Harmonize wa Jf
Member
- Jan 6, 2022
- 56
- 336
Hahaha naona unajampa jampaπ€£π€£π€£π€£π€£Acha kuleta mabandiko ya kutunga Harmonize wa Jf
huna chanzo ni vile umeumizwa tu hivi karibuniKwa mujibu wa vyombo mbali mbali vya habari vimesema kwamba Israel inajiandaa KUISHAMBULIA Iran apo kesho Oct 07
Kama kumbukizi ya shambulio la Oct 07 lililofanywa na hamas Kule Israel,
Tayari wakuu wa kijeshi wa Israel walikutana na kupanga mipango ya kuishambulia Iran kesho tar 07,
Inasemekana Israel huenda ikafanya shambulio kubwa kuwahi kutokea katika ardhi ya Iran,
Vinu na visima vya mafuta ni miongoni mwa target kuu itakayolengwa na Israel apo kesho,
Marekani imekuwa ikiwaomba Israel wasishambulie visima vya mafuta vya Iran Hali ambayo imepingwa na netanyahu.
Ni sawa tuKwa mujibu wa vyombo mbali mbali vya habari vimesema kwamba Israel inajiandaa KUISHAMBULIA Iran apo kesho Oct 07
Kama kumbukizi ya shambulio la Oct 07 lililofanywa na hamas Kule Israel,
Tayari wakuu wa kijeshi wa Israel walikutana na kupanga mipango ya kuishambulia Iran kesho tar 07,
Inasemekana Israel huenda ikafanya shambulio kubwa kuwahi kutokea katika ardhi ya Iran,
Vinu na visima vya mafuta ni miongoni mwa target kuu itakayolengwa na Israel apo kesho,
Marekani imekuwa ikiwaomba Israel wasishambulie visima vya mafuta vya Iran Hali ambayo imepingwa na netanyahu.
Hahaha eti Tuache mihemko ya kidini wakati wewe umeonesha mihemko ya kidini ivi kobazi mnaakili timamu kweli kama hili limeongea nini Sasa hapaπ€£π€£π€£π€£π€£Israel haitoshambulia, kuishambulia Iran ni kujichimbia kaburi.
Tuache mihemko ya kidini, hata wakishambulia ni kwa uoga...
Tanzania raha kwa kweli sihami mtu iko Ikwiriri Mtwara anatawa taarifa kutoka Telviv Israel, huwezi kua na stress ukiwa bongo hawa wajinga wanakuondolea stress unawaona kama comedian.Kwa mujibu wa vyombo mbali mbali vya habari vimesema kwamba Israel inajiandaa KUISHAMBULIA Iran apo kesho Oct 07
Kama kumbukizi ya shambulio la Oct 07 lililofanywa na hamas Kule Israel,
Tayari wakuu wa kijeshi wa Israel walikutana na kupanga mipango ya kuishambulia Iran kesho tar 07,
Inasemekana Israel huenda ikafanya shambulio kubwa kuwahi kutokea katika ardhi ya Iran,
Vinu na visima vya mafuta ni miongoni mwa target kuu itakayolengwa na Israel apo kesho,
Marekani imekuwa ikiwaomba Israel wasishambulie visima vya mafuta vya Iran Hali ambayo imepingwa na netanyahu.
Waache kwanza siku mbili maana itakula kwanguKwa mujibu wa vyombo mbali mbali vya habari vimesema kwamba Israel inajiandaa KUISHAMBULIA Iran apo kesho Oct 07
Kama kumbukizi ya shambulio la Oct 07 lililofanywa na hamas Kule Israel,
Tayari wakuu wa kijeshi wa Israel walikutana na kupanga mipango ya kuishambulia Iran kesho tar 07,
Inasemekana Israel huenda ikafanya shambulio kubwa kuwahi kutokea katika ardhi ya Iran,
Vinu na visima vya mafuta ni miongoni mwa target kuu itakayolengwa na Israel apo kesho,
Marekani imekuwa ikiwaomba Israel wasishambulie visima vya mafuta vya Iran Hali ambayo imepingwa na netanyahu.
Tramp ndo nani ?Tramp