Israel maji ya shingo ICJ

Israel maji ya shingo ICJ

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Ama kweli za mwizi zinahesabika na jana ilikuwa ya 39.

2. Kimeumana mahakamani; kwamba aliyoyanena msauzi Jana, ati kuwa ndiyo haswa ushahidi wake?

IMG_20240112_140828.jpg


3. Ati kuwa yeye ndiye amekuwa akitaka mno mazungumzo na Sauzi na eti kuwa ni u kichwa ngumu tu, wa Sauzi kukimbilia mahakamani?

IMG_20240112_140932.jpg


4. Kwamba?

IMG_20240112_141054.jpg


5. Huyu bwana anamfamu Tiganga au anamsikia?

6. Hapa mwana mkaidi, kufaidi na asubiri siku ya Idd.

7. Kwamba?

IMG_20240112_153640~2.jpg


8. Hali?

IMG_20240112_153640~3.jpg


9. Anqchomoka mtu vipi hapa?!
 
1. Ama kweli za mwizi zinahesabika na jana ilikuwa ya 39.

2. Kimeumana mahakamani; kwamba aliyoyanena msauzi Jana, ati kuwa ndiyo haswa ushahidi wake?

View attachment 2869672

3. Ati kuwa yeye ndiye amekuwa akitaka mno mazungumzo na Sauzi na eti kuwa ni u kichwa ngumu tu, wa Sauzi kukimbilia mahakamani?

View attachment 2869676

4. Kwamba?

View attachment 2869678

5. Huyu bwana anamfamu Tiganga au anamsikia?

6. Hapa mwana mkaidi, kufaidi na asubiri siku ya Idd.

7. Kwamba?

View attachment 2869786

8. Hali?

View attachment 2869788

9. Anqchomoka mtu vipi hapa?!
Popote walipo watawala wa Uzayuni wauwawe
 
Back
Top Bottom