ISRAEL kuikalia palestina Milele

ISRAEL kuikalia palestina Milele

Wananchi wa kule wanaongea lugha gani?
Soma historia wewe. Hata mafarao walikuwa Black sio waarabu. Ndio maana ukienda kule giza yale masanamu wameyavunja mapua yao. Eneo lote lilikuwa la Nubian. Hata unavyosikia waimoro waliovamia hispania kutokea Africa usifikiri walikuwa waarabu. Walikuwa Black. Waarabu waliingia wakachukua nchi za watu na kuua wenyeji. Kama wazungu walivyofanya kule Australia.
 
Wafuasi wa mkosa nyumba shida sana. Roll model wenu alilala njia panda akamuona shetan,i kwenye ndoto yake. Shetani akamuambia Yesu ni Mungu. Nyie mnaota Israel kapewa nchi na Mungu, wakati kapewa na Muingereza hamna hata aibu.

 
Wafuasi wa mkosa nyumba shida sana. Roll model wenu alilala njia panda akamuona shetan,i kwenye ndoto yake. Shetani akamuambia Yesu ni Mungu. Nyie mnaota Israel kapewa nchi na Mungu, wakati kapewa na Muingereza hamna hata aibu.
Mungu hatumii nyani shekhe. Anatumia wanaadam kuwasaidia watu.
Ndio maana israel inapendwa na mataifa makubwa Mashallah
 
Soma historia wewe. Hata mafarao walikuwa Black sio waarabu. Ndio maana ukienda kule giza yale masanamu wameyavunja mapua yao. Eneo lote lilikuwa la Nubian. Hata unavyosikia waimoro waliovamia hispania kutokea Africa usifikiri walikuwa waarabu. Walikuwa Black. Waarabu waliingia wakachukua nchi za watu na kuua wenyeji. Kama wazungu walivyofanya kule Australia.
History ipi wewe unaye ongelea Afrika ni bara sio nchi. Kwa nini Wahindi ni tofauti na Wachina? kwa nini Waitaliano ni tofauti na Wareno? Kuwa katika bara moja haimanishi kuwa tunapaswa kuwa wa rangi moja au kuzungumza lugha moja au kuwa na utamaduni sawa.

Nchi nyingi hata zina tamaduni na makabila tofauti ndani ya nchi moja.
Hata nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara hazifanani sana. Zimbabwe na Tanzania wanafanana nini zaid ya rangi moja tu 😄

History; Northwest Africa has been inhabited by Berbers since the beginning of recorded history, while the eastern part of North Africa has been home to the Egyptians.
 
Mungu hatumii nyani shekhe. Anatumia wanaadam kuwasaidia watu.
Ndio maana israel inapendwa na mataifa makubwa Mashallah
Kweli sa sijui nani ana akili zaidi kati yako wewe na Yesu. Yesu anasema mwenye nguvu duniani ni Shetan. Kwa hio hayo mataifa bora yangekuwa nyani kuliko kuwa ya Shetani

Jesus calls him the ruler of this world (John 14:30)
 
History ipi wewe unaye ongelea Afrika ni bara sio nchi. Kwa nini Wahindi ni tofauti na Wachina? kwa nini Waitaliano ni tofauti na Wareno? Kuwa katika bara moja haimanishi kuwa tunapaswa kuwa wa rangi moja au kuzungumza lugha moja au kuwa na utamaduni sawa.

Nchi nyingi hata zina tamaduni na makabila tofauti ndani ya nchi moja.
Hata nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara hazifanani sana. Zimbabwe na Tanzania wanafanana nini zaid ya rangi moja tu 😄

History; Northwest Africa has been inhabited by Berbers since the beginning of recorded history, while the eastern part of North Africa has been home to the Egyptians.
Egyptian was Nubian sio hawa waarabu we fala
 
Egyptian was Nubian sio hawa waarabu we fala
Sa we fala unajua Nubian ni watu gani? Wanaongea lugha gani?Nikikuambia wewe ni mpumbafu mkubwa hapa sijawahi kuona kama wewe.

Tuambie hao Nubian wanaongea lugha gani, afu hao wanaishi tokea zamani kusini mwa Misri sio kazikazini pia Sudan upande wa North Hawajawahi maishi yao kuwepo Misri upande wa kazikazini ya Misr au nchi zingine za North Africa kama Libya, Algeria, Tunis na Morocco.

Kwa hio Nubian wanaongea kiswahili au kiafricana 😄

Rudi shule ukasomeshwe unaonyesha bwege sana wa History.
 
Wafuasi wa mkosa nyumba shida sana. Roll model wenu alilala njia panda akamuona shetan,i kwenye ndoto yake. Shetani akamuambia Yesu ni Mungu. Nyie mnaota Israel kapewa nchi na Mungu, wakati kapewa na Muingereza hamna hata aibu.
Kama vile nyinyi mlivyoambiwa mfilaji mudi ni mtume...[emoji1787][emoji1787]
 
Soma historia wewe. Hata mafarao walikuwa Black sio waarabu. Ndio maana ukienda kule giza yale masanamu wameyavunja mapua yao. Eneo lote lilikuwa la Nubian. Hata unavyosikia waimoro waliovamia hispania kutokea Africa usifikiri walikuwa waarabu. Walikuwa Black. Waarabu waliingia wakachukua nchi za watu na kuua wenyeji. Kama wazungu walivyofanya kule Australia.
Na Marekani.
 
Kama vile nyinyi mlivyoambiwa mfilaji mudi ni mtume...[emoji1787][emoji1787]
Mashoga wa mombasa lazima mlete harufu za mavi hapa. We unadhani huyo ni Paulo huyo ni Sayyid Al Bashari Sayyid Al Alamini hana upuzi kama wenu.
 
Wayahudi wana haki waliyopewa na Mungu kwa nchi hii. Kiongozi mmojawapo wa vyama viwili vya siasa kali za mrengo wa kulia, vinavyounga mkono walowezi, ambavyo Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alivileta katika muungano wake wa serikali baada ya uchaguzi wa 2022.

Smotrich anahudumu kama waziri wa fedha lakini pia ana wadhifa katika wizara ya ulinzi, ambao umemruhusu kufanya mabadiliko makubwa kwa sera za Israel katika Ukingo wa Magharibi.

Amewekeza kwa kiasi kikubwa fedha za serikali katika makazi ya walowezi, ikiwa ni pamoja na barabara mpya na miundombinu. Lakini pia amechukua mamlaka kutoka kwa jeshi, ili kuharakisha ujenzi wa makazi ya walowezi.

Katika matamshi yaliyorekodiwa kwa siri akiwaambia wafuasi wake, Smotrich alijigamba kuwa anafanya kazi kubadilisha DNA ya mfumo juu ya utanuzi wa makazi, na itakuwa rahisi kueleweka katika sheria na muktadha ya kimataifa.

Wazalendo wa kidini walikuwa pembeni mwa siasa za Israel kwa miongo kadhaa. Lakini itikadi yao polepole imekuwa maarufu zaidi. Katika uchaguzi wa 2022, vyama hivi vilichukua viti 13 katika bunge la Israel lenye viti 120 na kuwa katika muungano wa mrengo wa kulia wa Netanyahu.

Wanahakikisha vita vya gaza vinachukua muda muda mrefu ili kujihakikishia kuukalia ukingo wa magharibi bila bughudha kisha Israel waweze kuichukua palestina Yote.

Source BBC
YESU APEWE SIFA ITIKIA AMEN BWANA AKUBARIKI
 
Back
Top Bottom