Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Waliotekwa walikuwa na silaha gani?Wanapiga watu wasiyo na silaha yoyote na bado wanaangaika! Wale wenye silaha kama Hezbollah wanafanya kuwavizia halafu mashabiki wao wanawaita taifa teule! Labda taifa teule la mashoga.
Wataondoka tu watake wasitake.
Hawawezi kujibu hilo -ila Wanakazania tu kuwaita ni Taifa la mashoga ilhali wao wanaowania mabikra 72 na mito ya pombe wameshaswagwa kama ng'ombe wanaopelekwa mnadani hadi sasa wamefikishwa Rafah machinjioni.Waliotekwa walikuwa na silaha gani?
Kama Taifa la mashoga linawaburuza wao.... Watakuwa ni akina nani? Yaani ni sawa mwanaume upate kichapo unakimbia unalia unasema aliyekupiga ni shoga. Wewe utakuwa nani? Wanatapata tapa tu wacha wachapwe mbwa hao walikuwa wana beep wenzao wamewapigia.Hawawezi kujibu hilo -ila Wanakazania tu kuwaita ni Taifa la mashoga ilhali wao wanaowania mabikra 72 na mito ya pombe wameshaswagwa kama ng'ombe wanaopelekwa mnadani hadi sasa wamefikishwa Rafah machinjioni.
Hahahah! Mlivyovamia oct7 na kuua watz wawili pamoja na raia wengine zaidi ya 1500 mnategemea nn?
Utajua ujui bro,Wanapiga watu wasiyo na silaha yoyote na bado wanaangaika! Wale wenye silaha kama Hezbollah wanafanya kuwavizia halafu mashabiki wao wanawaita taifa teule! Labda taifa teule la mashoga.
Wanafunzi wanasheherekea kwenye kambi za jeshi?wengi waliwateka ndani ya kambi za jeshi
Unakusudia walivunja sheria za kimataifa.Hamas walichofanya ni kidogo mno kuliko walichokwishafanyiwa wao kwa takriban karne moja.Mbona huanzii huko.Wanafunzi wanasheherekea kwenye kambi za jeshi?
Aondoke aende wapi tena? Mbona hapo ndo kwake tayari? Ninyi ni mashahidi. Israel alipanunua toka 07 Oct. 2023 kwa kubadilishana na wayahudi 1200 + na bado waHAMAS wanaendelea tena kumwuzia Myahudi palipobaki. Wapalestina nao wamerogwa hawajamstukia HAMAS. Mbona kabla ya 07 Oct. Hapo Gaza walau to some extent palikuwa shwari?
Unasema eti at the end of the day... wakati kila siku iendayo kwa Mungu; Israel anazidi kumega na kupanua wigo? Labda ungelisema Israeli hatopata Hati Miliki
Mbona waarabu wanawalaani na bado wana mafuta kibao?Hayo mataifa yako kimya yanaogopa yakilaani nayo yatalaaniwa.
Wajanja sana.
Osama bin Laden baada ya kuuawa na Wamarekani miaka iliyopita wanezaliwa ma Osama wapya wangapi na wapi?Watazaliwa milioni 20 na kuendelea kuwaandama mayahudi.Kama hawatatumia akili kukubali maazimio na amri za mahakama na wao hawataishi kwa utulivu daima.
Kwani Osama na Yahya Sinwar nani ni mkali zaidi ya mwenzake.Osama bin Laden baada ya kuuawa na Wamarekani miaka iliyopita wanezaliwa ma Osama wapya wangapi na wapi?
Acha hizo broo. Hayo maandishi "وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ" mm sikuambua kitu hapo. Nilidhani ni Nota za muziki kumbe sio. Any way; Wamekuelewa wenzako.وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
Dua la kuku halimpati mwewe. Ngoma iko palepale.Mbona waarabu wanawalaani na bado wana mafuta kibao?
Hiyo aya ni ya kitabu ganiHawawezi kujibu hilo -ila Wanakazania tu kuwaita ni Taifa la mashoga ilhali wao wanaowania mabikra 72 na mito ya pombe wameshaswagwa kama ng'ombe wanaopelekwa mnadani hadi sasa wamefikishwa Rafah machinjioni.
Unataka tena kitabu aisee? wakati kumeza vitabu ndo kumewafikisha hapo?Hiyo aya ni ya kitabu gani
Mbona waarabu wanawalaani na bado wana mafuta kibao?
mtoto wa nyoka ni nyoka! kwan hamas waliua wanajeshiMbona tunaona wanaokufa ni watoto na akinamama zaidi.
Au wewe kwa chuki zako huwaoni.