Israel Kasalim Amri Kwa Hezbollah

Israel Kasalim Amri Kwa Hezbollah

Adiosamigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
7,681
Reaction score
9,892
Waisrael huko na magazeti yao wamegundua moto unao wangojea huko Lebanon, sio Missiles tu zinawasubiria na drones, lakini kuna ndege vita kuliko F16, ambayo wanatamba nayo Israel ni drones ambazo hazina tofouti na F16 zina ruko 30,000ft.

Zinauwezo wa kupita kwenye Radar bila kuonekana, na zina tumika pia kuangusha ndege, na kuvuruga communication system ya ndege za adui. na zinashambulia target kwa kutumia maboom yenye uzito wa 250KG ni balaa tupu.

Wa Israel wanasifia hio drone wanasema Iran hapo kafanya majabu sana, sa swali wanalo jiuliza Israel atafanya nini tena kwa Hezbullah?

Wanaomba Israel wasi subutu kuigusa Hezbullah kwenye full war, wanasema Hezbullah hawezekani tena bora tutulize akili zetu tusifikirie kusogea Lebanon hatuwezi kabisa kushinda vita.

Ndege yenyewe MQM 107 striker 3 in one ni ndege isio na pilot hatari duniani


Ndege yenyewe ni hio hapo


View: https://youtu.be/xnKdPOaJTHM?si=pcNnpHxPQFWa3q9O
 
Waisrael huko na magazeti yao wamegundua moto unao wangojea huko Lebanon, sio Missiles tu zinawasubiria na drones, lakini kuna ndege vita kuliko F16, ambayo wanatamba nayo Israel ni drones ambazo hazina tofouti na F16 zina ruko 30,000ft.

Zinauwezo wa kupita kwenye Radar bila kuonekana, na zina tumika pia kuangusha ndege, na kuvuruga communication system ya ndege za adui. na zinashambulia target kwa kutumia maboom yenye uzito wa 250KG ni balaa tupu.

Wa Israel wanasifia hio drone wanasema Iran hapo kafanya majabu sana, sa swali wanalo jiuliza Israel atafanya nini tena kwa Hezbullah?

Wanaomba Israel wasi subutu kuigusa Hezbullah kwenye full war, wanasema Hezbullah hawezekani tena bora tutulize akili zetu tusifikirie kusogea Lebanon hatuwezi kabisa kushinda vita.

Ndege yenyewe MQM 107 striker 3 in one ni ndege isio na pilot hatari duniani


Ndege yenyewe ni hio hapo


View: https://youtu.be/xnKdPOaJTHM?si=pcNnpHxPQFWa3q9O

b984622235cc47cb86f061bcea479279.jpeg
 
Waisrael huko na magazeti yao wamegundua moto unao wangojea huko Lebanon, sio Missiles tu zinawasubiria na drones, lakini kuna ndege vita kuliko F16, ambayo wanatamba nayo Israel ni drones ambazo hazina tofouti na F16 zina ruko 30,000ft.

Zinauwezo wa kupita kwenye Radar bila kuonekana, na zina tumika pia kuangusha ndege, na kuvuruga communication system ya ndege za adui. na zinashambulia target kwa kutumia maboom yenye uzito wa 250KG ni balaa tupu.

Wa Israel wanasifia hio drone wanasema Iran hapo kafanya majabu sana, sa swali wanalo jiuliza Israel atafanya nini tena kwa Hezbullah?

Wanaomba Israel wasi subutu kuigusa Hezbullah kwenye full war, wanasema Hezbullah hawezekani tena bora tutulize akili zetu tusifikirie kusogea Lebanon hatuwezi kabisa kushinda vita.

Ndege yenyewe MQM 107 striker 3 in one ni ndege isio na pilot hatari duniani


Ndege yenyewe ni hio hapo


View: https://youtu.be/xnKdPOaJTHM?si=pcNnpHxPQFWa3q9O

Mpaka sasa karibu wanamgambo zaid ya mia 4 wa Hizbullah wanagombea bikra huko kuzimu na hapo ni rasha rasha tu sikuambii wanaume wakisema waingie mazima huko kuzimu bikra hazitatosha.
 
Makamanda wao kila siku wanauliwa,wewe uliyeko huko kamfichenj ndio unasema wamesalimu amri.
We kalia makamanda wameuliwa wameuwa makamnda wa Hezbullah tokea vita vimeanza ni 3 tu.

Swali Israel kapoteza makamanda wangapi na wanajeshi wangapi. We camp za jeshi zinavurugwa huko afu wanakuambia no casualties hahaha.

Hezbullah huwa wako proud kutangaza makamanda zao wamekufa.

Dogo hi ni Israel ndio wamegundua Hezbullah ana hio ndege level yake sawa sawa na F16 bado Hezbullah kazificha hazijanza anangojea vita ianze ile full war ndio azitumie hio ni one of the surprising facts bado Israel hajakutano nayo.

Tulizana dawa ikuingie.
 
B
Waisrael huko na magazeti yao wamegundua moto unao wangojea huko Lebanon, sio Missiles tu zinawasubiria na drones, lakini kuna ndege vita kuliko F16, ambayo wanatamba nayo Israel ni drones ambazo hazina tofouti na F16 zina ruko 30,000ft.

Zinauwezo wa kupita kwenye Radar bila kuonekana, na zina tumika pia kuangusha ndege, na kuvuruga communication system ya ndege za adui. na zinashambulia target kwa kutumia maboom yenye uzito wa 250KG ni balaa tupu.

Wa Israel wanasifia hio drone wanasema Iran hapo kafanya majabu sana, sa swali wanalo jiuliza Israel atafanya nini tena kwa Hezbullah?

Wanaomba Israel wasi subutu kuigusa Hezbullah kwenye full war, wanasema Hezbullah hawezekani tena bora tutulize akili zetu tusifikirie kusogea Lebanon hatuwezi kabisa kushinda vita.

Ndege yenyewe MQM 107 striker 3 in one ni ndege isio na pilot hatari duniani


Ndege yenyewe ni hio hapo


View: https://youtu.be/xnKdPOaJTHM?si=pcNnpHxPQFWa3q9O


Waisrael huko na magazeti yao wamegundua moto unao wangojea huko Lebanon, sio Missiles tu zinawasubiria na drones, lakini kuna ndege vita kuliko F16, ambayo wanatamba nayo Israel ni drones ambazo hazina tofouti na F16 zina ruko 30,000ft.

Zinauwezo wa kupita kwenye Radar bila kuonekana, na zina tumika pia kuangusha ndege, na kuvuruga communication system ya ndege za adui. na zinashambulia target kwa kutumia maboom yenye uzito wa 250KG ni balaa tupu.

Wa Israel wanasifia hio drone wanasema Iran hapo kafanya majabu sana, sa swali wanalo jiuliza Israel atafanya nini tena kwa Hezbullah?

Wanaomba Israel wasi subutu kuigusa Hezbullah kwenye full war, wanasema Hezbullah hawezekani tena bora tutulize akili zetu tusifikirie kusogea Lebanon hatuwezi kabisa kushinda vita.

Ndege yenyewe MQM 107 striker 3 in one ni ndege isio na pilot hatari duniani


Ndege yenyewe ni hio hapo


View: https://youtu.be/xnKdPOaJTHM?si=pcNnpHxPQFWa3q9O

Gaza pia mlisema hivihivi....yamebaki magofu
 
Back
Top Bottom