Israel inasema Imetengeneza mwanya wa kufungua mlango wa mabadiliko Mashariki ya Kati

Israel inasema Imetengeneza mwanya wa kufungua mlango wa mabadiliko Mashariki ya Kati

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Waziri wa ulinzi wa Israel bwana Gallant ameeleza kuwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Hezbollah, yamepunguza sana uwezo wa Hezbollah wa kupigana, na Hezbollah kwa sasa hawana mfumo wa kusimamia uendeshaji wa vita.

Galant ameeleza kuwa Israel imefanikiwa kutengeneza mwanya utakaowezesha kufungua mlango wa mabadiliko, siyo ndani tu ya Lebanon, bali kwa Mashariki ya kati yote.

Note: Hezibollah, kundi la kigaidi la Iran, likishirikiana na makundi mengine ya kigaidi, limefanikiwa kuzifanya Serikali za mataifa ya Lebanon, Yemen, Syria na Iraq kuwa dhaifu sana, kwani makundi haya yana nguvu kushinda majeshi ya mataifa hayo. Kupotezwa au kupunguzwa nguvu kwa Hezbollah kunaweza kuyafanya mataifa haya yaliyofanywa kuwa makoloni ya Iran kupitia Hezbollah na makundi mengine ya kigaidi, kuwa huru, na hivyo kuwa Serikali na zenye nguvu.

Gallant also touted the success of Israel’s campaign against Hezbollah so far, saying Israel has “dismantled a major part of their capabilities” and that Hezbollah now faces “a lack of command and control.”

Gallant argued that the blows Israel has dealt against Hezbollah “have made a crack that now opens the door to change not just in Lebanon, but in the entire Middle East.”
 
Hizbullah imepungua nguvu wakati wameshindwa kuingia lebanon
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-07-08-59-07-570.jpg
    Screenshot_2024-10-07-08-59-07-570.jpg
    379.8 KB · Views: 1
Waziri wa ulinzi wa Israel bwana Gallant ameeleza kuwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Hezbollah, yamepunguza sana uwezo wa Hezbollah wa kupigana, na Hezbollah kwa sasa hawana mfumo wa kusimamia uendeshaji wa vita.

Galant ameeleza kuwa Israel imefanikiwa kutengeneza mwanya utakaowezesha kufungua mlango wa mabadiliko, siyo ndani tu ya Lebanon, bali kwa Mashariki ya kati yote.

Note: Hezibollah, kundi la kigaidi la Iran, likishirikiana na makundi mengine ya kigaidi, limefanikiwa kuzifanya Serikali za mataifa ya Lebanon, Yemen, Syria na Iraq kuwa dhaifu sana, kwani makundi haya yana nguvu kushinda majeshi ya mataifa hayo. Kupotezwa au kupunguzwa nguvu kwa Hezbollah kunaweza kuyafanya mataifa haya yaliyofanywa kuwa makoloni ya Iran kupitia Hezbollah na makundi mengine ya kigaidi, kuwa huru, na hivyo kuwa Serikali na zenye nguvu.

Gallant also touted the success of Israel’s campaign against Hezbollah so far, saying Israel has “dismantled a major part of their capabilities” and that Hezbollah now faces “a lack of command and control.”

Gallant argued that the blows Israel has dealt against Hezbollah “have made a crack that now opens the door to change not just in Lebanon, but in the entire Middle East.”
[/QUOTE
Mwambieni Muislam hashindwi vita.
 
Ti
Waziri wa ulinzi wa Israel bwana Gallant ameeleza kuwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Hezbollah, yamepunguza sana uwezo wa Hezbollah wa kupigana, na Hezbollah kwa sasa hawana mfumo wa kusimamia uendeshaji wa vita.

Galant ameeleza kuwa Israel imefanikiwa kutengeneza mwanya utakaowezesha kufungua mlango wa mabadiliko, siyo ndani tu ya Lebanon, bali kwa Mashariki ya kati yote.

Note: Hezibollah, kundi la kigaidi la Iran, likishirikiana na makundi mengine ya kigaidi, limefanikiwa kuzifanya Serikali za mataifa ya Lebanon, Yemen, Syria na Iraq kuwa dhaifu sana, kwani makundi haya yana nguvu kushinda majeshi ya mataifa hayo. Kupotezwa au kupunguzwa nguvu kwa Hezbollah kunaweza kuyafanya mataifa haya yaliyofanywa kuwa makoloni ya Iran kupitia Hezbollah na makundi mengine ya kigaidi, kuwa huru, na hivyo kuwa Serikali na zenye nguvu.

Gallant also touted the success of Israel’s campaign against Hezbollah so far, saying Israel has “dismantled a major part of their capabilities” and that Hezbollah now faces “a lack of command and control.”

Gallant argued that the blows Israel has dealt against Hezbollah “have made a crack that now opens the door to change not just in Lebanon, but in the entire Middle East.”
Toka waingie Palestine kama wakimbizi 1948 bado wanaishi kwa mashaka kama nguchiro
 
Waziri wa ulinzi wa Israel bwana Gallant ameeleza kuwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Hezbollah, yamepunguza sana uwezo wa Hezbollah wa kupigana, na Hezbollah kwa sasa hawana mfumo wa kusimamia uendeshaji wa vita.

Galant ameeleza kuwa Israel imefanikiwa kutengeneza mwanya utakaowezesha kufungua mlango wa mabadiliko, siyo ndani tu ya Lebanon, bali kwa Mashariki ya kati yote.

Note: Hezibollah, kundi la kigaidi la Iran, likishirikiana na makundi mengine ya kigaidi, limefanikiwa kuzifanya Serikali za mataifa ya Lebanon, Yemen, Syria na Iraq kuwa dhaifu sana, kwani makundi haya yana nguvu kushinda majeshi ya mataifa hayo. Kupotezwa au kupunguzwa nguvu kwa Hezbollah kunaweza kuyafanya mataifa haya yaliyofanywa kuwa makoloni ya Iran kupitia Hezbollah na makundi mengine ya kigaidi, kuwa huru, na hivyo kuwa Serikali na zenye nguvu.

Gallant also touted the success of Israel’s campaign against Hezbollah so far, saying Israel has “dismantled a major part of their capabilities” and that Hezbollah now faces “a lack of command and control.”

Gallant argued that the blows Israel has dealt against Hezbollah “have made a crack that now opens the door to change not just in Lebanon, but in the entire Middle East.”

Huyu si ndo alisema wameimaliza HAMAS?

Hata hivyo HAMAS imeendelea kurusha makombora Tel-Aviv
 
Nenda page za IDF kwenye social media hasa Instagram wanatoa updates mara kwa mara kuhusu operation zao dhidi ya magaidi
Acha porojo pata taarifa kutoka vyombo vya kimataifa siyo hizo cooked stories, walitudanganya rocket za iran hazijaleta madhara, ila gazeti la guardian limesema sehemu za jeshi la israel ziliharibiwa na wametoa settalite images, hujui kwamba israel ni mabingwa wa uongo duniani?
Na hadi sasa kachanganyikiwa na yupo vulnerable ndio masna hajalipiza kwa iran, iron dome imefeli
 
Waziri wa ulinzi wa Israel bwana Gallant ameeleza kuwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Hezbollah, yamepunguza sana uwezo wa Hezbollah wa kupigana, na Hezbollah kwa sasa hawana mfumo wa kusimamia uendeshaji wa vita.

Galant ameeleza kuwa Israel imefanikiwa kutengeneza mwanya utakaowezesha kufungua mlango wa mabadiliko, siyo ndani tu ya Lebanon, bali kwa Mashariki ya kati yote.

Note: Hezibollah, kundi la kigaidi la Iran, likishirikiana na makundi mengine ya kigaidi, limefanikiwa kuzifanya Serikali za mataifa ya Lebanon, Yemen, Syria na Iraq kuwa dhaifu sana, kwani makundi haya yana nguvu kushinda majeshi ya mataifa hayo. Kupotezwa au kupunguzwa nguvu kwa Hezbollah kunaweza kuyafanya mataifa haya yaliyofanywa kuwa makoloni ya Iran kupitia Hezbollah na makundi mengine ya kigaidi, kuwa huru, na hivyo kuwa Serikali na zenye nguvu.

Gallant also touted the success of Israel’s campaign against Hezbollah so far, saying Israel has “dismantled a major part of their capabilities” and that Hezbollah now faces “a lack of command and control.”

Gallant argued that the blows Israel has dealt against Hezbollah “have made a crack that now opens the door to change not just in Lebanon, but in the entire Middle East.”
Amani inapendwa na wote.
 
Chochote watakachofanya wayahudi kuangamiza magaidi na dini yao nitawaunga mkono.
 
Risasi haija wahi kuwa suluhu ya matatizo,zaidi ya kuchochea uhasama na visasi.

NB:Vita sio kitu cha kushabikia.
Sisi na waganda vipi baada ya risasi kuna uadui tena?

Risasi huwa suruhu penye ujinga unapolazimishwa kuwa welevu

Wakati ukichangia hivi kama inavyodai, upande mwingine ni wewe yule yule unayedai pasiwepo mazungumzo na ccm bali maandamano na nguvu ya umma ili kuondoa ukiritimba wa maccm

Wacheni ujinga, nyoosheni maelezo
 
MBona hawatupi report ya ground operation ya lebanon? Au siri yao tuwaache
Report ya ground ni hivi jeshi la israel limewasukuma magaidi wa hezbollah kutoka kusini kwenda kaskazini na kuharibu miundombinu ya hezbollah na imewaua 440
 
Back
Top Bottom