Israel inalindwa na maombi ya watakatifu ulimwenguni wakiwemo wa pPalestine na Wairan

Israel inalindwa na maombi ya watakatifu ulimwenguni wakiwemo wa pPalestine na Wairan

Waisrael wakuue kwa sababu gani mnawachokoza wenyewe nyie wafia dini na chuki mnazofundishwa madrasa
Mimi si mwislamu, na ujue si kila mtu ni muislamu kule Gaza na Lebanon.
Ujinga wa kufikiri kila kinachofanywa na Israel kina baraka ni upumbavu wa kupindukia.

Kama ingekuwa hivyo wanachofanya Israel ni sawa, basi wewe mwafrika unachukuliwa kama nyani wa kutumika kulengwa mazoezi ya shabaha
 
Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.

Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.

Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.

Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel

Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel.

Omba kwa ajili ya Israel
Mimi siombi kwa ajili ya Israel. Na sidhani hata hii Biblia yangu Israel anaitambua na kuitumia. Waisraeli wanakaribia mil 10 sasa ila WAKRISTO wanaosali Jumapili, humo hawazidi laki 2 na WAKRISTO Wadventist wa sabato wasio wayahudi hawazidi 1600. Kwa hiyo Taifa la Israel sio la kikristo. Na hawawatambui wakristo.
 
Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.

Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.

Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.

Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel

Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel.

Omba kwa ajili ya Israel
huna akili, sawa na kusema CCM inalindwa na Mungu kwa uonevu wanayoifanyia Chadema basi huyo Mungu wenu Mbaguzi
 
Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.

Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.

Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.

Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel

Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel.

Omba kwa ajili ya Israel
Shida ni kubwa sana kuliko tunavyofikiri, Israel inalindwa na uwekezaji mkubwa kwenye silaha za kisasa na uchumi wake mzuri
 
Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.

Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.

Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.

Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel

Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel.

Omba kwa ajili ya Israel
unahitaji kuhubiriwa
Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.

Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.

Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.

Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel

Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel.

Omba kwa ajili ya

Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.

Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.

Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.

Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel

Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel.

Omba kwa ajili ya Israel
Ni kama injili ya neema ya Emanueli bado sana.
 
Mosab Hassan baba yake ndio Muanzilishi wa Kikundi cha Kigaidi cha Hamas.

Lakini yeye kakataa kufuata Idiolojia ya Kigaidi.
 
Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.

Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.

Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.

Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel

Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel.

Omba kwa ajili ya Israel
Naomba maana ya maneno haya mawili

1. Taifa:-
2. Israel:-
 
Israeli taifa la Mungu God bless Israel
 

Attachments

  • 1458701437.mp4
    1.6 MB
Waisrael wakuue kwa sababu gani mnawachokoza wenyewe nyie wafia dini na chuki mnazofundishwa madrasa
Ni upumbavu kuyatazama mapambano dhibi ya kujitwalia ardhi na wazungu(siyo wayahudi) huko Israel na kufikiri ni mapambano ya kidini.
 
Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.

Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.

Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.

Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel

Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel.

Omba kwa ajili ya Israel
Israel inalindwa kwanza na Ahadi za Mungu, kiapo alichoapa kwamba hatakuja kuwaacha. watende dhambi wasitende dhambi kile kiapo cha Mungu kinaishi na Mungu hawezi kuwaacha asijeonekana mwongo, na Mungu hutimiza kila anachosema.

Hii inatufundisha hata sisi, kuna watu tunaishi nao mtaani tunaona wajinga tu na pengine hawana elimu au akili kama sisi, ila wanaishi na kutembea na kibali, kila wanachofanya kinafanikiwa hata hawatumii efforts kubwa. Mungu yupo pamoja nao. hii imewatokea sana watoto ambao wazazi wao walitoa jasho sana kumtumikia Mungu, watoto wa wachungaji, watoto wa wainjilist au waumini wa kawaida waliojitoa kwa Mungu. Mungu huwa ana mambo anaapa kwao na vizazi vyao vijavyo. Hao kina Tulia Akson unaoona kama wanapaa tu, wazazi wao ni wachungaji na waliishi maisha ya kimaskini ili wahubiri injili. wapo wengi sana hata hatumii efforts kama zako, hajiungi na freemason, hajiungi na waganga, ila utapambana naye utashindwa yeye anaendelea kupaa.

Mtumikie Mungu, na wakati unamtumikia kabidhi watoto wako kwake, hakunaga jasho unatoa kwenye mambo ya Mungu linaloenda bure.

kwa hiyo, hata sisi tuombe au tusiombe, Mungu yeye huwa hasahau ahadi yake.though tunapoomba kama Yesu alivyoulilia Yerusalem, tunakuwa tunamkumbusha Mungu tu kuhusu ahadi yake lakini hata tusipoomba maadamu alishatamka, Maneno yake yanaishi. hata kwako, ukiona Mungu ametamka kitu kwako, hicho kinaishi.
 
Come meet me at my clinic
For now
Haloperidol BID
1733120982529.png

Wa Israel wanavyokuona.
Black monkey.
 
Back
Top Bottom