Israel kuishambulia Iran leo usiku, Marekani yaja juu

Israel kuishambulia Iran leo usiku, Marekani yaja juu

Joined
Jan 6, 2022
Posts
56
Reaction score
336
Kwa mujibu wa tovuti mbali mbali za kimataifa zimesema kuwa kuna uwezekano wa Israel KUISHAMBULIA IRAN leo usiku kama Kujibu shambulio la Iran la apo juzi.

Inasemekana Israel tayari umeanza mipango ya kuishambulia Iran leo huku kukiwa na hofu ya Israel KUISHAMBULIA visima vya mafuta vya Iran pamoja na vinu vyake vya NYUKLIA.

Raia joe Biden wa marekani ameionya Israel isivishambulie vinu vya NYUKLIA vya Iran na badala yake ijibu kama Ilivyopigwa Ili kutokupelekea kuzunguka Kwa vita rasmi.

Israel inadaiwa imeshamaliza vikao toka juzi juu ya kujibu shambulio la Iran na vyombo vya kijasusi vya marekani vimedai Israel ataishambulia Iran masaa machache yajayo.

Soma Pia: Rais Biden wa Marekani asema hakuna chochote kitachotokea nchini Iran leo
 
Nikajua Israel hajibu tu bali ni golden chance ya kuungana na mabwana zake Marekani kuimaliza Iran kama wafuasi wa Yesu wanavyodai kwamba alisubiriwa Iran kuingia kwenye mfumo.

So far Iran ndiye mbabe wa Mashariki ya Kati maana ameishambulia Israel bila huruma, badala ya Israel kutangaza vita rasmi yeye anatangaza kulipiza kisasi kichovu.
 
Ngoja tuone its better aue kila kitu pale Iran vinginevyo shambulizi likifeli huu utakua mtihani mkubwa kwa dunia hii, yawezekana kweli leo anashambulia coz mrusi kawapa taarifa raia wake watoke Israel lakini hajasema walioko Iran watoke
 
Hivi kuna shoga ambae anaweza kuwa na nguvu ya kupambana na bahasha wake?

Namaanisha hivi nchi inayoongoza kuwa na mashoga wengi duniani (Israel) inaweza kupambana na nchi yenye mabahasha yenye nguvu za kuthibiti mpaka wake wanne katika familia (Iran)
 
Nikajua Israel hajibu tu bali ni golden chance ya kuungana na mabwana zake Marekani kuimaliza Iran kama wafuasi wa Yesu wanavyodai kwamba alisubiriwa Iran kuingia kwenye mfumo...
Upo sshihi sana
Hii hesabu ndo Magharibi wsliitamani.

Lakini nahisi kuna shughuli kutokea Yemen ambayo Magharibi hawataki kabisa itokee maana itawazubaisha malengo kwa namna fulani
 
Nikajua Israel hajibu tu bali ni golden chance ya kuungana na mabwana zake Marekani kuimaliza Iran kama wafuasi wa Yesu wanavyodai kwamba alisubiriwa Iran kuingia kwenye mfumo.

So far Iran ndiye mbabe wa Mashariki ya Kati maana ameishambulia Israel bila huruma, badala ya Israel kutangaza vita rasmi yeye anatangaza kulipiza kisasi kichovu.
Unahangaika sana na mambo ya Israeli afu unaandika ujinga mwingi sana
 
Israel ikilipiza kisasi madhara watakayopata Iran ni mara 10 ya waliyopata israel. Tuombe tu wasishambulie vinu vya nyuklia. Irsni naye atajibu kwa kushambulia vinu vya israel.
Bado unafikiri kuwa Iran itaacha kila kitu ndani ya vinu vyake ili vije vishambuliwe 🤣🤣🤣

By the way Iran target zake huwa ni kwa ajili ya watawala na sio raia. Ndomaana hata shambulio la jana alilenga maeneo muhimu ya kitawala kama vile kambi za jeshi, ofisi ya Mosad nk. Hashambuliagi raia hovyo kama Israel.

Ila Israel ikithubutu kushambulia raia, basi kitachofuatia kila mtu anakijua. Ndomaa Mrusi kaomba raia wake waondoke haraka Israel, maana huenda ashaambiwa na rafiki zake (Iran) kuwa Israel ikishambulia raia kama ifanyavyo Lebanon na Gaza basi na sisi tutaangamiza kila kitu ikiwemo raia.

Hivyo tusubiri tuone.
 
Aliyeanza kumchokoza mwenzie ni nani?
Netanyahu A.K.A Isha mashauzi wa Middle East akigusa chochote Iran kwa sasa ajiandae kushuhudia anga la Israel kuwa jekundu zaidi ya juzi
 
Back
Top Bottom