Wanawangojea wapi wakati wakati Israel ipo Gaza, halafu kwann Hamas wasiwalinde raia wao?Hata hamas wanawangojea magaidi wa israhell wakae kwenye 18 wawatifue ndio maana wanajificha huko chini
Kama mnaweza kawafateni
Sasa ulitaka Hizbullah waseme wamehusika wakati hawaja husika na loloteWewe unayedhani una akili kwanini usiwaambie hao Hezbollah waivamie Israel. Si wako wanapakana kabisa. Unadai vita haipiganwi kwa mdomo wakati hao Hezbollah wako wanatoa matamko kila siku, na mkuu wao Nasrallah alibwabwaja hamna kitu alilenga, akajiondoa kuhusika na mashambulizi na hakutoa support. Si waache kuchonga midomo waingie vitani uone kama hawapukutiki.
Ni lini vita ilikuwa rahisi mpaka useme imekuwa ngumu siku hizi?
Alafu unalinganishaje vita ya zamani na ya sasa kisha unasema ya sasa ni ngumu. Yani unachukua kama Battle of Somme au Stalingrad au Battle of Hurtgen forest unalinganisha na battle uchwara hizi za Bakhmut na Gaza? Au umetokea kwenye kutazama katuni hii ndio vita yako ya kwanza kufuatilia.
Hezbollah mpaka tunakaribia Christmas ilikuwa imetangaza wapiganaji wake 117 wamekwishauwawa na Israel. Na hapo hawapo vitani, sasa kwanini usiwaombe Hezbollah waingie vitani na Israel tena kwa kutumia kisingizio cha wapiganaji wake 117 kuuwawa?
Battle proven wako 117+ wamefariki vita haijaanza, ikianze je!
Unajua Israel imepigana vita ngapi tangu 1948?
Assad alikuwa na jeshi lake mwenyewe, Russia, Iran, makundi ya Wakurdi, Yazidi, Houthi na wengine hao Hezbollah. Mpaka sasa Assad hana umiliki wa nchi nzima. Sasa ajabu walilofanya Hezbollah ni nini?
Nami nikuulize unaujua mchango wa mashambulizi ya Israel dhidi ya majeshi ya Iran hapohapo Syria?
Unamjua marehemu Brigadier General Mosuavi wewe?
Kwahiyo leo hii mnasema aliyeisaidia Syria dhidi ya ISIS ni Hezbollah. Sio Iran na Russia tena? Msimamo huu mtaendelea nao au ikitokea Iran inapigana na Israel mtaubadili mseme Iran ndio ilipigana na ISIS.
Syria ni nchi weak na ndio hiyo bado mnataka ijilipue ipigane na Israel. Sasa nchi weak kutekwa na waasi na wanamgambo wa Kiislamu ni ajabu?
Kama israhell wangekua wanalinda raia wao wasingeweza kupoteza raia 1400 kwa siku mojaWanawangojea wapi wakati wakati Israel ipo Gaza, halafu kwann Hamas wasiwalinde raia wao?
Hana ubavu wa kuanzisha front nyingine, hii ya Gaza tu inamkata upepo hadi Biden na Blinken wanalazimika kutoa siraha kimagumashi nyuma ya mgongo wa congress ili ku supply mahitaji ya shells za 155mm kama charger, fuse na primer. Nchi ambayo ndani ya miezi 2 tu ya vita tena inapigana na kikundi cha masela ndani ya eneo linalolingana na bagamoyo ataweza kupigana na watata dizain ya Hizbullah? wanajimwambafai tuMmoja ya waziri katika baraza la vita la Israel, Benny Gantz ameweka wazi kuwa muda wa majadiliano unakaribia kuisha na kwamba nchi yake itaingia kuipiga Lebanon yote iwapo Serikali ya nchi hiyo na dunia kwa ujumla watashindwa kuwaondoa wapiganaji wa Hizbulah kutoka mpakani kaskazini ya Israel.
Kauli hiyo imekuja baada ya jana HIzbullah kunyesha mvua nyIngine ya makombora ndani ya Israel.
Suala ni jee IDF wana uwezo huo tena huku wakiwa hawajafanikiwa kwa malengo yake ya kuivamia Gaza ikiwa ni kujpigana na jeshi ambalo lina silaha zaidi kuliko Hamas?
Kauli kama hiyo tayari wameshaitoa kwa wanamgambo wa Houth walio kusini yake japo mbali na mpaka. Bado hawajatekeleza kitisho hicho.
Israel Gaza war: Israel warns Hezbollah and Lebanon over border fighting
Hamas inalinda raia wao Kwa kupoteza raia 20,000?Kama israhell wangekua wanalinda raia wao wasingeweza kupoteza raia 1400 kwa siku moja
Na leo mnakiri Hamas inaua raia?Sasa kelele mnazopiga za Nini?Kama israhell wangekua wanalinda raia wao wasingeweza kupoteza raia 1400 kwa siku moja
Anaepiga kelele nani ngoja nikwambie kituNa leo mnakiri Hamas inaua raia?Sasa kelele mnazopiga za Nini?
Israhell ingekua inawalinda wangekufa?HamsHamas inalinda raia wao Kwa kupoteza raia 20,000?
Hata wapalestina hivyohvyo Ni halali kufa hata wangali bado tumboni, na hii ipo kimaandikoAnaepiga kelele nani ngoja nikwambie kitu
Kila raia alokua juu ya miaka 🔞 wa israhell anaekalia ardhi za Palestine anastahili kufa
Lengo lenu lilikuwa wafe waisrael wangapi?Israhell ingekua inawalinda wangekufa?
Basi acha waendelee kufa uache kulia liaHata wapalestina hivyohvyo Ni halali kufa hata wangali bado tumboni, na hii ipo kimaandiko
Ww jamaa kumbe hata sio mfuatiriaji wa habari zinazo endelea duniani ndio maana unaongoza kuandika mashudu humu, aliye toa tishio la kutumia nyukilia ni mojawapo ya mawaziri wanao unda baraza la vita lililo undwa na Netanyau sasa kama ww hujui basi inabidi tukushangae uko dunia gani kwa sababu vyombo vyote vya habari viliripot hii habari.Hamas hawana hadhi ya kupigwa nyuklia, hao ni vikojozi wanatakiwa wachapwe viboko tu.
Israel sio kama Russia, Israel haijawahi tishia yeyote wala kufanya maonyesho ya silaha zake za nyuklia.
Swali: Ni lini serikali ya Israel iliwahi sema ina silaha za nyuklia?
Huwezi tishia kitu unachokataa kuwa nacho, sasa Israel itatishiaje nukes na wakati haijawahi kubali kuwa nazo.
Tunajua Ni wakinanani wanaliaBasi acha waendelee kufa uache kulia lia
Wowote watakao kaa kwenye 🔞 ilikua wafyagiweLengo
Lengo lenu lilikuwa wafe waisrael wangapi?
Kama unajua hongera kijanaTunajua Ni wakinanani wanalia
Achana naye huyo mjinga. Mbona hakusikika hapa juzi kati USA alipopeleka mabomu Ukraine mabomu yaliyopigwa marufuku na sheria za umoja wa mataifa.Sasa kama unaona kutumia white phosphorus kulipo katazw. Yeye anaona a sio shida kwanini ulimgusia assad
Hapa kilichoongelewa ni kwamba zimetumika silaha zilizopigwa marufuku haijalishi zilitumika wapi wala wapi
Hao walozipiga marufuku hawakuyajua haya unayoyasema wewe
Israhell washatishia mpaka kutumia nyuklia kwa hamas tu sijui unataka kutwambia nn 🤔
Itifaki imezingatiwaAchana naye huyo mjinga. Mbona hakusikika hapa juzi kati USA alipopeleka mabomu Ukraine mabomu yaliyopigwa marufuku na sheria za umoja wa mataifa.
Hii misukule ya kimagharibi ni mijinga sana. Israel anapiga mabomu hospital na kuaribu vyanzo vya maji na ni ukiukwaji wa sheria za kimataifa lakini wao kutwa wanashangilia. Sasa mambo hayo yafanywa na upande mwingine masikio yataziba kwa makelele yao
Kuua raia wa Israel wasio na hatia siyo ukiukwaji wa sheria za kimataifa?Achana naye huyo mjinga. Mbona hakusikika hapa juzi kati USA alipopeleka mabomu Ukraine mabomu yaliyopigwa marufuku na sheria za umoja wa mataifa.
Hii misukule ya kimagharibi ni mijinga sana. Israel anapiga mabomu hospital na kuaribu vyanzo vya maji na ni ukiukwaji wa sheria za kimataifa lakini wao kutwa wanashangilia. Sasa mambo hayo yafanywa na upande mwingine masikio yataziba kwa makelele yao
Unabishana na form four failures.Utafanana nao!Hezbollah inao uwezo wa kupigana na jeshi la Syria hii ya sasa iliyodhoofika?
Hezbollah ina uwezo wa kuipiga Misri?
Hezbollah ina uwezo wa kuipiga Jordan?
Hizo nchi tatu zote Hezbollah haina uwezo wa kuzipiga. Na zote hizo hakuna ya kuipiga Israel.
Tufanye hivi, Lebanon wasiiguse Hezbollah. Israel iivamie Lebanon, wewe waombe Hezbollah wasije peke yao waje na jeshi la Lebanon kwa pamoja uone kama watashinda.
Ukiukwaju wa sheria za kimataifa vile vile kosa halilekebishwi kwa kutenda kosa kubwa zaidiKuua raia wa Israel wasio na hatia siyo ukiukwaji wa sheria za kimataifa?