya hekalu alilolijenga Sulemanibna lile alilolikuta Yesu. hii itakusaidia kujua nini kinaenda kutokea madhariki ya kati hasa Israel. Tafuta uhusiano wa hekalu linalotaka kujengwa na Wayahudi na ujio wa mara ya pili wa Kristo. Soma Ezekieli sura mbili hizi zote 38 na ile ya 39 kisha ujue Mungu alimwambia nini Ezekieli kuhusu Israel na siku za mwisho; tafuta kujua chanzo cha vita ya magogu na ile Arimagedoni. Basi ikiwa wewe unajaribu kuwa na huruma zidi ya wafilisti basi hiyo ni huruma yakwako wala Mungu hayumo kwenye hiyo huruma ni lazima yote yatimie yaliyoandikwa. kumbuka vita ya Israel na wafilisti ni ya tangu enzi za Joshua, Waamuzi, Samweli, Mfalme Sauli, Mfalme Daudi hadi leo hii, na mwisho wa yote hayo Israel ndiyo mshindi wa hii vita ikiongozwa na Kristo mwenyewe akiwa MFALME.

Mh! yaani uilinganishe Israel na S. Africa? nyingine ni nchi ya Agano na Ahadi tena Takatifu halafu hiyo S. Africa yako in nchi ya kawaida tu kama zilivyo nchi nyingine tu mfano
S. Sudan. Kwa miaka zaidi ys 1896 Wayahudi walisambaratishwa na Rumi mwaka 70 AD, mwaka wa 1945 baada ya WWII wakarejea sawaswa na neno la Nabii Isaya sura yote ya 54. Pole sana kwa wanaowaunga mkono wafilisti ila hawatafanikiwa hata kidogo maana mpaka mipaka yote na ardhi yote ya Israel ichukuliwe na Wayahudi kama ilivyotajwa na Mungu akimwambia Musa yaani kuanzia mto Jordan hadi milima ya goran ya Syria, hadi upande wa gaza na Yerushalayim yote bila kuigawanya ndiyo mji mkuu wa Yisrael. Hapa akina arafat, abas na wote akina yahe hawana chao.
Jibwa kama wewe sijui unaishi dunia ipi,kichaa.wa akili na mwili na.ulaaniwe kwa upuuzi wako nyumbu haswaaa
 
Back
Top Bottom