Hapo mama yako na dada zako wamepitiwa na hiyo dini usiyoipenda coz ndio inaongoza kuwa na mahandsome mashabab...we waulize wanawake wa ukoo wenu...Chochote watakachofanya wayahudi kuangamiza magaidi na dini yao nitawaunga mkono.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo mama yako na dada zako wamepitiwa na hiyo dini usiyoipenda coz ndio inaongoza kuwa na mahandsome mashabab...we waulize wanawake wa ukoo wenu...Chochote watakachofanya wayahudi kuangamiza magaidi na dini yao nitawaunga mkono.
Anza kuangamiza njaa yako ndio ufurahie kuangamizwa kwa binadam.Chochote watakachofanya wayahudi kuangamiza magaidi na dini yao nitawaunga mkono.
Unaweza tuambia wewe usiye mjinga eneo ambalo majeshi ya israel yameingia lebanon!?Umeishia darasa la ngapi wewe!!!! Aisee Tanzania tuna safari ndefu Sana ya kuwatoa vijana kwenye UJINGA
For your information, tangu Israeli ilipoivamia Lebanon oktoba mosi, jeshi la ardhini la Israeli limeshindwa kuingia ndani ya mpaka zaidi ya kilomita 15, achilia vifo zaidi ya 300 na majeruhi zaidi ya 100 vya wanajeshi wake. Kiufupi hakuna cha maana walichoweza kuachieve so far, zaidi ya aerial bombardment and killing of innocent civilians.Waziri wa ulinzi wa Israel bwana Gallant ameeleza kuwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Hezbollah, yamepunguza sana uwezo wa Hezbollah wa kupigana, na Hezbollah kwa sasa hawana mfumo wa kusimamia uendeshaji wa vita.
Galant ameeleza kuwa Israel imefanikiwa kutengeneza mwanya utakaowezesha kufungua mlango wa mabadiliko, siyo ndani tu ya Lebanon, bali kwa Mashariki ya kati yote.
Note: Hezibollah, kundi la kigaidi la Iran, likishirikiana na makundi mengine ya kigaidi, limefanikiwa kuzifanya Serikali za mataifa ya Lebanon, Yemen, Syria na Iraq kuwa dhaifu sana, kwani makundi haya yana nguvu kushinda majeshi ya mataifa hayo. Kupotezwa au kupunguzwa nguvu kwa Hezbollah kunaweza kuyafanya mataifa haya yaliyofanywa kuwa makoloni ya Iran kupitia Hezbollah na makundi mengine ya kigaidi, kuwa huru, na hivyo kuwa Serikali na zenye nguvu.
Gallant also touted the success of Israel’s campaign against Hezbollah so far, saying Israel has “dismantled a major part of their capabilities” and that Hezbollah now faces “a lack of command and control.”
Gallant argued that the blows Israel has dealt against Hezbollah “have made a crack that now opens the door to change not just in Lebanon, but in the entire Middle East.”
Ukweli ni upi?!Toka lini Israeli wakasema kweli.
Myahudi anafanya juu chini kuifanya hii vita isionekane ni ya kidini ila kiuhalisia ni vita ya kidini muda mrefu sana baina ya Waislam na wayahudi.
Huu ni mfululizo wa vita vidogovidogo kabla ya kuja kuzuka vita kuu ya mwisho baina ya Waislam na wasiokuwa waislam.
View: https://m.youtube.com/watch?v=mF6B5UVupyA
Wayahudi wanajua Uislam na waislam ndio tishio dhidi yao. Walianza kupambana na Waislam tangu Mtume Muhammad pbuh yupo katila mji wa madinah. Na Myahudi hajawahi kufanikiwa katika vita dhidi ya waislam.Hakuna udini wowote hizo ni propaganda zenu zisizo na vichwa wala miguu,wambie Israel waache kukalia ardhi ya Lebanon na Palaseitina kimabavu uone kama kutakuwa na mgogoro wowote.
Chanzo cha vita yao ni nini haswa maana myahudi yeye anauwa viongozi Kwa sana miaka na miakaWayahudi wanajua Uislam na waislam ndio tishio dhidi yao. Walianza kupambana na Waislam tangu Mtume Muhammad pbuh yupo katila mji wa madinah. Na Myahudi hajawahi kufanikiwa katika vita dhidi ya waislam.
Angalau sasa hv Hamas wanavizia wanarusha viroketi viwili haoo wanazama mashimoni kujificha kama panya..hawaishi tena juu ardhini kama binadamu wa kawaida...chezea mtoa roho wewe hahhahaaaHuyu si ndo alisema wameimaliza HAMAS?
Hata hivyo HAMAS imeendelea kurusha makombora Tel-Aviv
Chanzo cha vita ya wayahudi na waislam ni husdah (kijicho/wivu/envy) ..mayahudi baada ya kusoma katika taurati kuwa mtume wa mwisho atatokea maeneo ya uarabuni..walikwenda kuanzisha makao yao ndani ya Mji wa Madinah wakitegemea kuwa huyo Mtume atotakana na wao kwasababu historia inaonesha kuwa mitume mingi sana imetokea kwa wana wa israel.Chanzo cha vita yao ni nini haswa maana myahudi yeye anauwa viongozi Kwa sana miaka na miaka
Risasi haija wahi kuwa suluhu ya matatizo,zaidi ya kuchochea uhasama na visasi.
NB:Vita sio kitu cha kushabikia.