Israel imeshaichukua Rafah yote. Hakuna bataliani za Hamas wala mateka. Inaua tu bila kizuizi ikipingana na amri ya ICJ

Israel imeshaichukua Rafah yote. Hakuna bataliani za Hamas wala mateka. Inaua tu bila kizuizi ikipingana na amri ya ICJ

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kinachoendelea Gaza kimetoa picha kwa kila mwenye ubinadamu kuwa nchi inayoitwa Israel ni taifa la watu ambao ni wasahenzi sana.Hawasikii nasaha za binadamu wala kutii amri za mahakama.

Baada ya kuchukua udhibiti wa lango la mpaka wa Rafah wiki mbili nyuma leo imetangazwa kuwa jeshi la Israel limeuchukua ukanda wa mpaka unaoitwa Philadephi ambao unatenganisha Gaza na Misri.

Tangu jana wakati vifaru vya Israel vilipoonekana katikati ya Rafah hakujaripotiwa kutokea mapigano makali na zile bataliani za Hamas ambazo Israel ilisema zimebaki eneo hilo.

Kinachoonekana ni mauaji mabaya ya kuchoma moto watu wazima wazima wakiwa kwenye kambi eneo ambalo mwanzoni waliambiwa ni salama kukimbilia.

Kilichowazi kingine ni kuwa kama alivyosema raisi wa Colombia mataifa makubwa ya dunia yanayojiita ya kidemokraisia na mataifa raifiki yote ni washirika wa Israel katika kuwakosesha amani watu wa Palestina.

1716969322880.png
 
Kinachoendelea Gaza kimetoa picha kwa kila mwenye ubinadamu kuwa nchi inayoitwa Israel ni taifa la watu ambao ni wasahenzi sana.Hawasikii nasaha za binadamu wala kutii amri za mahakama.
Baada ya kuchukua udhibiti wa lango la mpaka wa Rafah wiki mbili nyuma leo imetangazwa kuwa jeshi la Israel limeuchukua ukanda wa mpaka unaoitwa Philadephi ambao unatenganisha Gaza na Misri.
Tangu jana wakati vifaru vya Israel vilipoonekana katikati ya Rafah hakujaripotiwa kutokea mapigano makali na zile bataliani za Hamas ambazo Israel ilisema zimebaki eneo hilo.
Kinachoonekana ni mauaji mabaya ya kuchoma moto watu wazima wazima wakiwa kwenye kambi eneo ambalo mwanzoni waliambiwa ni salama kukimbilia.
Kilichowazi kingine ni kuwa kama alivyosema raisi wa Colombia mataifa makubwa ya dunia yanayojiita ya kidemokraisia na mataifa raifiki yote ni washirika wa Israel katika kuwakosesha amani watu wa Palestina.
View attachment 3002534
Wahenga walisema mkaanga mbuy hula na wanawe!
Hata ww mleta Uzi kukitokea Mtu akaapa sitakula Wala kunywa mpaka nifute kivuli chako na ukoo wako juu ya ardhi utasubiri ufutwe juu ya ardhi??🎤
 
Wahenga walisema mkaanga mbuy hula na wanawe!
Hata ww mleta Uzi kukitokea Mtu akawapa sitakula Wala kunywa mpaka nifute kivuli chako na ukoo wako juu ya ardhi utasubiri ufutwe juu ya ardhi??🎤
Halafu watu wenyewe 21 tu ndo wameuwa kwenye kambi ya wakimbizi. Je wangekuwa 1200+ kama wale wa tarehe 7 mwezi 10 mwaka jana
 
Tulinde amani ya nchi yetu, Hamas waliua badala ya watu kulaani lakini walishangiliwa na baadhi ya nchi, na watu walisema hamas wanahaki ya kufanya hivo ili kukomboa nchi yao. Sasa myahudi akaona sawa ngoja nitoe somo, Netanyshu alipotangaza vita watu walibeza na kusema hawezi kuvamia Gaza huku Iran, Turkey, houth Hezibollar wakiwa wanaona. Leo yako wapi? Na kwa hili jinsi ilivyo ipo siku Israel itamtwanga Iran nyuklia dunia ibaki kinywa wazi, hao watu wengi ni watoto na wajukuu wa survivors wa holocust hawako tayari kuona wanafutwa, kabla hawafutwa lazima wakufute, by the way , siku viongozi wa Hamas watakaoomba kukutana na viongozi wa Israel ili waungane makubwa nchi moja ndio amani itaatikana
 
Back
Top Bottom